BILA UOGA MBUNGE AINGIA NA POMBE BUNGENI "Mimi siyo kichaa nakuheshimu | MBUNGE MSUKUMA AMTETEA

  Рет қаралды 275,302

EastAfricaTV

EastAfricaTV

Жыл бұрын

Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Пікірлер: 225
@mercypeter162
@mercypeter162 Жыл бұрын
Mbunge wananchi wa jimbi lako wakuongeze mitano tena umetuwakilisha vyema sana MUNGU akutunze
@jesuinababili2280
@jesuinababili2280 Жыл бұрын
Kabisaaaaaa... mu5 tenaaa
@charleschacha4076
@charleschacha4076 Жыл бұрын
Hongera sana sana dada una kipaji waambie ukweli japo ukweli unauma
@aloycesamba998
@aloycesamba998 Жыл бұрын
Mbunge ameongea point mpaka Mimi niliyopo huku Arusha imebidi nimpigie makofi,hongera sana kwake.nami naunga mkono hoja
@vibetz9991
@vibetz9991 Жыл бұрын
Makofi yako hata mimi nimeyasikia huku
@nuruedu2117
@nuruedu2117 Жыл бұрын
Sawa
@nuruedu2117
@nuruedu2117 Жыл бұрын
Sawa
@jehovajonas9284
@jehovajonas9284 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@georgemboneko9163
@georgemboneko9163 Жыл бұрын
Dada umekitumia vyema kiti chako cha ubunge kwa mawazo chanya. Ubarikiwe
@olesambekelaizer1117
@olesambekelaizer1117 Жыл бұрын
Daah HUYU Mama amenissimua kwa Hoja yake natamani nimuhagi 😂😂😂 kwa pongezi Gongo letu safi san😂😂😂😂😂 tuboreshe ili iwe na tija kwa Taifa letu
@mossesisaack5066
@mossesisaack5066 Жыл бұрын
Dada Umeubariki sana moyo wangu kwa kusema ukweli ,Mungu akubariki . Niwaombe wabunge tuige mfano huu kuongea mambo ya kujenga nchi yetu kama huyu dada
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 Жыл бұрын
kuongea ukweli kabsa ila utekelezaji kwa huyo rais wake utafsnywa maana awam hii maongezi tu hamna utekelezaji kabsa
@km4km437
@km4km437 Жыл бұрын
Ama kweli tupo wachache wenye uwezo wa kuongea mambo yasiyo faa kwenye jamii dadaangu mungu akupe ujasiri kesho iwe njeema kwetu sote sio kwao tu yamoyoni yamenitoka nawachukia watu kama huyo alievaa kibakuli kichwani hajui hata kuonya wala kufundisha anataka aitwe mwalim cheeeee
@saitotimollel-8995
@saitotimollel-8995 Жыл бұрын
Dada umeubariki sana moyo wangu kwa kusema ukweli mungu akubariki niwaombe wabunge
@rehemashayo5024
@rehemashayo5024 Жыл бұрын
Tungekuwa na kumi kama wewe nchi ingekuwa zaidi ya ulaga ❤❤
@bahatisimfukwe3834
@bahatisimfukwe3834 Жыл бұрын
Uko vizur mh wangu by simfukwe chole
@fatmaissa5685
@fatmaissa5685 Жыл бұрын
Tunauwezo wa kutengeneza wine hata katika ngazi ya kijiji kupitia sido
@rubensokoine6647
@rubensokoine6647 Жыл бұрын
Safi sana endelea kumshika yesu mama wangu
@darusinganziulenge9363
@darusinganziulenge9363 Жыл бұрын
Mungu akupe maisha mrefu akuondolee usda na hasada msema kweli mpenzi wa Mungu kila anayesema kweli anawekwa kundi la kichaa je uyo anayeweka wenzake kundi la wakichaa je yeye anayoyafanya kijamii yanampendezesha Mungu ukweli wamtu upo ndàni ya nafsi yake kila mmoja ataubeba mzigo wake mwenyewe
@timothymoshi5800
@timothymoshi5800 Жыл бұрын
Mheshimiwa Asante.Mimi siyo mnywaji, Lakini nimefurahishwa na mchango wako. Aidha nimefurahishwa sana ,tena sana jinsi ulivyo mjibu Huyo mzee. Majibu yako na mheshimiwa Tulia, yamemfanya ajue ana Akili na uelewa kiasi gani.Barikiwa mama.
@jovinmancomedytz
@jovinmancomedytz Жыл бұрын
Nimekuelewa sana mawazo yako nimakubwa sana mh Mungu akubariki sana
@user-ju2tp5dv6i
@user-ju2tp5dv6i 9 ай бұрын
Naomba moja hapo nizimue mueshimiwa Asante sna ukweli umewapa waache kukualili maisha yakaisali apwe kaisali na ya mungu pew e mungu
@user-ur8cz7ls3s
@user-ur8cz7ls3s 3 ай бұрын
Asante sana dada umeongea point kubwa sana na Nina uunga mkono hoja yako Asante sana na ubarikiwe sana dada💛💚💚💚💚
@johnmahu5060
@johnmahu5060 Жыл бұрын
Hongera sana hawataki kupima tbs yetu
@JudithJackson-we6iu
@JudithJackson-we6iu Жыл бұрын
Umeongea vizuri sana dada ubarikiwe sana
@KuhaniMbarikiwahalisi-nr7ih
@KuhaniMbarikiwahalisi-nr7ih Жыл бұрын
Dada hongera sana kwa kusisitiza kuthamini vya kwetu alikuumba akubariki kwa kusema kweli
@ClementJacob-sd8lf
@ClementJacob-sd8lf Ай бұрын
Wanywaje mupo twendezetu bungeni nimewapenda sana
@frankrevelian6919
@frankrevelian6919 Жыл бұрын
kuna watanzania wana akili kinoumaaa yaan....
@samoramollel
@samoramollel Жыл бұрын
Mwanamke unaakili sana.
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts Жыл бұрын
Gongo ibotreshwe iwe na viwango...Ajira zipatikane na tuviheshimu vya kwetu
@TundaEmanuel-ns8kj
@TundaEmanuel-ns8kj Ай бұрын
🔥Hawa ndio aina yawabunge tunawaitaj sio wale wanaoenda kula mpk wananenepa hovyo 😊
@medardkalinjuma5503
@medardkalinjuma5503 Жыл бұрын
Dah mbunge wetu leo umejadili uovu kweli. Umeiudhi mbingu sana kwanafasi alokupa Mungu, umeitumia vibaya leo. Unywaji na wanywaji niuovu na hakuna mbingu kwa walevi.
@ziadasadiki8196
@ziadasadiki8196 Жыл бұрын
Imemaanisha ni kwanini tuthamini vya wenzetu wakati vyetu vipo ?? KAMA NI DHAMBI BASI VIPIGWE MARUFUKU KABISA NA SIYO KURUHUSU VYA NCHI ZA KIGENI.
@rubensokoine6647
@rubensokoine6647 Жыл бұрын
Jamani wabunge pombe nidhambi sana Mungu awa saidie sana
@ziadasadiki8196
@ziadasadiki8196 Жыл бұрын
Kama ni dhambi kwanini zinaruhusiwa na Kama zinanunuliwa kwanini tuwaungishe mataifa ya mbali?? NADHANI HII NDIYO HOJA YAKE
@ombayemangare3088
@ombayemangare3088 Жыл бұрын
Hii habari inastahili kujadiliwa katika bunge la Kenya.....napenda hoja hii
@nangugu1657
@nangugu1657 Жыл бұрын
Dah ama kweli wanaichi wa momba wanamuwakilishi bungeni dada hongela sana upo vizuli hakika mungu akuzidishie miaka na miaka Ijayo wanaichi wa momba watambue uwepo wako bungeni
@seriousmovie
@seriousmovie Жыл бұрын
Daa!! Barikiwa sana mama momba hongereni
@vitalismarunda6760
@vitalismarunda6760 Жыл бұрын
Wabunge kama hawa kwenye Bunge letu ni wachache sana Safi sana Dada Anguu unaupiga mwingi aiseeee
@SYLMASVISIONFORSCIENCE
@SYLMASVISIONFORSCIENCE Жыл бұрын
Umetengeneza point japo haikuwa imenyoooka mwanzo
@StevenSinkonde-w5r
@StevenSinkonde-w5r 28 күн бұрын
Hongera sana kwa kusema ukweli
@user-xl6vf4nb8y
@user-xl6vf4nb8y 10 ай бұрын
Kenya can never explain such 😅😅😅
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 Жыл бұрын
Gongo Nchi zingine ni pombe ya asili Namibia gongo inauzwa sokoni mpaka kwenye baa ndogo ndogo.
@EvenEvarist-sk6ur
@EvenEvarist-sk6ur 21 күн бұрын
Dada mweshimiwa uposawa kabisa kabisa , wandugu watanzania .
@khamisihamadi629
@khamisihamadi629 2 ай бұрын
Asante sana pombe niharamu kwenye vitabu vyote
@HassanNyawange-xj2cp
@HassanNyawange-xj2cp 8 ай бұрын
Katika wabunge ambao wapo bungeni kwajili yakuijenga icho hii wewe upo miongoni mwao! Msukuma pia dada uyo ongozen maisha mtupambanie wakipato Cha chin.
@estherkibajiro3480
@estherkibajiro3480 Жыл бұрын
Dada kaongea point,, Big up my Dada 👊
@BatroNgilangwa
@BatroNgilangwa Жыл бұрын
Asante sana dada yangu Kwa hoja thabiti.
@levinatesha5317
@levinatesha5317 5 ай бұрын
Dada sio poa😂😂😂😂😂
@Nanata1995
@Nanata1995 8 ай бұрын
Bakukubali
@LizzLissah-vg2tk
@LizzLissah-vg2tk Жыл бұрын
Such amazing topic
@naomipanja5768
@naomipanja5768 5 ай бұрын
Mbunge wetu be blessed
@gospelguest694
@gospelguest694 Жыл бұрын
Mungu kutunze uendelwe kutetea wanachi wako waliokupa kibali na ukumbuke pia kuna taji yako mbinguni kaza mwendo ingawa utapigwa vita ila mungu hajawahi kuacha kuwalinda mashujaa wake
@AbilahSalumu-qx1cb
@AbilahSalumu-qx1cb 2 ай бұрын
Yes sister 👏 🙌
@fredyjeremia7074
@fredyjeremia7074 Жыл бұрын
Tena pombe yetu inalewesha vzur kweli...unabaki na akili.🤣🤣🤣🤣🤣akili ya kuanza nayo kesho.
@bulengedimathias6756
@bulengedimathias6756 Жыл бұрын
😂😂😂
@fatmasoud
@fatmasoud Жыл бұрын
😂😂😂😂
@danielshekiyao706
@danielshekiyao706 Жыл бұрын
Yani hili binge la sasa Lina vioja Yani wamekunywaaaa usiku mzima pombe zikawatuma waingie nazo wakazitetee
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l Жыл бұрын
Mungu akulinde na husda maana umeongea mitano haitoshi
@Worldunite
@Worldunite Жыл бұрын
Waafrika tuna kasumba mbaya sana, tunathamini vya nje tunadharau vya kwetu.
@josephwachira-jz4bt
@josephwachira-jz4bt Жыл бұрын
Dada yangu mheshimiwa umenena, mimi ni mkenya na nimefurahishwa na economic mindset ya mheshimiwa. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 🇹🇿
@andrewshirima6332
@andrewshirima6332 Жыл бұрын
Upo sawa Mh.
@isamony58
@isamony58 Жыл бұрын
nimependa iyoo mada tupewe uhuru tu gongo nipombe peke yakitaalamu mtwara oyeeeeee
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 Жыл бұрын
kwa huyo mnae muita rais wenu hana akili wala moyo wa kuwajali wanainchi wa kawaida miaka mi 2 sasa mnaongea tu hamna utekelezaji hakuna hata faida ya bunge awamu ya samia hamna wakutekeleza anapenda maaovu sana huyo mama ndio maana anashindwa kuyazuia maovu na maaswi yupo kimya waiz wanaiba wapo tu
@abatinkalango4571
@abatinkalango4571 Жыл бұрын
Well said
@YohanaMabongo-no6rv
@YohanaMabongo-no6rv Жыл бұрын
Mhe. Big up. Shida ni kwamba ukoloni umetulemea akilini. Tunakopi tu naku paste
@GilbertMuhandiki
@GilbertMuhandiki 7 ай бұрын
Kuna vitu navishangaaga sana ukiona wabunge wanavowaka bungen kweli utasema wamechukia kumbe ni nguvu ya soda Kwa ajili ya maandaliz ya uchaguzi wa 2023 ila wajue na njue sisi watanzania tunatumia Kwa maigizo hayo na mkumbuke sisi ndo walipa kodi tuliona hayo maigizo yanayoendelea tunatumia sana sana.Tupunguze masiara na tuache masiara.
@winepreneur7329
@winepreneur7329 Жыл бұрын
Sista ukitoka tuonane unikabidhi huo mzigo
@aloycesamba998
@aloycesamba998 Жыл бұрын
😂🤸
@muganyizibuzubona7160
@muganyizibuzubona7160 Жыл бұрын
😂😂😂
@JoachimMagori-vm9pg
@JoachimMagori-vm9pg 2 ай бұрын
KUNA sababu ya kuwa na taasisi ya kukusanya wabunifu bila kujali vyeti vyao ili kubaini vipaji na bunifu nzuri.
@josephgurti7321
@josephgurti7321 Жыл бұрын
Uko sawa
@michaelmatemu3490
@michaelmatemu3490 Жыл бұрын
Hili Jambo wakati mtu anaongea alaf mwingine anasema taarifa inakata sana
@user-lo1ub5sv1t
@user-lo1ub5sv1t Жыл бұрын
Hongera sana
@ibrahimkibira9943
@ibrahimkibira9943 Жыл бұрын
Wabunge wa chama kimoja ni wa hovyo sana mnadhan tumesahu zile hela zilizoibiwa pesa zetu wananchi...msituletee propaganda tunataka mjadili kuhusu zile pesa hizo habari za pombe ..waambien walev wenzenu ..tunataka pesa zetu zirud mtaan maisha magumu sana
@user-ow6tx2is8b
@user-ow6tx2is8b 5 ай бұрын
V good gongo ililea nakutusomesha
@richardnott4403
@richardnott4403 Жыл бұрын
Hapo elimu inatakiwa hayo anayo Zungumza ni kweli kabisa kwa sisi tunao fanya kazi za hotel tunaelewa anachosema mbunge sema hapo tatizo wanao kunywa wanatumia vibaya gongo ni sprit kama hizo alizo nunua mh yaani ni elimu tu hapo ni pana sana
@farajamlenga2791
@farajamlenga2791 Жыл бұрын
Nmependa majibu yako kwa uyo mzee na Mungu ajutunze umeongea ponti sana nchi ingekuwa na wabunge wa namna iih hakika tungefika mbali
@user-fn8mz5le3c
@user-fn8mz5le3c Жыл бұрын
I miss you amina chifupa
@euphrasiantawatawa1510
@euphrasiantawatawa1510 Жыл бұрын
Hivi wanini msimuache huyo mh Kondesta aongeee,mnakatisha katisha nini?
@hamzajafary
@hamzajafary Жыл бұрын
mungu akulinde usem ukwel
@barakanyamafu5937
@barakanyamafu5937 Жыл бұрын
Dada una Akilisana
@user-bl2vt6rk8m
@user-bl2vt6rk8m Жыл бұрын
Duuuh nimeipenda iyoo
@AbrahamSekuza
@AbrahamSekuza Жыл бұрын
Kiwanda chibuku muekezaji alie kuwa anakiendesha amerudi kukihitaji baada ya Tbl kushindwa kukiendesha jiji wamekataa wakati mkuu wa mkoa wakati huo kabla ya Makala hakuwa na shida ila jiji wamekataa sababu wanaijuwa
@HalfaSaid-vl6ki
@HalfaSaid-vl6ki Жыл бұрын
Ilo ndo tatzo la TZ ukibuni bunduki unakamatwa ila wanatumia mamilion kuagiza Silaha nje daaa! bongo😂
@user-mh6xv7wi7k
@user-mh6xv7wi7k Жыл бұрын
Umesema kweli kabisa
@infoman0909
@infoman0909 Жыл бұрын
Dear gambe
@user-rx6ey5ff3u
@user-rx6ey5ff3u 5 ай бұрын
Jamani kwetu moshi tunaitafuta kwa toch nakumbuka zamani mtambo nyuma ya nyumba
@neemajumanne458
@neemajumanne458 Жыл бұрын
Ongera mtumishi
@salimumohammedsalimu1720
@salimumohammedsalimu1720 Жыл бұрын
Kwahiyo ukimaliza show waenda kujitwika sharubati kuanguka😂😂😂😂
@jemxruni
@jemxruni Жыл бұрын
Asant mama ❤❤❤❤
@wilbartwilliam
@wilbartwilliam Жыл бұрын
Well said madam
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 Жыл бұрын
Hivi inakuaji mtu mzima Tena msomi anatamka maneno kisengere nyuma? Mfano: 1 dhambi mtu anasema zambi 2 R ( Ara ) mtu anatamka L ( ELO ) 3 serikali mtu anatamka selikali 4 Brother eti blaza! 5 Road eti load! 6 light eti right 7 Right eti light !!!! Duh, aibu sana. Kiukweli nawashangaa sana 8. Kura eti kula!
@geeva99
@geeva99 Жыл бұрын
Mbona kama kalewa ye mwenyewe, akisikia taarifa analeta attitude, kweli pombe ina frequency mbaya hata ukikaanayo karibu tu
@user-ny3de2qq6r
@user-ny3de2qq6r 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@sebastiannyembe2660
@sebastiannyembe2660 Жыл бұрын
Mwalimu Bora huingia darasani na zana za kufundishia
@bausaluck6612
@bausaluck6612 Жыл бұрын
Sasa izo zimemwangwa au waziri alitaka kujuwa laza ya KackDaniel
@thompsonmasologo5093
@thompsonmasologo5093 Жыл бұрын
Kampa King
@johnmahu5060
@johnmahu5060 Жыл бұрын
Pombe za kienyeji haitakiwi kwa sababu viongozi hawapata asilimia 10 ndo mana wanadharau ili tu ije toka nje
@williamjohn7907
@williamjohn7907 Жыл бұрын
safiiiiiiiii
@altenkiswaga2533
@altenkiswaga2533 Жыл бұрын
Hayo maneno kwanini ubunifu wa Tanzania udidimizwe
@juliusmagheke1379
@juliusmagheke1379 Жыл бұрын
😂😂 nasubiri siku mkijadili barabara na madaraja nayo myabebe kuyaingiza ndani ya bunge
@user-rr1lw7sz6h
@user-rr1lw7sz6h Жыл бұрын
Ni mbunge wa kwanza mwenye mawazo chanya mama mwaga cheche kututete wa pika pombe wanateseka sana
@user-gi6ye9fq5s
@user-gi6ye9fq5s 6 ай бұрын
🤝😘
@MasterRugemalila-ze4ym
@MasterRugemalila-ze4ym Жыл бұрын
Asante
@danfordmbilinyi1138
@danfordmbilinyi1138 Жыл бұрын
Nice say
@ShomaMaganga-pm4mf
@ShomaMaganga-pm4mf Жыл бұрын
Umenena sana
@maresianantibakazi-yh4qd
@maresianantibakazi-yh4qd Жыл бұрын
Nimecheka kwa sauti
@maulidimpili698
@maulidimpili698 Жыл бұрын
Mbunge baada ya kukemea pombe unaenda kutetea pombe hiv umesoma na elimu yako inakusaidia kwel
@delimachesa5007
@delimachesa5007 Жыл бұрын
Huyo ni mtumjshi wa serikali serikali haina Imani...Imani Ya wananchi ndioinakataza matumizi Ya pombe ila Serikali haikatai ndo mana inaruhusu importation ikiwa bidhaa haina madhara kwa watumiaji na ndo mana kuna taasisi ya kuthibitisha bidhaa kuingia kwenye mzunguko
@maulidimpili698
@maulidimpili698 Жыл бұрын
@@delimachesa5007 ukisikia serikali ni watu sio jengo wala vifaa soma vitabu vya dini zote utaona pombe inavyokatazwa ila sehem yoyote inaposhuka elim ndipo walipoanza kutofautiana hao wasomi au wavumbuz wa vitu wanafalsafa wamechukua vitu kwenye vitabu vya dini zote ndio wanatamba mpk leo mawazo yao
@christophersikaonga4412
@christophersikaonga4412 Жыл бұрын
Safi kabisa
@raphaelngulo1293
@raphaelngulo1293 Жыл бұрын
Nimependa Mawazo ya Mh,Mbunge
@silvanuskulikiza8864
@silvanuskulikiza8864 Жыл бұрын
Mmekuwaje ninyi wasomi wetu na wabunge wetu? Mmekosa cha kutetea mpaka mnatetea pombe!!? Daaa! Vipi wasomi wetu!!!?
@fabricenindagiye1143
@fabricenindagiye1143 Жыл бұрын
Afrika dufise ikibazo co gukengera ibikorewe kubutaka bwacu tukizera ivy'abazungu. Sema dada wambie
@victorbakarweha5375
@victorbakarweha5375 Жыл бұрын
Sawa
@SharifuBilal
@SharifuBilal Жыл бұрын
Wazee wa kamnyweso woyeee
@user-kg7mc7ym1m
@user-kg7mc7ym1m 6 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 Жыл бұрын
We dada umetetea ijinga zaidi
@peterkanza2207
@peterkanza2207 Жыл бұрын
Hii nchi ukiwa mbunifu unaitwa muhuni? Kipanya kabuni gari,kisha watendaji wa wizara ya viwanda wanamuita muhuni.
MBUNGE WA MBULU VIJIJINI ARUKA SARAKASI BUNGENI, AKIDAI BUNGENI.
10:48
Beautiful gymnastics 😍☺️
00:15
Lexa_Merin
Рет қаралды 15 МЛН
Alex hid in the closet #shorts
00:14
Mihdens
Рет қаралды 13 МЛН
WHAT’S THAT?
00:27
Natan por Aí
Рет қаралды 14 МЛН
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,4 МЛН
Beautiful gymnastics 😍☺️
00:15
Lexa_Merin
Рет қаралды 15 МЛН