Kupata wazo Sahihi la biashara Imekua ni changamoto ya watu wengi sana. Hapa nimekuwekea mbinu unazoweza kuzitumia kupata wazo sahihi la biashara.
Пікірлер: 23
@gloryjoseph97792 ай бұрын
Asante kwa darasa zuri nimepata kitu na ntafanyia kazi Mungu akubariki
@shadracknoah11402 ай бұрын
Asante sana kaka kibenje napenda sana Elimu yako kaka unanisaidia kupata maarifa
@MrOmarmack10 ай бұрын
Ahsante sana Mwalimu Kelvin Kibenje, karibu tena Zanzibar. Mimi kwenye biashara ninayo ifanya ilianzia kwenye changamoto ya baba yangu, ambapo tulikuwa tunachangishana pesa watoto wake ili amudu kugharamia bidhaa anazotumia kila anapokwenda checking inayohusu changamoto yake, siku nilipogundua bidhaa anazotumia na kuona kuwa pia naweza kuwa sehemu ya kupata hizo bidhaa, basi nami nikaanza hiyo biashara kiurahisi sana tena bila ya mtaji kabisa, na Sasa nimeweza kuwasaidia wengine wengi sana kutatua changamoto zao mbali mbali tena wengine ni kubwa na walikwisha kata tamaa kabisa. Kwangu imekuwa biashara inayoniingizia kipato cha nyongeza zaidi ya nusu milioni nje ya ajira yangu rasmi, na inaniwezesha kuifanya popote nilipo. Nawakaribisha sana na wengine nitawafundisha BURE
@kelvinkibenje10 ай бұрын
Safi sana 👏👏
@imamuhamisi44216 ай бұрын
Genius
@Mr_miracle_decor10 ай бұрын
Safi sana teacher
@kelvinkibenje10 ай бұрын
Shukrani sana
@user-zs2gu5vi7x5 ай бұрын
🙏🙏barikiwa kaka kelvin
@kelvinkibenje5 ай бұрын
Asante sana
@asharamadhanially39904 ай бұрын
❤❤😊
@mariasofiapeter32209 ай бұрын
Soon I will testify kile nimejifunza kwa vitendo😍 Be blessed
@kelvinkibenje9 ай бұрын
Amen
@user-fm4qc8cl1h3 ай бұрын
Niritumia njia ya 2 niliboresha biashara ya mtu mwengne
@naslove99 ай бұрын
Shukran sana kaka Allah akuzidishie yenye kheri kwako
@kelvinkibenje9 ай бұрын
Amiin🤲
@abbygeorge839410 ай бұрын
❤❤
@kelvinkibenje10 ай бұрын
❤️❤️
@abbygeorge839410 ай бұрын
@@kelvinkibenje ubarikiwe mm nnakuelew haraka na kufanyia kaz taratb 😊
@Phidely6 ай бұрын
Samahan unaweza ukafa ya biashara Gani ukiwa chuon ngaz ya certificate
@belinajames440710 ай бұрын
Habari kaka mimi nataka kuanzisha biashara ya duka la vitu vidogovidogo pamoja na mpesa naomba unisaidie ninahitaji mtaji wa kiasi gani
@KelvinNyaitara9 ай бұрын
Nenda maduka ya jirani wanayofanya hio biashara...nunua soda Afu uanze Kupiga story 😂😂... Majibu yote utayapata huko..wish you all the best(if you want to go somewhere ask someone who have been there) 🙏🙏