Msukuma wew ni kiongozi bora kama magufuli mi ningependa sana ugombee urais tutakupitisha tunaona kazi zako nzuri sana
@MpambikaSaidi4 ай бұрын
Good brother
@dorahmushi-we6ts3 ай бұрын
Na Makonda
@DavidNyenge3 ай бұрын
Mmmmmmmmh, urais????
@RashidhKasita4 ай бұрын
Upo saws nakuombea kwa mungu akuongeze
@Saiddoti3 ай бұрын
Ongela. Sana mh.mbunge msukima nikweli eabunge we give nieezi.pia wapo kwa ajiri ya matumbo yao tuu hawapo kwa ability yakuwatumikia watu.
@JustinJonathan-b5b3 ай бұрын
Ase mimi sema ukweli uyu mzee wetu agombee urais tu 🤗🤗 Na lazima apite
@RizzPhilipo3 ай бұрын
Bravo gombea urais msukuma we umepita 💪🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
@ZiyandaMhlana4 ай бұрын
Msukuma kama msouth africa au Mexico 🇲🇽 big up
@MathiusEzekiel4 ай бұрын
Daaaa ubalikiwe musukuma
@jacobdimosso25954 ай бұрын
😂wewe kiongozi bora
@AyubuRichard-oh3ve3 ай бұрын
Asante kwataalifaa iyo ya cag
@DanielLucas-wq7ti3 ай бұрын
Daaaah uko safi sana mzee wa kazi hurry up hurry up wizi mkubwa mimi sioni faida ya elimu wizi tu
@JohnsonNgetwa3 ай бұрын
❤msukuma nakukubali sana😅
@ShottojumaNdakama4 ай бұрын
Ole siza bhabha🌷🥀🌹
@AshaMbaraka-cb5ix4 ай бұрын
Tungekuwa na wabunge kama msukuma 10 nchi yetu ingepiga hatua sana sana ,msukuma mungu akuzidishie maisha marefu
@mmarandu24174 ай бұрын
Asante Msukuma. Waambie BRT itumie UMEME acheni Disel. Msifunge uzalishaji wa ziada wa umeme, utumike BRT na mabasi ya mijini.
@stephenkalidush54464 ай бұрын
mmmh inatumia diesel? kama inatumia diesel, basi tnahitaji katiba kama China kiongozi akichakachua hukumu yake shaba
@BlandinKalistus4 ай бұрын
Uko vizuri mwakilishi wa wanyonge
@badenneyz90564 ай бұрын
kama ulipagawa na hio cover photo ukafungua hii video😂 like hapa
@kulwampalashimpalashi72243 ай бұрын
Fala ww
@JamillahEliya3 ай бұрын
Yaani waandishi niwatu wakuwasamehe tu
@OLIVERSTEPHANO-gy3bu3 ай бұрын
😀😀😃😁😄😂😂😂😂😂
@Maichampiongirl3 ай бұрын
#msukuma ni mtu na robotatu❤❤❤❤❤
@FelixSikanyika-r2hКүн бұрын
Ww nikiongozi Bora sana mungu akupe uzm
@ManeMsenegal4 ай бұрын
Asante sn mbunge wang mtetez wa wanyonge wew na makonda mumefuat mienendo ya anko magu
@Adamally-k4d3 ай бұрын
Hujui kufananisha inahitaji elim pia ( uskurupuke )
@SarahRobert-pi7rw4 ай бұрын
Hongera sana msukuma,wape makavu,watu hawana woga..
@SalimAbdulla-gw5rq4 ай бұрын
Ila mungu alibariki bunge na viongozi tusonge Mbele ila hao wezi wakalime warudishe hela cc raia tunaumia sana .
@zawadigodiwe84254 ай бұрын
Uko vizuli sana we nikiongozi bora unafanya kazi nzuli natamani ungekwa Mbunge wetu asant
@KitilaMndeme4 ай бұрын
Msukuma Yuko vizuri sana taifa mtumieni huyu mfanyabiasha atatuokoa Mungu akusimamie Msukuma
@frankjohn87064 ай бұрын
Huyu kingmsukuma hana kura za maruhani anakura za wanainchi kias hata ikichukua chama ingine huyu hakosi kura za wanainchi maana ni mbunge wa wanainchi kwa tiketi ya ccm sio mbunge wa ccm kwenye jimbo alipo
@GodfredAlfredNgarama4 ай бұрын
Nchi yetu kila mtu anawaza madili tu ndo maana hatuendelei. Raisi wetu jpm pumzika kwa amani
@funekamole67424 ай бұрын
Yaani tunaviongozi wa ovyoo sana!musukuma aliwanyosha tena wameibuka,mamma anakopa wanakula.😢😢😅😅
@lucasngulugulu90744 ай бұрын
Mheshimiwa msukuma nipo mdogo wako hadhina ya taifa nasikitika Sana kwa hilo soon tutakutanaa huko tutasomana vema ndo maana wasukuma wanatuona wakaidi but brother soon ntafka mungu ainue utukufu wake tu
@user-zu3wp3wx8u3 ай бұрын
Kweli kabisa nyie wasukuma mna misimamo hata kama ndgu yangu tundu lisu hii nchi inatakiwa kuongozwa na wenye misimamo tuu
@FurahaSimkwai4 ай бұрын
hongera sana broo irifaa wotee humo bungeni waigee huo mchango wako daah
@FELISTAREMMY4 ай бұрын
Tunakupenda msukuma❤😂😂
@NgodaHakimu3 ай бұрын
asante msukuma wewe na magufuli mlikuwa njia moja ila uliokuwa nao sasa niwapiga dili mungu akulinde mbunge wa taifa
@maximilianmwalwe-rw4il4 ай бұрын
lait tukiwa na watu wa hivi kamaa 100 ingekuwa raha sana big up msukuma
@binssoud19952 ай бұрын
Mbunge of ze season.🎉
@dainessoda13633 ай бұрын
Jaman uyu Msukuma bas tu jaman anasema ukwel mtupu Mungu akutunze baba yetu tunakupenda mnoo🥰
@EnitaKabaga4 ай бұрын
Msukuma katisha😂😂
@paulkulwagambishi23304 ай бұрын
Wasukuma mna misimamo inayotakiwa katika taifa hili, hongera bro
@tielyelibariki89584 ай бұрын
Msukuma hongera sana umeongea point sana tatizo la nchi hii utekelezaji. Naomba tuchukue fomu ya Urais wakuluma wenzako tutakupa kura
@msetimalele29974 ай бұрын
😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@TinaHussein-vz8rj4 ай бұрын
0:21 0:44
@show...0024 ай бұрын
duh yaan wasukuma wana akili mno
@TheresiaCyprian-ky5lt4 ай бұрын
Mungu akulinde ❤ msukuma,wewe ndo magufuri wa pili mungu akupe maisha marefu
@JastineAlistide4 ай бұрын
Ndio kibsaaaaa
@Magrethmwanga-kb2lq4 ай бұрын
Msukuma mungu akulinde undelete kusema ukweli
@matokeomwinami36594 ай бұрын
Magufuli kwann ulikufa lakini ,, huko uliko hata ile barabara ya makambako songea mpaka leo mashimo tu, CAG huku lipoti nishoti tu magu msukuma wanamdharau bungeni eti hajasoma.
@rosekimaro3844 ай бұрын
Hajasoma lakini anapoiti
@chrispinianmassay50954 ай бұрын
Kusoma siyo Kila Kitu.....ubora wa kiongozi siyo kisomo tu....mambo ni mengi.
@harrisntibuhera82014 ай бұрын
Msukuma uko sahihi💯💯
@mariamalongo88034 ай бұрын
Msukuma nitafute nikipe soda ,au beer 😂😂
@JeremiaholendikaMakeseni4 ай бұрын
Ubarikiwe sana kiogozi Bora mtetezi wa wanachi
@gladynkya83622 ай бұрын
Tungekuwa na wabuge 5 km wewe Taifa lingefika mbali Mungu akubariki sana kaka waambie hao ni walafi sana wananchi tunakufa njaa wao Wana kula tu Kodi zetu na Mungu atawalaani
@mwajumakupela78014 ай бұрын
Mungu akulinde
@bolelambunda65544 ай бұрын
Asante msukuma JPM Rest in peace inaumiza time will tell
@jacklinelyimo74074 ай бұрын
Yuko vizuri msukuma
@SamuelJoseph-lk8xd4 ай бұрын
Wao mbunge wetu sema
@NariethYohana4 ай бұрын
Mungu akulinde msukuma
@neema90274 ай бұрын
Musukuma Ana uchungu na Tanzania 🇹🇿
@Tchidymbanga4 ай бұрын
Bravo 👏👏👏
@RashidhKasita4 ай бұрын
❤msukuma
@LuizThobby3 ай бұрын
Sukuma una point sana
@muniraahmed6244 ай бұрын
Aseee. Nomaa
@WinifridaMgimba4 ай бұрын
Safi msukuma
@WAIMANIKAMWELA-lq4pm4 ай бұрын
😂😂😂 uko vzr
@Barakamoleli-ww5by4 ай бұрын
Msukuma mmebaki wawili wazarendo nchini niwewe na makonda mbagara nyayo zamagu
@HenryCastuli-jz3cx4 ай бұрын
Mtazamo wako labda msukuma na mpina
@AbdulyMajaliwa-v4r4 ай бұрын
Toa makonda weka hussein bashe
@janethrulenguka9064 ай бұрын
Msukuma unanibarikj sana yaani barikiwa😍
@MathewKabangila3 ай бұрын
Msukuma ww unafaa kuwa rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania
@ClaudPius4 ай бұрын
We ndo kiongz Bora
@alichengilangwa13614 ай бұрын
Nakukubari sana weye mheshimiwa mpina piga kazi
@salmabenardmasanja34404 ай бұрын
Big up sana msukuma
@SamsonMhaya3 ай бұрын
Wabunge kuweni na machungu na mali za taifa kama Msukuma
@FrancisMkuta4 ай бұрын
Msukuma sema utalipwa na Mungu.
@NgodaHakimu3 ай бұрын
ndio kama tanzania haipendi ukweli kwa mungu utamuokoa ukweli huo na kuonyesha kuwa alikosa meno ya kuwa wajibisha lakini ina muuma
@MalikiMamboleo3 ай бұрын
Yani ukweli uyu jama ni atariiiiiii sanaaaaa
@LingsonMwakayonga4 ай бұрын
Uko vizuri
@REVILIANCHRISTOPHERFREDR-yc7fl4 ай бұрын
Hapa ndo tunaelewa msomi ni Nani Nadhani msukuma ni msomi kamili hachana na HAO wanatafakali usomi katika karatasi Ila nje wanayoyafanya hata haya....... Big up grandpa!!!!!!!!
@AminaLibisa4 ай бұрын
Hahaha Eti mtoto wa kitaa msukuma oyeeeeee 😂😂
@atenionesmo_A104 ай бұрын
oyeeee🎉🎉🎉
@winifridaboniphace56814 ай бұрын
🎉🎉 safi sana mtani umeongea pointi
@NeemaShao4 ай бұрын
Mungu akulinde msukuma kama alivyowalinda wana waisrael jangwani
@Msafirimzigwa3 ай бұрын
Binge la Tanzania mi tofaut kabisa na mabunge ya nchi zengne Tanzania bdo Yuko nyuma san
Jamani kuweni na hofu ya Mungu hii nchi itabakia na hamtaondoka na kitu duniani ni mapito tuu.
@MwalumogoMsigwa4 ай бұрын
Msukuma na kishimba nawapendeni🎉🎉🎉🎉
@Benny46y14 ай бұрын
Hongera sana baba yetu mpendwa 🎉🎉🎉 long live
@JumaOmary-yg5rq3 ай бұрын
Kwa kweli kama kungekuwa na wabunge kama msukuma 20 tu tz tungesonga mbele sana
@davidsalumruyagazaruyagaza2 ай бұрын
Safi Sana msukuma nakubal san
@hidayaomary86113 ай бұрын
Wachane wachane Msukuma. Hiv ndyo wabunge mnatakiwa muwe Siyo kumunguny maneno Mungu akuweke Mhe.Msukuma wetu
@MerinaChussa3 ай бұрын
Hakika Msukuma mtu na nusu.😂😂
@riverlolence4 ай бұрын
mungu akulinde msukuma baba wewe nikama baba magufuri
@abudulingasa64134 ай бұрын
Umemuona na ww et
@mansolamjeda59894 ай бұрын
Mungu akubariki musukuma, chukua fomu ya Urais tuko nyuma yako
@ReylaMalambo-qy6ei4 ай бұрын
Mzimu wa Magufuli umemuingia
@abudulingasa64134 ай бұрын
Kabisa tena sana2 😅😅
@hillshipping51174 ай бұрын
MashaAllah, msukuma unafaa kuwa mbunge wakudumu bila ya kupigiwa kura watanzania tuamke huyu anafaa anajitoa sana jamani huyu asigombee apewe kura moja kwa moja safi sana Allah akulinde mpaka mwisho wa maisha yako yarrabi
@ALPHONCEKADONDO-qs5hr3 ай бұрын
Hiyo hatarii saanaaa
@AbdulNgombe4 ай бұрын
Kaka mh. Msukuma, mm niko mtwara ila ninakukubali balaaa. Karibu jimboni kwetu masasi mjini, ugombee ubunge tumemchoka GEOFFREY IDELFONCE MWAMBE. Mbunge asiyejitambua, mbinafsi, na mkaidi kwa maagizo na mipango ya serikali.
@ladislausmoris96384 ай бұрын
Hongera sana king msukuma
@NgodaHakimu3 ай бұрын
mpeni maua yake waizi wengi ni wasomi na hili alisha lisema hata raisi wangu magufuli msukukuma oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee😅
@siamollel60514 ай бұрын
Tunaomba msaada hasa kwenye miradi ya serikali mingi mmewapa wachina ila watanzania masikini wanateseka hawana wakuwatetea vijana wanafanywa kama wakimbizi ,,mikataba hamna ,na ikiwepo ni batili,mishahara duni,Pesa za wafanyakazi wanagawana wao wanawapa wafanyakazi kiasi wanachokitaka,,Wachina wanaishi kwakutoa rushwa kwa viongozi wa mkoa,wilaya na almashauri,,mateso yanabaki kwa wafanya kazi wa hali ya chini,,Tunaomba wabunge na mawaziri kagueni miradi iliyopo kwenye majimbo yenu,,Napia fuatilieni haki za wazawa wanaofanya kazi kwenye hiyo miradi , Tanzania ni yawatanzania,,hakuna mtu katili kama mchina jamani
@TomassBenson4 ай бұрын
Mlisema bunge likiwa la ccm mtafanya kazi hiyo ndio kazi
@JohnMatara4 ай бұрын
Asaivi bunge la kichoko
@EmmanuelMsangi-kb3vv4 ай бұрын
Inaumiza sana sana Sasa hao wafungwa wa somalia kosa lao nikuingia nchini kinyume na utaratibu sikuwarudisha kwao kuliko kuhangaika nao
@NestoryBarabara3 ай бұрын
Muskuma mungu akuzidishie uripo pungukiwa naakupe maisha marefu
@AnnaMacha-rg6ri3 ай бұрын
Mungu Akulindemsukuma ❤❤❤🎉🎉😊😊
@RajabujegaKapindijega3 ай бұрын
Msukumu wew ni kiongozi wa aina yake
@PauloMhagama-ld8xq3 ай бұрын
Msukumaa hoyeeeh!
@kamugaelias37544 ай бұрын
Hakuna mwenye machungu na inchi ila wapo kwa ajili ya masirahi yao na familia zao tu
@LuluMalima-j1w4 ай бұрын
Thank you thank you, SEMA jamani hii nchi heeee. Talk, let's take real action
@MbonimpayeRuzimanwa3 ай бұрын
Hivi hili jembe msukuma ni pacha wake na marehem magufuri? Msukuma jamani. Hafai kuwa mbunge hata kidogo anatupotezea mda. Anafaa kuwa rais wa tanzania mana ni kiongozi bora msema ukweli na si bora kiongozi. Wabunge wengine waige nyayo zake
@JohnMhogo-hd3fs4 ай бұрын
Naona ndio ile sifa yakwamba mama anaupiga mwingi, wakati wananchi tunapigika mno
@leonardsimeo-jm8ex4 ай бұрын
One day yes,,Hii nchi si ya watanzania wote lakin wanaitafuna wachache saana Ila ipo siku
@KashindyeIlaguzi-ve9pn3 ай бұрын
Mh, baadae gombea urais kura ya Kwanzaa ni yang, wasukuma hatushindwi kitu
@JonasiChiristian4 ай бұрын
Wewe nikiongizi borasana mungu akulinde baba
@SalimAbdulla-gw5rq4 ай бұрын
Wizi bwana mnajuana tunaoumia ni cc ambao hatuna ajira serikalini maneno c vitendo umeongea kweli Baba kama inakuwa ivo ni Tam sana.ila maongezi yapo vitendo hamna .
@reylajoseph4 ай бұрын
Upewe ulinzi ❤baba
@edwardKilogeja4 ай бұрын
Hongera sana Mh
@noramkendamunishi69024 ай бұрын
Tanzania na uongozi mzima ni sikio la kufa. Halisikii dawa. Imesemwq sana. Hakuna jipya. Ila bora muda wa bunge utumike hivi. Ila huwa nasema miaka. Mwisho wa haya ni pale bunge litakapoanza kupiga kura kwa kitufe. Na kila mbunge atakapokuwa na historia ya kura alizopiga kwenye hansard. Akija kuomba kura tujue kuwa alipitisha mada zipi.