Mungu awatie nguvu tupate furaha kwenye Simba yetu
@justinmwanyingili807329 күн бұрын
Sana ndugu zangu nikuomba sana kwa mwenyezi mgu Tim yetu ya simba nipende kuwatakia usajili mzuli
@makalikuwili688916 күн бұрын
Asante kwa uchambuzi
@FreniceFreniceАй бұрын
Mungu wasidie wachezaji wa simba msimu huuu
@AmiryHamza-gs8ppАй бұрын
Mungu atusaidie wachezaji waipende simba
@marthamsacky6973Ай бұрын
Mungu naomba uwalinde wachezaji wetu wakinge na maradhi na uwalinde na hatari zozote ❤❤❤❤❤💪
@WalterJosephat29 күн бұрын
Heshima ya simba msimu huu ni viongozi kuwa na wachezaji karibu nao
@user-su1gt7gn4gАй бұрын
mwenyezi mungu tumelia sana tunaomba uwapenguvu wachezaji na uwalinde na majeraha Simba nguvu moja
@ifmknowledgepower7333Ай бұрын
Huyu mwamba Mimi Nina imani kubwa naye, akimpata na mpanzu moto utawaka
@rahmamussa5683Ай бұрын
Mayele watamtambulisha mwisho niko hapa mje mnipe maua yangu❤❤❤ simba nguvu moja
@f.a604322 күн бұрын
Kinachotakiwa tu kuwe na mshikamano kuanzia uongozi mzima bench la ufundi na wechezaji wenyewe Sambamba na kuwalipa wachezaji pamja na walimuvwao kwa muda na viwango walivyokubaliana hapo mambo yatakua mazuri sana
@user-ff1it9og8yАй бұрын
Simba sasa waache tofauti zao ili kuwa karibu na wachezaji wao kwanza Uongozi, Bench la ufundi na wanachama anzeni na namba 1moja ili wachezaji wajisikie kama wapo Nyumbi tu viongozi ndo chanzo cha kuwagawa wachezaji na kila kitu kuharibikaaaa Acheniiiiii
@danfordbarnaba442329 күн бұрын
Good analysis sir
@Cutenaah27 күн бұрын
💚💚💚💚💛💛💛💛💛
@Cutenaah27 күн бұрын
💚💚💛💛
@Cutenaah27 күн бұрын
💚💛
@user-gz2or2ui9n29 күн бұрын
Duh huyu jamaa kwa uchambuzi tuko vzr sana
@KapelahassanKapela29 күн бұрын
Allah bless ximb
@justinmwanyingili807329 күн бұрын
Sana apo nimoto tuu kama tuta fanikiwa 😊
@justinmwanyingili807329 күн бұрын
Tuko pamoja tusikate tamaa
@VenastusMugangaАй бұрын
Utasubuliwa sana na simba.
@maxgerad5083Ай бұрын
❤❤❤❤
@JumaBakari-pt9lr28 күн бұрын
❤❤❤
@BazuuKanakarhaАй бұрын
We huyu ni moto 🔥🤣
@ismailhassan5209Ай бұрын
Mo Tafadhali huyo Mangungu akileta kujua na au kugawa wachezaji ataolewa hapo kwa njia asizoweza kuhimili atachota kilichomchelewesha kujiuzuru.
@NasmaMwarabu27 күн бұрын
Wachawi wampitie mbali
@darlingtonekagose2750Ай бұрын
Kabla yote nshaota hii kiru😊
@silasmeshilieki2975Ай бұрын
Hahahahha! Hongera kwa ndoto nzr
@HamzaMbattoАй бұрын
jamaa anamkwara 😂😂 9:48
@danielmgina737528 күн бұрын
Kweli wewe ni mbwaduke statics Father unafanya kazi yako ipaswavyo mnooo hata awe mchezaji mbaya kias Gani akifika kwako ni mzuri saana akiwa mzuri pia ni mzuri saana kweli sasa nimeelewa usemi kazini Kuna kazi @oscar Oscar @Kaka wa Arsenal Eddo@ Baba levo Tukutane Jana na Leo
@abdallahakida7908Ай бұрын
Nasema hawa wachezaji lazima kwanza simba hii tuwakinge na kisomo cha kumuapiza mtu ikiwa watafanyiwa ushirikina na hasa na yanga .kazi waliobaki nayo nikuvaa misuli kama wanamabusha
@abdallahakida7908Ай бұрын
Ile somba ya kina kagere kahata mugalu naona inarudi tena kwa maranyingine
@user-ys4zk3hx4fАй бұрын
Huyu ndo mchambuzi sio kina baba levo
@princetongejrАй бұрын
Hahahahaha Kwan baba levo mchambuzi wa nin jmn hukoooooooo 😂😂😂😂😂😂