kaka ahsante sana bonge moja la plani umebadilisha kichwachangu
@marianyahenge95293 ай бұрын
God bless you kelvin
@user-qz2sk3is9cАй бұрын
Yaap....!! Good idea
@gabrielmassawe3542 ай бұрын
I appreciate brother, nipo Dodoma, ila chimbo zako zote ni za Dar, kuna connection yoyote kupata chimbo la nguo za watoto na yeboyebo. Ahsante sana.
@GlorianaMtui3 ай бұрын
Kaka Asante sana, Mimi nina kipaji cha kushauri ila sijui nianzaje kujitangaza
@othmanSuleiman999 сағат бұрын
Kaka naikubali sana biashara ya vinywaji na vyakula iyo haina mbamba
@user-pt6ky6jo6gАй бұрын
Nimependa biashara ya vindala vya wadada jinsi ya kupata chimbo ndo shida mm nipo TUNDUMA
@user-kw6kg8kl1v6 ай бұрын
Nimependa biashara ya dagaa ilinilipa sana ila badae nikakosa connection nzuri ya kupata mzigo but now natarajia kuanza tena, kikubwa ni kuthubu na kuweka aibu pembeni watu tuache kubweteka, asante ninajifunza mengi sana na mengi nimeyafanyia kazi, Mungu akubariki sana kaka Kelvin
@kelvinkibenje6 ай бұрын
Kabisaa. Safi sanaaa
@user-kw6kg8kl1v6 ай бұрын
Pia naomba chimbo la vyombo vya mtumba sahani, sufuria nk yaani vyombo mchanganyiko ila vya mtumba tu
@OfficialMutrah3 ай бұрын
@@user-kw6kg8kl1vsamahan tafadhali waweza nipatia namba zako tuongee kidogo
@OfficialMutrah3 ай бұрын
Samahan waweza nipatia namba zako tuongee kidogo
@muniramboya81053 ай бұрын
Ukipata naomba unisaidie fatadhali
@upendolairumbe8896 ай бұрын
Madini👐👐
@kelvinkibenje6 ай бұрын
Asante sana
@esteryohana53704 ай бұрын
Samahan kevi, nikihitaji kutangaziwa biashara naww nafata vigezo gani
@konakitaatv22 күн бұрын
good ideas,umeshau na biashara ya crypocurrencies wengi hawaijuina wengi wanaogpopa kirisklakininibishara inayolipa sana
@simonMollel-rr3gb3 күн бұрын
Ndo nn jmn
@user-ds3tz8io8n5 ай бұрын
Napenda zaidi biashara ya kuagiza bidhaa nje, hapo umenikuna mr kibenje.
@kelvinkibenje5 ай бұрын
Jifunze uanze
@mrhekimasuleiman38842 ай бұрын
i wan't get it throgh soft cop, how can i get it
@zechariahissa60963 ай бұрын
Nimependa biashara ya vifaa vya simu
@othmanSuleiman999 сағат бұрын
❤
@fratilupembe34795 ай бұрын
Video to watch
@kelvinkibenje5 ай бұрын
Yes, Thanks
@vishainstitute438Ай бұрын
Asante Biashara gani naweza kufanya ya kutumia gari?
@user-eu1vl4ib1i6 ай бұрын
🙏🙏🙏
@kelvinkibenje6 ай бұрын
🙏 🙏
@Choleta_Charles6 ай бұрын
Mwanzo wa Biashara siku zote ni uthubutu na uvumilivu, bila hivyo ni zero....utajikuta ukikata tamaa mapema mno, au kufanya hiki na kuacha, kesho tena unafanya hiki unaacha...mwisho wa siku ndyo inafikia stage ya kukata tamaa.
@kelvinkibenje6 ай бұрын
Ndio kabisaaa
@KelvinErnest-my3ur2 ай бұрын
Biashara ya nguo za ndani hyo nzuri
@MuhamedAjigar-dw9veАй бұрын
Nahitaji kufanya biashara ya vifaa vya simu lkn inshallah mungu akipenda niende china Kwa hiyo inabidi niwe na mtaji wa kiasi gani naomba jibu napatikana what's pp tu
@angeljohnson50935 ай бұрын
Kaka me napenda biashara ya nguo za wanaume za kaliakooo
@neemakijoji47254 ай бұрын
Napenda biashara ya keki na bites
@SophiaMkumbwa-fu3uc2 ай бұрын
Kaka mimi nna frem nimelipia but nlkua na aidia ya kufanya duka la vipodz lakin now nimebak na laki moja too
@AYUBUNYONI16 күн бұрын
😂😂😂😂
@jofreymkanda68694 ай бұрын
Naomba uelezee zaidi biashara ya matunda, haswa haswa Apples
@kelvinkibenje4 ай бұрын
Sawaa
@JACKLINEMGAYA-wx1ku6 ай бұрын
biashara ya dagaa na genge smart na na nguo za mtumba za watoto
@CatheliniJohn5 ай бұрын
Dagaa gunia shi.ngap
@khadijaMustapha-if3rr4 ай бұрын
kaka apo kwenye biashara za vitu vya usaf nataka kujua vizuri na mtaji na napataje connection ili niweze kupata
@user-ru4sj5lp8b2 ай бұрын
Karibu nikuunganishe
@user-ur1ol3hd8t2 ай бұрын
iyo ya vyombo
@JoyceEdward-fv4ou21 күн бұрын
Napenda kuuza viatu vya mtumba
@sunwizy6082 ай бұрын
nichki mm mwenzako
@EmmanuelPaul-iq2wrАй бұрын
Makava yaana faida
@bowaschifunda86916 ай бұрын
Mimi baiashara ambao napenda sana Mimi kuza nguo sasa naweza nika anzaje
@kelvinkibenje6 ай бұрын
Biashara nzuri hiyo
@EvalyAnthony-ci4tc4 ай бұрын
Namm pia kaka msaada
@catherinepayson-bx5iw4 ай бұрын
Chimbo la nguo za ndani kaka naomba nisaidie
@user-jw5bq5qh7t3 ай бұрын
Kwel kaka nimekuelewa keni
@AmbweneKiputa2 ай бұрын
Kaka naomba ufanunuzi wa biashara ya nguo za ndan je niko mkoa mbeya nataman sana kufanya na nakufuatilia sana
@francischarles2355 ай бұрын
Kitabu soft copy bei gani?
@kelvinkibenje5 ай бұрын
Ni Tsh 10000 tu. Lipia kwenda lipa number 5122948 voda au Mpesa 0762815104 kisha tuma message whatsapp kwa namba hiyohiyo nikutumie.
@KelvinNyaitara6 ай бұрын
Sawa kiongozi
@kelvinkibenje6 ай бұрын
Shukurani
@user-qi9wt9cg7f4 ай бұрын
Bro nahitaji icho kitabu hardcopy nakipataje????
@kelvinkibenje4 ай бұрын
Kwa sasa zipo softcopy. Hardcopy mpaka mwezi May
@user-hh3dr3mz1x4 ай бұрын
Nikiwa na laki tano naweza anzisha biashara ya nguo za dukani special kuzunguka kwenye minada
@kelvinkibenje4 ай бұрын
Ndio inatosha kabisaa
@EvalyAnthony-ci4tc4 ай бұрын
Chimbo kaka lakupata izo nguo kwabei ya jumla
@sunwizy6082 ай бұрын
k.koo
@greenermichael20573 ай бұрын
Kaka mm cjawah kufanya biashara tofauti na duka la dawa za binadamu nataka nifanye biashara ya mitumba ,nguo za watoto na mashuka
@joanithamchunguzi43573 ай бұрын
Nimependa biashara ya nguo za ndan au mashuka
@vinboe_tvonline22884 ай бұрын
Hongera kaka uko vizur
@kelvinkibenje4 ай бұрын
Asante sana
@dicksonsadicksadick2 ай бұрын
Kaka vp sas kuhus kazi za vipaji kwa mfano kunyoa
@robertmgori81655 ай бұрын
thanks brother
@kelvinkibenje4 ай бұрын
Thanks too
@DeboraDabana20 күн бұрын
Nimependa biashara ya dagaa nijinsi gani nitapata auconection nawafanya biashara wengine
@user-sp5vh1vb2z5 ай бұрын
Me nmependa biashara ya nguo za ndan lakin hap nna 10,000
@kelvinkibenje5 ай бұрын
Jitahidi angalau Mtaji kuanzia 50,000
@irenefredius76224 ай бұрын
Machimbo yake Sasa tuambiwe jmn
@ElyNdaro3 ай бұрын
Hebu fafanua zaidi kuhusu biashara ya viatu
@LeaMkumbwa-gx4zf3 ай бұрын
Nimeipenda biashara ya nguo zawatoto nijue mtaji wake
@sunwizy6082 ай бұрын
mm nauza mitumba kaka ata laki unaanza na unapata faida kubwa kikubwa kujituma na kueshim wateja bs
@user-cz7xw9oc4z5 ай бұрын
Chimbo la dagaa wapi kak
@kelvinkibenje4 ай бұрын
Ukipata watu wa Mwanza itakua vizuri sana
@LeaMkumbwa-gx4zf3 ай бұрын
Mitumba
@user-zh2xc1lz2t6 ай бұрын
Kaka nakufatiliaa sanaa MUNGU anisaidiee nfanikiwee kupitiaa ww
@kelvinkibenje6 ай бұрын
Amina
@lucymaganga-bf1qq3 ай бұрын
Nimeenda biashara ya urembo Kwa akina dada inaweza nisaidie kuifafanua
Biashara ya nguo za ndani mwalimu natamani nifanye
@kelvinkibenje6 ай бұрын
Hii ni biashara nzuri mno
@ElyNdaro3 ай бұрын
Ebu
@thobiasbukali90086 ай бұрын
Kuongea ni rahisi sana, hiyo ya kupiga picha aliwahi jaribu wife, tena alipata wateja kibao. Lkn baada ya mzigo kufika mpaka leo bado nguo zipo wakitafutwa sababu kibao. Miezi 2 sasa.
@kelvinkibenje6 ай бұрын
Asikate tamaa apambane. Biashara inaweza kuwa ngumu mwanzoni lakini milango ikifunguka ni kutengeneza pesa. Tatizo wengi wanaishi njiani au kupoteza nguvu kabaka hawajajenga jina
@sakinamyao82846 ай бұрын
Alitakiwa akusanye pesa zao kwanza. Hayo ni matatizo ya wateja wanaoagiza bila kutoa pesa mwisho wa siku unaingia hasara
@user-ds3tz8io8n5 ай бұрын
Chiffu naanzaje hiyo ya kuagiza china na kwingineko
@saphinielnathaniel42735 ай бұрын
Naomba sehem ya kupata vifungashio vya matunda
@lilykingo6095 ай бұрын
Kama upo dar..vifungashio aina zote nenda mtaa wa tandamti
@rukiasaid91302 ай бұрын
kariakoo@paulomollel118
@zuwenaalmasi98356 ай бұрын
Naomba namba yako boss au niunge kwenye gruop lako whatsup
@kelvinkibenje6 ай бұрын
Www.instagram.com/kelvinkibenje
@dicksonsadicksadick2 ай бұрын
Boss niunge what's sapphire kwa maswali zaid
@valeriapeter68126 ай бұрын
Kaka naisaidie chimbo la hereni kwa bei ya jumla.
@sabihasalim-xz3vt5 ай бұрын
tatoo bussiness centre
@EvalyAnthony-ci4tc4 ай бұрын
Kaka kwenye nguo zandani hapo nataka nijue zaidi mtaji wakuanzia nahata machimbo yake kwenye bei nafuu
@kelvinkibenje4 ай бұрын
Mtaji kuanzia laki moja
@aliciamwalimu582Ай бұрын
Unaelezea vzr lkn as a teacher ukiulizwa maswali jaribu kuelezea vzr uko too short
@kimlulu27696 ай бұрын
Biashara ya kuuza chakula Cha mifugo na kilimo na dawa zake je ni nzuri?
@kelvinkibenje6 ай бұрын
Ni nzuri mno hii
@TusekileMwaswapu2 ай бұрын
Chimbo la nguo za ndani kaka
@user-to2kc8ph8t5 ай бұрын
Nimependa biashara ya vinywaji sorry unaweza nifafanulia
@lexalzsoko516321 күн бұрын
Biashara ya Uwakala ya Tigopesa mpesa nk vp inafaa kwa wenye mtaji kuanzia Million?
@HumphreyAloyce-on1vl16 күн бұрын
Nauza laini za uwakala ukitaka nicheki
@aimanmuhammed5486Ай бұрын
Nipo zenji ntapata wapi connection ya balo za nguo za watoto?
@othmanSuleiman999 сағат бұрын
Utapata dar dada sehemu zipo
@user-yk8ct8ev9l6 ай бұрын
Mkumbuke mwanzo mgumu ye anatoa mawazo tu.
@kelvinkibenje6 ай бұрын
Ndiooo. Mwanzo mgumu lakini inawezekana. Bora upate mwanzo mgumu lakini upate matokeo
Samahani naomba nisaidie chimbo la rasta na namba zao😒😒
@kelvinkibenje6 ай бұрын
Instagram kule
@MaryAlly-fv5vl6 ай бұрын
Rasta sikuona 😒😒ila la chupi ndo nlipata😊😊
@gracejackson4114 ай бұрын
Mary naomba no yako me mwenyewe nahitaji iyo biashara ya chip na rasta au nielekezi 🙏
@veronicambilinyi38543 ай бұрын
Biashara nzuri Kwa wafanyakazi was serikali ni zip?
@zuwenaMalesa6 ай бұрын
Ya Nirahi matendo sasa Mpk usimame sio Leo hakuna biashara rahis
@kelvinkibenje6 ай бұрын
Ukiamini hivyo hutafanya kitu. Wewe amini inawezekana na weka nguvu. Kama wengine wanafanya na wanafanikiwa na wewe unaweza
@user-lk1ye4yr4y3 ай бұрын
Chimbo lavyombo vya mitumba lipo wapkwa anaejua
@dicksonsadicksadick2 ай бұрын
Lipo sokon
@husnasadath-df6uk2 ай бұрын
Biashara za mitumba
@sunwizy6082 ай бұрын
napenda tujadili na ww husna mm iyo ndio kitu naipenda sana na akiliyangu ipo uko
@RehemaAthumani-lf9ov3 ай бұрын
Nimependa biashara ya mashuka kaka lakini siijui nitayapata wapi
@lovenessmichael70983 ай бұрын
Shuka zipi nikupe mchongo
@arafakotta89373 ай бұрын
Mapya@@lovenessmichael7098
@StephaniaDickson27 күн бұрын
@@lovenessmichael7098 mambo maomba mchongo was mashuka ya Uganda na Thailand
@Leeeeeeee-964 ай бұрын
mi nataka ushauli napata
@kelvinkibenje4 ай бұрын
Karibu
@azizafataki67306 ай бұрын
Nimependa biashara ya nguo za watoto mtumba tupe machimbo
@user-il3yo9ec6e6 ай бұрын
I like biashara ya dagaa inalipa mno
@user-il3yo9ec6e6 ай бұрын
I like biashara ya dagaa inalipa mno
@georgejohn4155 ай бұрын
Ushauri ni mzuri lakini kunamahari sio sawa, Wewe mhauli wa biashara kama mkeo anafanya biashara ya mgahawa ana vibari vyote kisha unaona mtu asiye na kiburi ya aina yoyote yupo maofisini anasapray huduma ulizonazo unajiskiaje. Unapokuwa unaelimisha usiwakumbushe wanafunzi kuwa kuna mamlaka wanatakiwa kujisajili tukumbuke kuwa ndio maana waliopo kwenye cctim wanahujumiwa na hao ambao panyaroodi.