Рет қаралды 3,529
Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Ezra Chiwelesa ameishauri Serikali kuwapa nafasi vijana wa Kitanzania kupata nafasi ya mafunzo jeshini kwani kila wanapoomba kazi wanakataliwa kwa vigezo kuwa hawajapita Jeshi la Kujenga Taifa (JKT).
“Kambi zetu tulizonazo za kuhifadhi watoto wetu JKT hazitoshi lakini inashangaza wakiomba kazi serikalini wanaambiwa wawe navigezo vya kutoka JKT inaumiza kwa kweli,” amesema.