MBOSSO amjibu ALIYEMSHUTUMU kuchukua $4k TORONTO na kutotokea 'Simjui, namuonea huruma ameibiwa'

  Рет қаралды 26,279

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

16 күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 95
@gagedamoursarusaru8079
@gagedamoursarusaru8079 14 күн бұрын
Hapa Canada utapeli kwenye show iko mingi mno!
@paulhema5713
@paulhema5713 15 күн бұрын
Mbossso anaongea ukwel ...nothing hidden there....sijui nimepatia icho kiswainglish😂😂😂.....uyo jamaa anaonekana amekurupuka
@pendo8082
@pendo8082 15 күн бұрын
Elly hajui lolote 😂😂
@hashimuuhehwa4252
@hashimuuhehwa4252 14 күн бұрын
Hapa mnashindwaje kumuelewa Elly mbona hoja yake inaeleweka kabisa!
@hashimuuhehwa4252
@hashimuuhehwa4252 14 күн бұрын
​@@pendo8082 Acha uongo Elly kaeleweka vizuri sanaa, labda nikuulize umeelewa nini
@Official83640
@Official83640 14 күн бұрын
​@@hashimuuhehwa4252Pck kapokea pesa nakuwapeleka pale kina Mbosso ili watu wajue km wataparfom lkn kumbe Pck hakuwaambia kina Mbosso km kala hela sijui mmeelewa ugomvi wao maana km hawaendi kuparfom hapo kwenye show walifata nn jamaa tapeli yule sasa wote wamekutana matapeli watupu hapo
@pendo8082
@pendo8082 14 күн бұрын
@@hashimuuhehwa4252 kwani akiishi Toronto ndio anajua kila kitu
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 14 күн бұрын
Sky; Festival haikua ya Alikiba. Kila mwaka Toronto kuna Festival kubwa sana ya Waafrika wote inaitwa AFRO-FEST na wasanii mbalimbali toka Afrika wanakwenda kutumbuiza BURE. Watu wanaenda kwenye hivyo viwanja BURE, hakuna malipo wala gates za kuingilia. Hivyo ule mkusanyiko sio wa Alikiba. Kulikuwepo na wasanii tola Afrika zaidi ya 10.
@AbdulGermany210
@AbdulGermany210 15 күн бұрын
Inavyoonekana Pck kampiga huyo jamaa na wasanii hawajui chochote,ndio maana mziki wa east Africa hauendi kimataifa,
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 14 күн бұрын
Sky; Festival haikua ya Alikiba. Kila mwaka Toronto kuna Festival kubwa sana ya Waafrika wite inaitwa AFRO-FEST na wasanii mbalimbali toka Afrika wabakwebda kutumbuiza BURE. Watu wanaenda kwenye hivyo viwanja BURE, hakuna malipo wala gates za kuingilia. Hivyo ule mkusanyiko sio wa Alikiba. Kulikuwepo na wasanii tola Afrika zaidi ya 10.
@imanimhagama4647
@imanimhagama4647 7 күн бұрын
Pck ni noma alimtapeli wema sepetu penz na pesa juu itakuwa huyo elly tena ashukuru hata hajagongewa yai
@latifahali8228
@latifahali8228 15 күн бұрын
Kwanza Huyu mtu limbukeni tuko Uko lkn hajastarabika Ety awe mtu mkubwaaaaa
@karirekinyana9759
@karirekinyana9759 14 күн бұрын
Mbosso mukweli sana nampenda yulekaka jamani kalibu Danmark ❤❤❤❤❤
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 14 күн бұрын
Mungu kalipa maana ht ww ni tapeli ulitapeli watu kuwapeleka canada wakatuma pesa zao mwisho wa ck hakuna safar mpk leo malipo ni hap dunian
@Zenny89
@Zenny89 15 күн бұрын
Hiko kijamaa ninapenda penda kujulikana sana.. Na hakuna mtu anaweza kuzuia mtu mwingine kutofanya show Nchi yeyote
@esthermakelemo2864
@esthermakelemo2864 14 күн бұрын
Huyu Eli,anaonekana hayuko sawa anamakasiriko ,hayuko sawa hata kwakumuangalia sura,tumsamehe Bure,maisha magumu yanamsumbua,Watanzania wazarendo tumsamehe bure
@sadikilumumba1370
@sadikilumumba1370 15 күн бұрын
Tusi wahamini sana wa sanii wetu wa tanzania 🇹🇿. Wana tu danganya sana 😂😂😂😂😂😂
@homeandaway2811
@homeandaway2811 15 күн бұрын
Elly unaongea sana , umechanganyikiwa na life ya ughaibuni wewe, tuliza mshono.
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 15 күн бұрын
Umesema kweli jamaa anapayuka
@davidshaban7375
@davidshaban7375 14 күн бұрын
@@ndukulusudikucho_Aisee!! yule jamaaa nilishamblock like each and everywhere 😊
@homeandaway2811
@homeandaway2811 14 күн бұрын
​​@@ndukulusudikucho_yani mwanaume amekaa kama mtu wa mipasho 😂 anadhani atachafua majina ya hawa wasanii
@pendonoor8869
@pendonoor8869 15 күн бұрын
Ok. Nakwelewa lakini mbona ukatumia lugha mbaya kumjibu? Si ungesema hivi tu...pole jamani mwenzangu MuTZ!
@LeonardmpembaMsemakweli-q8s
@LeonardmpembaMsemakweli-q8s 15 күн бұрын
AFU UYO JAMAA MBONA ANAONEKANA NICHOKO UYO JAMAA WA KANADA
@mylasadick5189
@mylasadick5189 15 күн бұрын
Muha ya uyo
@pendo8082
@pendo8082 15 күн бұрын
Haeleweki😂😂
@Khalidwandhera
@Khalidwandhera 15 күн бұрын
Unaona mbari jamaa ni kipusa
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 15 күн бұрын
Haaaaaa elly kaingizwa cha kike aise pole sana kijana wangu
@shuwehaharuna6309
@shuwehaharuna6309 14 күн бұрын
Wamekutia hasara na wamekutukana Una kipara😂
@kizdady2544
@kizdady2544 14 күн бұрын
😂😂😂
@strong8534
@strong8534 15 күн бұрын
Sky, u dont sleep😮😮😮😮
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 14 күн бұрын
Sky; Festival haikua ya Alikiba. Kila mwaka Toronto kuna Festival kubwa sana ya Waafrika wote inaitwa AFRO-FEST na wasanii mbalimbali toka Afrika wanakwenda kutumbuiza BURE. Watu wanaenda kwenye hivyo viwanja BURE, hakuna malipo wala gates za kuingilia. Hivyo ule mkusanyiko sio wa Alikiba. Kulikuwepo na wasanii tola Afrika zaidi ya 10.
@jumamuhamed8636
@jumamuhamed8636 15 күн бұрын
Tapel katapeliwa anapiga kelele tuliza futa ilo boya ww Elly jambazi
@antonimwamahonje
@antonimwamahonje 15 күн бұрын
Who going to bring back your money? Who told you to invest for the artist you didn't have any agreement with them
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 14 күн бұрын
We andika kiswahili basi English gani chafu hiyo
@isunga1964
@isunga1964 14 күн бұрын
Kama yupo Toronto basi wamekula pesa kweli wamlipe pesa kaka wa watu 😢😢😢
@imanimhagama4647
@imanimhagama4647 7 күн бұрын
We matako kweli sasa kwan kuwa huko ndio lazima aperform hata kama hajalipwa au hujasikiliza vizuri maelezo pande zote mbili
@MS.independent8934
@MS.independent8934 15 күн бұрын
Ww jamaa ungelikuwa na akili timamu kama mwanaume haswa nasio shoga Kwa myaka yote upo Toronto ugaibunu uko ungelikuwa umesha funguwa hata viwanda 20 I chini ukaonekana mtu wa maana ila kwasababu utaandikwa kwenye kitabu Cha uzima Cha club apo sawa zuzu weee nenda kashtaki mahakamani kama unataka ulipwe Hela zako😂😂😂
@t.y.g.a_
@t.y.g.a_ 13 күн бұрын
Private Jet ee😅..hangaika ivo ivo😂🙌🏻
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 15 күн бұрын
Jamaa kichomi saaana na alazimisha umaarufu saana, mdomo wake ndio mchawi wake
@kingbyaro6016
@kingbyaro6016 13 күн бұрын
Wewe uwe Toronto usumbufu wenu tuta kupoteza huku Acha maneno dodo 😊
@t.y.g.a_
@t.y.g.a_ 13 күн бұрын
Ko nd umenuna kuambiwa una kipara ama😂😅🙌🏻
@user-fx2fn2qs3t
@user-fx2fn2qs3t 14 күн бұрын
Huyu jamaa anaongea ukweli sio kwamba anamuchafua nyie Tanzania munajua nikuchafua jina jamaa kaingiza pesa
@othinielkamyola3697
@othinielkamyola3697 14 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 14 күн бұрын
Mboso kajieleza vizuri sana. Eti $4,000 .... Business class ticket yake ni zaidi ya US$5,000😂
@mdachiog5211
@mdachiog5211 15 күн бұрын
😂😂anaijua wasafi
@ngoyaboy1590
@ngoyaboy1590 12 күн бұрын
Sema hiyoo ya kipara imemuuma sanaa😂😂😂
@johnmwandu2116
@johnmwandu2116 14 күн бұрын
Kwan Dollar 4000 si ni sawa na milion 10, sasa appearance tu unaikataa milion 10😂😂😂, daah sasa mimi hapa duniani nafanya nin
@menlandmutashobya8377
@menlandmutashobya8377 9 күн бұрын
Dollar 4000, Kuna expenses zake, Kuna percentage ya kampunj,na Kuna asilimia yake,atabaki na ngapi
@Legends_Interviews
@Legends_Interviews 15 күн бұрын
Waambie ukweli
@jacksonmsendo3478
@jacksonmsendo3478 15 күн бұрын
Itakuwa promota kamzunguka uyo elly
@mudiskaina2342
@mudiskaina2342 15 күн бұрын
yani kama utamtizama kwa makini huyu jamaa utamjua huyu ni mlevi
@yama_virginhairthequeen1065
@yama_virginhairthequeen1065 14 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 Tulia ww ushapigwa watu washaelekeaaaa😂😂😂😂
@mudiskaina2342
@mudiskaina2342 15 күн бұрын
HUYU JAMAAA NI MLEVI HAJUI ATA ANAONGEA NIN
@linnerphilip4260
@linnerphilip4260 14 күн бұрын
Hatuwez kuamn hadi hao mapromoter waseme jambo kukutetea .... Ila wakikaa kimya ... Kitakuramba😂😂😂😂
@mkulimatanzania
@mkulimatanzania 14 күн бұрын
Elly ni shoga alishajeuzwa na wazungu muda simrefu ataikana nchi yake. Njaa imemponza kaacha maisha bongo kaenda fanywa mke daah
@davidshaban7375
@davidshaban7375 14 күн бұрын
dahh yule jamaa simuelewagii kabisaa
@elijahbaraka9470
@elijahbaraka9470 14 күн бұрын
Uyo elly anajiita professor afukaingizwa mjini . Tangu sikugani professor akawa promotor? 😂😂
@HansChuma
@HansChuma 15 күн бұрын
😂😂😂😂😂 home boy mm nipo pamoja naww wasanii wakibongo mieyusho
@jimmyhabarugira4232
@jimmyhabarugira4232 15 күн бұрын
@HansChuma. Kabla ya kumuunga mkono na kuanza kulaumu ebu fikiriya vipi utatowa hela yako bila kuongeya na muhusika? Thinking before to blame
@alisalum2023
@alisalum2023 13 күн бұрын
Elly yeye ndio tapeli nayeye katapeliwa yeye msimuamin tapeli sna sna
@itNeza
@itNeza 15 күн бұрын
Kijana Kaliwa pesa ndo Upara Utazidi Kuwa Mpana kichwa Kizima. 😂😎
@richkaja3317
@richkaja3317 14 күн бұрын
Mbosso kama kweli kafanyeni show mmalize tofauti zenu
@MasterVoltron-f9w
@MasterVoltron-f9w 14 күн бұрын
😂😂😂😂jamaa kapigwa 😂😂😂😂 Na ujanja wooote wakuishi Canada kumbe limeibiwa😂😂😂😂
@hamisisalim8076
@hamisisalim8076 14 күн бұрын
Sababu ya mbosso kuambiwa apitie Toronto ni kwasababu huyo promoter wake alikua amekula hela ya huyo dogo
@noellahgervas90
@noellahgervas90 14 күн бұрын
Shisha inanywewa cku hz na hamsemi???😂😂😂
@omarzinga7046
@omarzinga7046 14 күн бұрын
Huyu tapeli😂😂😂
@SadaDamas-jh2gt
@SadaDamas-jh2gt 15 күн бұрын
PCK ndio mchawi wa kila kitu hapo ndio maana mboso alipouliza hakufunguka
@imanimhagama4647
@imanimhagama4647 7 күн бұрын
Wamuulize wema sepetu pck alimtapelu wema penzi na pesa juu
@sonnyr1899
@sonnyr1899 15 күн бұрын
😂
@dullahabdallah-nu1py
@dullahabdallah-nu1py 14 күн бұрын
Mapromota ndio wametapeliana,wasani hawana makosa
@user-ib7kn6fs4x
@user-ib7kn6fs4x 14 күн бұрын
Huyo jamaa asikuumisheni kichwa kwa nxa hana uwexo wakupromo mtu hasa wasanii kama mbo uyo jamaa ni porojo tu na kama hamuamini mfuatiliyeni tik tok porojo tu huyo
@HassanMussa-vk3tj
@HassanMussa-vk3tj 14 күн бұрын
Mbosso unajua jimsogani uyujamaa alivoibiwa wewe umo
@masoudmasoud8138
@masoudmasoud8138 10 күн бұрын
kwahiyo huyo jamaa mwwndawazimu ?? REJESHA HELA ZAWATU WEE KENGEEE
@imanimhagama4647
@imanimhagama4647 7 күн бұрын
Matako ww acha makasiriko shoga ww
@jeanpierrekwizera6400
@jeanpierrekwizera6400 14 күн бұрын
Huyo jamaa anatafuta kiki tu , aache kuchafua majina ya watu
@pendo8082
@pendo8082 15 күн бұрын
Elly atulie hajui lolote😂😂😂😂😂
@djafro8729
@djafro8729 15 күн бұрын
Mboso alifanya vibaya kutusi vifara . Mimi kipara nilihisi mbaya sana
@cocotz1892
@cocotz1892 15 күн бұрын
😂😂😂😂 zamanı mlikuw mnauwa huko Shinyanga 😅pole sana
@aftapat5365
@aftapat5365 14 күн бұрын
😂😂 pole kaka
@chrisjack4278
@chrisjack4278 14 күн бұрын
If you know and you know exactly your home is Africa. Please stop scamming people who live in Europe. The technology here in Europe is on next level. I really hope that mbossa is not involved if he is involved. It will end up sadly not just in medias. But in life time for sure
@omarzinga7046
@omarzinga7046 14 күн бұрын
Onyosha mikataba
@Bama959
@Bama959 13 күн бұрын
Wasanii wa tz sio wa kweli kabisa
@imanimhagama4647
@imanimhagama4647 7 күн бұрын
Ufala unakusumbua unaonekana limbukeni ukiona mtu anaishi ughaibuni unaona ndio wamaana ndio mnakuaga mashoga nyie kisa kujifanya mnaakili za kimamtoni
@Bama959
@Bama959 7 күн бұрын
@@imanimhagama4647 hakuna mnachokijua zaidi ya uongo tu na maneno mengi pasipo kufikiria. Wewe kama haujawai kushuudia vituko vya wasani wa tz kila mara wakiwa na show nje ya Africa unatakiwa kuuliza ili uambiwe na wala usiwe kama kijifala fulani ambacho hakijielewi. Mpumbavu wewe. Tena shoga mkubwa sana wewe na ndio maana mziki wenu ni wa matusi wa na umbea tu.
@awaynaaaa3490
@awaynaaaa3490 15 күн бұрын
Kaumiy alipoambiw anakipara khaaa
@MajutoElliasi
@MajutoElliasi 15 күн бұрын
Muombe msamaha shabiki wewe usijifanye mwerewa
@ndikumasabodiegovevo9091
@ndikumasabodiegovevo9091 15 күн бұрын
Ely kila siku anajifanya mjanja kakutana nawajanja wenzie kama pck
@imanimhagama4647
@imanimhagama4647 7 күн бұрын
Amuulize wema sepetu😂😂😂
Cool Items! New Gadgets, Smart Appliances 🌟 By 123 GO! House
00:18
123 GO! HOUSE
Рет қаралды 17 МЛН
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
Aslay Featuring Gabby Flavour - USHENZI (Official Audio)
2:45
LUXURY MUSIC DSM
Рет қаралды 47 М.
MWAMBIE HIVI BOSS WAKO
9:45
Steve Mweusi
Рет қаралды 359 М.
Bike trick and Bro's aura...
0:11
Banza Edits
Рет қаралды 1,5 МЛН
Гайцы чуть не устроили ДТП #автохам #shorts
0:18