MBWADUKE: Tough Game! Tabora Utd vs Simba bonge la mechi kama mtoano CAF/ Chikola, Ahoua...

  Рет қаралды 17,987

Mbwaduke Stats

Mbwaduke Stats

Күн бұрын

Usisahau ku-subscribe, ku-share, ku-comment na ku-like...

Пікірлер: 44
@Lazarokidulanya
@Lazarokidulanya 7 күн бұрын
Nmesha like hata kabla y kuview na kusikiliza, Mbwaduke mchambuzi makini sana👏👏👏
@isayadavid-x4i
@isayadavid-x4i 6 күн бұрын
Kama mm hahaha
@DanielYusto
@DanielYusto 7 күн бұрын
Nafurahi sana kukusikiliza mzee wa data, hakika unatoa madini ya mpira kweli. Uchambuzi bora uliotukuka🎉🎉🎉
@barakamaliyamungu8689
@barakamaliyamungu8689 7 күн бұрын
Kazi bora toka kwa mchambuzi bora wa muda wote🎉🎉
@SaimonLaizer-g8w
@SaimonLaizer-g8w 7 күн бұрын
Nakukubali sana kaka yangu ❤❤❤❤❤❤❤❤
@Isackmanyonyi
@Isackmanyonyi 7 күн бұрын
Kak wewe unajua kuchambua bori❤❤❤❤❤
@AbdallaKhamis-m6i
@AbdallaKhamis-m6i 7 күн бұрын
Wakwanza leo naomba like zang
@SetMohamed-i9y
@SetMohamed-i9y 5 күн бұрын
Uko sawa kbs, mchambuzi bora kuliko wote
@EliasCosmas-qp6gn
@EliasCosmas-qp6gn 7 күн бұрын
Pamoja Sana mkuu❤
@MwitaPetro-e9z
@MwitaPetro-e9z 7 күн бұрын
@bwanduke tupo pamoja mzee wadata
@JakobuBuya
@JakobuBuya 7 күн бұрын
Chambuzi la taifa
@DanielChaula
@DanielChaula 7 күн бұрын
God is good
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 7 күн бұрын
Wa kwanza nakubali mchambuzi wangu wa muda wote
@Saidirukuba
@Saidirukuba 7 күн бұрын
uko vizuri sana unaeleweka
@MahaSaeed-hf3gs
@MahaSaeed-hf3gs 7 күн бұрын
Dakika 90 ndo zitatoa majibu tunazidi kumuomba mungu tyuuu wachezaji wetu wawe na afya njema tyuuuu
@leomika8473
@leomika8473 7 күн бұрын
Tabora wanaenda kupigwa 5 bila watabaki wanatambaa Kama mtoto
@HajiJauma
@HajiJauma 7 күн бұрын
Kaz makin kwa mt makin
@nangaimwakyusa9784
@nangaimwakyusa9784 7 күн бұрын
Adeni Rage tunakutegemea nyuki wasiuume siku hiyo
@AllyHamisi-c7j
@AllyHamisi-c7j 5 күн бұрын
Kesho ndio mpanzu ataanza kufungua kapo lake la magoli ni simba vs tabora
@hamisdodi-cu7bu
@hamisdodi-cu7bu 7 күн бұрын
Ubaya.ubwera.wata.fungwa Kwa.uwezo.wa.allah
@shumajrrespect
@shumajrrespect 6 күн бұрын
Bwanuke nakukubal sna uchambuz wko ubarikwe sna
@MosesMohere
@MosesMohere 7 күн бұрын
😂Simba ushindi 60% tabora ushindi 25% na sare 15%
@TriciaSambo
@TriciaSambo 6 күн бұрын
sisi tunataka point tatu muhimu hayo mengine ya Ziada Simba nguvu moja
@GabrielAmma-jp1oo
@GabrielAmma-jp1oo 7 күн бұрын
Wasiwangu ni uwanja tu lkn km pitch iko vzr mbona tabora atachezea
@juliusanyango8127
@juliusanyango8127 7 күн бұрын
Mechi nyepesi sana kwa Simba, mnaikuza tu ila ni mchezo mwepesi sana points tatu tunaifuata huko huko, na Simba haiogopi mtoto huyo, tukutane jumapili baada ya dk 90
@parkipunyparsangey5464
@parkipunyparsangey5464 7 күн бұрын
🔥🔥🔥
@anithaeliuta4767
@anithaeliuta4767 5 күн бұрын
Ubaya ubwela kesho
@EzyMaly
@EzyMaly 6 күн бұрын
Be blessed more
@chrissantkaunda9958
@chrissantkaunda9958 7 күн бұрын
Hakuna mechi hapo, mzee rage yupo uko, imeisha hiyo
@melissa_garden
@melissa_garden 7 күн бұрын
Ujue wewe tu Mzee Rahe kuwa yupo huko😅😅. Round ya kwanza Tabora tukiifunga 3 Kwa sifuri na Timu ilikuwa wa a inajitafuta. 😅
@othmanhamad7887
@othmanhamad7887 6 күн бұрын
Tabora wamefanikiwa kuifanya mechi yao iwe kbw ili watengeneze mapato ya uwanja na nahic wamefanikiwa ktk hili maana kwa sasa hbr ya mjini ni mechi hiyo.
@mkudembeteni4075
@mkudembeteni4075 7 күн бұрын
Wapewe bonus wapewe chochote wana Wa kileleni ushindi kwanza mengine baadaye!!
@GabrielAmma-jp1oo
@GabrielAmma-jp1oo 7 күн бұрын
Mchambuzi makini sanaaa unafanya kazi yako kwa ufanisi mkubwa sanaaa
@HassanKassim-v7f
@HassanKassim-v7f 4 күн бұрын
Sisi ndio simba kila kiumbe tutakila kwa mda wake. Leo tunakula nyuki na asali yake tusafishe koo tuzidishe nguvu. ubaya ubwela
@VehaelMmari
@VehaelMmari 6 күн бұрын
Wewe inabidi uitwe mwenyekiti wa wachambuzi
@MnambengaJr
@MnambengaJr 7 күн бұрын
Haupingiki kaka mwaduke
@SilemaniAli
@SilemaniAli 7 күн бұрын
Kafungwa Mabululu ataweza Tabora ?
@charleznicholas416
@charleznicholas416 7 күн бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@HOLINESSPIUSE-gv8ud
@HOLINESSPIUSE-gv8ud 7 күн бұрын
Naomba JIBU Leo Mbwaduke Wewe Una Hamu Na Timu IPI Hapa BONGO???
@TriciaSambo
@TriciaSambo 6 күн бұрын
kabla ya kuongea the elewa neno hamu halafu huyu ni uchambuzi hivyo swali lako halina mantiki
@PabloDallas255
@PabloDallas255 7 күн бұрын
Kwanza tuna like then unaanza kusikiliza😁
@anthonymilinga8696
@anthonymilinga8696 7 күн бұрын
Tunajua mkuu wa mkoa wa Tabora ni shabiki wa Yanga na anatumika na GSM kuwapa motisha Tabora waifunge Simba. Sisi Simba tunawataka hawa wote wanao ahidiwa maana sio wa kwanza hawa. Tena tabora wakisema wapishane na simba, wataumia goli nyingi sana mpaka washangae.
@MbwadukeStats
@MbwadukeStats 7 күн бұрын
Yanga 1 vs 3 Tabora Utd & Tabora Utd 2 vs 1 Azam & Tabora Utd. 2 vs 2 Singida Black Stars.
@ZuberiHuseni
@ZuberiHuseni 7 күн бұрын
​@@MbwadukeStatsHao wote ulio wataja tulishawapa ubaya ubwela
To Brawl AND BEYOND!
00:51
Brawl Stars
Рет қаралды 17 МЛН
So Cute 🥰 who is better?
00:15
dednahype
Рет қаралды 19 МЛН
Гениальное изобретение из обычного стаканчика!
00:31
Лютая физика | Олимпиадная физика
Рет қаралды 4,8 МЛН
Waasi wa M23 wakutana na wakaazi wa Goma feb 06 2025
18:00
Malivika TV
Рет қаралды 2,1 М.
🔴LIVE FOUNTAIN GATE VS SIMBA SC LEO | NBC PREMIER LEAGUE
1:17
NBC PREMIER LEAGUE LEO
Рет қаралды 2,5 М.
DUNIA (Ep 48)
23:19
ASMA FILMS
Рет қаралды 77 М.
MBWADUKE: Kulikoni? Sababu Yanga kung'oka makundi CAF ni hizi...
25:40