Thanks alot mwamba, tupatie uchambuzi wa FADLU DAVIDS tafadhali
@lesemomole628626 күн бұрын
Mchambuzi wangu Bora wa muda wote huwa namaliza bando kwa kusikiliza uchambuzi wake God bless you brother
@MbwadukeStats25 күн бұрын
Aamyin!
@setheliazery816825 күн бұрын
Kweli umekuwa mwalim mzuri wa ball na enjoy sana kwa statistics unazotoa , thanks
@AbelJoseph-ef8bf21 күн бұрын
Baba unajua sana nakupenda unajua sana
@user-cz7lp1le4e26 күн бұрын
Big up mbwaduke pamoja sana
@farajmanuar358926 күн бұрын
Uchambuz mzur sana mwl wa mpira..
@allyhuyu189221 күн бұрын
Kwani kuna anateseka kutokana na ubora wa mnyama kwenye rankings za caf
@Mariampaul-me7qo23 күн бұрын
We mchambuzi wangu boraa kwasasa❤
@SamwelLameck-rv3fd14 күн бұрын
Kwell😅❤
@AbdumajidAjnan21 күн бұрын
Nakukubari sana we baba
@MbwadukeStats21 күн бұрын
Kwa taarifa rasmi ziIilizotolewa na Kamwe ni kwamba bado yupo kikosini Yanga.
@user-rg7tx2cc1l25 күн бұрын
Anayejua anajua 🎉🎉🎉🎉
@zakayomgaya275826 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤💪💪💪💪💪💪💪
@nicholausrutayuga445824 күн бұрын
Asante Mbwaduke
@josephatisidori306025 күн бұрын
Huyu mwamba ni mrithi wa Kashasha hazina ya taifa💪
@sharifusaidi46126 күн бұрын
Kipaji kikubwa sana
@frankmwinuka629826 күн бұрын
Magoli ya mangungu na wenzake hayo
@adv.benedictpius25 күн бұрын
Umbile mnara🔥🔥🔥🔥🔥
@AllyAlly-g2o26 күн бұрын
Kwel nakubal jaman huy mwamba huna mpinzan kwa style ya uchambuz wako
@peterzephania-n7z26 күн бұрын
Nakukubali sana kwa uchambuzi wa bori
@videozaaj106925 күн бұрын
Faza,kwa niaba ya mashabiki wako naomba uweke na ule uwanja wa kudisplay pitch na mchezo tuone uchambuzi kwa position kabisa,ukiwa unafanya uchambuzi.ASANTE
Naomba nitofautiane kidogo na mchambuzi wetu huhusu sifa ya urefu japo namwamini na kumpenda sana.Tumewahi kuwa na mlinzi George Magele Masatu alikuwa mfupi lakini alikiwasha kwa hatari.Kikubwa ni uwezo wa mchezaji
@MbwadukeStats23 күн бұрын
Sahihi sana Bro. Hata pale Yanga msimu wa 2022/23 Job ndiye alikuwa kinara wa kucheza mipira ya juu ingawa si mrefu wa kufikia futi 6+. Lakini mabeki wa vimo virefu wanakuwa na faida zaidi kwa mipira ya juu na pia vipaji special vya mabeki aina ya Masatu na Job si vingi.
@TumainiSalufu-v4i26 күн бұрын
Ilibidi uwe professor
@MbwadukeStats25 күн бұрын
Ha ha ha haaa. Tutamfikishia ujumbe wake Mzee wa Data.
@user-wg7cl1mc8n26 күн бұрын
Mkuu tunahitaji ushambuzi wa kocha wa simba mpya ❤❤❤❤ plz
@sangaelly854826 күн бұрын
Wanini?wewe churani nini?
@MbwadukeStats25 күн бұрын
Soon...Mzee wa Data anafanyia kazi pendeklezo lako. Jiandae
@user-wg7cl1mc8n25 күн бұрын
@@MbwadukeStatsNtafrrahi sana kiongozi
@odilomwemeziernest64620 күн бұрын
@@MbwadukeStats sawa mzee wa data
@AbdallahChindo26 күн бұрын
Mkuu tunaitaji utambulisho wakocha mpya wasimbaa
@MbwadukeStats25 күн бұрын
Soon...Mzee wa Data atafanya hivyo. Kaa tayari!
@rahimsiraju988026 күн бұрын
Simba nguvu mojaaaa
@robertphilip38526 күн бұрын
Simba ni zamani nafasi ya tatu iko palepale tabulele raaaa
@MbwadukeStats25 күн бұрын
Duuh!
@PaulNyanda-g8h26 күн бұрын
Simba kuna thank you ngap?
@MbwadukeStats25 күн бұрын
Mmmh...swali zuri lakini tusubiri wamalize mchakato huo.