Nakupenda sana mtumishi wa Mungu uliye jitoa mhanga kwaajili ya Mungu na Mungu asinyamanze juu yako na huduma uliyo nayo Mana huku daa injili imevamiwa na wagang wa kienyeji wansjiita manabii
@lucymwinuka35412 ай бұрын
Amina mtumishi wa Mungu Mbarikiwa
@thelonewolf44292 ай бұрын
Mchungaji Mm ni mtumishi wa Mungu kweli kweli . Acha Mungu aendelee kumuinuwa zaidi na zaidi
@LydiaMuhoja2 ай бұрын
Nimefurahi sana, kuungana na mchungaji Mbarikiwa, kwa njia ya mtandaoni akiwa kanisani kwa Mwanamapunduzi,. MUNGU wangu nakushukuru mno.
@MugishoMwenda-sx6xt2 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@DAUDIMWAMBALASA2 ай бұрын
mbalikiwa mungu akupe maisha mengi ili uendelee kututoa gizani
@KenedyMwakyimo-lf6jg2 ай бұрын
😂😂kweli kabsa hizi message😂😂 ubarikiwe mchungaji mbarikiwa
@JacksonRamadhanMchakila2 ай бұрын
Bwana Akubariki sanaa Mbarikiwa nakuelewa sanaa nimepata kitu kipyaa
@Pendopasilika2 ай бұрын
Kweli kabisa mtumishi MUNGU akubariki
@mnyakyusambunifu1432 ай бұрын
Mnyakyusa Mbunifu Nipo Hapa Naendelea Kukufatilia Mtumishi Na Shujaa wa Mungu Injili Kama Hiyo Ndo Yenyewe Lakini Wengi Hawaipendi
@MercyKadutu2 ай бұрын
Amina
@JudithMbugi2 ай бұрын
Ameeeeen baba mlingoti chuma kamba chuma bendera chuma
@BartolomeuHenrique-mx1fn2 ай бұрын
❤ ubarikiwe sana Niko Mozambique Pemba nakufuatilia
@eliudimsyani1272 ай бұрын
A! MZEE TUNAKUELEWA SANA
@chrithicksambo22872 ай бұрын
Kamanda langu likihubili Kwa sauti ya Mamlaka dadeki 💪💪
@zawadimwaibako40652 ай бұрын
Amen baba ninakupata kutoka Green city
@sarahmwasyoge18302 ай бұрын
Halleluyahhh...💃💃💃💃
@EsterSwilah-jv6ns2 ай бұрын
Hii ni chuma mlingoti kamba bendera🔥🔥🙏
@kikosikaziupdate2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉 moto moto
@ChristineDama-wf3sd2 ай бұрын
N kweli kabisa mchungaji waambie ukweli waache kuchafua jina la yesu
@jeanbaraka10082 ай бұрын
Tanzania kama Tanzania wahubiri halisi tumebaki nao wapambania kweli na haki ni hawa wawili tu: Pasta MBARIKIWA na Pasta MWANAMAPINDUZI MAXIMILIAN MACHUM.
@ugalidona-cs2yn2 ай бұрын
Neno ni Moja tu, Upendo na Haki na vyote vinaangukia kwenye kutenda Wema tu basi.
@ugalidona-cs2yn2 ай бұрын
hii nimeipenda sana, kuna neno kwenye Biblia linasema ukitunzwa madhabahuni na wewe iache hapohapo madhabahuni.
@JosephAkida2 ай бұрын
Ameeen sana
@Mapitoyazamani-y7n2 ай бұрын
Gombo limesimama namna hii, duuu! ni kama nyakati za mitume wa Yesu.
@musajulias33922 ай бұрын
Pamewaka sana sana❤❤❤
@JuliusMakwengwe-x3e2 ай бұрын
Unaeleweka sana sana baba
@musajulias33922 ай бұрын
Ameni baba
@re.emmanuelmdoe33452 ай бұрын
Sura zimezizimaa😂😂😂 Kura chuma hiyo katika Imani Ya Kristo Yesu wa Nazareth.
@Leonard-jl8gt2 ай бұрын
Huyu nimeanza kumhelewa ,dunia ni ya shetani ,ukihubiri haya uwe na moyo wa chuma,we ni mbarikiwa kweli
@ChristineDama-wf3sd2 ай бұрын
Amen 🙏🙏
@monicandengo46802 ай бұрын
Leo kimeeleweka
@PAULOBURTON2 ай бұрын
Hamna kitu hapo upo kwenye kanisa la freemason hao unaowapinga Kila siku mbarikiwa
@Mbarikiwa_Mwakipesile2 ай бұрын
Wewe kama ni mzinzi, mwizi, mla rushwa (mwenye dhambi) wewe ni mkuu kuliko freemason. Kwani imeandikwa hivi katika 1 Yohana 3:8 atendaye dhambi ni wa Ibilisi; kwa kuwa Ibilisi hutenda dhambi tangu mwanzo (NI MRITHI WA UWEZO WOTE WA IBILISI AU NI MWAJILI WA FREEMASON KWA KUWA FREEMASON NI WAKALA WA SHETANI). Zaidi ya hayo hata Yesu aliingia kwenye masinagogi ambayo alipinga uhubiri wa wakuu wa makuhani viongozi vipofu wa vipofu.
@AskofuAmosi2 ай бұрын
Ameni
@alunekyusa49052 ай бұрын
Hilo andiko linaumizaga sana ila sijui namna ya kujua nitatenda kwa nani?
@sandejacob6232 ай бұрын
Chuma chuma
@boskomushi85742 ай бұрын
Nimehelewa
@TUMUENZIMBARIKIWA2 ай бұрын
Vyumavyumaaa
@FestonjohnngilangwaNgilangwa2 ай бұрын
Hiyo kama nyota kwenye bendera ya Israel hiyo nembo ni nani wanaoimiliki hiyo nembo?
@yuzzob2 ай бұрын
Israel 🇮🇱 mwenyewe
@KokoloLambinguni2 ай бұрын
Ninembo ya Israel tunatakiwa kuwaombea waisrael kuwainua kwa Bwana YESU kama unajua kuna maali inatumika wanatumia kinyume
@mvunge71082 ай бұрын
kunyanganya maskini pesa tu...wezi hawa hapo anaomna pesa
@Philipoupdates2 ай бұрын
Acha makasiriko amenyanganya za nani sasa sikiliza injili iliyonyooka
@SamwelJoseph-yk3cw2 ай бұрын
Hujui unacho ongea wewe
@mkdg.4skolo8912 ай бұрын
Kwnza mtumishi kama huyu hakuna na hata utfyte kwa tochi wew sdka zko peleka kwa mwmposa wko hkoo hpo hta hana tyme na sdaka zako anasstiza vjana wakapge kazi jioni warudi hemani mwa Bwana Wakamtukuze alivyowabariki wew hbri za kuwnyang'anya sadaka maskinj unazitoa wapi nyang'au weww mwnyewe nenda katubu hyo dhambi zako
@ugalidona-cs2yn2 ай бұрын
Jiongeze uelewe, na acha uelewa wa kinafiki nafiki.
@DativaDaud2 ай бұрын
Mungu akusamehe hujui usemayo!
@alunekyusa49052 ай бұрын
Hilo andiko linaumizaga sana ila sijui namna ya kujua nitatenda kwa nani?