Mbwaduke on top of his game, thank you brother! Yanga bingwa
@Q_Lax19 сағат бұрын
Ahsante sana codes za maana kabsa
@FRANKMBILINYI-x1h17 сағат бұрын
Shukran sana Kwa kutupa data kamili na uhakika
@BenezethEmily20 сағат бұрын
Pure data kabisaa
@josiahkulwa349 сағат бұрын
Great 👍
@AmosiMakenzi15 сағат бұрын
Hakika mwaduke umetisha
@omariabeid329123 сағат бұрын
Safi sana Ramadan Mbwaduke
@JumaMohamed-s1e17 сағат бұрын
SF sana Wananch
@mkilwaabdul92307 сағат бұрын
hakuna hicho kitu.wape imani😂😂😂
@ZuwenaChimela16 сағат бұрын
na kukubari sana kwa ujuzi wa uchambuzi
@mogelamsingili523813 сағат бұрын
Zile 87 alizokuwa nazo Al Ahly alipewa na nani Mwalimu Mbwaduke
@ZaydShafii15 сағат бұрын
Bora yanga ndo ibande kuriko simba maana wao wanajiona wakubwa kumbe hawana lolote mwaka robo tuuuu
@JumabJumamkuula16 сағат бұрын
Mhhhh takwimu za kibongo bwana kkkkk
@labanrichard231719 сағат бұрын
We Babu Unajua Sana
@AliSiasa-q2s18 сағат бұрын
thanks
@paulmsape16311 сағат бұрын
Sawa mchambuzi
@suleymandachi78214 сағат бұрын
Muda si mrefu UTOPOLO watamtukana,
@SalvatoryMtunga19 сағат бұрын
Mikia wana kazi nzito.
@JohnMarco-s3n15 сағат бұрын
Mimi simba ila yanga nawakubali siku hizi
@CareenTemba-j4l9 сағат бұрын
Usitukane mamba kabla hujavuka mto
@Alexbenon-ow5lh17 сағат бұрын
Hapo umetupiga mzeee
@ShaibuMkullu-ck6sl17 сағат бұрын
Leta wewe takwimu kaka, usibwabwaje bila kuweka hoja mezani, au imekuuma baada ya kusikia YANGA🔰 kaipita simba point za CAF?.😅😅
@nshaijatedy551222 сағат бұрын
Kiukwel tubal tu mwaka huu watan watuzid IL tijpange Zaid ,,
@josephlorri43121 сағат бұрын
Umeamua kutupa taulo mapema.. utapona ugonjwa wa haraka kwa kukubali ukweli.
@josephyapesa16020 сағат бұрын
Umekubali kutoka moyoni,ukweli usemwe tuu tuache unafiki
@lucymsheshi587119 сағат бұрын
Umeshatoka level za udunduka umeshuka wewe sasaivi Ni kolo jitajidi sasa utoke kwbisa huko Mmeanza kuelewa naona😊😊
@saidbakari240817 сағат бұрын
Kwani hapo amezidi wapi wakati umeambiwa mpaka timu za makundi zimalize 😂 UTOPWAX
@reginaldmapunda670217 сағат бұрын
Mimi ni Yanga lakini ushindi wetu wa jana napenda uwe ni kichocheo, chachu au kimea cha kuifanya Simba ishinde mchexo wa leo. Kama mtanzania naumia sana kinapotokea kama kile kilichowakuta Azam. Pamoja siipendi Simba lakini leo nawatakia ushindi mnono na msonge mbele. Utani wetu ni baada ya mchezo kwisha lakini kabla ya hapo sisi ni watanzania halafu tuko nyumbani Lupaso,tafadhali msituangushe mtani. Kila la kheri saa kumi sio mbali wahini mkamalizie kuloga washamba nyie.
Mbwaduke Stats, katika upangaji makundi tutakuwa Pot ngapi?
@EzekielAmos-Ezm18 сағат бұрын
Kwel
@loner_wolf3 сағат бұрын
Yanga mbona hatujaona 0.5 tumeona kwa simba tu . 😅😅😅😅 au nawewe mamluki ? Simba sc point 39 na Young African point 31 ..... kabla ya hizi mechi . Sasa sijui mchambuzi anaongea Caf ya sayari ipi ....😅😅😅
@clemencemkondya856114 сағат бұрын
Timu bovu acha uzushi
@sospeterkajula794916 сағат бұрын
Acha maigizo mitandaoni je yanga itaipiku Simba kiaje acha kupotosha watu wapotoshe watoto wako
@drexdrex387915 сағат бұрын
Ndugu yangu hio ndo Hali halisia...tuwe wapole tu. Ndo ukweli huo. Ndivyo points za CAF zinavohesabiwa. Cha kuombea ni Simba iingie makundi na pia kumaliza nafasi mbili za juu. Pia points za Shirikisho hazilingani na za Club Bingwa Kwa hatua zinazoshabihiana. Ndo maana tunaambiwa Shirikisho ni ligi ndogo Kwa ile ya mabingwa
@SANJARI-r9t17 сағат бұрын
Zile 39 za simba aliwapa nan mbwaduke umechemka
@augustefedy632615 сағат бұрын
Kichwa chako kibovu 😂
@drexdrex387915 сағат бұрын
Elewa wanaposema points zinahesabiwa Kwa miaka mitano ya nyuma kuanzia msimu uliopo. Hivyo kma hujafanya vema kwenye kila msimu unaofuatia, uwezekano wa points zako kushuka upo
@husseinhamza20547 сағат бұрын
Huo ndio ukweli mlikuwa mnawadanganya Sana mashabiki wenu Simba kubwa wakati sikweli sasa mwaka huu mtajuta
@Samoninyanda21 сағат бұрын
Mwaka huu fainal
@ndogoroedson19921 сағат бұрын
Ya kombe la mbuzi
@AbubakarBajabir20 сағат бұрын
Mh
@SuzanKameta20 сағат бұрын
Duuuuh tumepitwa sana
@jumamalindo122121 сағат бұрын
Yanga anaenda kumshinda Simba,point kwenye makundi
@firdawsrammy999220 сағат бұрын
Hapo ni mpaka Simba asipite leo kuingia Makundi, na hata wakiingia Makundi na wote wakapita bado Simba atamzidi Yanga kwa point.
@@firdawsrammy9992unazijua Point za club bingwa yanga akifanikiwa kwenda robo fainali😅
@firdawsrammy999217 сағат бұрын
@@RidhioneSabury Nipo hapa kwa Master wa uchambuzi nitashindwa vipi kujua. Rudia kusikiliza Uchambuzi kuhusu point zinavyopatikana
@bonifasjk229016 сағат бұрын
Mwalim mbwaduke umetuongopea kwenye point kwanin simba akishinda apate 0.5 na wakat yang umempa point 1 ya kuingia tuu group stage ambap ukaizidisha kwa 5 ambay ni idadi ya mwaka akapata point 5 ukaongezea kweny ile point 24 yao ambay ni total? Kwan group stage ya shirkisho point ni 0.5? Kam ndivyo it means point zina vary klab bingwna shirikish
@Makassy-b9y16 сағат бұрын
Kwamba unabisha au unakataa ukweli? kwani hujui pointi za shirikisho na klabu bingwa zinatofautiana? Kama ulikuwa hujui kuanzia leo jua hivyo na ndio maana bingwa wa klabu bingwa huvuna point 6 wakati wa shirikisho huvuna pointi 5
@HelgenMiho15 сағат бұрын
Shilikisho
@loner_wolf3 сағат бұрын
Alipopiga za yanga wakati wako shirikisho hakupiga kwa 0.5 , alipiga kwa 1 . Hata mm cjamuelewa mazee
@AbuuAyubu-t7c20 сағат бұрын
Yanga inaweza kuwa bingwa mwaka huu hii timu nyoko