Mbunge wa Kilwa Kusini Selemani Bungara maarufu Mbunge BWEGE amelieleza Bunge kuwa atahamasisha Wabunge wote wa kusini kuandamana endapo Serikali itashindwa kuwalipa pesa zao za korosho wanazodaiwa na wakulima.
Nahuyu ndio mbunge alioingia bila rushwa natman angekua mbunge wngu mtafnya kosa sana bila kumrudisha ten bwege
@hilalhazil87274 жыл бұрын
Hilo jembe labda life, cc tutamrudisha kila mwaka
@ibrahimchediel48674 жыл бұрын
Huyo namkubali asilimia mia anaushawishi HIYO NDIYO SIFA YA KIONGOZI SIO HASIRA
@mrishompulu73026 жыл бұрын
"Kwa sababu serkali ya ccm inaonekana kama patasi aifanyi kazi mpakkka igongwe"
@bilihaniadriano94464 жыл бұрын
😂😂
@kassimrajabu78054 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@majumbatv11164 жыл бұрын
Huyu akili zake za kawaida anaakili sana halafu kasoma mambo saikologia
@lydiathadeous66446 жыл бұрын
Umetishaaaaa sanaaaaaa Mh. Bwegeeeeee🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾 can’t deal yank nairudiaaa kuangalia kila dk jamaniiiiii unaniuaaa Hakiiii yananiiii. Kama hatuna shida Tz tunavyochekaaaa haki yananii
@peterndossy30085 жыл бұрын
Bwege yupo kiutan ila anafikisha ujumbe vilivyo
@ambrosdavid32395 жыл бұрын
noma sana , yaani mpaka raha. bonge la mbunge
@lubatikoseme66134 жыл бұрын
Mbunge apendwae na watz wote🇹🇿👍
@bennitezcharles53696 жыл бұрын
bwegee 2, hongera mzee wng. uzee ni dawa bwege. hii srkl y ccm ni mabavu tu na c democracy.
@hawaaally16396 жыл бұрын
tunashukur wa kwetu hakika atujakosea kukuchagua
@ramadhanyusuph76334 жыл бұрын
Huyu mbunge anaongea mambo ya maana sana ila tu wana ............wanachukulia masiala na muheshimiwa ..............anampoteza kwa kumvulugia kuna .....pokea
@husseinyusuph68386 жыл бұрын
Yani huyuuu bwege namuelewa sana hanaga woga
@JohnJohn-ec5wz6 жыл бұрын
Sijawahi kuchukukia MANENO ya m,bunge wa kusini MUDA MWENGINE NATAMANI kama huyu ndo angekuwa M,BUNGE WA JIMBOLANGU.
@pastor.kanunikayombo78645 жыл бұрын
John John daa! huyu nibwege mwenyeakili nyingiiiiiiisana
@abrahamaniismail73334 жыл бұрын
Yes even me at Kiteto
@oyay28215 жыл бұрын
Man dharaba nafsi la yabuke.... Ajipigae mwenywe halii
@Mufasa_Babu_Bomba4 жыл бұрын
Ina maaana gan?
@bakarikisimbo39196 жыл бұрын
Serikali ya ccm ni kama patasi haifanyi kazi mpaka igongwe
@abdulseif40935 жыл бұрын
Me ktk wabunge ambao nawaelewa huyu ni the best 😂😂😂
@olexanderj.69694 жыл бұрын
A Parliament where real People's issues are discussed. Hongera Watanzania kwa kujadili maswala yanayowahusu wananchi wenu. Sisi hapa Kenya ni ng'o!
@hyasintakundy3695 жыл бұрын
Hilo jina la bwege hukulistahili una akili zako bhana.. siyo kama mbunge msukuma
@evaristmandilindi61474 жыл бұрын
Alijiita yeye
@allennabukeera43863 жыл бұрын
hilo bwege laukoo nadhani
@denismujinja19932 жыл бұрын
Bwege alijiita mwenywewe. Anamaana ya mnyenyekevu, mtulivu
@dusabearafatrwigema9248 Жыл бұрын
Huyu Mp watanzania mumulegeshe kazi mana Ni panafricanitse wakikweli. Yasema ukweli kabisa Africa mashariki Ni number wani kutoka tzd ug kenya burundi mpaka Rwanda akuna kama yeye. Uliskia wapi mzee muzima kama yeye
@nantala2996 жыл бұрын
Kwer kunafaida ya vyama vingi bungeni.nafuu kuwambiya hvo hvo
@komboomar82756 жыл бұрын
Cku zote unapo ongea ww mimi huwaga nakuvulia kofia kando na ujumbe wako unaouwasilisha kwa kuchekesha lakini hutoki kwenye points zako za kuwatetea wanyonge wako waliokuchaguwa.. natamani ungekuwa mbunge wangu wa micheweni pemba.
@upendomasai3313 жыл бұрын
Watu Kama Hawa ndoo walikuwa wananifanya nafuatilia bunge saiv ctakuwa na huo muda
@kennyrogers47343 жыл бұрын
Wana Lindi chonde chonde chaguzj zijazo kama patatendeka haki huyu mpigieni kula za ndio akawatetee kwa nguvu na machungu yote
@oyay28215 жыл бұрын
Tena mpaka patasi ambayo ni.... igongwe nyuma ndio ifanye kazi
@victorguardian33774 жыл бұрын
This guy is a hero... Naona kwa mbaaaaaaaaaaaaali🇰🇪
@ibrahimmokaya9288 Жыл бұрын
.... kwa mbali sana...
@barakakinogo44276 жыл бұрын
hakika bwege umesimama vema hiyo patasi igongeni
@scolasticamwete7546 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mh bwegee kaah nimecheka.. upyaaaaaaaaa hiyo haina kulala
@petromakilika11315 жыл бұрын
huyu mbunge yupo good sanaaaaaa hakika hawa ndo watu wenye uchungu na majimbo yao
@freddymtashi50203 жыл бұрын
Unafaa kuwa Rais wa nchi.
@elizabethmwandu69375 жыл бұрын
Hakika wewe mbunge bwege nimekuelewa sana yaani upo kimatani lkn ujumbe unawafikia.
@stadytvonline95726 жыл бұрын
tunaanza upyaaaaaaaa 😂😂😂😂😂
@ggjghh62456 жыл бұрын
Hahahaha we bwegee wasalimie kivinjeeeeee
@extramen55345 жыл бұрын
Da!! Bungeni kuna burudani, 2020 lazima niingie
@dodoshavu4885 жыл бұрын
😃😃😃😃😃
@paulamani39364 жыл бұрын
Kila kheri 2020 ndio hii
@mohammedmhina39733 жыл бұрын
@@paulamani3936 vp alifankiwa😂
@paulamani39363 жыл бұрын
@@mohammedmhina3973 Hahaaa...we mchokozi eee
@danfordaugustino34616 жыл бұрын
Kusini pamoja na kumpata Rais mkapa aliwatelekeza. Mpaka leo ndio mikoa maskini zaidi Tanzania. Komaeni otherwise Hali itakuwa ngumu.gesi wameitelekeza saizi ni strigliers gorge
@fantsonmpango77425 жыл бұрын
Japo niko mwanza lakini Bwege nakupendaaaaaaga
@bonnyngowo75676 жыл бұрын
Kilwa mrudisheni Bwege tena 2020
@sinkalatz40996 жыл бұрын
bonny ngowo tunamrudisha mzee baba maana anatufaa sana😁😁
@happyfiverickaldo46624 жыл бұрын
Hakikaa arudishweee
@happyfiverickaldo46624 жыл бұрын
Hakikaa arudishweee
@edrisalusonge4141 Жыл бұрын
Mrudisheni huyu mbunge
@edrisalusonge4141 Жыл бұрын
Yani kusini mmepoteza mtu muhimu sana
@mdzainb37224 жыл бұрын
Yani huwa napenda kuangalia bunge sababu ya huyu bwegeeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@hamzahamisi45263 жыл бұрын
Bwege Dah Mimi nadhani hata haowabunge wa ccm walio jazana huko Bungeni Mwaka huu sijui watajifunza kwa nani Bila ya upinzani Hakuna kitu maisha yanahitaji changamoto Bwege Kaka pole sana kwa kilichotokea lakini Mungu yupo
@RamazaniMulongeca6 жыл бұрын
#BWEGE kanywa #MOFAYA nyingi Leo...
@saidishayo19746 жыл бұрын
Msg sent na vichekesho safi xna
@abdallahngwame56796 жыл бұрын
mze mungu akuweke by ngwame
@davidnicas84316 жыл бұрын
Ramazani Mulongeca 😂😂😂😂😂😂😂😂
@AUGUSTMUCHKNOW5 жыл бұрын
Ramsey hahaha umetishaa mbaya
@samwelnyamhanga22654 жыл бұрын
Sikama wabunge wengine vilaza wana lala tuu bwege upo vzr
@fazeelshomary87436 жыл бұрын
Hahahah bwege bhana 😂😂😂😂 eti ajipigae mwenyewe halii 😂😂😂
@bensonmmari3 жыл бұрын
Tutammiss sana huyu jamaa, sijui kama kashinda kwakweli ila ni mtu mwenye akili sana.
@jojikeneth90242 жыл бұрын
Alikatwa
@elymuna4986 жыл бұрын
tunaaaanzaaaaaaaaaaaaa upyaaaaaaaaaaaaa😂😂😂😂
@mwatumathmani5864 жыл бұрын
Hahahaaaa bwege ni nomaaaaa
@wamoroboy89634 жыл бұрын
😂😂😂😂
@lamuuhasaniso48425 жыл бұрын
Mbuge nayomkubari namba moja ni uyo japo tunacheka ila anaongea ukweri
@kitonekantasha16874 жыл бұрын
Ivi tz ni LINDI na kn ni MALINDI? Maana sielewi.. ni bahari imegawanywa au? Who is right?
@huseinhamidu73673 жыл бұрын
Huyu ndombunge aliyekuwa namaneno yapoint Ila ccm nanjama zao wamemwibia kura wanapeleka zezeta bungeni
@kabangoamini84314 жыл бұрын
Basi muheshiwa utazimariza mbavu za wabunge
@kenethndambile39604 жыл бұрын
Kaka selemani naku kubali sana sana kwa ucheshi wako
@kimweritz63642 жыл бұрын
Ndugu zangu wa kusini tumrudishe Bwege tena
@samochristopherroche99533 жыл бұрын
Hakika mwaka huu tutamis Sana vituko vya seleman bungara(bwege)
@rodgersabraham10655 жыл бұрын
Serikali haifanyi kazi mpaka igongwe hahahahahahahaha
@mohameddyandumbo28266 жыл бұрын
Bwege hongera sana
@leahmgunda41544 жыл бұрын
Jina la Bwege la nini?anajenga hoja vizuri.
@jacktanjackson6434 Жыл бұрын
Wa Madhalab Nafsi ya Rabuka ajipigae mwenyewe halii
@huldamichael44455 ай бұрын
Taarifa zingine za kijinga!Bwege ana akili kuliko watoa taarifa butu😅😅😅
@renatusmatungwa68004 жыл бұрын
Valangati lilelile linaanza tena kusini
@suzanampanda62425 жыл бұрын
😂😂😂sio stakabadhi ghalani ni malipo halali 👐👐👐 bwege bwana.
@mosamossile91134 жыл бұрын
Uyu dingi Ana Akir Nyingi sanaaa
@issambamba11064 жыл бұрын
Mwaka huu ni uchaguzi mkuu,jembe hili lirudi mjengoni jamani wana kilwa.
@sechomemmbaga11725 жыл бұрын
Huyu mzeee huwaaa namkubali sn
@sehemunzuri6 жыл бұрын
NI KAMA PATASI ,HAIFANYI KAZI HADI IGONGWE 💥
@yohanamaugila7436 жыл бұрын
buzzfeed TZ bango Kali sana kwa ccm
@viorasaimon89344 жыл бұрын
Aaa,bwanaweee,bwegeeeee,jimbo lako wanabahati kukupata,mwenyez mungu akupe nafasi nyingine tena yakuwa mbunge Mala kwa mala uwe unaingia bungeni kila mda,nipate kucheka niongeze siku zakuishi.
@salehalzakwani32834 жыл бұрын
Gombea uraisi unayaweza mzee
@najmasaleh92316 жыл бұрын
Huyo ndio bwege bwana kiboko huyo muhulizeni Madabida anamjua vema
@huldamichael44455 ай бұрын
Huyu mtu ana akili Sana na anawapenda watu wake na anakijua anachofanya
@deogratiasmassawe45434 жыл бұрын
Taaarf za nn mkuuu
@rubalemaramadhan53456 жыл бұрын
huyu mbuge aagize soda ntaripa
@ramsohouse283819 күн бұрын
Siku hizi ukiangalia bunge kila mbunge naunga mkono hoja au namshukuru bi mkubwa 😂😂
@tiktoktdmdynamo31004 жыл бұрын
Bwege mwishoooooooni wameongez mishahara apa
@mikelazaro44796 жыл бұрын
Kweli huyu baba huwa nampenda sana pamoja na kusema kwakwe kwa kuchekesha ila anaongea kwa hisia kali..😂😂😂😂😂