HAPA TUMEONGEA NA MWALIMU KUTOKA KENYA, MCH. NDACHA AKIELEZEA UTATA WA SABATO NA KWANINI ILIHAMISHWA NA KUWA SIKU YA JUMAPILI NA NI KWA NGUVU YA NANI.
Пікірлер: 450
@broayubjemaАй бұрын
Asante Mwalimu Ndacha na wenzako kwa mafundisho ya Neno la Mungu.Naomba utueleweshe maandiko haya:Wakolosai 2:16-17 [16]Basi, mtu asiwahukumu ninyi katika vyakula au vinywaji, au kwa sababu ya sikukuu au mwandamo wa mwezi, au sabato; [17]mambo hayo ni kivuli cha mambo yajayo; bali mwili ni wa Kristo.
@BernadoPankrasi5 ай бұрын
Aisee mwalimu ndacha ubarikiwe kwa kazi ya Mungu.
@mjombawallace49665 ай бұрын
Kabisaaaaa
@badeuxGerard4 ай бұрын
@@mjombawallace4966 kabisa kabisaaaaa
@TaulaMuema-q8y5 ай бұрын
Nawashika mikono sawasawa may the Lord bless you
@holypercy53752 ай бұрын
@@TaulaMuema-q8y 9
@DAVID-hc1ov5 ай бұрын
Roho wa Mungu azidi kuwapa nguvu, Mungu awabariki mno watumishi wake katika Yesu Kristo 💪
@omwengajoseph42984 ай бұрын
I like this Teachings,Mwalimu Ndacha be blessed, continue enlighten people according to the Ten commandments. God is the Truth,way and Life
@louisejeanne83065 ай бұрын
Simulizi Kazi nzuri sana, one day tukuone mashabiki , I’m a Christian and big up my brother, napenda unavyoulizaga maswali ya ndani na ya kiakili kabisa 💪
@ernestbensonmwamengo16425 ай бұрын
@@louisejeanne8306 🇮🇱🇮🇱💪💪💪
@kitandajeremie82692 ай бұрын
Mungu a wa bariki sana kwa ukweli mnao tetea
@MaluliDominick5 ай бұрын
Amen! Watumishi wa MUNGU kwa kuufunua ukweli sahihi wa Sabato halali ya kumuabudu MUNGU siku ya Jumamosi. MUNGU azidi kuwabariki sana.
@DanielMlelwa-p6w5 ай бұрын
THIS PASTOR IS FROM GOD♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
@Mutua-h9r4 ай бұрын
Direct ❤❤❤❤❤❤ from God
@MatikoJames-c8m5 ай бұрын
Mch Ndacha mungu akubariki tena sana
@JamalGermanus5 ай бұрын
Sabato imefutwa haipo tena,kama Ndacha anasema Bado inaendelea basi namta tukutane tungelee nada hiyo.
@Jessica-k8r4c10 күн бұрын
🇰🇪 Kenya meru ,dio nyumbani nawapongezi sana watumishi
@margretdionese4933 ай бұрын
Mbarikiwe sana nilikuwa mprostetanti sitakwenda tena jumapili
@byamasumakali21395 ай бұрын
Mbarikiwe sana wa tumishi wa Mungu na Mungu awazidishie sana Roho wake ndani yenu
@FreddyRex-bz6bo23 күн бұрын
Mwalimu ndacha mungu akulinde akupenguvu yakuokowa nafsi zawatu nahamini yesu Christo ila unanifanya niaminikweli bila Shaka sina mengi yakusema niseme tu mungu akuwezeshe muchungaji
@MartineJoseph-u6i5 ай бұрын
Amen,mbarikiwe watumishi WA Mungu mmefafanua Kwa usahihi kabisa mkiongozwa na Roho WA Mungu
@Martindavid-g5x15 күн бұрын
Ukwel mtupu Ubarikiwe sana mtumishi ndacha umenena vyema sana
@Benjathekingofficialtv5 ай бұрын
Aiseee , huyu ndacha siku ya mwisho watu wamtamtafuta awape neno hawatamuona kabisa , watu wanajifanya kichwa ngumu hata kwa kitu anachokijuwa kama MAZINGE , Yesu atuokoe .
@SuleimanmumaniOmar5 ай бұрын
Atatafutwa kama vile kiboko ya wachawi anavyo tafutwa.hahaha
@halidimgonza59455 ай бұрын
na ww pia siku y hukumu ndo utatambua yote anayowalingania mazinge mkaacha kumsikiliza, halaf ukome kumtaja vby huyo shekh mazinge, baki kwnye UKAFIRI wko siku y mwisho ndo utajua
@Benjathekingofficialtv5 ай бұрын
@@halidimgonza5945 dawa imekujaa😂
@davisadawson145 ай бұрын
@@Benjathekingofficialtv jamani mi narudia maneno yangu,Imani inanguvu kuliko ukweli halisi,kiufupi hapa tutabaki kubishana tu,,na huenda hata kuchukiana tu,,so tuache siku ya Mwisho Mungu atuamue
@prochesernest54395 ай бұрын
Soma Warumi 14:5 uone hizo siku hilivyowekwa vizuri nyie endelea kushika siku sisi wakristo tulishatoka huko tunamuabudu Yesu kristo mwokozi wetu
@zakazakazi-fn6zy5 ай бұрын
Hakika watumishi wa Mungu wana roho ya Munguu hakika kristo kazi yake itatangazwa vemaaa
@andrewlangat-pe4he4 ай бұрын
Mungu awabariki na awaongze katika njia zote za Mapito mnapo endelea kuhubiri neno la mungu
@Jessica-k8r4c10 күн бұрын
Ni kweli mimi ni wa Sunday lakini , roho wa mungu amenifunza siku ya saba ni sabato yake, tusaindieni kuhusu kufufuka kwa yesu siku ya Sunday, naona dio sababu wengi wanahabudu Sunday!!!!!!!😂
@samwelibyalelo86274 күн бұрын
Yesu alifufuka siku ya juma pili lakini hakuna mahali katika Bibilia anaposema tufanye ibada siku ya Juma pili .Sabato ni Juma mosi.
@AmmarSadik-x5u5 ай бұрын
Mwalim ndacha Mungu akupe miaka mingi naher dunian
@EdwinKiptum-t8u4 ай бұрын
Well articulated!
@isayaogola87334 ай бұрын
Mungu akubariki mchungaji Ndacha
@libangakennedy9254Ай бұрын
Hongera sana Ndugu simulizi kwa kazi njema, sisi mashabiki tunataka kukuona wewe pia
@adinasibahati31334 ай бұрын
Live long enough NDACHA GOD ALMIGHTY KING 👑 BLESS YOU MORE and protect you ❤❤❤
@JanethMakoko3 ай бұрын
Barikiwa sana pst ndacha na masawe nawe Mr simulizi kazi njema brother
@msemakweli2435 ай бұрын
Mwalimu ndacha unafundisha kweli ambayo mpaka mtu anaeongozwa na roho wa mungu lazima hakuelewe
@davisadawson145 ай бұрын
Yan hata mjinga ambae hajaenda shule ataelewa tu,,SEMA Cha ajabu walioenda shule ndo wanabisha yani shetani ana nguvu jaman daaah
@mjombawallace49665 ай бұрын
@Roho wa mungu sio mungu wa ukweli ni kama Roho wangu pia ni riho
@davisadawson145 ай бұрын
@@mjombawallace4966 :Jichanganye,na Hapo ndo waislamu mnakosea Ndg yangu,chochote alicho nacho Mungu Huwezi kukifananisha na mwanadamu hata siku Moja hivi kwel roho yako wewe unaweza kukifananisha na Mungu,,,,,labda nikuongezee kitu hapa,,,ujue Mungu ni Roho hili najua mnaamimi Sasa Huwezi kumuona Roho Moja kwa Moja ni lazima iwepo connection ya kufanya wewe umuone hyo Roho,,ndyo maana Mungu akaja kwa Namna ya mwili(Yesu kristo) Ili kwamba tuweze kumuona direct,,,hapa ndo kitu nyie hamuelew hivi Roho wewe unawezaje kuniona, ebu tuambizane tu ukweli sasa
@SimonKefa-lz1kd3 ай бұрын
Ndacha, mungu akubaliki sana, naumba uunde akauti ya sadaka, mtu kukupa wewe chochote ni kukutia nguvu katika kristo yesu, na thawabu yetu mungu atatupa.
@PeninaElia-v3n5 ай бұрын
Ukweli lazima usemwe, maana hii Dunia kumekuwepo na matangopori mengi, Sabato ni jumamosi.
@Last4035 ай бұрын
Ukiulizwa swali utajibu kwa ufasaha au utaleta hadithi,okay nataka kujua, sheria za Mungu zinapatikana katka Biblia nadhani hilo unalijua ,sasa basi naomba andiko,ni andiko lipi linalosema siku ya sabato ni jumamosi?
@JohnNjoroge-i1r3 ай бұрын
@@PeninaElia-v3n wapi adiko lakunyesha hocho kitab
@GraceLuvuno-yv6vmАй бұрын
Waziri ! Ninakusihi uangalie calenda ya kiarabu na ya kisilamu ina eleza wazi kuwa jumamosi ni siku ya saba
@WatsonRemmymatovelo-l8pАй бұрын
Aaaaaah maanake kalenda ya waarabu sio yaMungu
@WatsonRemmymatovelo-l8pАй бұрын
Hizo siku zimetengenezwa na wanadamu sio Mungu
@WatsonRemmymatovelo-l8pАй бұрын
Sijui jumamosi weka siku yoyote uwe sabato yako
@magilalindebile-fj3vg2 ай бұрын
mbarikiwe sana watumishi maana nimejifunza kitu
@CharlesJuma-m2hАй бұрын
Napenda mafundizo hayo mbarikiwe sana wachungaji
@chestitmoses12684 ай бұрын
God bless you.The ten comments is the character of God.
@HappinessAhia-ey1lq4 ай бұрын
Sabato ilikuwepo Toka kuumbwa dunia. Naipenda sana sabato. Asante mwl. Ndacha.
@marthadaniel49043 ай бұрын
❤❤
@JoshuaDufi3 ай бұрын
mbarikiwe sana watumishi
@SabatoChacha5 ай бұрын
Barikiwa sana watumishi wa Mungu
@VictorKalibo3 ай бұрын
Mungu awabariki
@isayaogola87335 ай бұрын
Mungu akubariki Ndacha ukweli ubakie ukweli
@MartineJoseph-u6i5 ай бұрын
KATIKA maandiko hakuna siku inayoitwa jtatu Hadi jpili bali Kuna siku ya KWANZA mpaka ya Saba ivyo hayo MAJINA ya siku ndio MAJINA ya mpinga kristo Mungu hakuwai kutoa hayo MAJINA ya siku
@jacksule75574 ай бұрын
@@MartineJoseph-u6i kuna lugha za asili zote dunian kubwa google jumamos zinatamka sabat anzia kiarabu ,kirum kiimgerza kigeruman kirus korea japan taiwan phillipine portigo , france , hispania india , kitruk habesh , israel lugha zote kubwa dunian kwann zitamke sabat nan aliwaelelewesha huo msamiat na kuwaeleza ni sku hy mfn soma koroan sku ya kwanza inaitwa umur awal j2 mpk ya saba inaitwa sabat
@CharlesMisungwi-f8t3 ай бұрын
Siku yamwisho Yesu atakuja kuchukua kanisa lake. atachukua wafuasi wakiristo majengo sikanisa nimwiliwako nautakaso waukitisto ndani yako.
@NoahSeludao4 ай бұрын
Ndacha barikiwa eneza injili
@josephineobure34205 ай бұрын
Pastor Ndacha barikiwa sana kwa kutetea SABATO ya BWANA.
@JordanRichard-s2d5 ай бұрын
Yani ndacha ishi sana . Ubarikiwe.🤲.Yesu akupe mabawa upae.
@paskaligeay83634 ай бұрын
Jamaa anafundisha vzur
@charleshenrykoinangemangua69223 ай бұрын
Amri 4: Kwanini Baba YAHUAH akaanza kwa kusema, "Usisahau kuiweka..."? Hii ina maana kwamba kulikuwa uje wakati, watu wasahaulishwe sabato. Ni vyema vile mwaelekea. Very good.
@nanguniMtaita-hz4zt3 ай бұрын
Hawa wainjilist Ndacha naasawe, ni chuma Cha kupoteza mbali kuhusu neno takatifu. Wameichambua biblia kama ilivyoandikwa. Bigup. Nyie Wachungaki vipofu, Viziwi ipo siku yenu, mrudoeni Bwana muda ungalipo.
@kilimochafamilia2 ай бұрын
Hongera
@CharlesMisungwi-f8t2 ай бұрын
Torati laMusa na Enjili yaYesu au ukiristo kipi kilicholetwa kwa ajili ya ulimwengu na kwa mataifayote nawasabato ambaonidini yawayahudi hawamuamini Yesukiristombaka.leojapokuwa wakiristo wapo lakini sio wengi Yesu wanaaminini mtoto wazinaa na alikuwa mujanja. 42:26
@danielbngosha51043 ай бұрын
Mungu ni mwema sana, watu wapaswa kuuelewa ukweli kwa namna yeyote, ili end of the day mtu asiwe na visingizio
@TaulaMuema-q8y5 ай бұрын
Please nnaomba mufungue kanisa huku wote makueni
@Nolithajack125 ай бұрын
Ukweli kuna uma ndacha nimukweli❤
@jerusalemtv85443 ай бұрын
Mmefundisha vizuri watumishi wa Mungu, tunapaswa tufuate Amri za bila kubadilisha au kufuata maagizo ya mwanadamu.
@Punda2843 ай бұрын
Yaani ndacha yupo sawa kwa mambo ya sheria ila kwa mambo ya agano la Kristo bado anahitaji kusoma na kuwasiliana na Roho mtajatifu aache kupoteza nguvu nyingi kutetea dini ya kisabato atumie muda huu kumhubiri Yesu Kristo ndilo agizo tuliloachiwa na Kristo badala ya mabishano ya kidini.Soma Mathayo 28:19-20 punguza gharama za kupigania dini watambulishe watu kuhusu Kristo mwenye kanisa lake usiwe msemaji wa mbingu kwa namna isivyo sawa.
@nsiamasawe45783 ай бұрын
Nimependa neno kusanyiko. Hawa watumishi wanaweza kunihamisha nilipo na nikaingia kwenye kusanyiko. Lakini Mimi siamini katika maji wala katika siku. Ninaamini katika matendo.
@AndrewSamweli3 ай бұрын
Menena vyema Ila ujue kua Yesu alisema kua tufuate njia zake
@BrianBayaMusicАй бұрын
Kuna mambo ambayo twapaswa kuyaelewa vizuri ila hapo Kwa sabato mchungaji Yuko na shida.Sabato inamaanisha utakatifu ambao utimilifu wake ni Kristo ndo maana Yesu akasema, sabato naliieka Kwa kua ndimi Bwana niwatakasae.
@shiracque85248 күн бұрын
Ame n❤❤❤
@mjombawallace49665 ай бұрын
Watu watajifunza tu mwishoe zidi kufundisha. Mimi nilisha amini kweli kweli 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@arjansonmloge56082 ай бұрын
Nimewasikiliza sana lakini bado hainijii akilini kama kweli Wakristo wanaweza kuitimiza sheria ya Sabato kama inavuyoelezwa katika torati ya Mussa bila Neema ya Wokovu iliyoletwa na Yesu!
@AbdonJonathan-r1wАй бұрын
Mwapotea kwakutokulijua neno la Mungu.
@josephorenge7313 ай бұрын
Sabato ilikueko,iko na itaekueko milele
@ELITE7795 ай бұрын
NDUGU MWANDISHI HONGERA SANA MAANA UNAIHUBIRI INJILI YA KRISTO 🎉😂
@sethngolo65585 ай бұрын
Amen Amen Amen Amen Amen!
@Jumwagbran-w6r2 ай бұрын
Wasabato wamepotea ileweni maandiko, yesu ndio mwili, Kwa hivyo kanisa ni Kristo, hiyo mchungaji ndacha amepotoka kimaandiko, jumapili ndiyo siku ya bwana yesu aliyeanzisha, fuata agano jipya,sio la zamani maana ni kivuli cha mambo yaliyopita pole Sana ndugu okoka, tazama ya kale yamekwisha yamekua mapya
@margretdionese4933 ай бұрын
Nawapenda
@Dishonodeny-q7o4 ай бұрын
It is true,the sabbath day is sarturday
@ForemanBestline5 ай бұрын
These two men must no be ignored they are all smart
@PASTEREZEKIELJOSEPH3 ай бұрын
Dacha wewe ni mwalimu kweli ubalikiwe sana
@markbundi98212 ай бұрын
We must turn to God's command
@HARMONITZ4 ай бұрын
Achana na siku ya sabato hamjui kama sabato ni Yesu mwenyewe na siyo siku kama mlivyo ile ya kipindi cha Musa. Pale walipo mpelekea mashitaka ya wanafunzi wake kuingia mashambani siku ya sabato akawajibu hamkusoma habari za Daudi kula mikate ya hekaluni kunyume na taratibu za wakati ule. Sabato anae angaliwa ni Yesu na imeandikwa.
@stephen-S74 ай бұрын
Umesoma wapi Yesu ni sabato??
@PeterJackson-uh2ik5 ай бұрын
Sabato siyo siku. Sabato ni pumziko au starehe. Sabato ni sawa all Hollidays in any calendar. Siku zile ambazo watu wanapumzika, hawaendi maofisini. Tukija kwenye sabato za Wayahudi ambazo Mungu aliwaamuru Wayahudi waziadhimishe, siyo kila mtu. Hakuna Mkristo aliyepewa kuadhimisha siku ya Sabato, bali ameamriwa ajiandae yaani atengeneze maisha yake kwa kukesha yaani adumu katika kumtumikia Mungu hata atakapokuja Yesu siku ya mwisho, ndipo wale walio wake wataingia katika Sabato/Pumziko Ile. Duniani hatuna sabato Tena kama sheria Leo Wakolosai 2:16.
@BOAZIMPITANYE5 ай бұрын
Pole sana mpendwa.
@PeterJackson-uh2ik5 ай бұрын
@@BOAZIMPITANYE Unahubiri siku Leo? Unaulizwa hii ndo Ile ya Wayahudi, hapana! Je ninyi Wasabato,, hapana! Sasa ninyi mnaelewa mnachokitetea kweli!? Msabato siyo Mkristo. Huo ndio ukweli. Unazumza amri unaunga UNGA! Kila mfuasi wa Yesu Kristo (Mkristo) anajua kuwa Yesu amenyooka katika Amri. UPENDO.Rum.13:9. Tuhubiri upendo siyo kutwa Kucha jumamosi,! Sabato hii ilishapita na Ina majibu mazuri tu mbadala wake uko mbinguni. Kwa sasa duniani siyo mahali pa mapumziko, hapa Kuna dhiki..! Umeshawahi kuona mtu anapumzika katikati ya vita! Unajua kitakachotokea!? Hayo ni Mafundisho manyonge. Yanafanana na Lile la tohara Mdo. 15. Ni mzigo kwa watu wa Leo. Acheni ufarisayo, hubirini injili ya kuwapeleka watu mbinguni siyo Kanaani ya wahivi, na wayebusi. Mnasoma maandiko alafu mnaaply mnachokitaka ninyi.. acheni.
@lizzykerubo8605 ай бұрын
Hata mim nakupa pole kwa maandiko exodus 31:15 kazi itafanywa siku sila lakini siku 7 ni siku kuu takatifu kwa bwana,kila mtu atakaye fanya kazi siku iyo hakika yake atauwawa, so kaka ngojea kuwawa
@christopherchisuligwe5125 ай бұрын
Peter Jackson umefafanua vizuri sana Hawa wamekariri but not understanding the reality the word of GOD, Biblia inasema wanamasikio hatasikia, wanafundisha siku badala ya kuwafundisha watu katembea kwenye uwepo wa MUNGU
@furahinimrutu3085Ай бұрын
amina
@ImanuelKakore3 ай бұрын
AMINA
@augustinonestorysasi36833 ай бұрын
Yusu alikufa siku ya ijumaa akufufuka siku jumapili Moto mtakatifu ukatokea jumapili Yesu anaenda Mbinguni Kwa Baba Naomba majibu ! Watakatifu Wote ni Wazungu nawarabu sisi wavu wetu miungu mashetani Naomba ,
@angelsulle71773 ай бұрын
Wewe changanyikiwa sana Jumapili Yesu aliianzisha 1:Kwa kufufuka kwake 2:Aliumega mkate 3: Alianzisha Kanisa Katoliki Kwa kumtuma Roho Mtalatifu siku ya 50 tangu ufufuko ni siku ya Jumapili. Sabato ni ya Wayahudi. Na Wala hatuwasikilizi Yesu anaimarisha na kulibariki Kanisa lake
@PauloMelamaGetharo2 ай бұрын
Sabato ya kweli ni jumamosi hakika nimekwambie kwanini 1 soma kutoka 20 yaani amri ya nne 2 waebrania 1:1-12 hasahasa fungu la Tisa 9 na mengine mengi tu
@venchavena17414 ай бұрын
🙏🙏🙏
@samsonmabula5 ай бұрын
Danieli 7:25 Naye atanena maneno kinyume chake Aliye juu, naye atawadhoofisha watakatifu wake Aliye juu; naye ataazimu kubadili majira na sheria; nao watatiwa mikononi mwake kwa wakati, na nyakati mbili, na nusu wakati.
@JohnMashamba5 ай бұрын
Mungu mwumbaji alimaliza alipotamka ikawa,na siku ya kwanza ya juma ni mapokeo ya wanadamu kwa hiyo Mungu hapambani na aliyeumbwa.
@NewtonMutembei-j7s5 ай бұрын
Bwana dacha. Abudu Mungu kila siku. Utakuwa Sawa.
@franciscomtambakuluca28305 ай бұрын
Andiko
@BonaneCanisius-t1s4 ай бұрын
@@franciscomtambakuluca2830 leta andiko brother
@masoudnzowa46085 ай бұрын
nimependa mwalim ndacha aliposema mungu alibariki siku ya saba sasa siya sana ni ipi?.. ninavyojua mosi ni 1, pili ni mbili, kuna jumatatu, jumanne, juma tano, alhamis, na ijumaa ndo siku ya saba. ALLAHU AKBAR mungu awaongoze ndgu zetu!!??
@Punda2843 ай бұрын
Sabato halisi ni Yesu Kristo kwakua agano lote la kale ni kivuli cha agano jipya.hivyo sabato ya kweli ni wokovu wa Yesu Kristo kwa wanadamu siyo siku ya kusali.hata ukisali jumamosi hujatimiza haki ya kumkubali Yesu Kristo kama mwokozi kwa kuamini,kukiri na kubatizwa na maji mengi ni kupoteza muda na kuifia dini.
@davidmnyela24593 ай бұрын
Kama Yedu alifanya Ibada Siku ya sabato na wewe vivyo hivyo hakuna ilienda ikarudi ikasimama na mbambamba zingine vinginevyo sio mfuasi wake.
@DanielNdagala5 ай бұрын
Sabato,yamaanisha pumuziko.Agano la kale ni agano jipwa likiwa limefichika(concealed,yesu akiwa amefichika)na agano jipwa ni agano la kale kwa uwazi(revealed),zile hamri zilikuwa za kuwatayarisha watu mjio wa yesu kuja kutimiliza,ndipo alisema yeye ndiye bwana wa sabato(pumuziko)kwa hivo tunastahili kuhubiri yesu kristo watu wapate pumuziko kwake bali si siku,sai sabato(pumuziko)ni yesu kristo na ukombozi wake,kumbuka hata roho mtakatifu hakuwajia wanafunzi sabato ikafanya wayaudi waseme wamepagawa sababu haikuwa sabato venye walizoea.Yesu haangalii siku bali anaangalia wanao mkubali na kazi ya msalaba aliyoifanya kutuokoa sisi
@benezethlukubah85695 ай бұрын
Hivi Ebrania 7:11 - 28 tunaielewaje Kuhusu Sabbatho
@BonaneCanisius-t1s4 ай бұрын
Leta andiko
@malemiym39422 ай бұрын
unayoongea yameandikwa wapi???
@DanielNdagala2 ай бұрын
@malemiym3942 soma matendo yote, Wagaratia yote Waefeso yote,hautaringa na siku ya sabato tena bali utasimamavna Yesu alivyotaka yeye
@malemiym39422 ай бұрын
@@DanielNdagala ndugu sitetei siku ya sabato bali tunaongelea amri ya Mungu ambayo Yesu kristo BWana wetu aliitunza pia, ilikua desturi yake kwenda kuabudu siku ya sabato na hata mitume wake pia
@ernestbensonmwamengo16425 ай бұрын
Mungu akibariki siku nani apinge? Ila ibilisi na mawakala wake wa kijini na kibinadamu..
@ackimackim18805 ай бұрын
HAWA JAMAA USISHANGAE BAADAE WANALIKANA AGANO JIPYA,MAANA KUWA YESU NI MUNGU MKUU HAWAAMINI,KAMA ILIVYO YOH.1:1,1:14
@HoseaNguge5 ай бұрын
Wewe umesoma na kuelewa au umesoma biblia kama gazett la udaku
@mjombawallace49665 ай бұрын
Hiyo niuongo wewe yesu awezi kuuwa mungu mkuu ❌❌ soma Yohan 14:28 (my father is greater than I)
@lizzykerubo8605 ай бұрын
Wew hujasoma bibilia huna hekima ni kuburuka tu! Hujui sira ya yesu
@lizzykerubo8605 ай бұрын
1Corintian 2:6-7-8 bali twanena hekima ya Mungu katika siri ile iliyofichwa, Sasa wew kaka junguza maandiko kwanza wacha kua kama comedian😢😢😢
@lizzykerubo8605 ай бұрын
Ephesians 3:3-4-5 Kwa hayo myasomayo mtaweza kuutambua ufahamu wangu katika siri yake kristo Vs 5 siri hiyo hawakujulishwa wanadamu katika vizazi vingine kama walivyofunuliwa mitume, Sas ndugu yako pole kwamba hujafunuliwa siri ya yesu maana yesu ni siri, na husomi bibilia ww ni kurubuka tu na kuenda makanisa ya jumapili wenye wanapinga bibilia POLE saaaaaana
@karegesa31763 ай бұрын
Yesu alisema yeye ndio sabato
@fikiaupeo4 ай бұрын
Ukifungwa na kongwa la dini hutamjua Mungu Wala Yesu Kristo, utashika dini Yako. Mpaka mfunguliwe kongwa la dini na dhehebu ndipo mtamjua Yesu Kristo. Wachungaji nyie kazeni mwendo kumjua Kristo, bado sana kuifahamu neema ya Mungu na uweza wake. Lakini si dhambi kusali sabato yenu endeleeni kuabudu sabato
@petromachanga55383 ай бұрын
Sipendi sabat
@EvaristoMbilinyi-d8s3 ай бұрын
Mimi kama mkatoliki kumsikiliza msabato au kubishana na msabato ni kàma kutembea uchi,Huwa siwaelewi mfano wàñapinga krismas wàkati huo huo wanatunga nyimbo zinazohusu krismas na kuña mifàno mingi,Imani yao utadhani hawalitambui Again jipya.
@davidmnyela24593 ай бұрын
Sikiliza na kichwa uelewe
@mgetalm3 ай бұрын
Mungu akuongeze. Soma vizuri Biblia. Soma kutoka 20: 1-17. Hayo anayosema ni ya maana sana. Soma pia Yohana 14:21 na pia UFUNUO 14:12.
@malemiym39422 ай бұрын
nyimbo zinahusu krismass kwa kupinga au kusapoti?
@petrofabian4523Ай бұрын
@@malemiym3942 hilo agano jipya unalolisema ndilo linasema sabato ilifanyima kwa ajili ya wanadamu ,,
@DanielPaul-i1z13 күн бұрын
Samahani mtumishi unaweza kunisaidia neno linalosema tusherehekee Christmas ndani ya maandiko
@EmmanuelYona-x7k2 ай бұрын
Sheria ya kiyahudi hiyo. Tunaokolewa kwa NEEMA.
@fulgencenombo2451Ай бұрын
Imeandikwa,, MUNGU aabudiwi kwa vitu vilivyofanywa kwa mkono wa mwanadamu. Wala akai kwenye hekalu lililojengwa na mwanadamu.
@arjansonmloge56082 ай бұрын
Sheria na Neema ni vitu viwili tofauti. Jadilini hivi muone kipi ni rahisi!?
@JohnMashamba5 ай бұрын
Ndacha ubarikiwe aelewe Lugha ya Bibria 2petro1:19-21
@JohnMashamba5 ай бұрын
Msimlizi anakiburi abatizwe,naye asome maandiko asifuate masilahi ya utangaji.Isaya 58:13-14
@ZephaniaEmmanuel-ye1pp3 ай бұрын
MUNGU awape nguvu nyingi watumish niko pamoja nanyi
@pastoraggreynengoluvai46243 ай бұрын
Nashukuru kwa wandugu kwa neno la ufasaha lakini naona kama wajikanganya.wamesema kanisa ni mimi na wewe warming siyo mjengo,ndiyo nakubaliana nao lakini yesu anasema nitaipomoa na kuijenga hekalu baada ya siku tattoo.kumaanisha anatangua siku ya kuabudu ya sabato na kuipeleka siku ya kwanza ya wiki anapofufuka.HUO ni uumbaji mpya wa kanisa.
@BrianBayaMusicАй бұрын
Hao walibishana hata na Kristo chungana nao.
@chestitmoses12684 ай бұрын
Kuna wale wanauliza ni siku ipi.Naomba wasome Luka 23:50-24:1(watafakari aya ya 56).Yesu alisulubishwa siku ya ijumaa na siku ya kufuata ni sabato
@arjansonmloge56082 ай бұрын
Mnaposema kuna ugomvi mbona siwaelewi, wapi sasa hivi kuna ugomvi wa Sabato na Jumapili?
@DennisMaweu-i7g3 ай бұрын
MARKO ,2 28, siku Haina usito upande wa kuabudu
@PeterMahona-zd3oz3 ай бұрын
Wewe mtumishi nimekwelewa lakini yesu ndiyebwana wasabato aganolakale ninjia iliyoku ikitubeleka katika agona jipya
@amanicarlumehabel75755 ай бұрын
Hatuna wakati watu wairudie nuru ya kweli ya Mungu tuwaachie Waroma na mambo yao
@petromachanga55383 ай бұрын
Hahahaaaa petro na Paulo walikimbilia wap
@mazoyakusekwa41673 ай бұрын
Hao siyo wakristo
@davidmnyela24593 ай бұрын
Wakristo ni kina nani kwa mujibu was yesu kristo mwenyewe???