Huyo mtume IPM ni mganga wa kienyeji anayetumia kanisa,ni sawa na yule kiboko ya wachawi!! Mbarikiwa wewe ni mtumishi wa Lord Jesus Christ 🙏 Blessed.
@PetitejollieАй бұрын
Aliposema Yesu sio baba yetu wa Imani nimeishia kushangaa daaah aiseee!!!Mungu wangu
@nicholauskilosa5336Ай бұрын
Huyo ni muislamu, njaa ya maisha ndio imemuleta kanisani ndio maana anafundisha ibada ya sanamu maana kwenye uislamu kuchinja ni ibada yao takatifu.
@raphaeledson2002Ай бұрын
Amina baba
@mujwastevenАй бұрын
Huyu alikuwa mwislam achungulia akaona kuna watu wanapiga hela akagundua kuna wakristo wengi mazezeta naye akajumuika kwenye upigaji huo. Ni maoni yangu
@wizebiligetwaziri5540Ай бұрын
Mnashindwa kumuelewa kwanamna anavyo fafanua kafara zakishetani ila yeye anaposema kuchinja nikwanjia yaimani tu
@DolkasidanieliАй бұрын
Huyo i.p.m nikanjanja katumwa wakala wakuzimu
@user-yj5es1jw8cАй бұрын
Ujo nnganga kabisa bola umempa vidonge vwake mganga wa kienyeji kabisa ,aludi kwenye dini yake ,hatuna Mambo hayo sie
@MATIKO9640Ай бұрын
iPm is one of I'm proud to be.... members, who recognizes himself as Christianity, but for sure, he is for his interests over ignorant christians who don't use their time to read and understand bible scriptures, they believe in man miracles rather than in divine power.
@DolkasidanieliАй бұрын
Huyo mganga anjenti wakule kuzimu anadariri zote zote
@moshiwasua5749Ай бұрын
Huo sio Ukristo. Bali kuchinja ni upagani kabisa. Bora ajiite kwa dini alikotoka maana ameingia Ukristo Ukubwani akome kabisa.
@shammhagama2527Ай бұрын
IPM ni jinga kabisa, amekuja kutupotosha wakristo, ajirekebishe kabla anguko kuu halijamkuta
@wizebiligetwaziri5540Ай бұрын
Nikushindwa kwako kumuelewa hizo nimila Zipo kwenye bibilia kuchinja ama kafara nijina lina kusumbua kama anawashawishi waende kwaganga iyo ojayako nisahii lakini kama nikuchinja kwaimani sio vibaya mbona mnashindwa kuyaelewa maandiko matakatifu
@@HelbethMlelwa kwani ibraimu alichinja kwakuwanga ama ilikua kutolea mungu
@DolkasidanieliАй бұрын
Huyo i.p.m. katumwa kanjanja huyo
@fridalyanguka1733Ай бұрын
Ikiwa sadaka za kuchinja zimekatazwa. Mbonamnabatiza Kwa maji mengi ikiwa ubatizo huu ulibatilishwa na YOHANA yu ajae atabatiza Kwa moto na Roho mtakatifu. Huoni kaka utii hakuna ktk Hilo maana Bado ubatizo wa maji mengi unafanyika ikiwa ni kosa au dhambi ya kutotii, hivyo hakuna mtumishi hata mmoja anayetii hizo biblia zenu. Hata Amos 5:21 imeshakataliwa wote msiotii.
@mujwastevenАй бұрын
Huyu alikuwa mwislam achungulia akaona kuna watu wanapiga hela akagundua kuna wakristo wengi mazezeta naye akajumuika kwenye upigaji huo. Ni maoni yangu
@mujwastevenАй бұрын
Huyu alikuwa mwislam achungulia akaona kuna watu wanapiga hela akagundua kuna wakristo wengi wanapelekwapelekwa naye akajumuika kwenye upigaji huo. Ni maoni yangu