#BigUp sana, Mh. Fredrick Bundala, aka#SkyWalker @skytanzania. Namkubali sana huyo mwehu (Leonardo), pamoja nawe, naye ameshajiunga miongoni mwa watch ninaotamani kukutana nao maishani mwangu.🙏 Mungu afanye wepesi, amen.
@HAMSTERCOMBATCYPHERDECODINGDAI2 ай бұрын
Napenda sana matangazo ya Leonardo, very clever!! Hayaboi kutazama
@mcgb57252 ай бұрын
HESABU ziko nne Sky -,+,× na ÷ Haya Mengine ndio chanzo cha F. Kazi nzuri Sky #SNS FOREVER
@HAMSTERCOMBATCYPHERDECODINGDAI2 ай бұрын
Hahaha
@MartinaMsimbe-qk8ug2 ай бұрын
❤ nimependa kipindi .mimi shabiki wa Leonard
@JastoLeleJnr2 ай бұрын
interview imenyooka....jamaa yuko smart sana upstairs 🔥🔥🔥🔥
@ReyzDon2 ай бұрын
Ambao hatukupata F ya math tugonge like
@PendoPeter-rr4jk2 ай бұрын
🤣wote hao hamkupata f
@Frakisports2 ай бұрын
Asante Kwa mahojiano mazuri na video nzuri zinaOnekana kwenye TV hapo nyuma
@esterkimath12142 ай бұрын
Weee huyu kaka ni kichwa elimu ya biashara kwa watoto na jinsi ya kutumia pesa Tanzania tutakuwa na mabillionea wengi mmno🥰🥰
@KingoFarm12 ай бұрын
D mbili o' leval inamtoa mwanafunzi kwenye zero
@eddiemohamed9003Ай бұрын
BIG UP🔥🔥🔥💯👑👑💪👊
@sumayaishengoma45432 ай бұрын
Duhh vipaji kama vyote 👏👏👏👏👏
@hustlersmart79172 ай бұрын
Daaah from zero to hero keep pushing Skywalker ❤❤
@edwardleonard57932 ай бұрын
Bonge la interview. Sky na mgeni wako wote mmetutendea haki watazamaji . Kazi nzuri sana
@kasangagregory57472 ай бұрын
video iko very clear hd wako poa sana hongera sana leonary na sky kwa kipindi kizuri
@dunstunnchimbi79942 ай бұрын
Brother Sky huna tofauti na mimi kabisa kwenye hesabu. Mfanano wetu 1. Kuwahi kutoka kwenye chumba cha mtihani wa mwisho kidato cha nne. Mi nkaandika jina tu nkafanya nyepesi ili isionekane nmemdharau aliyetunga. Ikabidi nitumie dakika kumi tu nkaenda kusoma kiswahili. Maana ndo mtihani uliofuata. Falsafa Niliamini nikipata 10 ni F nkipata 0 ni F hakukuwa na haja ya kupoteza muda. 2. Kukuta herufi zimechanganyika na namba. Hiyo nlikuwa staki kabisa kuiona lakini ndo wanaita hisabati. Sijui ntamuambia nini mwanangu kumhamasisha apende hesabu hali ya kuwa baba ake alikuwa anapata Single digit 😂😂😂
@Gersah2 ай бұрын
Mix number na heruf😂😂😂
@derickdboy22072 ай бұрын
Noma Sana
@BabuGga-td3mg2 ай бұрын
Kazi nzuri, naona na ubora wa Studio unapanda viwango. #Sns
@AManCalledGodfreyАй бұрын
Eliasa , au tulikua tunamuita albedo, form six 2017 galaxy(galanos). Wagalatia wameelewa tyr.
@babel48622 ай бұрын
The quality is damn
@MohamediKishoma-ec1sj2 ай бұрын
nawakumbusha tu D ya advance inaanzia 50
@sultanrichardson54872 ай бұрын
😂😂😂 sahih, wakumbushe nadhan wanafikil labda ni 30 pia
@johbinm2b2182 ай бұрын
Hahahaha hawajui, 😂 D advance ni noma
@bakarimwanjano7302 ай бұрын
Kweli kbs mm msingi niliielewa sana hesabu, Sekondari walimu wakawa wananikatisha tamaa kwenye mitihani yao sikupata hada D ila mtihani wa mwisho nimepata D
@SaraphinaKidoti-qe7gi2 ай бұрын
Ila Leonard
@Sostere982 ай бұрын
Umenikumbusha teacher Elias alkua anakuja kufundisha pia shuleni kwetu Macechu
@emmanuelburetah45792 ай бұрын
Phy-D chem-D na pure math-F=Div-3 ya 15 hiyo ni failure, atleast DDE= Div-3 ya 13 huo ni ufaulu wa mwisho kwa adv kwenda uni
@atenionesmo_A102 ай бұрын
itakuwa ilikuwa bahat yake
@kefrenbasondole85992 ай бұрын
Weweeee form six ya 2017 ufaulu ulikua D mbili Na D anayoizungumzia ni 50-59 Alifaulu vizuri tu
@mwankunjatyson2 ай бұрын
Haku feli bhn hata tuliomaliza 2020 kwa D mbili na F tumehitimu degree
@anojozeeTV2 ай бұрын
Hajafel ana şifa za kuchukua degree sababu ya D 2 Mimi nilipata D E E na nikakosa şifa hio 🥺
@emmanuelburetah45792 ай бұрын
@@anojozeeTV kigezo Cha kujoin uni kwa tz 1. ni div-3 ya 13, 2. principal pass mbili kweny comb yaani D mbili, hivyo ukipat DEE una 13 lakini kigezo Cha pili ni principal pass hazijabalanc, minimum requirements kwa tz ni point 4, wewe hapo. Una point 3 kwa tz uni hazikupokei
@MohamediKishoma-ec1sj2 ай бұрын
nawakumbusha tu D ya advance inaanzia 50% mpaka 59%
@kevicristian27382 ай бұрын
Mbili D hawawezi kuelewa 😂
@SaraphinaKidoti-qe7gi2 ай бұрын
Sky nimependa studio yko
@AlbertKombe-u8b2 ай бұрын
Big up sky 🎉
@emtonboyofficial11342 ай бұрын
Leo kama jamaa hana mood ivi
@SuperkarimBenzema-o1h2 ай бұрын
Leo mbn mwil wko hauwendan na uvivu....by the way mm shabik yko from zenj
@AllyBabu-kr6lg2 ай бұрын
Leonardo ndie mrisi sahii wa clam vevo kwenye uchekeshaji anajua sana a.k.a kibumadeni🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Lastbornecadet2 ай бұрын
Lugha ya ushabiki iyo ,ila kihualisia clam hamfikii uyu jamaa kuchekesha
@AllyBabu-kr6lg2 ай бұрын
@@Lastbornecadet acha uchawa alafu kwenye uchekeshaji clam kashatoka uko
@GloryKihongosiАй бұрын
Yupo wapi sasa😂😂😂😂
@HajiHaji-v9f2 ай бұрын
Jamaa atafika mbal ana adabu
@YothamuMadinda2 ай бұрын
Naomba mnijuzee mnao fatilia GPS now Msemo upi una bamba D mbili Na Aaaah
@CharifaRachidi2 ай бұрын
Shenzii
@atenionesmo_A102 ай бұрын
@@CharifaRachidihata huu unatamba😅😅
@Excellent1Michael2 ай бұрын
Kwa ambao hawajafika advance, D inaanzia 50. (50-59) 😅 Wengi wanadhani ni kama D ya o level ile ya 20 😂😂. Sio mchezo kupata 50 ya physics, au maths advance
@empafricatv2 ай бұрын
Quality Ya Picha nikali SANA
@joh__shite832 ай бұрын
Makofi kwa eliyasa.....HESABU ALIKUWA ANAFUNDISHAA NAN AU TEACHER DOTTO😅😅😅😅
@AliMwingwa2 ай бұрын
We. Sky kama mimi nilichukua dakika kumi mtihani wa mase
@jaluumtanke2 ай бұрын
Sasa hapa Brother Fredrick Sky Walker ,nikueleweaje ,wewe ulihojiwa na Hares Kapiga kwenye chanel yako mwenyewe ukasema ulihitimu form 6 ndo ukarudi kutangaza Radio Victoria Musoma ,inakuaje Leo haujui vigezo vya ufalu huko Advance ? au ulikua unatudanganya mashabiki na Hares Kapiga aliekua ana kuhoji ?
@dahero1602 ай бұрын
Galanos sec gonga like zenu
@agnessnkandi52292 ай бұрын
Iv kumbe 2016 ni zamani ee!!
@salimmwabundu9582 ай бұрын
Kaka Sky Ur story ya kuktka exam room mapema n mm mtupu
@NyantoryMarwaАй бұрын
Nisaidieni maana ya d mbili
@richardmoses58912 ай бұрын
Tuna joint the doti D mbilii
@golebenson45972 ай бұрын
Nilichugundua waliofeli math wengi wao wanatala zakuwasaidia kwenye maisha
@shabanibussara84542 ай бұрын
Ringo
@shoshifataki58252 ай бұрын
❤❤❤❤
@feresianlugera-it8vh2 ай бұрын
Eti wakilala wanaota Kingereza 😂 Ila picha kali sana congratulation SNS🎉🎉
@AdernahNgasah2 ай бұрын
🎉
@allanyusto2 ай бұрын
Ndo uzuri wa kwenda skul
@kadito-kenya2 ай бұрын
Kwani (D) mbili maana yake si ni Dude Dufu ama😂
@humphreyfungo76692 ай бұрын
Dude dufu ndio nini na wewe?
@adolfmathew96982 ай бұрын
Mathematics sio somo ni Vita. sasa mimi sipendi vita.
@japhetlust50502 ай бұрын
😂😂😂
@dvjmiloow29552 ай бұрын
Dah! Etii camp lazo 😅
@SaraphinaKidoti-qe7gi2 ай бұрын
Aaah kudadek huyu jamaa km mzungu
@ipyanasimon95652 ай бұрын
Bila D mbili hauwezi elewa hapo wakizungumzia x na y
@seamlesshunt38692 ай бұрын
Sky bonge la company
@NiyongabiremelchiorDesir-wi6kc2 ай бұрын
Yani 😂😂😂huo leonardo bn anambo
@israeluronu99582 ай бұрын
Leonardo umeanza kanenepa broo😅😅
@elgringogringo52382 ай бұрын
Mi kazane D inamanisha diploma mbili😂😂
@HASSANBAKARI-q9c2 ай бұрын
mi nilikuwa wa 1 shule
@LoveAron2 ай бұрын
Muongo 😂😂😂
@francomwacha22622 ай бұрын
Kumbe kupata D Ya esabu nilifaulu😂
@devothasimbi64952 ай бұрын
Sio esabu ni hesabu
@GloryKihongosiАй бұрын
Kashafeli😂😂😂😂😂😂
@bahatiaamani93202 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂Tatanishi uchonganishi😂😂
@suleimanbalemba33482 ай бұрын
Kitu Algebra calculator
@paulsajik2 ай бұрын
Hawawez kuelewa kma, hawana, D2😅
@HAMSTERCOMBATCYPHERDECODINGDAI2 ай бұрын
Sio kila anayefail hajui, mara nyingine ni hawajatoa tu pale ambapo wewe unapajua
@manjosetembo2 ай бұрын
Kusoma galanosi si mchezo
@malkavoice25702 ай бұрын
D mbili ni four ya 33 fail
@BonifaceLukoo-gv9yuАй бұрын
We unaehoji unaongea san, mpe nafasi huyo tumsikie!