MSUKUMA "AVURUGA" bunge Zima, AKINUKISHA Balaaa!!!!!

  Рет қаралды 330,637

SUPER TAMUTAMU

SUPER TAMUTAMU

Күн бұрын

Пікірлер: 352
@BahatiPaulo-h5z
@BahatiPaulo-h5z 4 ай бұрын
Msukuma wew ni kiongozi bora kama magufuli mi ningependa sana ugombee urais tutakupitisha tunaona kazi zako nzuri sana
@MpambikaSaidi
@MpambikaSaidi 4 ай бұрын
Good brother
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 3 ай бұрын
Na Makonda
@DavidNyenge
@DavidNyenge 3 ай бұрын
Mmmmmmmmh, urais????
@RashidhKasita
@RashidhKasita 4 ай бұрын
Upo saws nakuombea kwa mungu akuongeze
@Saiddoti
@Saiddoti 3 ай бұрын
Ongela. Sana mh.mbunge msukima nikweli eabunge we give nieezi.pia wapo kwa ajiri ya matumbo yao tuu hawapo kwa ability yakuwatumikia watu.
@JustinJonathan-b5b
@JustinJonathan-b5b 3 ай бұрын
Ase mimi sema ukweli uyu mzee wetu agombee urais tu 🤗🤗 Na lazima apite
@RizzPhilipo
@RizzPhilipo 3 ай бұрын
Bravo gombea urais msukuma we umepita 💪🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
@ZiyandaMhlana
@ZiyandaMhlana 4 ай бұрын
Msukuma kama msouth africa au Mexico 🇲🇽 big up
@MathiusEzekiel
@MathiusEzekiel 4 ай бұрын
Daaaa ubalikiwe musukuma
@jacobdimosso2595
@jacobdimosso2595 4 ай бұрын
😂wewe kiongozi bora
@AyubuRichard-oh3ve
@AyubuRichard-oh3ve 3 ай бұрын
Asante kwataalifaa iyo ya cag
@DanielLucas-wq7ti
@DanielLucas-wq7ti 3 ай бұрын
Daaaah uko safi sana mzee wa kazi hurry up hurry up wizi mkubwa mimi sioni faida ya elimu wizi tu
@JohnsonNgetwa
@JohnsonNgetwa 3 ай бұрын
❤msukuma nakukubali sana😅
@ShottojumaNdakama
@ShottojumaNdakama 4 ай бұрын
Ole siza bhabha🌷🥀🌹
@AshaMbaraka-cb5ix
@AshaMbaraka-cb5ix 4 ай бұрын
Tungekuwa na wabunge kama msukuma 10 nchi yetu ingepiga hatua sana sana ,msukuma mungu akuzidishie maisha marefu
@mmarandu2417
@mmarandu2417 4 ай бұрын
Asante Msukuma. Waambie BRT itumie UMEME acheni Disel. Msifunge uzalishaji wa ziada wa umeme, utumike BRT na mabasi ya mijini.
@stephenkalidush5446
@stephenkalidush5446 4 ай бұрын
mmmh inatumia diesel? kama inatumia diesel, basi tnahitaji katiba kama China kiongozi akichakachua hukumu yake shaba
@BlandinKalistus
@BlandinKalistus 4 ай бұрын
Uko vizuri mwakilishi wa wanyonge
@badenneyz9056
@badenneyz9056 4 ай бұрын
kama ulipagawa na hio cover photo ukafungua hii video😂 like hapa
@kulwampalashimpalashi7224
@kulwampalashimpalashi7224 3 ай бұрын
Fala ww
@JamillahEliya
@JamillahEliya 3 ай бұрын
Yaani waandishi niwatu wakuwasamehe tu
@OLIVERSTEPHANO-gy3bu
@OLIVERSTEPHANO-gy3bu 3 ай бұрын
😀😀😃😁😄😂😂😂😂😂
@Maichampiongirl
@Maichampiongirl 3 ай бұрын
#msukuma ni mtu na robotatu❤❤❤❤❤
@FelixSikanyika-r2h
@FelixSikanyika-r2h Күн бұрын
Ww nikiongozi Bora sana mungu akupe uzm
@ManeMsenegal
@ManeMsenegal 4 ай бұрын
Asante sn mbunge wang mtetez wa wanyonge wew na makonda mumefuat mienendo ya anko magu
@Adamally-k4d
@Adamally-k4d 3 ай бұрын
Hujui kufananisha inahitaji elim pia ( uskurupuke )
@SarahRobert-pi7rw
@SarahRobert-pi7rw 4 ай бұрын
Hongera sana msukuma,wape makavu,watu hawana woga..
@SalimAbdulla-gw5rq
@SalimAbdulla-gw5rq 4 ай бұрын
Ila mungu alibariki bunge na viongozi tusonge Mbele ila hao wezi wakalime warudishe hela cc raia tunaumia sana .
@zawadigodiwe8425
@zawadigodiwe8425 4 ай бұрын
Uko vizuli sana we nikiongozi bora unafanya kazi nzuli natamani ungekwa Mbunge wetu asant
@KitilaMndeme
@KitilaMndeme 4 ай бұрын
Msukuma Yuko vizuri sana taifa mtumieni huyu mfanyabiasha atatuokoa Mungu akusimamie Msukuma
@frankjohn8706
@frankjohn8706 4 ай бұрын
Huyu kingmsukuma hana kura za maruhani anakura za wanainchi kias hata ikichukua chama ingine huyu hakosi kura za wanainchi maana ni mbunge wa wanainchi kwa tiketi ya ccm sio mbunge wa ccm kwenye jimbo alipo
@GodfredAlfredNgarama
@GodfredAlfredNgarama 4 ай бұрын
Nchi yetu kila mtu anawaza madili tu ndo maana hatuendelei. Raisi wetu jpm pumzika kwa amani
@funekamole6742
@funekamole6742 4 ай бұрын
Yaani tunaviongozi wa ovyoo sana!musukuma aliwanyosha tena wameibuka,mamma anakopa wanakula.😢😢😅😅
@lucasngulugulu9074
@lucasngulugulu9074 4 ай бұрын
Mheshimiwa msukuma nipo mdogo wako hadhina ya taifa nasikitika Sana kwa hilo soon tutakutanaa huko tutasomana vema ndo maana wasukuma wanatuona wakaidi but brother soon ntafka mungu ainue utukufu wake tu
@user-zu3wp3wx8u
@user-zu3wp3wx8u 3 ай бұрын
Kweli kabisa nyie wasukuma mna misimamo hata kama ndgu yangu tundu lisu hii nchi inatakiwa kuongozwa na wenye misimamo tuu
@FurahaSimkwai
@FurahaSimkwai 4 ай бұрын
hongera sana broo irifaa wotee humo bungeni waigee huo mchango wako daah
@FELISTAREMMY
@FELISTAREMMY 4 ай бұрын
Tunakupenda msukuma❤😂😂
@NgodaHakimu
@NgodaHakimu 3 ай бұрын
asante msukuma wewe na magufuli mlikuwa njia moja ila uliokuwa nao sasa niwapiga dili mungu akulinde mbunge wa taifa
@maximilianmwalwe-rw4il
@maximilianmwalwe-rw4il 4 ай бұрын
lait tukiwa na watu wa hivi kamaa 100 ingekuwa raha sana big up msukuma
@binssoud1995
@binssoud1995 2 ай бұрын
Mbunge of ze season.🎉
@dainessoda1363
@dainessoda1363 3 ай бұрын
Jaman uyu Msukuma bas tu jaman anasema ukwel mtupu Mungu akutunze baba yetu tunakupenda mnoo🥰
@EnitaKabaga
@EnitaKabaga 4 ай бұрын
Msukuma katisha😂😂
@paulkulwagambishi2330
@paulkulwagambishi2330 4 ай бұрын
Wasukuma mna misimamo inayotakiwa katika taifa hili, hongera bro
@tielyelibariki8958
@tielyelibariki8958 4 ай бұрын
Msukuma hongera sana umeongea point sana tatizo la nchi hii utekelezaji. Naomba tuchukue fomu ya Urais wakuluma wenzako tutakupa kura
@msetimalele2997
@msetimalele2997 4 ай бұрын
😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@TinaHussein-vz8rj
@TinaHussein-vz8rj 4 ай бұрын
0:21 0:44
@show...002
@show...002 4 ай бұрын
duh yaan wasukuma wana akili mno
@TheresiaCyprian-ky5lt
@TheresiaCyprian-ky5lt 4 ай бұрын
Mungu akulinde ❤ msukuma,wewe ndo magufuri wa pili mungu akupe maisha marefu
@JastineAlistide
@JastineAlistide 4 ай бұрын
Ndio kibsaaaaa
@Magrethmwanga-kb2lq
@Magrethmwanga-kb2lq 4 ай бұрын
Msukuma mungu akulinde undelete kusema ukweli
@matokeomwinami3659
@matokeomwinami3659 4 ай бұрын
Magufuli kwann ulikufa lakini ,, huko uliko hata ile barabara ya makambako songea mpaka leo mashimo tu, CAG huku lipoti nishoti tu magu msukuma wanamdharau bungeni eti hajasoma.
@rosekimaro384
@rosekimaro384 4 ай бұрын
Hajasoma lakini anapoiti
@chrispinianmassay5095
@chrispinianmassay5095 4 ай бұрын
Kusoma siyo Kila Kitu.....ubora wa kiongozi siyo kisomo tu....mambo ni mengi.
@harrisntibuhera8201
@harrisntibuhera8201 4 ай бұрын
Msukuma uko sahihi💯💯
@mariamalongo8803
@mariamalongo8803 4 ай бұрын
Msukuma nitafute nikipe soda ,au beer 😂😂
@JeremiaholendikaMakeseni
@JeremiaholendikaMakeseni 4 ай бұрын
Ubarikiwe sana kiogozi Bora mtetezi wa wanachi
@gladynkya8362
@gladynkya8362 2 ай бұрын
Tungekuwa na wabuge 5 km wewe Taifa lingefika mbali Mungu akubariki sana kaka waambie hao ni walafi sana wananchi tunakufa njaa wao Wana kula tu Kodi zetu na Mungu atawalaani
@mwajumakupela7801
@mwajumakupela7801 4 ай бұрын
Mungu akulinde
@bolelambunda6554
@bolelambunda6554 4 ай бұрын
Asante msukuma JPM Rest in peace inaumiza time will tell
@jacklinelyimo7407
@jacklinelyimo7407 4 ай бұрын
Yuko vizuri msukuma
@SamuelJoseph-lk8xd
@SamuelJoseph-lk8xd 4 ай бұрын
Wao mbunge wetu sema
@NariethYohana
@NariethYohana 4 ай бұрын
Mungu akulinde msukuma
@neema9027
@neema9027 4 ай бұрын
Musukuma Ana uchungu na Tanzania 🇹🇿
@Tchidymbanga
@Tchidymbanga 4 ай бұрын
Bravo 👏👏👏
@RashidhKasita
@RashidhKasita 4 ай бұрын
❤msukuma
@LuizThobby
@LuizThobby 3 ай бұрын
Sukuma una point sana
@muniraahmed624
@muniraahmed624 4 ай бұрын
Aseee. Nomaa
@WinifridaMgimba
@WinifridaMgimba 4 ай бұрын
Safi msukuma
@WAIMANIKAMWELA-lq4pm
@WAIMANIKAMWELA-lq4pm 4 ай бұрын
😂😂😂 uko vzr
@Barakamoleli-ww5by
@Barakamoleli-ww5by 4 ай бұрын
Msukuma mmebaki wawili wazarendo nchini niwewe na makonda mbagara nyayo zamagu
@HenryCastuli-jz3cx
@HenryCastuli-jz3cx 4 ай бұрын
Mtazamo wako labda msukuma na mpina
@AbdulyMajaliwa-v4r
@AbdulyMajaliwa-v4r 4 ай бұрын
Toa makonda weka hussein bashe
@janethrulenguka906
@janethrulenguka906 4 ай бұрын
Msukuma unanibarikj sana yaani barikiwa😍
@MathewKabangila
@MathewKabangila 3 ай бұрын
Msukuma ww unafaa kuwa rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania
@ClaudPius
@ClaudPius 4 ай бұрын
We ndo kiongz Bora
@alichengilangwa1361
@alichengilangwa1361 4 ай бұрын
Nakukubari sana weye mheshimiwa mpina piga kazi
@salmabenardmasanja3440
@salmabenardmasanja3440 4 ай бұрын
Big up sana msukuma
@SamsonMhaya
@SamsonMhaya 3 ай бұрын
Wabunge kuweni na machungu na mali za taifa kama Msukuma
@FrancisMkuta
@FrancisMkuta 4 ай бұрын
Msukuma sema utalipwa na Mungu.
@NgodaHakimu
@NgodaHakimu 3 ай бұрын
ndio kama tanzania haipendi ukweli kwa mungu utamuokoa ukweli huo na kuonyesha kuwa alikosa meno ya kuwa wajibisha lakini ina muuma
@MalikiMamboleo
@MalikiMamboleo 3 ай бұрын
Yani ukweli uyu jama ni atariiiiiii sanaaaaa
@LingsonMwakayonga
@LingsonMwakayonga 4 ай бұрын
Uko vizuri
@REVILIANCHRISTOPHERFREDR-yc7fl
@REVILIANCHRISTOPHERFREDR-yc7fl 4 ай бұрын
Hapa ndo tunaelewa msomi ni Nani Nadhani msukuma ni msomi kamili hachana na HAO wanatafakali usomi katika karatasi Ila nje wanayoyafanya hata haya....... Big up grandpa!!!!!!!!
@AminaLibisa
@AminaLibisa 4 ай бұрын
Hahaha Eti mtoto wa kitaa msukuma oyeeeeee 😂😂
@atenionesmo_A10
@atenionesmo_A10 4 ай бұрын
oyeeee🎉🎉🎉
@winifridaboniphace5681
@winifridaboniphace5681 4 ай бұрын
🎉🎉 safi sana mtani umeongea pointi
@NeemaShao
@NeemaShao 4 ай бұрын
Mungu akulinde msukuma kama alivyowalinda wana waisrael jangwani
@Msafirimzigwa
@Msafirimzigwa 3 ай бұрын
Binge la Tanzania mi tofaut kabisa na mabunge ya nchi zengne Tanzania bdo Yuko nyuma san
@NgodaHakimu
@NgodaHakimu 3 ай бұрын
kivipi mwizi wewe hupendi kuambiwa ukweli kwendaaa
@nicolauslema88
@nicolauslema88 4 ай бұрын
Jamani kuweni na hofu ya Mungu hii nchi itabakia na hamtaondoka na kitu duniani ni mapito tuu.
@MwalumogoMsigwa
@MwalumogoMsigwa 4 ай бұрын
Msukuma na kishimba nawapendeni🎉🎉🎉🎉
@Benny46y1
@Benny46y1 4 ай бұрын
Hongera sana baba yetu mpendwa 🎉🎉🎉 long live
@JumaOmary-yg5rq
@JumaOmary-yg5rq 3 ай бұрын
Kwa kweli kama kungekuwa na wabunge kama msukuma 20 tu tz tungesonga mbele sana
@davidsalumruyagazaruyagaza
@davidsalumruyagazaruyagaza 2 ай бұрын
Safi Sana msukuma nakubal san
@hidayaomary8611
@hidayaomary8611 3 ай бұрын
Wachane wachane Msukuma. Hiv ndyo wabunge mnatakiwa muwe Siyo kumunguny maneno Mungu akuweke Mhe.Msukuma wetu
@MerinaChussa
@MerinaChussa 3 ай бұрын
Hakika Msukuma mtu na nusu.😂😂
@riverlolence
@riverlolence 4 ай бұрын
mungu akulinde msukuma baba wewe nikama baba magufuri
@abudulingasa6413
@abudulingasa6413 4 ай бұрын
Umemuona na ww et
@mansolamjeda5989
@mansolamjeda5989 4 ай бұрын
Mungu akubariki musukuma, chukua fomu ya Urais tuko nyuma yako
@ReylaMalambo-qy6ei
@ReylaMalambo-qy6ei 4 ай бұрын
Mzimu wa Magufuli umemuingia
@abudulingasa6413
@abudulingasa6413 4 ай бұрын
Kabisa tena sana2 😅😅
@hillshipping5117
@hillshipping5117 4 ай бұрын
MashaAllah, msukuma unafaa kuwa mbunge wakudumu bila ya kupigiwa kura watanzania tuamke huyu anafaa anajitoa sana jamani huyu asigombee apewe kura moja kwa moja safi sana Allah akulinde mpaka mwisho wa maisha yako yarrabi
@ALPHONCEKADONDO-qs5hr
@ALPHONCEKADONDO-qs5hr 3 ай бұрын
Hiyo hatarii saanaaa
@AbdulNgombe
@AbdulNgombe 4 ай бұрын
Kaka mh. Msukuma, mm niko mtwara ila ninakukubali balaaa. Karibu jimboni kwetu masasi mjini, ugombee ubunge tumemchoka GEOFFREY IDELFONCE MWAMBE. Mbunge asiyejitambua, mbinafsi, na mkaidi kwa maagizo na mipango ya serikali.
@ladislausmoris9638
@ladislausmoris9638 4 ай бұрын
Hongera sana king msukuma
@NgodaHakimu
@NgodaHakimu 3 ай бұрын
mpeni maua yake waizi wengi ni wasomi na hili alisha lisema hata raisi wangu magufuli msukukuma oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee😅
@siamollel6051
@siamollel6051 4 ай бұрын
Tunaomba msaada hasa kwenye miradi ya serikali mingi mmewapa wachina ila watanzania masikini wanateseka hawana wakuwatetea vijana wanafanywa kama wakimbizi ,,mikataba hamna ,na ikiwepo ni batili,mishahara duni,Pesa za wafanyakazi wanagawana wao wanawapa wafanyakazi kiasi wanachokitaka,,Wachina wanaishi kwakutoa rushwa kwa viongozi wa mkoa,wilaya na almashauri,,mateso yanabaki kwa wafanya kazi wa hali ya chini,,Tunaomba wabunge na mawaziri kagueni miradi iliyopo kwenye majimbo yenu,,Napia fuatilieni haki za wazawa wanaofanya kazi kwenye hiyo miradi , Tanzania ni yawatanzania,,hakuna mtu katili kama mchina jamani
@TomassBenson
@TomassBenson 4 ай бұрын
Mlisema bunge likiwa la ccm mtafanya kazi hiyo ndio kazi
@JohnMatara
@JohnMatara 4 ай бұрын
Asaivi bunge la kichoko
@EmmanuelMsangi-kb3vv
@EmmanuelMsangi-kb3vv 4 ай бұрын
Inaumiza sana sana Sasa hao wafungwa wa somalia kosa lao nikuingia nchini kinyume na utaratibu sikuwarudisha kwao kuliko kuhangaika nao
@NestoryBarabara
@NestoryBarabara 3 ай бұрын
Muskuma mungu akuzidishie uripo pungukiwa naakupe maisha marefu
@AnnaMacha-rg6ri
@AnnaMacha-rg6ri 3 ай бұрын
Mungu Akulindemsukuma ❤❤❤🎉🎉😊😊
@RajabujegaKapindijega
@RajabujegaKapindijega 3 ай бұрын
Msukumu wew ni kiongozi wa aina yake
@PauloMhagama-ld8xq
@PauloMhagama-ld8xq 3 ай бұрын
Msukumaa hoyeeeh!
@kamugaelias3754
@kamugaelias3754 4 ай бұрын
Hakuna mwenye machungu na inchi ila wapo kwa ajili ya masirahi yao na familia zao tu
@LuluMalima-j1w
@LuluMalima-j1w 4 ай бұрын
Thank you thank you, SEMA jamani hii nchi heeee. Talk, let's take real action
@MbonimpayeRuzimanwa
@MbonimpayeRuzimanwa 3 ай бұрын
Hivi hili jembe msukuma ni pacha wake na marehem magufuri? Msukuma jamani. Hafai kuwa mbunge hata kidogo anatupotezea mda. Anafaa kuwa rais wa tanzania mana ni kiongozi bora msema ukweli na si bora kiongozi. Wabunge wengine waige nyayo zake
@JohnMhogo-hd3fs
@JohnMhogo-hd3fs 4 ай бұрын
Naona ndio ile sifa yakwamba mama anaupiga mwingi, wakati wananchi tunapigika mno
@leonardsimeo-jm8ex
@leonardsimeo-jm8ex 4 ай бұрын
One day yes,,Hii nchi si ya watanzania wote lakin wanaitafuna wachache saana Ila ipo siku
@KashindyeIlaguzi-ve9pn
@KashindyeIlaguzi-ve9pn 3 ай бұрын
Mh, baadae gombea urais kura ya Kwanzaa ni yang, wasukuma hatushindwi kitu
@JonasiChiristian
@JonasiChiristian 4 ай бұрын
Wewe nikiongizi borasana mungu akulinde baba
@SalimAbdulla-gw5rq
@SalimAbdulla-gw5rq 4 ай бұрын
Wizi bwana mnajuana tunaoumia ni cc ambao hatuna ajira serikalini maneno c vitendo umeongea kweli Baba kama inakuwa ivo ni Tam sana.ila maongezi yapo vitendo hamna .
@reylajoseph
@reylajoseph 4 ай бұрын
Upewe ulinzi ❤baba
@edwardKilogeja
@edwardKilogeja 4 ай бұрын
Hongera sana Mh
@noramkendamunishi6902
@noramkendamunishi6902 4 ай бұрын
Tanzania na uongozi mzima ni sikio la kufa. Halisikii dawa. Imesemwq sana. Hakuna jipya. Ila bora muda wa bunge utumike hivi. Ila huwa nasema miaka. Mwisho wa haya ni pale bunge litakapoanza kupiga kura kwa kitufe. Na kila mbunge atakapokuwa na historia ya kura alizopiga kwenye hansard. Akija kuomba kura tujue kuwa alipitisha mada zipi.
"UMEPATA UBUNGE TU, UKAMUACHA MUMEO, TULIA NIKUPASHE WEWE" - MBUNGE KEISSY
6:07
这三姐弟太会藏了!#小丑#天使#路飞#家庭#搞笑
00:24
家庭搞笑日记
Рет қаралды 126 МЛН
OYUNCAK MİKROFON İLE TRAFİK LAMBASINI DEĞİŞTİRDİ 😱
00:17
Melih Taşçı
Рет қаралды 9 МЛН
HAH Chaos in the Bathroom 🚽✨ Smart Tools for the Throne 😜
00:49
123 GO! Kevin
Рет қаралды 13 МЛН
RASMI, TANZANIA IMEREJEA GIZANI KITAIFA NA KIMATAIFA
27:22
SK Media Online TV
Рет қаралды 47 М.