Wasipotimiza Piga misarakasi bunge zima , mpk Kwa Spika
@SamwelJoseph-yk3cw5 күн бұрын
Hahahahahaha
@rithaurassa8 күн бұрын
Mtajua hamjui. Mpaka apewe haki zake.mnaona kila mtu hapo bungen ni mafara
@bennyjohn14122 жыл бұрын
😂😂😂😂😂Safi sana
@rastalukumai2 жыл бұрын
Mwanaumeeeeee
@raphaelmwamakimbula96422 жыл бұрын
Sawa,maana anaonesha msisitizo na kukumbusha serikali kuwa wananchi anaowawakilisha wanahitaji vitendo sio ahadi.
@gaspermolell57762 жыл бұрын
2ngekuwa na viongozi kama haw kama20 tz 2ngepiga hatua sanaaaaaaaaaaaaaaaaa
@NaaalsGroup-us8bq Жыл бұрын
Asante mungu akupe umri sana kwakweli yani raaa anachangamsha bunge yy na halima wako mbele 😂😂😂😂😂😂
@jacquelinelekule4262 жыл бұрын
Nimempenda bure muheshimiwa
@hoseajoseph2 жыл бұрын
Nakupongeza Sana mheshimiwa natamani nikuone nikupe heshima yako
@neemajulius12562 жыл бұрын
Hongera Sana watakuelewa tu
@AnentBuhangwi7 күн бұрын
Jmn kina maty muonen mbung wen
@kubwadrray4032 жыл бұрын
Uhakika nakubali unaweza
@siliviamashaka43262 жыл бұрын
Hongera unatumia Kura yawanainch wako vizuri
@rajabushilingi42722 жыл бұрын
Ewaaaaaa safii sana
@f.a60432 жыл бұрын
inabidi watu waonyeshane kua sasa watu hawana mchezo sio mizaha ambayo haina tija kabisa ,🤣🤣
@johnmichael45352 жыл бұрын
Hahahahah umetshaa wataelewa2
@rastalukumai2 жыл бұрын
Wewenimwanaume ongea baba tukusikie nawengine waige kutoka kwako
@mctikisa53162 жыл бұрын
hahahhahhaa hii nchii bhnaaa daaah
@limbukitulanhawa41092 жыл бұрын
Nikweli kabisa mmbuge wetu,,
@abdalahgunda131929 күн бұрын
Stady of discuss so many challenges facing tanzania people outcome this are type of mp we have in palament hit table celebration everything gavment give them lnstruction whale ather country palament stand for peaple give gavment lnstruction Sasa ndio Hawa wabunge waruka sarakasi
@glorympuwa95992 жыл бұрын
Mbunge ni kwamba unahasira!!!!!!! Au
@manaseliberatus13472 жыл бұрын
inauma kwa kweli, watu wana shida, ilibidi asisitize ki hivyo
@limbukitulanhawa41092 жыл бұрын
Naona bunge haliko sawa jamani tofauti na mwaka 2017,,
@gozbeelaurenty78122 жыл бұрын
Kweli huyo ni kiongozi wa. Wananchi anafatilia majukumu yake. Ongera sana
@tazamamaajabuyaulimwengu27862 жыл бұрын
Wangepaswa kumuwajibisha amelikosea Sana bunge
@abuushaymaatz2 жыл бұрын
Safi
@user-hv5sz6wj8m6 ай бұрын
😮😮😢😢😢😂😂😂😂
@lusajooden51852 жыл бұрын
Kweli sana inaburudisha,inaelimisha na pia inatumika kukosoa,,da mh mbunge umenifulaisha sana kwa kutumia sanaa kufikisha ujumbe na pia umeniburudisha kisawa sawa yani nimecheka adi machozi yamenitoka,yani umenichekesha kuliko ata masanja joti na mpoki walivyokuwa wakinichekesha,,asante sana kwa kunipunguzia mastress,auna baya.Nakuunga mkono kwa harakati zako za kuwapigania wananchi wako
@hamisikisuju82232 жыл бұрын
Daah! Mbunge kaongea point tupu na kutuburudisha
@elineemamchomemchome99922 жыл бұрын
Jamani limekuwa mbunge ganihilo
@mohamedially53302 жыл бұрын
Kweli mkuu
@swalehbakari2667Ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
@pasichalmartin93862 жыл бұрын
Clauds fm
@lydiavegula76412 ай бұрын
Daaa so sad
@janemfinanga82582 жыл бұрын
Angekuwa na uwezo angemchapa makofi mtu hapo
@surusuru19942 жыл бұрын
Nikwli kabisa🔥🔥💞
@mariamally12442 жыл бұрын
Haaaaa kuna myeleka
@feisal6592 Жыл бұрын
Ukiona hivyoo hamnaachakulaa upoo
@mamuguda17042 жыл бұрын
Hahahaha
@surusuru19942 жыл бұрын
😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥👏👏👏🤗🤗👌👌Good
@oscarsakilu24942 жыл бұрын
Hakuna lolote hapo unafki tu analeta masiara kwenye Amna watu wanateseka we unapiga sarakasi mi namjua vzur huyu mtu
Wanasiasa wengi ni sanguine personalities, yaani wanapokuwa mbele ya umati wa watu wanaweza kufanya chochote. Hata kama ni baba/mama yako, wewe ndio utabaki unaona aibu. Rejea wabunge waliowahi kulia hadharani, kutishia kuvua nguo, kupiga magoti, kugalagala chini nk. Yaani ni haiba zao; na wala hawajutii au kuona aibu. 😄😄😛
@ayshabirali53352 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@magotikamese79512 жыл бұрын
Wabunge kama hawa wanashusha hadhi ya Bunge!
@fulgencemark76402 жыл бұрын
Huyu alitakiwa kufukuzwa mle mjebgoni saaa ileile lakini kwa kuwa zizi ndio zizi kazi na iendelee kwani iko nini?