No video

MBUNGE AKERWA NA ZIARA ZA MAKONDA | MAKONDA ATIKISA BUNGE BALAA | ANAFANYA MAJUKUMU YASIO YAKE

  Рет қаралды 83,996

RAI TV

RAI TV

Күн бұрын

Пікірлер: 495
@JOHNKKULULINDA-pc6gy
@JOHNKKULULINDA-pc6gy 5 ай бұрын
WEWE MAMA YANGU AU BINTI YANGU. ELEWA ZIARA YA MAKONDA SI YA MAKONDA NI MKUU, HIVYO UNAMKOSOA MKUU. TAFAKARI MAMA.
@FedyKafyulilo-iz2nw
@FedyKafyulilo-iz2nw 6 ай бұрын
Yote Kwa yote makonda anafanya kazi nzuri sana mungu ambariki sana
@fundimitambo4158
@fundimitambo4158 6 ай бұрын
ila nilichojifunza hapa Watanzia wengi ni wanafiki sana aisee
@user-eb5qm4ox7f
@user-eb5qm4ox7f 6 ай бұрын
Safi
@hamiduchingi2672
@hamiduchingi2672 6 ай бұрын
Unafikili nikwanini yesu alikimbia naakawachia neo nitafufuka au nitaludi aligunduwa awa niviumbe shaifu nawanafki wanaangalia fulaha yaotu,MIMI nafikili sasa ndiowakati wanyie munao ogopeka,kwauchawi,kwaugnga,namengineyo,Wekeninguvu kumlinda uyo muheshimiwa kwasababu bado tunamuitaji Sana,sio munatusumbua majumbani usiku NK,tumieni izo nguvuzenu kumlinda Mh,wetu makondo,kwasababu hivita sio yawachawi Wala waganga Nivita yawaujumu uchumi Yawatumishi wazembe,Yawatumishi matapeli,Yawatumishi wanao jilimbikizia mali,NK,tunawaomba nyie waganga na wachawi Mumlinde Mh, makonda Natumaini sasaivi wenyepesa namali zao wanawasumbua Sana,kwaajili ya msimamo Wa Mh,makonda,
@EmanuelyEliya
@EmanuelyEliya 6 ай бұрын
❤❤❤
@user-rg8fq8fc3k
@user-rg8fq8fc3k 5 ай бұрын
Mimi ni mganga lakin mtu akinijia anatala kumuroga makonda nakula pesaro nitampatia dawa ya kufanya ampende zaidi makonda😅😅😅😅😅
@user-ju5rq3hk8w
@user-ju5rq3hk8w 6 ай бұрын
Mupongezeni Makonda kwa kazi nzuri anayofanya
@user-jb7ej3gv7c
@user-jb7ej3gv7c 6 ай бұрын
Sasa amfanyi majukimu yenu mlitaka makonda afanyeje muwe na haibu uwo uchonganishi makonda ubarikiwe kwa kaziyako na namgu akufikishe mbali Sana na pia uwe na moyo huwo huwo🎉
@oliverqueenkileo9745
@oliverqueenkileo9745 6 ай бұрын
Makonda anafanya halali kama kiongoz bora
@tinkybellah6634
@tinkybellah6634 6 ай бұрын
Kumbe kunawabunge kichwani hamna kitu akilini Dawa inawaingiaa vizuriiii aisee
@user-cr9ie1zg4r
@user-cr9ie1zg4r 6 ай бұрын
Acheni kukaa ofsi fanyekazi wananchi wanateka munasaidiwa kuwa kazi ndio hivyouwaina fanya makonda ❤❤❤❤❤❤
@shaabannurdin5848
@shaabannurdin5848 6 ай бұрын
Yaani una ongea wew aibu naskia mimi😅
@SurprisedBeach-kb2jy
@SurprisedBeach-kb2jy Ай бұрын
Makondaa apongezwee kwaa kifanyaa kazi nzur
@user-be9pd2ir2k
@user-be9pd2ir2k 6 ай бұрын
Binafsi mh mwenezi Paul makonda piga kazi mbinguni tutatoa hesabu
@samwelngao3201
@samwelngao3201 6 ай бұрын
Huyu Mbunge ni takataka sana yaan ni mwanamke asie kuwa na akili Fala huyuuu ko ulitaka makonda afike asifie ujinga wakati wananchi wanateseka
@MasterCappodhano
@MasterCappodhano 2 ай бұрын
Makonda anafanya kazi nzuri sana hapo huyo mama anapinga mdomo bure tu
@chriskimbe525
@chriskimbe525 6 ай бұрын
Up makonda Mungu niweke niishi miaka mingi nikaribu kumuona makonda mwaka 2030 utajikita wapi ngoja ninyamaze
@user-lz3yl4yb5v
@user-lz3yl4yb5v 2 ай бұрын
Mfukuze kazi mchague unayemtaka wew munashindwa kuwasaidia wananchi na ndiy mna shida zetu tunampa makonda tunamuona kma mungu mtu tunampenda wananchi natupo tyr hata kumpa uhai wetu nyiny endeleeni kupika majungu
@marianmartin7483
@marianmartin7483 2 ай бұрын
Huyu mbunge simueleei kabisa. Sasa hawo waliopewa dhamana wameshindwa. Makonda yuko sawa kwa kazi anayoifanya.
@user-mo4pt9tm1m
@user-mo4pt9tm1m 6 ай бұрын
Mzungumzaji, nywele zinamchanganya Mh Makonda anamchanganya
@mosesmzakwe7774
@mosesmzakwe7774 6 ай бұрын
Mwandishi wa habari huna Akili kabisa. Kwanini Usingeandika kuwa " MBUNGE AMSIFIA MAKONDA KWA ZIARA zake? Waandishi kama ninyi ni kufutiwa Leseni tu. Kwanini Unapotosha habari badala kuandika kweli. Hongera sana Mbunge kwa kuziona juhudi za Makonda
@Rai_online_tv
@Rai_online_tv 6 ай бұрын
Ahhh kumbe kamsifia ehh sawa mwandishi wa habari mzuri
@isackrange2989
@isackrange2989 6 ай бұрын
Dada huelewi unachokiongea huo ni wivu tu😂😂😂😂
@MusaPeter-ie6td
@MusaPeter-ie6td 5 ай бұрын
Sura mbayaaa na roho yko mbayaaa shetan kbsaaa
@user-qq4mn5pd9g
@user-qq4mn5pd9g 5 ай бұрын
Tunashukuru kwa kumpongeza kaka yetu kwa kaz mzuri anayoifanya
@tollosomangiza3715
@tollosomangiza3715 5 ай бұрын
Makonda oyeeeeee na mtaelewa tuu .Piga kazi mwenezi
@williumteete2626
@williumteete2626 6 ай бұрын
Makonda piga mlemle👉💪
@antonywilliama2868
@antonywilliama2868 6 ай бұрын
hao wanao pinga ndo mafisadi hasa kama hawamalizi kwa kuwa mafisad makonda piga humo humo
@user-bf1rm2er5z
@user-bf1rm2er5z 6 ай бұрын
Makonda fanya kazi usiogope mungu yupo sisi tuko nyuma yako kwa maombi
@HawaMohamed-sk7sp
@HawaMohamed-sk7sp 6 ай бұрын
Anachofanya makonda ndo mlitakiwa kufanya nyie akili huna we dada hovyo sana😂😂😂
@ildephoncekalemera7758
@ildephoncekalemera7758 6 ай бұрын
Asante sana makonda❤
@monicachacha455
@monicachacha455 6 ай бұрын
makonda chapa kazi❤❤❤❤❤❤
@DavidMrisho-km2iz
@DavidMrisho-km2iz 6 ай бұрын
Makonda aendelee na kazi yake wapo waotatuliwa kero zao kwahiyo sis tunamunga mkono
@AllyMohd-fs7pn
@AllyMohd-fs7pn 4 ай бұрын
Hapo ndo unapogundua kwamba kwenye kundi la mamba na kenge wamo. Yan vyote ivyo mheshimiwa makonda anavofanya kazi kumsaidia mheshimiwa raisi kuna baadhi ya viongoz hawaoni juhud izi. Mheshimiwa piga kazi tunakukubali wananchi. Kuna dhulma zinafanyika kwa sbu ya rushwa. Piga kazi makonda mi naamin mama kakukutuma. Songa mbele piga kazi unafanya kazi vzr. Ata sisi makapupu tunakuona unafanya kazi vizur.
@moyogems
@moyogems 5 ай бұрын
Yamaza mh hLi ni mbaya sana tena sana mwacheni makonda ni kioo chenu arudia tena hali ni mbaya zinapigwa kila kona we we watu sio wazalendo kabisa waziri mkuu amezunguka ameona haya namshu,uru mh rais na ccm kumuweka makonda mpongezeni namsimkatishe tzmaa
@sarasteven4070
@sarasteven4070 6 ай бұрын
Makonda oyeeeee!! Piga kazi Mtumishi wa BWANA.
@user-tj5sn8lq8x
@user-tj5sn8lq8x 6 ай бұрын
Walikuwapi wasiwasaidie wananchi hadi Makonda afike ndo wananchi wasaidiwe. Ina maana walikuwa hao wakurugezi na wakuu wa mikoa na wawilaya hawajui wajibu wao. Acha kijana afanye kazi
@mwanaishaabubakar5013
@mwanaishaabubakar5013 5 ай бұрын
Huyu pumba maana hatahajuianachopinga, mama kakojoe ukalale. Humshawishi mtu hapa Makonda oyeeeee
@naturelle1097
@naturelle1097 6 ай бұрын
Ndo mchukue mfano toka kwake sio kuka ofsini
@user-bt3wt6nt4z
@user-bt3wt6nt4z 6 ай бұрын
Ndyo
@yunuskizundu4707
@yunuskizundu4707 6 ай бұрын
Muacheni makonda jmn bila mungu kumuongoza makonda mtoto ambae alikua anauza ndizi asinge jengewa nyumba na kuendelea na masomo wabunge fanyeni kazi zenu achaneni kabisa na makonda
@user-ju5ee1gx2w
@user-ju5ee1gx2w 6 ай бұрын
Kwnza Nampa ongera sana mhe rais wetu mpwendwa dkt Samia suluhu Hassan kw kumteua mhe mwnyz makonda anafanga kzi nzur sana
@user-ru7ji1se3h
@user-ru7ji1se3h 5 ай бұрын
Wewe mbunge ni mnafiki sana makonda piga kazi
@HappyNaboti
@HappyNaboti Ай бұрын
Ndio safi weulitaka iweje
@IsayaBugoro-zj8nu
@IsayaBugoro-zj8nu 6 ай бұрын
Nywele za marehemu wahindi
@EmmanuelLupoja
@EmmanuelLupoja Ай бұрын
Kumbe umeziona na ww
@williammbuzimai5744
@williammbuzimai5744 6 ай бұрын
Mmmmmmmh comment nyingi zinaonyesha hatuna uelewa" huyu mbunge yupo sahihi kwa wanaoelewa mfumo wa serikali.
@user-bt3wt6nt4z
@user-bt3wt6nt4z 6 ай бұрын
Amna bhana wabunge hawajuw wajib waoooo
@mtpafrica
@mtpafrica 6 ай бұрын
Daaah afadhari ww umeelewa wengi wetu wanampinga kumbe yupu sahihi
@user-jy1fq3bo5t
@user-jy1fq3bo5t 6 ай бұрын
wewe ndo huelewi
@user-wu2er7go9j
@user-wu2er7go9j 6 ай бұрын
Una akili? Nauliza hivi: una akili timamu ww?
@williammbuzimai5744
@williammbuzimai5744 6 ай бұрын
@@user-bt3wt6nt4z hapo alikuwa anakazia kwamba makonda kayakuta madudu mengi sana yasiyotatuliwa na watumishi
@oswaldsambaya4422
@oswaldsambaya4422 6 ай бұрын
Umesema ukweli Mhe. Mbunge. Komrade Makonda ametutendea haki, Mwenyezi Mungu azidi kumlinda.
@Luganoamos-jv5in
@Luganoamos-jv5in 6 ай бұрын
Wachagiliwa wa mzee maguuu,bila magu nyie mysingepita shukuruni,,,,mwacheni makonda afanye kazi yake
@gatuna6
@gatuna6 6 ай бұрын
Ukiona mbunge mbuke anali na makonda polisi wakamkague au taka kuru. Mamegeuza kazi ya ubunge kama kazi yake. Hawa ndiyo walio unga mkono bandari I uzee.
@Mrugurudigitalsolutions
@Mrugurudigitalsolutions 5 ай бұрын
Kumbe mnajuwa kuwa makonda amekuwa mkombozii sisi hatutaki mbwembwe tunataka kazi hivii mlishawahi kujiuliza kanini magufulii bado anaishi vichwani mwa wananchii wa tanzania, na africa kwa ujumlaa 😂😂😂😂😂
@user-ue1it3jx2t
@user-ue1it3jx2t 6 ай бұрын
Mbunge wa kuteuliwa hana machungu na wananchi huyo kenge, anasumbuliwa na wivu kwa kile anachokifanya Makonda kwa wananchi.
@abellutonja4589
@abellutonja4589 6 ай бұрын
Huyu dada anapenda huko chini kwani kunanini😂😂😂😂😂
@HamsiHusna-nf3vg
@HamsiHusna-nf3vg 6 ай бұрын
Ss kwahiyo kero za wananchi nani azitatue na hao wakuu wa mikoa wanashindwa majukum yao makonda anafanya kaz nzur
@user-wu2er7go9j
@user-wu2er7go9j 6 ай бұрын
Huyu dada atakuwa yupo karibu sana na wapiga dili huko jimboni kwake Ukute Makonda kafukua uozo jimboni kwake kaharibu dili lao Serikali imfuatilie sio mtu mzuri huyu m'bunge Itakuwa kuna watu wa ovyo yupo karibu nao Yani wananchi wanadhulumiwa, wanateswa, wanauawa na kupewa majeraha makubwa na ulemavu na hakuna anaesikiliza kero zao moja kwa moja Yeye anakerekwa? Huyu kuna kitu anahusika nacho sio bure. Afatiliwe
@robertjoseph4196
@robertjoseph4196 5 ай бұрын
Mpumbavu wew, una wivu wew! Makonda baba lao chapa kz km ulivyoaminiwa na rais baba makonda, Achana na hyo mnafki
@juliusmwaijumba3324
@juliusmwaijumba3324 6 ай бұрын
Nyie si mnavicha madudu??? Mwacheni aumbue machafu kwani rais mwenyewe anasemaje???
@HawaMohamed-sk7sp
@HawaMohamed-sk7sp 6 ай бұрын
Daaah nasikitika sana, hivi huyu mbunge mzima kweli, amefikiria anachokiongea kweli, hivi haoni makonda kafufua mabaya mangapi toka kaanza kutembea. Kweli aibu naona Mimi
@shikuhata
@shikuhata 5 ай бұрын
Nashukuru kwa mchangiaji
@joycemwinuka3685
@joycemwinuka3685 5 ай бұрын
Wivu sio mzuri
@HusseinKasambwa-gq6zf
@HusseinKasambwa-gq6zf 5 ай бұрын
Ukweli makonda yuko vizuri sana,watumishi wanajiona miungu MTU,wanazurumuwananchi bila kujali.anaemuongea makonda vibaya huyo fisadi.muache makonda afanye kazi
@GodwinPeter-gb4gp
@GodwinPeter-gb4gp 5 ай бұрын
Huyu mmama wawap na amepataje madaraka jamani tuwe makini sana kuwapa vyeo hawa watu makonda daima yupo sawah kabisa wale wa milembe lazima wamchukie
@archiefransis7172
@archiefransis7172 6 ай бұрын
Huyu dada anang'ata na kupuliza ukiwa unaitazama hii video mwanzo utajikuta unamchukia akifika katikati unampenda akimaliza unamchukia hoja yake ni nzur ila hataki kutoa hukumu kwa wazembe wala pongezi kwa watenda kazi vizur nilitegemea mwishoni angesema ule usemi usemao mnyonge mnyongeni haki yake mpeni na sifa kuu angemwagia Makonda
@JOHNKKULULINDA-pc6gy
@JOHNKKULULINDA-pc6gy 5 ай бұрын
BABU, KWELI NI MWANADIPLOMASIA, WACHACHE WANAOFUATLIA MAMBO YA MSINGI KAMA HAYO. NI KWELI KABISA HOJA YAKE KAMILI UNASHINDWA KUDAKA. HIVYO NI HOJA YA KUTUMWA SI YA KICHWANI MWAKE AMETUMWA.
@kababa3017
@kababa3017 6 ай бұрын
Rais ni kosa lake kwa kuteuwa bila kujari hao wateuliwa kama wanao uwezo wa kuendesha wizara hizo. Serikali na CCM wamelala usingizi mzigo na wakuwamusha ni Makonda.
@velejilyomhongole1641
@velejilyomhongole1641 6 ай бұрын
Msameheni huyu dada angalieni hata anavotamka maneno eti Halakahalaka,mh Laisi😂😂
@YohanaMogope
@YohanaMogope 6 ай бұрын
Mkishaga chaguliwa mnawasaliti wananchi kwataalifa yako MAKONDA ndoanaeweza kumsaidia RAISI kiukweli tunampongeza sana MAKONDA napia Tunamwombea sana lazima mwogope Ziara yake make nyie mmekuwa kimya mwenzenu amejitoa kumoyo mmoja kutusaidia wanyonge hata URAIS akigombea tunampa kabisaa natunataka Agombee MAKONDA 2025
@lucasalexandery
@lucasalexandery 6 ай бұрын
Uelewèki,,,unasifia huku unakataa,,,wabunge bwana
@mansooralaisri5200
@mansooralaisri5200 6 ай бұрын
Ziara ya Makonda ni Ramani aliotengeneza kuonyesha ubovu uko wapi. Na nini Mhe Rais afanye kutokana na Ramani hiyo. Hongera Makonda, aliechukia kazi uliofanya ni Mzayuni huyo, sababu wananchi wengi waliumizwa.
@user-zp7us3vj8x
@user-zp7us3vj8x 6 ай бұрын
Hahahaha mwacheni makondaaaaa afanyeeee kaziiii
@user-zg5hy3vj6i
@user-zg5hy3vj6i 6 ай бұрын
Sisi wananchi tunampongeza makonda amejua changamoto za wananchi msimuchukie makonda
@AishaAlly-ob7vd
@AishaAlly-ob7vd Ай бұрын
Wewe mama tena kuwa na adabu kabisa unajua unakiongea kweli😊
@user-kk1dc1ui6p
@user-kk1dc1ui6p 6 ай бұрын
Hivi mnauwakika huyu dada ni mbunge???
@user-os4xz7de4u
@user-os4xz7de4u 6 ай бұрын
Makonda chapakazi kaka achana huyumama atakuwa anaumwa
@user-tm6ir4mp3i
@user-tm6ir4mp3i 6 ай бұрын
Anafanya majukum yasiyo yake lakini anavumbua mengi. Kifupi anawaumbua.
@edwardgwaspika4943
@edwardgwaspika4943 6 ай бұрын
Yani apo mh. Makonda anawasaidia kazi zenu usilalamike mh. piga kazi ikibidi tembea jimboni ondoa kero ndogondogo zisisubir Mh. Rais
@BarakaElnest-ox7pb
@BarakaElnest-ox7pb 6 ай бұрын
Kama viongoz wa afrika ndo wenye akili za hv tunasafar ndefu ya kupata maendeleo vichwa vyetu ni vya kubebea nywele sio akili
@user-ro2bh1yg4l
@user-ro2bh1yg4l 6 ай бұрын
Makonda fanya kazi bro
@mtpafrica
@mtpafrica 6 ай бұрын
Wabunge kama hawa ndio wanao itajika Bungeni, point za msingi sana japo wengi tumempinga mh. Mbunge bila kumuelewa nini anamaanisha
@user-wu2er7go9j
@user-wu2er7go9j 6 ай бұрын
Kibaya zaidi hata ww unaemuunga mkono umeshindwa kueleza nini point ya huyo m'bunge kumpinga Makonda. Hapo ndo utaona m'bunge hajielewi na ww pia hujielewi
@PartySekemi
@PartySekemi 6 ай бұрын
Mungu akubariki na akupe maisha marefu
@bouzartbc5641
@bouzartbc5641 5 ай бұрын
Ntumieni namba za Paul Makonda nimtumie ela yangu ya akiba,
@user-cd1hr2cx3i
@user-cd1hr2cx3i 6 ай бұрын
Sijui Jimbo lake lipo mkoa Gani ,,huenda anayake huko,,au katumwa? Makonda hafanyi hivyo for nothing,,,Wala hakurupuki kihivyo
@user-ct4vj9gg6w
@user-ct4vj9gg6w 6 ай бұрын
Uyo mbunge wananchi walomchagua wamefeli
@BarakaWicklifu
@BarakaWicklifu 6 ай бұрын
Yaaan me hata huyu Mbunge sijamwelewa Sasa makonda kutatua changamoto Kuna tatizo gani nn Maan ya Kiongoz angekuwa hafanyi kilicho mpeleka basi Rais ndo Alimutuma.
@lewissvictor8930
@lewissvictor8930 6 ай бұрын
Ko wewe ulitaka asitatue katatizo ya wananchi we umekosa hoja makonda ooooyyyyyyeeeee
@user-wu2er7go9j
@user-wu2er7go9j 6 ай бұрын
Makonda anafanya kazi nzuri sana, sana yani Huyu m'bunge hafai kuchaguliwa tena na wananchi wake Ni m'bunge wa ovyo sana
@joycemwinuka3685
@joycemwinuka3685 5 ай бұрын
Uyu ni chama Gani mama amemuamini makonda makonda piga kazi weka na Sala mungu yupo pamoja nawe
@jumambarale699
@jumambarale699 6 ай бұрын
Mpuuzi mmoja huwaga anataka upuuzi wake uonekane mwema Piga kazi makonda ....simamia kucha..,...
@humphreybilly7437
@humphreybilly7437 6 ай бұрын
Wewe umechanganyikiwa Makonda ndo kila kitu kwa sasa kuwaumbua.nyie mmejawa na wizi wizi.
@JacqueM4600
@JacqueM4600 6 ай бұрын
Eti huyu nae ni mbunge 😳😳sijui anajisikiliza huyu mama anachokiongea💔.Makonda piga kazi baba💯.madam pokea taarifa ya kuonekana kumpongeza Makonda💃💃
@user-fx7ki8sc6j
@user-fx7ki8sc6j 6 ай бұрын
Inaonaonekana huyu Dada aliingia bungeni kwa mchongo
@feisalmwinyi2429
@feisalmwinyi2429 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 Dada yng si upookeee taarifaa jmn... Pokea tarifa ikiwa mwenezi ni mtangazaji wa aloyafanya Mama Samia anapita uko hamna lilofanywa Makonda kosa lake nini apo kulizia lile Mama alilo haidi na hajitekelezwa si awaweke Kati tu awo unaowasema walopewa majukumuu alafu hawatekeleza Mh makonda apewe pongezi.. tungelimuona wapi kijanaa wa miaka 10 anauza ndizi kuhudumia family eeeeeh km si Makonda kwa hiyo tujue km walopewa dhamana na Mama ni wabadhilifu kwa maana wapo tu wamekaa lkn mitaani hawapiti wakajua vijana na wanama wanaishi vp na wababa nao vipi watejeleza family zao Mungu mbariki Mh Mama Samia Mungu mbariki Mh Makonda 🙏
@soloartist_ivanvespalusind1609
@soloartist_ivanvespalusind1609 6 ай бұрын
Makonda oyeeeee!
@mathiaspeter397
@mathiaspeter397 5 ай бұрын
MLEVI HUYOO!
@happypiusi3801
@happypiusi3801 6 ай бұрын
Makonda oyeeeeeeeeeee🎉❤
@SalumRashid-um9wx
@SalumRashid-um9wx 5 ай бұрын
Wenzake bungeni wanampinga daahh atar mama yetu mama samia suluhu hassan ndio rais yey anaona kila kitu kwnn yey hajaongea kwasababu anaona wananchi wanatatuliwa shida zao na yeye ndio anavotak na ndio maan akamchagua makonda aishi miaka mingi mama etu samia mama wa kizimkazi tunakupenda sana mama wananchi wako
@swahibually8349
@swahibually8349 6 ай бұрын
Mnamchongea makonda,Majasusi wapo mbioni kumtathmini KAZI na mwendo wake, AKHERA ni karibu mnooo,si Mmeona wazee wa mbambamba walivyokata Moto mfululizo,namaanisha enzi za Mwendazake
@user-fe6pu3uq4c
@user-fe6pu3uq4c 6 ай бұрын
Huyu co mbunge mwenye kujielewa analialibu bunge 2 kama me lais ata bungeni aji ana oja za msingi
@venasmlega6727
@venasmlega6727 Ай бұрын
Komwe tu kuongea point aaaah
@user-rh5nt4dm2i
@user-rh5nt4dm2i 5 ай бұрын
Ningekuwa bungeni ningekujibu mama yangu maana sijui uko upande gani
@HusseinKasambwa-gq6zf
@HusseinKasambwa-gq6zf 5 ай бұрын
Aeleze mazur ya rais kama yap?mazuri nihayo anayofanya kutujali wanyonge,we mama nifisad wakuchunguze makonda tunamkubali hatutaki mazur zaid ya hayo anayofanya makonda,bila makonda CCM ingepotea muache makonda we mama
@kilalikanestory3635
@kilalikanestory3635 6 ай бұрын
Makonda nimwanaum E anayefanya vizuri kwa watu huyo mbunge ni fisadi mafisadi hawawezi kufurahia kazi ya makonda
@emmanuelpeter5686
@emmanuelpeter5686 6 ай бұрын
Naona wachangiaji hamjamwelewa huyo mbunge ameongea vitu vya maana Sana Ila taarifa kaharibu.
@user-yt5ue4vj5b
@user-yt5ue4vj5b 5 ай бұрын
Una akiri wewe mbwaaa wew
@luismchayano4796
@luismchayano4796 6 ай бұрын
Kumbe kuna wabunge hawajielewi. Sasa hapo anampinga nn Mh. Makonda? Wakati yy mwenyewe anaunga mkondo kazi ya mwenezi. Kazi anayoifanya mwenezi nikufatilia uwajibikaji na utendaji wa waleule wa Mh. Rais.
@user-uy3uk2ul5b
@user-uy3uk2ul5b 6 ай бұрын
Wewe dada toka bungeni yani waliokuchagua wamekula asara, baad uwazungumzie mawazili wenye sekta zao wapo kimya unamsema mtu anawasahidia wananchi
@kurwanjonge4586
@kurwanjonge4586 6 ай бұрын
Unatombwa nn anawasaidia wananchi kitu gani
@eliasthomas1547
@eliasthomas1547 Ай бұрын
Msema kweli.
@geofreywayesu5638
@geofreywayesu5638 6 ай бұрын
Uyu mbunge mbona haeleweki anachangia nini
@samwelngao3201
@samwelngao3201 6 ай бұрын
Hilo ni tatizo ana kichwa kichafu huyuu
@kilalikanestory3635
@kilalikanestory3635 6 ай бұрын
Makonda oyeeeeeee
@hawamackono4546
@hawamackono4546 6 ай бұрын
Mie cna imani na mbunge yyte,nyie kuleni tu lkn kesho zitawatoeka puani mbele ya Allah
@costantinejohn-xn6lw
@costantinejohn-xn6lw 2 ай бұрын
Binafsi nimemuelewa huyu dada..... Anamsifia makonda bila kujielewa!!!
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
MrBeast
Рет қаралды 144 МЛН
🩷🩵VS👿
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 23 МЛН
MAKONDA AAMURU OCD BUGURUNI APANGIWE KAZI NYINGINE, WANANCHI WASHANGILIA
11:59
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
MrBeast
Рет қаралды 144 МЛН