MBUZI ALIWA UWANJANI MCHANA KWEUPEEE BAADA YA USHINDI

  Рет қаралды 106

GSengo

GSengo

Күн бұрын

NA ALBERT G. SENGO/MWANZA
Hatimaye timu ya kandanda ya Elias Garage fc wametawazwa kuwa Mabingwa wa Michuano ya Mbao fc Kombe la Mbuzi mara baada ya kuwatungua bao moja sufuri wababe wa Ilemela Wakulungwa Fc katika mchezo wa fainali uliopigwa leo katika uwanja vya Mbao Sabasaba jijini Mwanza.
Pamoja na zawadi ya Mbuzi mnyama Jembe fm ilikabidhi zawadi ya mpira wenye hadhi ya michuano ya ligi Kuu uliotolewa na Duka la vifaa vya michezo la Makilagi Sports Wear, sanjari na pumpu yake.
Jicho la Sports Ripoti lilikuwa pale na mwanamichezo wetu Albert G Sengo, anashuka na taarifa zaidi.....

Пікірлер
Миллионер | 1 - серия
34:31
Million Show
Рет қаралды 2,9 МЛН
РОДИТЕЛИ НА ШКОЛЬНОМ ПРАЗДНИКЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 3,9 МЛН
Good teacher wows kids with practical examples #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 12 МЛН
UBORA WA CAGES/KEJI ZA KUKU NDIO FAIDA KATIKA MRADI WAKO, TUMIA ECONOMY CHICKEN CAGES
5:21
PROF KABUDI ASHANGAZA WENGI KWA HOTUBA YAKE
37:31
Ngasa Tv
Рет қаралды 186 М.
JUMA KASEJA MIKONO 7; PENATI zote za  WABURUNDI zafia KWAKE
6:53
Rwanda 2-1 Benin | AFCON 2025 Qualifiers Highlights
14:01
E M Sports TV
Рет қаралды 87 М.
Миллионер | 1 - серия
34:31
Million Show
Рет қаралды 2,9 МЛН