MBOWE YAMSHINDA AMPINGA KABUDI MBELE YA HALAIKI ''HATUWEZI JADILI MAMBO YALE YALE KWA MIAKA 30''....

  Рет қаралды 77,949

JAMBO TV

JAMBO TV

Күн бұрын

Пікірлер: 211
@francissimwinga-gb2vd
@francissimwinga-gb2vd 5 ай бұрын
Mbowe mungu akupe neema ya maisha marefu inaongea maono makubwa kwenye taifa
@MurunguwetoshaDeheaven
@MurunguwetoshaDeheaven 5 ай бұрын
Great man,,,,,hapo kaongea MTU na nusu,,,,unaona MTU aliyejiandaa na anayejua,,,,,, Hope message sent and delivered,
@mohamedomari6129
@mohamedomari6129 5 ай бұрын
Umeongea vizuri mno. Sipendi siasa, siamini katika kiongozi mweusi sababu ya roho mbaya na ubinafsi uliopitika mpaka. Lakini umeongea kwa mpangilio mzuri na points hata Lipumba nimeona ameshika note book na pen ana note points.
@ndingolivin-qy6xk
@ndingolivin-qy6xk 5 ай бұрын
Baba mbowe Mungu akupe maisha marefu
@MussaSimeon
@MussaSimeon 5 ай бұрын
Mungu akubaliki sana
@sammykateregga6238
@sammykateregga6238 5 ай бұрын
Mhe Mbowe umegusia mambo muhimu sana ingawaje kwa kifupi lakini ndiyo moyo wa demokrasia na Maendeleo ya nchi yetu. Hongera sana. Kubadili jina la Tume ya uchaguzi bila kugusa composition yake ni ubatili. Daftari la wapiga kura ni muhimu. Mabadiriko ya katiba ilingane na marekebisho yaliyofanywa ni muhimu. Nimesikitika kumuona Mhe Kinana haoni na kuyabeza madai ya CDM kwamba si muhimu ingawaje body language yake ktk kikao Cha Juzi inaonesha kujua ukweli. Tunahitaji tujenge nchi hii kwa ajili ya vizazi vijavyo. Let us be serious and use the present period positively. Mungu fungua macho na mioyo yetu.
@rogersiddy
@rogersiddy 5 ай бұрын
Ndiomana maccm wanatamani leo kesho Mbowe aachie uwenyekiti Chadema ili wafanye yao waishushe Chadema kama walivyoishusha CUF lkn wasubiri kwanza ataachia tu mbona wao walitaka Raisi wa awamu flan awe wa milele wakae kwakutulia tu huyu bado yupo sana tu Mbowe Mungu akuongoze akulinde akubariki uhai mlefu na afya njema✌️👏👏
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi 5 ай бұрын
Hata yeye hataishi milele boss. Hata kama uwe mzuri kiasi gani, muda wako utaisha tu.
@rogersiddy
@rogersiddy 5 ай бұрын
@@TM.Sullusi Hakuna anaekataa hilo wote tunapita ila Mbowe atakuwa kioo kwa wengine kwa miaka hiyo atakayotumikia atakaekuja atakuwa mkakamavu asitishwe na kufungwa jera asitishwe na kupigwa adi kuumizwa miguu ajue uongozi hautofautiani na uongozi wa nyumbani kwake ataumia akiwa kazini atasemwa akiwa kazini atanyanyaswa akiwa kazini atafitinishwa ili kuonekana mbaya kazini lkn hatorudi nyuma akijua nyuma nina familia huku akimuona Mungu amvushe salama kwenye majaribu mbali lkn sio kuiuza familia yake au kuikimbia familia yake nadhani kama mwepesi kuelewa maana yangu kuu utakuwa umeielewa vyema kbs
@rogersiddy
@rogersiddy 5 ай бұрын
@@TM.Sullusi Nalijua hilo kbs hakuna atakae ishi milele sijakataa hilo kbs ila maana yangu kwa mapitio anayopitia Mbowe kuna cha kujifunza kwa watakaochukua kijiti chake cha uwenyekiti sio mtu wa tamaa ya hela wala uoga hatakiwi kwenye kiti cha uwenyekiti hapo Mbowe iwe shule kwa wale wanaotaka kuwania huko mbeleni nadhani umenielewa maana yangu sasa
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 5 ай бұрын
HONGERA SANA MBOWE
@DoctorRengeda
@DoctorRengeda 5 ай бұрын
Mr president,,, mbowe wewe ni mtu muhimu sana ktk taifa letu I sure one day utakamata kijiti Tz🇹🇿✌️✌️✌️
@dr_godfrey
@dr_godfrey 5 ай бұрын
Kiongozi wa viongozi Tanzania hongera sana mbowe wenye akili tunakuelewa lakini mazuzu yatakuelewa siku hauko na sisi tena tunakuombea Mungu akuweke
@bmdele5816
@bmdele5816 5 ай бұрын
Mbowe ni Legendary 🔥🔥🔥
@sonnyr1899
@sonnyr1899 5 ай бұрын
😂
@titusrobert5890
@titusrobert5890 5 ай бұрын
Mbowe mungu aendelee kukupa afya njema,mungu amekupa busara kubwa santa
@petroyohana1126
@petroyohana1126 5 ай бұрын
Mbowe you are my future president
@kombidin..2583
@kombidin..2583 5 ай бұрын
That idiot isn't a presidential material
@Jal210
@Jal210 5 ай бұрын
Mnaota Urais
@RutinikiGosbert
@RutinikiGosbert 5 ай бұрын
Ukweli na uhakika Freeman god bless you my future president 25
@amosjoseph7241
@amosjoseph7241 5 ай бұрын
Alafu kujadili na shetani Mambo ya ufalme WA mungu ni kupoteza muda. Ma CCM ni mashetani ya Taifa hili
@TomasiklistophaMwinuka
@TomasiklistophaMwinuka 5 ай бұрын
Mbowe mungu akulinde unalipigania taifa sana sanakwafaida yetu tusio jua haki zetu tunakuombea kwa mungu akulinde naakipe maisha marefu uwepo wako nifahari kwataifa letu wanyonge
@daniellyimo9547
@daniellyimo9547 5 ай бұрын
Ukweli mtupu..."cosmetic changes" badala ya kubadilisha composition ya tume unabadilisha jina la tume....!
@lukasmnyeti3016
@lukasmnyeti3016 5 ай бұрын
Ukiona mtu yuko ccm hata kama ni baba YAKO jua huyo mtu ni shetani alievaa sura ya binadamu wataenda kujibu Mbele za Mungu
@OmarJuma-og4kd
@OmarJuma-og4kd 5 ай бұрын
Hakika kabisa ulichoongea ni shetani tu wanaojali maslahi Yao
@simonmalegesi414
@simonmalegesi414 5 ай бұрын
Siyo kweli magufuri / polepole kina makonda/ mpina nawengine wengi wako pouwa ata samia yuko sawa biteko/jafo/majariwa/mpango yani wapo wengi kishimba na MIMI 😅😅😅😅
@youngsachafurniture5482
@youngsachafurniture5482 5 ай бұрын
Wote wale wale kuanzia huyo maguful na hao wengine
@thaddeojude7511
@thaddeojude7511 5 ай бұрын
Nafikiri hata wew mwenyew ni mmojawapo wa hao mashetani maana umezaliwa mule mule...na umekulia mule mule....
@thaddeojude7511
@thaddeojude7511 5 ай бұрын
Daima kumbuka siasa ni sayansi..hakuna mwanasiasa mzuri ..anayetumia maneno mataamu leo ..kesho yake anakunyonga...kwaiyo hakuna wa kumtetea awe chadema au popote
@BonaventureJohn-mk6xh
@BonaventureJohn-mk6xh 5 ай бұрын
One of the big brains in the nation
@emmanuelymganga5737
@emmanuelymganga5737 5 ай бұрын
mpangilio wa mawazo yako unazidi hadi watu ambao wajiita maproffessa hongera sana Mbowe MUNGU akulinde uzidii kuisemea Tanganyika
@fatumahassanduale4701
@fatumahassanduale4701 5 ай бұрын
Pole sana,wengine tulishakata tamaa,hatuoni CCM ikiondoka.kwa amani,tunachohofia watu wakichoka itakuaje je watatuwac 14:05 14:05 ha na vita au wataondoka nchi ikiwa imeungana kama nchi zilizoendelea,i hope watakubali katiba mpya yenye kuruhusu uchaguzi huru na haki,na sisi wananchi tuweze juiwajibisha chama kama haitatekeleza ahadi,kama nilivyo sema mwanzo nimekata tamaa na naomba mungu awape CCM maono ya kuelewa Tanzania ni ya wananchi na wanamaamuzi ya kuchagua wamtakae.
@KiigeMongoreme
@KiigeMongoreme 5 ай бұрын
Tujifunze kupitia Kenya,Inaongozwa na upinzani,pia tujifunze kupitia marekani Inaongozwa na upinzani sisi tunawazidi Nini hao
@fidelismwakanyamale6787
@fidelismwakanyamale6787 5 ай бұрын
Kenya aiongozwi na mpinzani Ruto ndiye alikuwa mwenyekiti wa vijana KANU mpinzani ni Raila ondiga tu. Na atabaki hivyo ni mpinzani siku zote
@sonnyr1899
@sonnyr1899 5 ай бұрын
Upinzani wa Bongo una upinzani ndani Ya upinzani kabla hata hawaja pambana na chama tawala. Mbowe maneno yake ni mazuri sana ila yeye matendo mengine
@ignacekiwale7281
@ignacekiwale7281 5 ай бұрын
Ongea Mbowe.unaeleweka
@mnanze
@mnanze 5 ай бұрын
Well said,We need leaders of this kind Blessings Mbowe.
@TajewuoMoseka
@TajewuoMoseka 5 ай бұрын
Ukiona mtu Yuko CCM kama ni baba Yako au mama Yako ni sawa Yuko kwenye tanuru la moto ya jehenam
@Optionxll_Playz1
@Optionxll_Playz1 5 ай бұрын
Hahahahaha Jehanamu ipo hapa duniani .
@MenruphKahimba
@MenruphKahimba 5 ай бұрын
Mbowe safiiii sana sarurt mzee
@Aminmwansile-we8vn
@Aminmwansile-we8vn 5 ай бұрын
Kaka mbowe uko sahihi wenye akili timamu watakuelewa hii ni sauti ya mtu aliaye nyikani
@JohnMahu-f1g
@JohnMahu-f1g 5 ай бұрын
Asnt mbowe mungu akulinde ipo ck tutashinda kwa jina la yesu
@prothodommy
@prothodommy 5 ай бұрын
Huyu jamaa smart sana, Big up Mbowe
@giftyjackson2461
@giftyjackson2461 5 ай бұрын
Safi sana mwamba
@zimboj5278
@zimboj5278 5 ай бұрын
Genius man
@EstermsuyaMsuya
@EstermsuyaMsuya 5 ай бұрын
Big up Mbowe
@samsonkatigiri2344
@samsonkatigiri2344 5 ай бұрын
Huyu mzee kabudi tangu aliposema katolewa jalalani basi hana kitu tena cha kusaidia Taifa,hata kwenye midahalo asialikwe tena,hata mzee chenge nae hamna kitu ni ubabe tu,mbowe anajua mambo ndo maana hababaiki,katulia sana big up comrade mbowe
@TrustElbashil
@TrustElbashil 5 ай бұрын
mzee mbowe watu walioko ccm 100/ nimashetani kuliko shetani tunae msikia sijui shetani wawapi hatujui mungu atatuambia
@PropKibali-f8d
@PropKibali-f8d 5 ай бұрын
Sweet recommendations, uko vzr!
@emmanuelymganga5737
@emmanuelymganga5737 5 ай бұрын
Bigger up 👏👏👏
@pdwanakaza2411
@pdwanakaza2411 2 ай бұрын
Mbowe baba mungu akulinde
@Frank-b2d6u
@Frank-b2d6u Ай бұрын
Well said
@salumally3482
@salumally3482 Ай бұрын
Nakubali hiki ni kichwa kwelikweli..!
@FadhiliMwaitete-ls2li
@FadhiliMwaitete-ls2li 5 ай бұрын
Hali ya ccm nisawa na mchawi anae Kula nyama ya mtoto wake ccm awafai kabisa kubasa wanauza asilimali zetu bila lizaa ya watanzania atuna bunge Wala viongozi wenye huruma na inchii ccm fekeni kabisa Tena ccm nikichefuchefu safari hii tunazaa na nyiye
@IbrahimTabu-qh9il
@IbrahimTabu-qh9il 5 ай бұрын
Haki haiombwi ukijua nihaki yako chukua safalihii hakuna kucheka nao
@CarlMagi
@CarlMagi 5 ай бұрын
Kwa muujiza gani ndugu maana ccm wana uhakika wa kushinda kupitia goli la mkono
@leonardmartine662
@leonardmartine662 5 ай бұрын
Safi sana kamanda wa Anga
@paldonjonas9489
@paldonjonas9489 5 ай бұрын
Mungu ibarik tz
@HajiJuma-xw7vh
@HajiJuma-xw7vh 5 ай бұрын
Ww baba mm ingekuwa uwezo wangu ningekupeleka peponi yani unaakili mpaka manyanga'u wanakuogopa
@RawsonNkini
@RawsonNkini 5 ай бұрын
Mungu akulinde san
@gaitanikazikidogo1556
@gaitanikazikidogo1556 5 ай бұрын
mboe nikichwa sana huyu jamaa yani
@festokivuyo7121
@festokivuyo7121 5 ай бұрын
Mbowe ana kuaga kiongozi kbs
@kasiankillo6949
@kasiankillo6949 5 ай бұрын
Daaa awa ccm aise mbowe uko vizuri kama ccm wanayofanya wako Sawa mbona wanaigopa kuacha uchaguzi uwe huru
@PropKibali-f8d
@PropKibali-f8d 5 ай бұрын
HII TUNAITA NI, PRECISE AT A POINT!
@AmosSniper
@AmosSniper 5 ай бұрын
Ushauri wangu chadema wote ingien ccm mlaluane humohumo alafu mtengeneze makundi mmpitishe mmoja mnaemwamini kw tket hiyo ya ccm akiingia ikuru ajenda ya kwanza kwake iwe KATIBA MPYA
@LangoiMollel-p1p
@LangoiMollel-p1p 5 ай бұрын
Kwan chadema wanataka nn mbona imekuwa chama Cha kulalamika ,lawama Kila wakati mara tunaumiswa,mara katiba ibadilishwe mara iboreshwe kupiga kura mpaka lini?
@edwardmwingira7096
@edwardmwingira7096 5 ай бұрын
Safi Mbowe
@mariamumechara3398
@mariamumechara3398 5 ай бұрын
Mbowe hongera San
@hamisimuhunzi7916
@hamisimuhunzi7916 5 ай бұрын
Mwl Nyerere alisema ukila nyama ya mtu huachi CCM walikula nyama ya mtu 2019/20 hawawezi acha 2024/25 itakuwa ni upuuuzi wa kiwango cha juu kwaamini kuwa watabadilika
@EliaoniTerry
@EliaoniTerry 5 ай бұрын
Unaye taka Lisu aongee kama Mbowe unakosea, yapo mambo Mbowe anaweza kuyaongelea na kuna mambo Lissu anaweza kuyaongelea, ni bahati kwamba chadema ina hazina hizo muhimu kwa taifa.
@AlbinMsechu
@AlbinMsechu 5 ай бұрын
Umewajibu vizuri kaka
@exprodigitaltechtv5571
@exprodigitaltechtv5571 5 ай бұрын
Mr president
@AlexMetwi
@AlexMetwi 5 ай бұрын
Kweli mzee
@GodfreyMwamaso
@GodfreyMwamaso 4 ай бұрын
Mizee ya CCM imekaa tu Kama minyumbu ndiyo wanufaika wakubwa wa mfumo mbovu wa mfumo mbovu wa uchaguzi ndiyo maana yanapiga chenga kubadilisha katiba mpya na tume huru ya uchaguzi wanajua kabisa wakibadilisha katiba hawataweza kushinda uchaguzi majizi makubwa hayo
@leonardabenego4600
@leonardabenego4600 5 ай бұрын
Hivi wasomiwetu elimuyao inafaidagani kwataifahili? Kabudi chenge nawenginewote walisoma kwaajiliya matumboyao tuu?
@saidmushehe
@saidmushehe 4 ай бұрын
Kama sijamaliza kusikiliza anayesema mbowe.....mwaka 2005 alikodiwa helkopta na kuwekea mafuta ili kupunguzu nguvu iliyokuwepo Cuf enzi hinzo chini ya Lipumba Hii nch ain demokrasia ujanja ujanja....wapinzani na watawala ndio walewale
@MjuniLaulian
@MjuniLaulian 5 ай бұрын
Ndio maana wanatuma vibalaka ili wakutoe kwenye nafasi yako kama mbatia ili waweze kuua chama kwami wao wanataka viongozi masikini ili wawanunue na wawauzie chama ili kife
@kabaly18
@kabaly18 5 ай бұрын
huyu jamaa ni kiongozi kweli kweli
@AlexMakala-s7k
@AlexMakala-s7k 5 ай бұрын
Na kuku Bali sana kiongoz wangu mbowe mungu akupe maisha malefu
@EliaoniTerry
@EliaoniTerry 5 ай бұрын
Kwa maoni yangu, na nilivyofuatilia mijadala mbali mbali ya namna hii, Uchaguzi Uahirishwe kwa mwaka mmoja na Nusu, ili kwanza ama katiba hasa ile ya TUME ya WARIOBA, au ma badiliko makubwa yafanywe kwenye katiba hii ya 1977,ingawa kwangu ni kupoteza fedha kurepea katiba. RASIMU YA KATIBA YA TUME YA WARIOBA NDIYO IFANYIWE MA ONGEZEKO KIDOGO. NA KISHA TUIPITISHE KUWA KATIBA MPYA.
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv 2 күн бұрын
Akili mingi kija congration
@leonardphilip565
@leonardphilip565 5 ай бұрын
A logical leader
@mohoniajoseph9067
@mohoniajoseph9067 5 ай бұрын
Wewe ni Kiongozi hakika
@Focusm-se2sd
@Focusm-se2sd 5 ай бұрын
Umeonge mambo ya maana sana mzee wangu ni ukweli mtupu
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 5 ай бұрын
Marefa wanaolipwa kutokana na idadi ya magoli watapiga penalti nyingi nyingi hata makosa ya katikati ya uwanja yatakuwa penalti
@Saidi-x4h
@Saidi-x4h 5 ай бұрын
Akili ndogo inaongoza akili kubwa
@willykomba8376
@willykomba8376 5 ай бұрын
Well Said gentleman keep it up ❤
@B23-i8p
@B23-i8p Ай бұрын
Kiongozi asiyeongoe ongea ovyo,ili watu wacheke,ndoma.wenye akili wapo makini kumsikiliza
@bonifacedanielmwakisunga9638
@bonifacedanielmwakisunga9638 5 ай бұрын
Professor kabudi ukweli anajua ila sababu ya chama lazima ageuke elimi yake anaweka pembeni kujifanya mjinga alafu historia Leo atuitaki tunataka hoja ya katiba mpya Ili kuondoka migogoro iliyopo
@DavidMutiba-hr3vo
@DavidMutiba-hr3vo 5 ай бұрын
Mbowe si professor km kabudi lakini yuko wima zaidi.
@BalakaMbughi
@BalakaMbughi 5 ай бұрын
Laisi wetu mtarajiwa huyo
@TomasiklistophaMwinuka
@TomasiklistophaMwinuka 5 ай бұрын
Kwakwer ccm mlaaniwe sana mnawatesa sama wananchi wahili taifa tunateseka ila mungu yupo anasikia kilio chetu
@OscarAsukenie
@OscarAsukenie 5 ай бұрын
Ikiwa vyama vya upinzani havitajiunga na kuwa chama kimoja, yaani vibaki Ukawa na ccm tu wapambane, hata iwe miaka 1000 ijayo wapinzani hawatakaaa kamwe wakaipindua ccm. Wamlaaumu aliyevunja ukawa.
@muhsinissa7081
@muhsinissa7081 5 ай бұрын
Hongera mbowe umesema sahihi
@usitocassian3286
@usitocassian3286 4 ай бұрын
Mboe uenyekiti wa Chama taifa tunakukabidhi labuda mungu achukue uhai wako.kukabiliana na Hawa mabwana wakubwa bila wewe nikazi kweli kweli akija mtu mwingine anazimwa chapu na vijisent
@bahatishitindi
@bahatishitindi 5 ай бұрын
Ukweli mtupu
@joshuaswai8203
@joshuaswai8203 5 ай бұрын
Mbowe busara kubwa sana huyu jamaa
@akaumbo9433
@akaumbo9433 5 ай бұрын
True Mbowe
@NixonGerson
@NixonGerson 5 ай бұрын
Change si mwizi huyo
@Yussuf-b3b
@Yussuf-b3b 5 ай бұрын
Mh mbowe ndie alietowa na kuwasemea speech bora WATANZANIA WOTE KIPI WATANZANIA WANACHOHITAJI ,WENGINE WALIOSHIRIKI NI BLA BLA TU ,HONGERA MBOWE SISI WANANCHI TULO PAMOJA NA WEWE KUWEZA KULETA MABADILIKO TUNAYOYATAKA
@fadhilisawe434
@fadhilisawe434 5 ай бұрын
Ila mnakula Bata asee hiyo sofa baba lazima uongee point
@RaphaelMachinda-ih5we
@RaphaelMachinda-ih5we 5 ай бұрын
Huku wanaoenda kuhakiki ni maccm
@malkavoice2570
@malkavoice2570 5 ай бұрын
Kichwa kabisa huyu jamaa,nAAMINI KABISa akipewa nchi tuka safety hakika
@AmosSniper
@AmosSniper 5 ай бұрын
Ccm haijawahi kuwa na chaguzi huru, na mwanadamu usimuamini
@boscomfundo7953
@boscomfundo7953 5 ай бұрын
Mheshimiwa Mbowe ni akili kubwa. Anaeleweka na pia ana uwezo wa kujenga hoja
@RahmaJohn-yu3ni
@RahmaJohn-yu3ni 5 ай бұрын
Chadema
@teddymuganda3158
@teddymuganda3158 5 ай бұрын
Nashauri kuwepo na tume maalum ya ajira inayohusu sera na utawala Bora na uchumi enelevu wa maaedeleo na siasa huru ndani ya taifa,ambapo mfumo huu utajitegemea bila kuingiliwa Na selikali au utashi wa chama chochote,watatumia miongozo na katiba ya wananchi ya nchi husika Kwa kuweka sera za uchaguzi zitakazopitishwa na wananchi Kwa kupima wagombea kulingana na dira ya taifa ya maendeleo ktk sekta zote,ambapo mgombea atatakiwa kupitishwa kulingana na uwezo wake wa kuongoza nchi pili atimize vipaumbele vya wanachi bila visingizio tatu awe tayari kufungiwa mfumo kiintelijensiamwilini mwake amba o utakuwa unatoa taarifa zake zote nzuri mbaya na hata uwezo wake ukishuka ahiari kuachia nafasi Kwa kiongozi mwingine kuendelea hata kama miaka mitano haijaisha nne acngatuke madarakani asipoweza kukidhi haja za wananchi,achie ngazi kama watumishi wengine wanavyochukuliwa hatua,tano tume ya ajira ya siasa nchini itakuwa ndo yenye wajibu wa kumchukulia hatua za kinidhamu na kumwajibisha pindi anapokiuka sera kanuni miongozo sheria na katiba za nchi husika au taifa,pindi ameshika hatamu,mifumo ya kiitelijensia itafunguliwa Siri zake zitatoa majibu yote naye atastaafu kama mtaafu mwingine,hii itasaidia Sana bara la afrika viongozi kulewa na madaraka na kushindwa kuchukuliwa hatua naye atapimwa na tume ya ajira yasiasa na kuchukuliwa hatua za kinidhamu pale inapotokea kakiuka taratibu za nchi,tume ya siasa ya taifa itakuwa ndo inawajibu wa kuwapima viongozi wa vyama vya siasa work performance appraisal report,ambayo itasimamiwa na viongozi wabobezi ktk ufanyaji wa tathimini ngazi za kimataifa na kitaifa wataunda ,monitoring and evaluation (,national and international )guideline,standard,appraisal statistics on economic ,living standardandnational sustainability,team work,on good policy govenance ,katiba itakuwa sehemu ya nyongeza ,mfano huu nimeshauri Kwa sababu nchi imetoka analogy to digital watendaji na viongozi wapo analogy kiakili, na matendo kidijitali hapa vinakinzana,afungiwe booster imdaidie kutenda smart,
@stanleyamlima2085
@stanleyamlima2085 5 ай бұрын
Ameongea kwa hisia sanaaa
@henrymntangi7783
@henrymntangi7783 5 ай бұрын
na ndio maana ccm na watu wake ipo siku watalia, kama sio wao watoto, wajukuu au vitukuu vyao. Na tunawajua
@josephngowoambroce418
@josephngowoambroce418 5 ай бұрын
Nakuheshimu baba mbowe
@CholoNassor-h8r
@CholoNassor-h8r 5 ай бұрын
Good 👍kamanda
@rabsonchisumo6640
@rabsonchisumo6640 5 ай бұрын
Ccm ni wabaya sana
@driss4957
@driss4957 5 ай бұрын
MACCM HAYAYCHAGULIKI,KAMWE HAYATAKI MIFUMO HURU YA UCHAGUZI, HAPO MBOWE UNAPOTEZA MUDA TU..
@HarunaSaidi-lb8oe
@HarunaSaidi-lb8oe 5 ай бұрын
Mbowe nademokrasi wapi na wapi!
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 5 ай бұрын
Kwa nini kila kitu chetu tunapenda kushirikisha wazungu wakati wao sio kila jambo lao hutushirikisha? Waafrika tujihoji sana tu. Sio ufahari Afrika tujihoji .
@dezruh
@dezruh 2 ай бұрын
Bado tunawategemea kwa misaada so moja ya kigezo Nchi kupata misaada ni good governance ndo maana unawaona hapo!
@ChristianMkumbo-ix2ke
@ChristianMkumbo-ix2ke 5 ай бұрын
Madam president tunataka kuona Tanzania iliyo bora na katiba mpya
@thomaskiponda6079
@thomaskiponda6079 5 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@HABIBHASSAN-wf5mr
@HABIBHASSAN-wf5mr 5 ай бұрын
MNAKERA KWENYE KUWABAGUA WATU...MNATURUDISHA NYUMA SANA SANA SANA...MNAWAFARAKANOSHA WA TZ...INASIKITISHA SANA SANA
@ezekielkiduge8730
@ezekielkiduge8730 5 ай бұрын
Akili mgando sana hiyo ni kwa sababu ya uchawa
НИКИТА ПОДСТАВИЛ ДЖОНИ 😡
01:00
HOOOTDOGS
Рет қаралды 3 МЛН
What's in the clown's bag? #clown #angel #bunnypolice
00:19
超人夫妇
Рет қаралды 37 МЛН
ЗНАЛИ? ТОЛЬКО ОАЭ 🤫
00:13
Сам себе сушист
Рет қаралды 3,5 МЛН