Vijana wenzangu tutafute hela. Tusali sana. Tujipambanie sisi na familia zetu. Harmonize.kiba.diamond.mario sjui simba na yanga wasitufanye tukeshe mtandaoni tujikumbuke. Nakaribisha matusi pia
@JosephDamasimushy18 күн бұрын
Kumamayo bax
@SaidiMkome-qq7hy18 күн бұрын
Wewe mwenyewe unashinda mtandaoni umeonaje🙌🙌🏃🏃🏃
@michaelgeorge143118 күн бұрын
Na wewe ni Kuma unatombwa@@JosephDamasimushy
@michaelgeorge143118 күн бұрын
@@SaidiMkome-qq7hywewe ni mpumbavu
@RutaRubedi18 күн бұрын
Ni kweli, anaye kutukana ipo siku atatamani akutafte akuombe msamaha ila hatakuona
@EnockLubengo-uu3zi16 күн бұрын
congratulations from Zambia 🙌😍👏
@isackpatrick374314 күн бұрын
Sijawahi aisee kuona interview mbaya ya harmonize kama hii
@brightmboya59617 күн бұрын
Iko poa sana one konde boy congratulations
@reusmwampamba18 күн бұрын
Ujumbe umewafikia No matter what
@VunjabeiVunjabei18 күн бұрын
Vijana na wazee natoa ml 200 Kwa mwaka acheni kubeti piga namba hii nikusapoti
@masumbukomoussa97717 күн бұрын
Hhhhhh namba ipi sasa
@RomeoGago18 күн бұрын
Big up bro Kila la kheri kwako konde
@nassercurtis957917 күн бұрын
Dah! Asee eti Mwenuezi Mungu amefanikisha😭 kweli jamani? Hapana hii haikai sawa, tusipende kumshirikisha Mungu kwa mambo ya anasa tena hasa kamari ni mchezo wa laana kupitiliza si poa kumshirikisha Mungu.
@mwankunjatyson17 күн бұрын
Umenena vyema🤝
@AdolfPardon17 күн бұрын
We fala kweli kwahyo asemejeee
@josephlorri43117 күн бұрын
Acheni kamari...tufanye kazi.. Dini zote zinakataza kamari
@hadija84616 күн бұрын
JESHII NIPO PAMOJA NAWE WAKATI KWOTE 💐💕💕💕💕💕KONDE DAMDAM💗
@Kibudu18 күн бұрын
Unamtaja Mungu kwenye kufungua kampuni y kamali, innalillah
@kennethbenjamin27518 күн бұрын
Uwekezaji wa kibongo bana Betting sjui mamiziki
@AleiHadji-js3ed18 күн бұрын
Mtihani kweli kweli😢😢😢😢😢😢😢dahhhhhhh
@user-le6jm2tf5y17 күн бұрын
Mungu unamjua ww au unatafuta jina Kuma ww
@AllyBabu-kr6lg14 күн бұрын
Ayo konde ndo abari ya mjini hii imeenda❤❤❤
@TellaaxisTz17 күн бұрын
Hahahah mimi sina la kusema apo😂 #tellaaxistz
@hisanmwakijungu1018 күн бұрын
Siasa
@madisonjonathan411218 күн бұрын
Mi nmefrah tu alipoongelea ugomvi wake na baba levo kaongea Kwa busara sana
@alexmbigi487817 күн бұрын
Safi ila betingi dah😢 ime nifilisi sana sina ata hamu nayo uki iendekeza sana una kufu masiki 😅😂😅
@vladimirputn180917 күн бұрын
🙄🤔achaaatu
@Nasir-zc1mz17 күн бұрын
😂😂😂😂😂anatangaza biashara vzr harmonize dadeki
@karimjuma401917 күн бұрын
Mtangazaji unaongea sana
@HalimaKassim-yz3we18 күн бұрын
Jeshii yaoo yaoooh
@omarymnuru874617 күн бұрын
Umejenga hoja vizuri lakini haujaonesha aliyecheza na kushindwa ananufaika vipi... angalau ungesema asilimia 10 ya pesa yake atapata...kwa mfano 1000 umeshindwa..unapata shs 100
@nunuuali531617 күн бұрын
Rajab we ndo wangu
@eggysulle798817 күн бұрын
🔥🔥🔥👌👌
@singidaprincetz188315 күн бұрын
Daaah jmn tutafute pesa mno tuje tusaidie familia zetu jomn
@allysudi442915 күн бұрын
Kwani hamna michongo mingine ya kuongeza production nchini na kutoa deal kwa mashabik zaid ya kamari yan kila sehemu bet kamari tu ela zenyewe ziko wapi mitaa ina njaa kufulu...??
@Tiondo4 күн бұрын
Huyu hana jipya? Kila kitu lazima am-copy yule mwenzake?
@fabianmainchanyangachika501717 күн бұрын
Badala mjenge mashule kukomboa family za kimasikini mnaanzisha michezo ya Kamali kufirisi watoto wa kimasikini
@carrasco41617 күн бұрын
Hawa watu hawakuji na kitu kipya. Diamond kafungua radio kila mtu sasa anafungua media, kaweka betting sasa watu wakimbia huko.
@richkaja331716 күн бұрын
Konde achana na kamali fanya mziki unapitia njia za baba ako mondi pita jia zako
@titoamani-e8b18 күн бұрын
Harmonize alichokifanya casino ndo kile kile alijaribu kufanya kwa Diamond State House...Kuiba Nyota za Wasanii...Majini amebuma😅😅😅😅😅😅
@user-mi7yx8ew1k17 күн бұрын
Tupe kithibitosho sasa baba levo ana nyota gan mpk iibwe na harmonize😮😮😮
@jumahamadkali468317 күн бұрын
Media kubwa ila inasema uongo
@kaaakwakutuliaa517917 күн бұрын
huyu jamaa bado hajielewi intervie yako unaanza kuongelea stori za baba levo hujauliza
@sadikidaudi46017 күн бұрын
Umamsapoti maskini au unazidi kumkandamiza?😅
@eliashibundabalinze275417 күн бұрын
Allah wa waislam amemsaidia kijana kufungua kamali ili watu waendelee kubeti na kukesha kwenye kasino badala ya kukesha misikitini
@josephlorri43117 күн бұрын
Wamechakachua dini ili kuhalalisha maovu.. wengine wamekusanya watoto wadogo kwenye concentration camp kuwafundisha ugaidi
@AhmedMohamed-mw3ev18 күн бұрын
Kamari ni haramu kwa sisi waislamu Allah akujalie uwache mziki na kila linalomchukiza Allah rudi kwa Allah Allah atujalie mwisho mwema na atujalie njanna
@awadhally105218 күн бұрын
Kwel kabisaa
@yama_virginhairthequeen106518 күн бұрын
Upo na akili nyingine au ni hii tu 😢 dini zimeletwa ilamnavyozishobokea😂😂 ww kazana tu ukkdhani Kuna peponi😮 ndio maana hatuendelea Africa kwa akili km zihi😂😂😂
@salimhassan336918 күн бұрын
@@yama_virginhairthequeen1065 Mungu akusamehe sio makosa yko
@AhmedMohamed-mw3ev18 күн бұрын
@@yama_virginhairthequeen1065 sawa haina shida kama ni hivyo tatizo pumzi zina tuhada zitakapo chukuliwa hapo ndo tutajuwa ukweli kama ni shobo au laa
@ManirakizaOmar17 күн бұрын
❤Amin
@user-le6jm2tf5y17 күн бұрын
Ukipata fulsa ww piga hela tu mambo mengitu tutakutana nayo mbele kwa mbele tukifa potelea mbali
@JophlayVicent18 күн бұрын
Sio watoto yatima
@omarymbalala622417 күн бұрын
Unampangia tena mtu na Hela zake
@ashuramuhammed325717 күн бұрын
Mmbwa wewe unatuletea kamar fk
@allyhamisi639417 күн бұрын
KAMALI😢
@brunomelody117417 күн бұрын
Unataka kusapoti maskini kwa kuchukua bukubuku zaooo daaah wazee betting ni mbaya 😢