Endelea kuandamana wenzio wanalala kwenye kasiri sisi km ndege. Hii nchi kila mtu apambane na maisha yake Ila sio kupotezeana mda.
@suwedinamga58111 ай бұрын
Kama siasa ndo hii acha tufanye biashara huko kuna maisha sana
@barrynzeyimana627011 ай бұрын
Usidanganywe na wanasiasa kua maisha ni magumu. Pambana kivyako. Ukiambiwa kua kuna ugumu wa maisha ujue wamebanwa na mfumo sio kwamba Wana maisha kama yako
@philemonmagesa554811 ай бұрын
Ni kweli waambie hao wanaowatetea chadema
@ramadhanmahongole92939 ай бұрын
@@philemonmagesa5548na nyie mnao tetea ccm
@ramadhanmahongole92939 ай бұрын
Wambie hao wanao tetea ccm
@samwelmollel60211 ай бұрын
Hongera sana
@leonardmartine66211 ай бұрын
Mbowe kweli ananjaa
@michaelsamson966311 ай бұрын
Ukiwa mwanasiasa Tanzania Jua wewe utakuwa tajili mkubwa sana
@EmmanuelNyinyigwa11 ай бұрын
Oky kumbe mnasema tuchangie chama nyinyi mnaumuwa mijengo na kupga picha pamoja bila hata wogo mnaita na waandishi wa habari kuonyesha ruzuku zinavyo tumika
@aud54811 ай бұрын
😂😂😂Bro hao wenzio wamezaliwa kwenye pesa ..wewe endelea kupiga mayowe mtandaoni...unadhani hiyo ni ruzuku...mawazo ya kimaskini sana asee
@mohammadoman896311 ай бұрын
😂😂😂😂 mtakufa masikini na kujiunga na vyama chama pekee ni kumcha mungu basi vingine kausha damu
@mawazoaliselemani9 ай бұрын
Mbowe hajatengeneza hela kupitia Siasa lazima tujifunze kusema kweli,amezaliwa amezikuta pesa kwenye familia...japo si msapoti freeman mbowe kisiasa ila panapo ukweli hebu tujitahidi kuusema kuliko kuwapakaza watu matope
@ndukulusudikucho_9 ай бұрын
Sio kweli , Chama chao lini kimefanyiwa auditing???
@mawazoaliselemani9 ай бұрын
@@ndukulusudikucho_ .umeaminishwa auditing ndio inazuia wizi? Hivi ulishawahi walau kuuza duka ndio ujue auditing kuwa ni usanii tu wa kuhalalisha wizi,auditing ni usanii tu .Kuna taasisi nyingi zinafanyiwa auditing na Bado watu wanapiga humu humo kwenye jumlisha