Vituko vingine vya Mbunge BWEGE bungeni leo, “tutaandamana”

  Рет қаралды 725,806

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Mbunge wa Kilwa Kusini Selemani Bungara maarufu Mbunge BWEGE amelieleza Bunge kuwa atahamasisha Wabunge wote wa kusini kuandamana endapo Serikali itashindwa kuwalipa pesa zao za korosho wanazodaiwa na wakulima.

Пікірлер: 430
@ramadhanihassani256
@ramadhanihassani256 5 жыл бұрын
huyumzeeee anaongea alichotumwa jimboniiiii kunahaja ya wabunge kuigaaa kwahuyuuu mzee bundalaa
@abasiachimika541
@abasiachimika541 5 жыл бұрын
Nahuyu ndio mbunge alioingia bila rushwa natman angekua mbunge wngu mtafnya kosa sana bila kumrudisha ten bwege
@hilalhazil8727
@hilalhazil8727 4 жыл бұрын
Hilo jembe labda life, cc tutamrudisha kila mwaka
@ibrahimchediel4867
@ibrahimchediel4867 4 жыл бұрын
Huyo namkubali asilimia mia anaushawishi HIYO NDIYO SIFA YA KIONGOZI SIO HASIRA
@mrishompulu7302
@mrishompulu7302 6 жыл бұрын
"Kwa sababu serkali ya ccm inaonekana kama patasi aifanyi kazi mpakkka igongwe"
@bilihaniadriano9446
@bilihaniadriano9446 4 жыл бұрын
😂😂
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@majumbatv1116
@majumbatv1116 4 жыл бұрын
Huyu akili zake za kawaida anaakili sana halafu kasoma mambo saikologia
@lydiathadeous6644
@lydiathadeous6644 6 жыл бұрын
Umetishaaaaa sanaaaaaa Mh. Bwegeeeeee🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾 can’t deal yank nairudiaaa kuangalia kila dk jamaniiiiii unaniuaaa Hakiiii yananiiii. Kama hatuna shida Tz tunavyochekaaaa haki yananii
@peterndossy3008
@peterndossy3008 5 жыл бұрын
Bwege yupo kiutan ila anafikisha ujumbe vilivyo
@ambrosdavid3239
@ambrosdavid3239 5 жыл бұрын
noma sana , yaani mpaka raha. bonge la mbunge
@lubatikoseme6613
@lubatikoseme6613 4 жыл бұрын
Mbunge apendwae na watz wote🇹🇿👍
@bennitezcharles5369
@bennitezcharles5369 6 жыл бұрын
bwegee 2, hongera mzee wng. uzee ni dawa bwege. hii srkl y ccm ni mabavu tu na c democracy.
@hawaaally1639
@hawaaally1639 6 жыл бұрын
tunashukur wa kwetu hakika atujakosea kukuchagua
@ramadhanyusuph7633
@ramadhanyusuph7633 4 жыл бұрын
Huyu mbunge anaongea mambo ya maana sana ila tu wana ............wanachukulia masiala na muheshimiwa ..............anampoteza kwa kumvulugia kuna .....pokea
@husseinyusuph6838
@husseinyusuph6838 6 жыл бұрын
Yani huyuuu bwege namuelewa sana hanaga woga
@JohnJohn-ec5wz
@JohnJohn-ec5wz 6 жыл бұрын
Sijawahi kuchukukia MANENO ya m,bunge wa kusini MUDA MWENGINE NATAMANI kama huyu ndo angekuwa M,BUNGE WA JIMBOLANGU.
@pastor.kanunikayombo7864
@pastor.kanunikayombo7864 5 жыл бұрын
John John daa! huyu nibwege mwenyeakili nyingiiiiiiisana
@abrahamaniismail7333
@abrahamaniismail7333 4 жыл бұрын
Yes even me at Kiteto
@oyay2821
@oyay2821 5 жыл бұрын
Man dharaba nafsi la yabuke.... Ajipigae mwenywe halii
@Mufasa_Babu_Bomba
@Mufasa_Babu_Bomba 4 жыл бұрын
Ina maaana gan?
@bakarikisimbo3919
@bakarikisimbo3919 6 жыл бұрын
Serikali ya ccm ni kama patasi haifanyi kazi mpaka igongwe
@abdulseif4093
@abdulseif4093 5 жыл бұрын
Me ktk wabunge ambao nawaelewa huyu ni the best 😂😂😂
@olexanderj.6969
@olexanderj.6969 4 жыл бұрын
A Parliament where real People's issues are discussed. Hongera Watanzania kwa kujadili maswala yanayowahusu wananchi wenu. Sisi hapa Kenya ni ng'o!
@hyasintakundy369
@hyasintakundy369 5 жыл бұрын
Hilo jina la bwege hukulistahili una akili zako bhana.. siyo kama mbunge msukuma
@evaristmandilindi6147
@evaristmandilindi6147 4 жыл бұрын
Alijiita yeye
@allennabukeera4386
@allennabukeera4386 3 жыл бұрын
hilo bwege laukoo nadhani
@denismujinja1993
@denismujinja1993 2 жыл бұрын
Bwege alijiita mwenywewe. Anamaana ya mnyenyekevu, mtulivu
@dusabearafatrwigema9248
@dusabearafatrwigema9248 Жыл бұрын
Huyu Mp watanzania mumulegeshe kazi mana Ni panafricanitse wakikweli. Yasema ukweli kabisa Africa mashariki Ni number wani kutoka tzd ug kenya burundi mpaka Rwanda akuna kama yeye. Uliskia wapi mzee muzima kama yeye
@nantala299
@nantala299 6 жыл бұрын
Kwer kunafaida ya vyama vingi bungeni.nafuu kuwambiya hvo hvo
@komboomar8275
@komboomar8275 6 жыл бұрын
Cku zote unapo ongea ww mimi huwaga nakuvulia kofia kando na ujumbe wako unaouwasilisha kwa kuchekesha lakini hutoki kwenye points zako za kuwatetea wanyonge wako waliokuchaguwa.. natamani ungekuwa mbunge wangu wa micheweni pemba.
@upendomasai331
@upendomasai331 3 жыл бұрын
Watu Kama Hawa ndoo walikuwa wananifanya nafuatilia bunge saiv ctakuwa na huo muda
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 3 жыл бұрын
Wana Lindi chonde chonde chaguzj zijazo kama patatendeka haki huyu mpigieni kula za ndio akawatetee kwa nguvu na machungu yote
@oyay2821
@oyay2821 5 жыл бұрын
Tena mpaka patasi ambayo ni.... igongwe nyuma ndio ifanye kazi
@victorguardian3377
@victorguardian3377 4 жыл бұрын
This guy is a hero... Naona kwa mbaaaaaaaaaaaaali🇰🇪
@ibrahimmokaya9288
@ibrahimmokaya9288 Жыл бұрын
.... kwa mbali sana...
@barakakinogo4427
@barakakinogo4427 6 жыл бұрын
hakika bwege umesimama vema hiyo patasi igongeni
@scolasticamwete754
@scolasticamwete754 6 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mh bwegee kaah nimecheka.. upyaaaaaaaaa hiyo haina kulala
@petromakilika1131
@petromakilika1131 5 жыл бұрын
huyu mbunge yupo good sanaaaaaa hakika hawa ndo watu wenye uchungu na majimbo yao
@freddymtashi5020
@freddymtashi5020 3 жыл бұрын
Unafaa kuwa Rais wa nchi.
@elizabethmwandu6937
@elizabethmwandu6937 5 жыл бұрын
Hakika wewe mbunge bwege nimekuelewa sana yaani upo kimatani lkn ujumbe unawafikia.
@stadytvonline9572
@stadytvonline9572 6 жыл бұрын
tunaanza upyaaaaaaaa 😂😂😂😂😂
@ggjghh6245
@ggjghh6245 6 жыл бұрын
Hahahaha we bwegee wasalimie kivinjeeeeee
@extramen5534
@extramen5534 5 жыл бұрын
Da!! Bungeni kuna burudani, 2020 lazima niingie
@dodoshavu488
@dodoshavu488 5 жыл бұрын
😃😃😃😃😃
@paulamani3936
@paulamani3936 4 жыл бұрын
Kila kheri 2020 ndio hii
@mohammedmhina3973
@mohammedmhina3973 3 жыл бұрын
@@paulamani3936 vp alifankiwa😂
@paulamani3936
@paulamani3936 3 жыл бұрын
@@mohammedmhina3973 Hahaaa...we mchokozi eee
@danfordaugustino3461
@danfordaugustino3461 6 жыл бұрын
Kusini pamoja na kumpata Rais mkapa aliwatelekeza. Mpaka leo ndio mikoa maskini zaidi Tanzania. Komaeni otherwise Hali itakuwa ngumu.gesi wameitelekeza saizi ni strigliers gorge
@fantsonmpango7742
@fantsonmpango7742 5 жыл бұрын
Japo niko mwanza lakini Bwege nakupendaaaaaaga
@bonnyngowo7567
@bonnyngowo7567 6 жыл бұрын
Kilwa mrudisheni Bwege tena 2020
@sinkalatz4099
@sinkalatz4099 6 жыл бұрын
bonny ngowo tunamrudisha mzee baba maana anatufaa sana😁😁
@happyfiverickaldo4662
@happyfiverickaldo4662 4 жыл бұрын
Hakikaa arudishweee
@happyfiverickaldo4662
@happyfiverickaldo4662 4 жыл бұрын
Hakikaa arudishweee
@edrisalusonge4141
@edrisalusonge4141 Жыл бұрын
Mrudisheni huyu mbunge
@edrisalusonge4141
@edrisalusonge4141 Жыл бұрын
Yani kusini mmepoteza mtu muhimu sana
@mdzainb3722
@mdzainb3722 4 жыл бұрын
Yani huwa napenda kuangalia bunge sababu ya huyu bwegeeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@hamzahamisi4526
@hamzahamisi4526 3 жыл бұрын
Bwege Dah Mimi nadhani hata haowabunge wa ccm walio jazana huko Bungeni Mwaka huu sijui watajifunza kwa nani Bila ya upinzani Hakuna kitu maisha yanahitaji changamoto Bwege Kaka pole sana kwa kilichotokea lakini Mungu yupo
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 6 жыл бұрын
#BWEGE kanywa #MOFAYA nyingi Leo...
@saidishayo1974
@saidishayo1974 6 жыл бұрын
Msg sent na vichekesho safi xna
@abdallahngwame5679
@abdallahngwame5679 6 жыл бұрын
mze mungu akuweke by ngwame
@davidnicas8431
@davidnicas8431 6 жыл бұрын
Ramazani Mulongeca 😂😂😂😂😂😂😂😂
@AUGUSTMUCHKNOW
@AUGUSTMUCHKNOW 5 жыл бұрын
Ramsey hahaha umetishaa mbaya
@samwelnyamhanga2265
@samwelnyamhanga2265 4 жыл бұрын
Sikama wabunge wengine vilaza wana lala tuu bwege upo vzr
@fazeelshomary8743
@fazeelshomary8743 6 жыл бұрын
Hahahah bwege bhana 😂😂😂😂 eti ajipigae mwenyewe halii 😂😂😂
@bensonmmari
@bensonmmari 3 жыл бұрын
Tutammiss sana huyu jamaa, sijui kama kashinda kwakweli ila ni mtu mwenye akili sana.
@jojikeneth9024
@jojikeneth9024 2 жыл бұрын
Alikatwa
@elymuna498
@elymuna498 6 жыл бұрын
tunaaaanzaaaaaaaaaaaaa upyaaaaaaaaaaaaa😂😂😂😂
@mwatumathmani586
@mwatumathmani586 4 жыл бұрын
Hahahaaaa bwege ni nomaaaaa
@wamoroboy8963
@wamoroboy8963 4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@lamuuhasaniso4842
@lamuuhasaniso4842 5 жыл бұрын
Mbuge nayomkubari namba moja ni uyo japo tunacheka ila anaongea ukweri
@kitonekantasha1687
@kitonekantasha1687 4 жыл бұрын
Ivi tz ni LINDI na kn ni MALINDI? Maana sielewi.. ni bahari imegawanywa au? Who is right?
@huseinhamidu7367
@huseinhamidu7367 3 жыл бұрын
Huyu ndombunge aliyekuwa namaneno yapoint Ila ccm nanjama zao wamemwibia kura wanapeleka zezeta bungeni
@kabangoamini8431
@kabangoamini8431 4 жыл бұрын
Basi muheshiwa utazimariza mbavu za wabunge
@kenethndambile3960
@kenethndambile3960 4 жыл бұрын
Kaka selemani naku kubali sana sana kwa ucheshi wako
@kimweritz6364
@kimweritz6364 2 жыл бұрын
Ndugu zangu wa kusini tumrudishe Bwege tena
@samochristopherroche9953
@samochristopherroche9953 3 жыл бұрын
Hakika mwaka huu tutamis Sana vituko vya seleman bungara(bwege)
@rodgersabraham1065
@rodgersabraham1065 5 жыл бұрын
Serikali haifanyi kazi mpaka igongwe hahahahahahahaha
@mohameddyandumbo2826
@mohameddyandumbo2826 6 жыл бұрын
Bwege hongera sana
@leahmgunda4154
@leahmgunda4154 4 жыл бұрын
Jina la Bwege la nini?anajenga hoja vizuri.
@jacktanjackson6434
@jacktanjackson6434 Жыл бұрын
Wa Madhalab Nafsi ya Rabuka ajipigae mwenyewe halii
@huldamichael4445
@huldamichael4445 5 ай бұрын
Taarifa zingine za kijinga!Bwege ana akili kuliko watoa taarifa butu😅😅😅
@renatusmatungwa6800
@renatusmatungwa6800 4 жыл бұрын
Valangati lilelile linaanza tena kusini
@suzanampanda6242
@suzanampanda6242 5 жыл бұрын
😂😂😂sio stakabadhi ghalani ni malipo halali 👐👐👐 bwege bwana.
@mosamossile9113
@mosamossile9113 4 жыл бұрын
Uyu dingi Ana Akir Nyingi sanaaa
@issambamba1106
@issambamba1106 4 жыл бұрын
Mwaka huu ni uchaguzi mkuu,jembe hili lirudi mjengoni jamani wana kilwa.
@sechomemmbaga1172
@sechomemmbaga1172 5 жыл бұрын
Huyu mzeee huwaaa namkubali sn
@sehemunzuri
@sehemunzuri 6 жыл бұрын
NI KAMA PATASI ,HAIFANYI KAZI HADI IGONGWE 💥
@yohanamaugila743
@yohanamaugila743 6 жыл бұрын
buzzfeed TZ bango Kali sana kwa ccm
@viorasaimon8934
@viorasaimon8934 4 жыл бұрын
Aaa,bwanaweee,bwegeeeee,jimbo lako wanabahati kukupata,mwenyez mungu akupe nafasi nyingine tena yakuwa mbunge Mala kwa mala uwe unaingia bungeni kila mda,nipate kucheka niongeze siku zakuishi.
@salehalzakwani3283
@salehalzakwani3283 4 жыл бұрын
Gombea uraisi unayaweza mzee
@najmasaleh9231
@najmasaleh9231 6 жыл бұрын
Huyo ndio bwege bwana kiboko huyo muhulizeni Madabida anamjua vema
@huldamichael4445
@huldamichael4445 5 ай бұрын
Huyu mtu ana akili Sana na anawapenda watu wake na anakijua anachofanya
@deogratiasmassawe4543
@deogratiasmassawe4543 4 жыл бұрын
Taaarf za nn mkuuu
@rubalemaramadhan5345
@rubalemaramadhan5345 6 жыл бұрын
huyu mbuge aagize soda ntaripa
@ramsohouse2838
@ramsohouse2838 19 күн бұрын
Siku hizi ukiangalia bunge kila mbunge naunga mkono hoja au namshukuru bi mkubwa 😂😂
@tiktoktdmdynamo3100
@tiktoktdmdynamo3100 4 жыл бұрын
Bwege mwishoooooooni wameongez mishahara apa
@mikelazaro4479
@mikelazaro4479 6 жыл бұрын
Kweli huyu baba huwa nampenda sana pamoja na kusema kwakwe kwa kuchekesha ila anaongea kwa hisia kali..😂😂😂😂😂
@marykarebeti9410
@marykarebeti9410 6 жыл бұрын
Hahahahahahahaaaaaaaa Uuuuwiiihhhhhhh "Tunaanza uuuppyaaa"
@urassagelas1523
@urassagelas1523 6 жыл бұрын
mh bwege upovizuri
@shailove4785
@shailove4785 6 жыл бұрын
mary karebeti
@aikamanase7334
@aikamanase7334 2 жыл бұрын
Uyu jamaa yuk0 wap..,????
@huldamichael4445
@huldamichael4445 5 ай бұрын
Daah,nakuombea Mungu akuponye mheshimiwa,nakupenda sana
@musakhalfan8474
@musakhalfan8474 4 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀😀 mnatuuwa uwaaaaaaaaaaa
@chegewainaina8038
@chegewainaina8038 7 ай бұрын
watu wa eneo mbunge la mtaala wamrudishe.
@vincentomambia6949
@vincentomambia6949 4 жыл бұрын
Toka kenya Bwege ungekua Kenya kura yangu nakupa mimi hapa
@saalimmohammed3256
@saalimmohammed3256 4 жыл бұрын
Hata mimi niko huku Canada ila namkaribisha kugombea Calgary.
@mwambirekwamboka9525
@mwambirekwamboka9525 6 жыл бұрын
pewa beer mbili bill kwangu 😂😂😂 big up hon Bwege
@allymalenga9598
@allymalenga9598 4 жыл бұрын
Daah...😂😂 Sauti yake kama ya Joti, Duh
@pwagupwagujitu4700
@pwagupwagujitu4700 5 жыл бұрын
Huyu jamaa licha ya kua anavituko ila anaonekana anaelewa anachokisema.
@hamedalsaadi7350
@hamedalsaadi7350 6 жыл бұрын
Saw baba upo vizur San
@Castlee
@Castlee 2 жыл бұрын
9:58 you're welcome
@jumamiraji3081
@jumamiraji3081 6 жыл бұрын
Wewe bwegee upo vizuri
@eliwayne7063
@eliwayne7063 4 жыл бұрын
kilwa tunamuitaji BWEGE mjengoni TENA
@josephlyatuu3520
@josephlyatuu3520 3 жыл бұрын
Aliyesikia Mmechukua, mmeweka, waaaaah..!!! Agonge like
@FabianBwakila
@FabianBwakila 6 жыл бұрын
Yani viongozu wetu wamekuwa vituko wanatuchekesha sanaaaaa tunaanza upyaaaaa
@VillaTemu-k4p
@VillaTemu-k4p 2 күн бұрын
Tungepata wabunge kama huyu ata 7 Tanzania tungefika mbaliiiiik
@zulfasaeed7445
@zulfasaeed7445 4 жыл бұрын
Daaah kichwa sana wallah hy mh bwege😍😍😂😂😂
@mpendwalove4390
@mpendwalove4390 2 жыл бұрын
Farangati lile-lile🤣🤣🤣
@zack_trucker
@zack_trucker Ай бұрын
You should have re elected this man😂😂
@calolinamwandali3599
@calolinamwandali3599 3 жыл бұрын
KWAKWERI ni bwege
@patrickmwakifyogo8529
@patrickmwakifyogo8529 6 жыл бұрын
Kweli bwege yeye kawafanyia nini wananchi wake zaidi ya comedy pasipo kusikilizwa
@mrishompulu7302
@mrishompulu7302 6 жыл бұрын
Sasa kama nawewe n mwanakilwa kweli unauliza katufanyia nn? Apo sindo anatuwakilisha au ulitaka alibebe bunge atuletee kilwa?
@MAGIDACHIMIJA
@MAGIDACHIMIJA 4 ай бұрын
😂😂2024
@siwemaalphoncy2452
@siwemaalphoncy2452 4 жыл бұрын
Mweshimiwa apewe maji nitaripa
@veronicangwale7159
@veronicangwale7159 8 күн бұрын
Natamani arud bungeniiiii😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
@dostovan5142
@dostovan5142 Жыл бұрын
Sasa kuna hili la bandari
@mussachahe12
@mussachahe12 6 жыл бұрын
serikali ya ccm kama patas haifanyi kazi hadi igongwe hahahaaaaaa mh. bwege umenivunja mbavu
@oyay2821
@oyay2821 5 жыл бұрын
Tena igongwe nyuma
@amadmenserpolelisumunguata1818
@amadmenserpolelisumunguata1818 5 жыл бұрын
Mmmh kweli wamechukuwa wameweka waa bwege bhana
@stvnnj
@stvnnj Жыл бұрын
2023 watching this😇😇
@hamadiabdallah3906
@hamadiabdallah3906 2 ай бұрын
Mbunge/wangu miaka yote
@Kingsman2713
@Kingsman2713 6 ай бұрын
2024 nimerudi hapa 😂
@hamisirashidi4470
@hamisirashidi4470 4 жыл бұрын
Extraivu
@abdybanda759
@abdybanda759 2 жыл бұрын
TUNAANZ MPYAAAAAAAAAH
@madukaj.j.6999
@madukaj.j.6999 2 жыл бұрын
Nani yupo 2.2.2022
@graphixmaster6146
@graphixmaster6146 4 жыл бұрын
9:58 😄
@collinpaul1271
@collinpaul1271 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana! 🙏🏽🙏🏽😂
@michaeldebakey5337
@michaeldebakey5337 2 жыл бұрын
9:58 Moto kama pasi
MBUNGE BWEGE ALIVYOZUA BALAA BUNGENI LEO
13:38
Millard Ayo
Рет қаралды 739 М.
'Uliskia wapi?': Mbunge Seleman Bungara (Bwege) funny compilation
3:00
Spongebob ate Michael Jackson 😱 #meme #spongebob #gmod
00:14
Mr. LoLo
Рет қаралды 10 МЛН
How To Get Married:   #short
00:22
Jin and Hattie
Рет қаралды 24 МЛН
💩Поу и Поулина ☠️МОЧАТ 😖Хмурых Тварей?!
00:34
Ной Анимация
Рет қаралды 2 МЛН
Every parent is like this ❤️💚💚💜💙
00:10
Like Asiya
Рет қаралды 18 МЛН
Cheka kidogo na huyu Mbunge anayejiita 'Bwege' na hivi vituko vyake
10:27
VITUKO vya MBUNGE BWEGE,  AMEANZA UPYAAAA, SPIKA Hoi, Awalipua CCM..
13:52
Global TV Online
Рет қаралды 487 М.
“Mimi sielewi mkisema nchi hii ina amani”-Mbunge BWEGE
8:55
Millard Ayo
Рет қаралды 118 М.
Cheka na vituko vingine vya Mbunge 'Bwege' Bungeni
16:06
Millard Ayo
Рет қаралды 189 М.
Mbunge Bwege afunguka kuhusu kuhamia ACT
17:25
Dar24 Media
Рет қаралды 63 М.
Spongebob ate Michael Jackson 😱 #meme #spongebob #gmod
00:14
Mr. LoLo
Рет қаралды 10 МЛН