Nikweli moyo wangu una machozi kwa yanayo endelea katika nchi yangu. Mtumishi endelea kusema iko siku watatambua Mungu atakapotupa kisogo. Fuatilia yanayoendelea ktk zoezi la uandikishaji ndiyo utajua anayozungumza Mtumishi wa Mungu. Amen
@danielmwampeta333813 сағат бұрын
Ni kweli watu sasa wapo kupigania mikate,ubabe wa kuwaendesha wanadamu wengine kana kwamba ni wanyama. Eeee mwenyezi Mungu Utusaidie.
@LameckLameckmjwanga-yc6yv16 сағат бұрын
❤❤ameni baba ameni 🙏🙏🇹🇿🇹🇿
@King_Of_Everything19 сағат бұрын
👍✌️👊.
@gowekogoweko580315 сағат бұрын
AMEN
@amosdickson63188 сағат бұрын
Si patakuwa bali pamejaa; Huzuni, simanzi, vilio na maombolezo. Kila kona WATU wanalia daftari la uandikishaji wapigakura waliopewa ridhaa ushetani umewajaa
@AlbertKilinga5 сағат бұрын
Nikweli moyo wangu una machozi kwa yanayo endelea katika nchi yangu. Mtumishi endelea kusema iko siku watatambua Mungu atakapotupa kisogo. Fuatilia yanayoendelea ktk zoezi la uandikishaji ndiyo utajua anayozungumza Mtumishi wa Mungu. Amen