Namuombea Sana Thabiti siku Moja Mungu amjaliye awe nafasi za juu sana ktk taifa Ili
@kaundasutikaunda77693 жыл бұрын
Elimu nzuri sana. Hongera sana Gangana na Thabit.
@kassimmselem60243 жыл бұрын
Huyu Bwana Thabit amebobea Sana katika medani siasa, uchumi na jamii. Na anachambuwa Kwa undani mnoo kihistoria na kifalsafa.
@williammbuzimai57443 жыл бұрын
Duuu ahsante kwa elimu, Japo maumivu ya moyo bado ninayo kwa kuona watu wakitaabika pia na kufa.
@stephenmbatia78253 жыл бұрын
This guy is so informed. Kudos!
@shamterehani21613 жыл бұрын
Thabit! unajua sanaa ,upo vizuri.
@pascalmstaarabu43723 жыл бұрын
Taifa la Mungu linapiganiwa na Mungu mwenyewe
@furahandabadugitse26593 жыл бұрын
Taifa lamungu nilipi taifa lisokuwa la mungu Hauna akili mayahudi sio wa islam wala sio wa kristo hao namashetwani wewee wa uwajii wakubwaa mungu awalaaanii
@travvella43923 жыл бұрын
mbona maadhimisho ya mashoga hufanyika telaviv kama ni watu wa mungu
@madirishasimon96923 жыл бұрын
@@furahandabadugitse2659 pumbavu heshimu maoni ya mwingine Israel ni taifa la Mungu
@wazirie40703 жыл бұрын
Asante tena Mr Gangana. Ningependa mtaalam wetu, Thabit. Aongelee kuhusu Christianity na Islam, hizi dini mbili zinahusika kwa kiasi gani kwenye maendeleo ya nchi zetu za Africa. Maana dini mbili zote hizo, zimechangia kwa kiasi kikubwa kuyaendeleza ma taifa yao. Christianity in the western World, and Islam in the middle east. Maana nchi kama Uhindi na Uchina, wanadini zao na maendeleo yao yanaonekana. Pia dini mbili hizi, ni chanzo kikubwa cha vurugu Africa, kwa nini tunazitumia dini zilizoleta matatizo Africa kwa kuyatatuwa matatizo hayo hayo? Kuna njinsi tutaweza kuenzi dini zetu za kale na ubuntu spirit kwa kuyatatua matatizo? Maana Mungu yeye kila kabila Afrika inamjuwa tangu enzi za mababu zetu.
@salimmoha79623 жыл бұрын
Hujielewi
@kaundasutikaunda77693 жыл бұрын
Umeonge point sana. Ubarikiwe. Wewe ni kati ya wale watu wachache walio elimika juu ya dini.
@wazirie40703 жыл бұрын
@@kaundasutikaunda7769 Asante ndugu, nawe pia ubarikiwe
@salesiasebastian66703 жыл бұрын
Uko vizuri sana katika kufikiri!
@wazirie40703 жыл бұрын
@@salesiasebastian6670 asante, nawe pia
@harsoshelezi46583 жыл бұрын
ACHENI UONGO, UYAHUDI UPO MBALI SANA NA UKRISTO. YESU NI ADUI WA MAYAHUDI NDIYO MAANA HAWA MKUBALI NA HAWAKUBALI BIBILIA WANAKITABU CHAO
@abrahamhassan3513 жыл бұрын
Wakiristo wanajikomba kwa mayahudi Israel Wakiristo haikuhusuni kabisa na uboya wenu Italy na Vatican ndio yenu na dini yenu yakuungaunga hiyo Wakiristo hehehe
@elizabethwallace85983 жыл бұрын
@@abrahamhassan351 ujinga ni mzigo,ukristo umetokea kwa wayahudi hakuna kujikomba na Yesu alikuwa myahudi
@josephatdakhala26153 жыл бұрын
Nan amekwambia
@abeidkhamis61309 ай бұрын
Kitabu cha imani ya mayahudi kinaitwa "Talmud" na mayahudi hawanaga mpango na ukristo wao wenyewe mayahudi ndio wale waliotaka Ku mwua yesu
@abeidkhamis61309 ай бұрын
Yesu alikana dini ya kiyahudi na aliwakana ku jiita uzao wa Ibrahim yohana 8:39-58, pia hawa mayahudi wanaojinasibisha na uzao wa yakobo Mungu alikataa akimwambia yesu katika ufunuo wa yohana 2:9; ufunuo3:9
@hassanmassaga24763 жыл бұрын
Wanaotoka mapovu humu wanahisia za kidini tu.....wengi hata hawajui chanzo kwsbb hawana taarifa sahihi...na kama wanataarifa basi wamezipata kwa viongozi wao wakidini😆😆 tujifunze kusikiliza hata yale tusio yapenda alf ndo baade tuamue kufuata au la! Mbn ni jambo rahisi tu
@allychengula35113 жыл бұрын
Fuatilia vizuri vita haijaanza leo wala 1948 ni vita ya milele narudia tena ni vita ya milele.. itaisha yesu akirud... Soma biblia upate maarifa kwani history ya mashariki ya Kati ni bc
@petrofabian45239 ай бұрын
Mwenye eneo kabisa ni myahudi ,wapalestina walijichomeka baada ya wayahudi kwenda kuzurula sasa waliporudi wale waliokuwa wamejichomeka wakajifanya kuwa wao ndio wenye eneo
@ramadhanwazir54579 ай бұрын
Naomba tu utaft historia pia aliyoelezea DR Suley n ushauli tu msikiliz n ujifunz kitu
@dinocastico84953 жыл бұрын
Daaah. Tunapo lazimishwa kuelewa lugha tusiyo ifaham hali yakua mzungumzaji mwenyewe haifaham vyema hapa kuwa makini mno . Mgogoro huu upo kinafiki saana na unafiki huu umepandikizwa na umoja wa mataifa na si vinginevyo. Wanao dai inchi walipewa na mungu bado wanakikwazo kikubwa kutoka utra othodox jew ambao wanaamini baada ya kupinga amri za mungu waliharamishiwa pale. Wanacho tafautiana ndugu kinatokana na gubu si vinginevyo. Swali langu hawa watu wasio na dini wala kuamini vitabu vya kale je wanashawishika vip kiamini mungu aliwapa ardhi hawa mazayuni. Ukilijuwa hili ndio utafaham kuwa huu umoja wa mataifa una mapungufu mengi zaid ya matobo ya chandarua. Roho ya mwanadam inapo halalishiwa mauti kirahisi kuliko roho ya kuku amini wanao ongoza hawajuwi majukum yao. Tatizo ni umoja wa mataifa.
@mzalendotz33973 жыл бұрын
Maweee tupu..thanks brothers 🤝
@kabogeof95973 жыл бұрын
Jamaa mungu akupe maarifa
@gabrielnyanga81553 жыл бұрын
Ume eleza vizuri ndugu!
@mlamtv48393 жыл бұрын
Hii vita ataimaliza Yesu pekee.Huyu ataleta amani
@hamdincatalonia32723 жыл бұрын
Wewe wacha ushilikina mungu ndie atamaliza matatizo cyo yesu
@evangelist_gaitani3 жыл бұрын
@@hamdincatalonia3272 mbona yesu ni MUNGU
@zuhuramuhanga54003 жыл бұрын
Hii ni ishara ya kurudi kwa nabii Issa
@mbaroukame2834 Жыл бұрын
@@evangelist_gaitani sio kweli
@suratibrahim64173 жыл бұрын
Salute,♥️♥️🙏🙏🙏💯🥂
@magrethmkemwa92878 ай бұрын
Dunia ikija kujua Israel ni Taifa la Mungu,alilochagua mwenyewe kwasababu zake mwenyewe ta ngu Ibrahim.Watu someni Maandiko matakatifu mtajua.
@z.nalnabhani71943 жыл бұрын
Huyu muyahudi ataitesa sana dunia,tusione leo kwa palestine,inaonesha hana hata chembe ya imani,dunia ishirikiane imuangamize kabisa,au mwenyezi Mungu amuangamize nchi ya izrael ibiruke chini juu hapo itakuwa salama,vinginevo dunia nzima hakuna amani
@raphaeldinyu4279 ай бұрын
Hamjui chochote kuhusu myahudi , mnatafuta rangi ya myahudi , wakati myahudi ameenea dunia na ameweka ujasusi kwa serikali zote duniania
@omahe13 жыл бұрын
🏹 naomba hizo vita zifike mwisho
@elishakayagwa93713 жыл бұрын
Hazitafika mwisho maana hilo ni kusudi la Yesu kurudi
@omahe13 жыл бұрын
Kwani Pregnant mother wanateseka pamoja na watoto pia wagonjwa je hilo c Tati I?
@madpeoplezzzz51217 ай бұрын
Muongo hakuna mabomu ya dizaini hiyo huwo ni uwongo wa myahudi feki anaotumia kuidanganya Dunia......😊 FREE PALESTINE 🇵🇸.... FROM THE RIVER TO THE SEA
@anastaziamathias88614 ай бұрын
Hata mkiambiwa ukweli huwa hamkubali hebu tuambie wewe ilikuwaje? Hao WAYAHUDI pale ndio kwao
@bigmanfish63463 жыл бұрын
Hapo ukisema wamarekani ni wakiristo ni uongo. Njoo marekani ujionee. Hawana dini. Vile vile wayahudi sio wakiristo. Na kwa kweli ukiristo katika bibilia ni jina la kupangwa na wapagani (watu wasiokua na dini). Sasa kwa taarifa yako wamarekani na wayahudi ni wapagani. Wamewakataa manabii na Mungu
@Mpakauseme9 ай бұрын
Akili hauna na hii ndio shida ya wabongo , Kwanzaa haumfahamu maana ya ukristu na ata pia hamfahamu maana ya dini ni nini wewe ni mkundu na wewe ndiye kafir ambaye una abudu mwezi na jua na kwenda kuliabudu kabur jeusi huko makka pamoja na mafunzo yenu yakikafir kuswali majini ndani misikitini, Mungu hawezi kusikiliza watu wanao shirikiana na mashetani
Ukweli thabit nimekubaliana Sana,pamoja kwamba maelezo yako yabeba mb zetu nyingi lakini yanafundisha
@masoudkipara50533 жыл бұрын
Jamaa ana mawe sana.
@abdallahesika84079 ай бұрын
Ktk vita ya siku 6 kati ya Israel na baadhi ya mataifa ya kiarabu, Israel alipewa Askari, pesa, chakula na siraha kutoka hasa Marekan na Wingereza ndo maan walishinda hiyo vita
SASA ITAKUWAJE HUO MSIKITI UTAVUNJWA AU INAKUWAJE MAANA KAMA WAMEUTEKA INAKUWAJE
@salimmapande46683 жыл бұрын
Al Masjid Al-Aqsa was founded forty (days or months or years) next to the Ka`bah. Historians believe that Prophet Ibrahim, peace and blessings be upon him, was the one who built or ordered Al-Aqsa to be built. It was demolished during the conquests of Jerusalem. `Umar Ibn Al-Khattab, may Allah be pleased with him, is the first one then who restored Al-Aqsa. He recognized the sight but nothing was built. When abdul-Malik Ibn Marwan held the office in the year 66 A.H., he rebuilt Al-Aqsa and the Dome of the Rock. Al-Aqsa is one of the largest and most important mosques in the Muslim world, and the earlier Palestne.
@hidayahidaya-vd3ze7 ай бұрын
Waarabu wazurii bwana
@awaziloya-yj6yq Жыл бұрын
Mgogoro Kati ya Israel & Palestine kama hujaigusa baytul muqadas bado hujatatua tatizo
@dasilvajunior30163 жыл бұрын
Safi sana ndugu wachambuzi mmchambua vizuri
@DEVOTIONTV3 жыл бұрын
Haya mambo watu hawajui wachache sana wanao Jua Huyu Bwana anajua Kweli
@salimmapande46683 жыл бұрын
Ukweli hupimwa kwa yale yanayojulikana kutokea kwake na kila kilichotokea kipo documented kwenye vitabu, magazeti na makala mbalimbali. Jambo lolote ambalo halikuandikwa na waliokwepo nivigumu kushuhudia ukweli wake
@DEVOTIONTV3 жыл бұрын
@@salimmapande4668 Mimi sizani Kama kwa kauli hiyooo Uko sahihi. Kwasababu Kuna Mengine yaliyo andikwa na Walio Kuwepo lakini Ni Uongo Unaacheje Kumwamini Mtu anaye udhihilisha Ukweli Mbele ya Umma, Na labda Una mtazamo binafsi na Upande wako
@DEVOTIONTV3 жыл бұрын
Na Kwanza naona Huyu Ananichanganya Tuuu….. Brooo Halid Mimi Ninashida nawewe Broooo Whatsapp 0766836355
@hazygardmericho95718 ай бұрын
amini kwamba
@salehkhamis30633 жыл бұрын
Hii vita imeelezwa hadi kwenye vitabu vya dini wala sio magen kwa sisi Waislam imani yetu hizo ni dalili za kiama
@hassanjuma26883 жыл бұрын
Walio pale si waisrael halisi wale ni khazar from Europe COUNTRIES...taifa la ISRAHELL lilibuniwa 1943 baada ya kikao cha BALFOUR DECLARATION 1917
@furahandabadugitse26593 жыл бұрын
Naam habibi swadakta
@stephenguga10343 жыл бұрын
Jinsi wazungu walivyo shirikiana kubadilisha taifa LA Israeli halisi kwenye kitabu cha. Zaburi 83:4 YESU alitabiri ukoloni ulio isha kipindi cha Nyerere kwenye kitabu cha luka21:20-24. Ona MUNGU akiongelea juu ya Israeli halisi na feki iliyo jiweka kwa mpango wa umoja wa mataifa Mwaka 1947. Ufunuo 2:9--> Ufunuo 3:7-13 Mtu mweusi ndio myahudi halisi Maombolezo5:10 {maombolezo ya yeremia myahudi} Ayubu 30:30. Wimbouliobora 1:5 {wimbo wa Suleiman myahudi}
@hashimuhussein49933 жыл бұрын
hongera yake blother kaichambua mada kiasi kwamba sasa nnafaham chanzo cha vita huko islael
@miltonjohn97799 ай бұрын
Blother ndio nn
@MosesALiu3 жыл бұрын
Vizuri sana Thabit
@zephaniamanembe69299 ай бұрын
Kuna Jambo hulielewi, ni lini mzungu aliwahi kwenda utumwani, myahudi wa kweli ni mtu mweusi ambaye biblia ilisema nitamtawanya ulimwenguni mwote ili awe mtumwa Ni wapi mzungu aliwahi kua mtumwa, wayahudi hai ni wa mchongo Soma if 2.9 na 3.9 Halafu mzungu eti auwawe ulaya hahahaaaa.
@godfreymaebwa46579 ай бұрын
Yaan namkubali sana saudia kumchana amasi kuwa walichofanya israel hakikubaliki
@mceeray254 Жыл бұрын
Hawawezi kuiondoa Israeli kwenye ramani ya dunia amini usiamini itawapa tabu maana n Mungu kainua,maandiko ayo
@Erik-kj5no9 ай бұрын
Wewe unaesema hivyo wewe Ni mpinga Kristi Soma mathayo 21:43 yeah aliwanyang'anya ufalme
@NATACIARAPHAEL-iz8kr9 ай бұрын
Someni biblia vizuri
@petermwaikandage24759 ай бұрын
Well organized and with confidence. Good narration mkuu
@godfreymaebwa46579 ай бұрын
Yaan hawa waarabu vichwa maji kweli yaan kila vita yanapigwa hafu hayakomi
@user-mr5tk8oc3t8 ай бұрын
Waislam wagonvi sana yani
@denyu99753 жыл бұрын
Jamaa yulo vzr bro asante sana brooo
@mgasathedon15793 жыл бұрын
Naipenda Israel sana
@MsAggie53 жыл бұрын
Una imani ‘mpende Israel ubarikiwe’ kwa sababu ni taifa teule?
@madirishasimon96923 жыл бұрын
Naipenda Israel namie
@matheomwakisole68192 жыл бұрын
Napenda Tanzania sana
@bigmanfish63463 жыл бұрын
Ukitaka kufahamu ukweli wa waislam, angalia mpaka leo wameshindwa wayahudi kugeuza msikiti wa al’Aqsa kua kitu chengine. Sababu Quran inasema msikiti ni nyumba ya Mungu. Ukweli ndio huo
@martinarinjuguna8913 жыл бұрын
But soon Ill See. Mwislamu pale siku hizi haingii
@Mpakauseme9 ай бұрын
Mungu wakipagani ambaye anapiganiwa nakuamrisha watu wawachinje binadamu wasio mwabudu yeye sasa huyo ni Mungu au ni shetani tu
@bigmanfish63469 ай бұрын
@@Mpakauseme Nina hamu kukufira tuu please Nipe utapata raha za dunia ntakufira upige kelele tuonane temeke
@hidayahidaya-vd3ze7 ай бұрын
Wabongo nyinyi mwajulikana hamuwapendi waarabu basi munasapoti israili ni bwanawenu
@deusurio90569 ай бұрын
Ukisikia ushenzi wote duniani,mpaka hao unaosikia wajenzi huru,ni wayahudi
@jitihadaharuna94489 ай бұрын
Mbona hajaongelea open prison na masetler wanavyowanyanyasa wa Palestine access ya internet,maji na umeme na controller na Gaza strip kuna serikali? Mbona inaonekana kama wanaishi kwa kuzingirwa wa Palestine shule, shughuli zao za kiuchumi wanazifanyaje?
@mrmhenipm3 жыл бұрын
Gangana nawapenda bure,,,maana huyu jamaa namfuatilia sana ,,ananipa elimu ya kutosha
@andrewcharles45373 жыл бұрын
a
@nkenemalulu13303 жыл бұрын
Hata Mimi nawapenda, ila wengi wamezoea 'UDAKU' si rahisi kuwaelewa.
@abuukarata96533 жыл бұрын
Acha upoteshaji mkuu.
@z.nalnabhani71943 жыл бұрын
Anasema kweli
@MsAggie53 жыл бұрын
Hapoteshi chochote vyote kweli kabisa
@NIKUMBUKELEO9 ай бұрын
Upo vizuri, je mbona kama uongozi wa Tz Una akisi unachosema utawala wa strategic thinker syo great thinker kwa kuangalia chanzo. Je huoni unafeli pale bapo unangalia na kuzungumzia Israel na Palestine wakati kwako kunaungua na Tz ni kwetu kinacho Tu ila kiakili na kimawazo no? Je Tz kiakili na kiroho upo kwako? Mmmh tumepigwa upofu?
@biramsakh92123 жыл бұрын
Wa Islam wala hatuna tabu sababu tunayafahamu vzr sana tu najua vip mayahud walivo NA wa falastin NA msikit wa Al aksa tena kila kizazi cha kiislam kinapewa mafundisho. Hatuna shida sababu kitabu chet hakijaacha kitu
@dullahbatuf9223 Жыл бұрын
Alikwmbia wayahudi wanaamini kwa kristo nani wayahudi wameshika maandiko ya mussa na hawaminni juu ya kristo mussa ambae hiyo kanani Israel hakuwahi hata kuiona acha kukaa
@harsoshelezi46583 жыл бұрын
mayahudi hawakutangaza bali walipelekwa na waingereza iliyokuwa nguvu kuu ya dunia zama zile. Mayahudi walikuwa wakitangatanga bila kuwa na sehemu, walikataliwa uganda , italy, na kwengine.
@user-mr5tk8oc3t8 ай бұрын
Wa Israel wapo juu ata yesu ni mu Israel
@petermwaikandage24759 ай бұрын
Ningeomba mtaalam Thabit aonelee pia kwann Hiltler aliwachukia sana wayahudi? Nini kipo nyuma ya pazia kuhusu hili?
@paskalmagiri44663 жыл бұрын
Chimbuko la Vita Ibrahim kuzaa na msichana wake wa kazi hajir na kumzaa ishmail
@benjaminkiteleke84583 жыл бұрын
Alikuwa mje wa pili. Sara alimony Ibrahim hajira kijakazi wake ile awe mke wa Ibrahim. So Ibrahim alizaa na mke mdogo at mke wa pili. Kasome vizuri maandiko
@kudrachristopher46403 жыл бұрын
Mtalaamu 😎
@ramadhanwazir54579 ай бұрын
N wengin jmn mjarb kuskiliz watu mbal mbl msisikilz upand mmoj taften hoj mbl mbl af mchanganuw nazan mtanielew
@SuzieMahalu3 жыл бұрын
Mambo fireee
@brotherdash67723 жыл бұрын
Kwel
@aminamikidadi77543 жыл бұрын
Vita ya wayahud na waparestina ...M/Mungu ndio jaji wa haki atakae kata hyo kesi kwa haki , mana yeye ndio anayejuwa ya zahiri na yaliyojificha vifuwani mwa watu kwani tulionalo kubwa kwa Mungu ni dogo na mwenye kusubiri yupo pamoja na M/Mungu ..Allahu Akbaru ....
@bidayo10583 жыл бұрын
Daaaa! Kuna watu wanajua vitu. Kipindi kimenoga Sana, keep on #Ganganainfochannel
@halimagomez9 ай бұрын
Wew muuongo munguu anakuona
@husseinmatekwa2763 жыл бұрын
Uko mbali sana na historia. Tangu lini wayahudi wakawa wazungu. Kama kweli wayahudi walikuwa wazungu, mbona wana wa yakobo wakashindwa kumtambua ndugu yao 'mweupe' yusufu walipokuja misri. Wacha kutuambia hadithi ya kuskia
@julihanjosephyjs63613 жыл бұрын
Wote wamekutana vichwa ,anaadithia kama anasoma kwenye kitabu hongera kaka .
@NR-ll4sr3 жыл бұрын
Kwani wewe ukisoma,baadae huwezi kuelezea 😀
@user-ug7bd9yh5z9 ай бұрын
Wewe muongo hujui kitu muegereza marekani mfaransa wote waliigia usidanganye watu
@deusurio90569 ай бұрын
Ni upi ukweli kuhusu hao wazungu ni waizrael, yaani ule uzao wa watoto 12 wa yakobo
@emmanuellaurent26983 жыл бұрын
Yuko vizur
@salehkhamis30633 жыл бұрын
Hao wayahudi walipigwa sana na hitla ujerumani wamekimbia vita ndipo wakafikia Palestina wakupora ardhi ya watu ndipo wakaanzisha makaazi
@Mpakauseme9 ай бұрын
Rudia kusikila vizuri au ndui imekutia uwendawazimu maanake wabongo wengi vichwa vibovu
@hidayahidaya-vd3ze7 ай бұрын
Mpaka kesho hana nguvu hivi ss anasaidiwa
@millungumusic74869 ай бұрын
TUNATAKA THABITI ATUJUZE ILIKUWAJE WAISRAEL WOTE WAONDOKE MAENEO YAO NA KWENDA ULAYA NA AMERICA? HADI WALIPOAPATA MIKASA YA KUUWAWA NA HITLER. KIPI KILIWAFANYA WAACHE MIJI YAO?
@ahmedalbalooshi85183 жыл бұрын
Palastine ilikuwa chini ya himaya ya Uingereza.Kweli itawezekana wayahudi waje na kujitangazia uhuru. Ninavojua,uhuru wamepewa na hao waliokuwa wanatawala. Kama ni kujitangazia basi nchi nyingi zilizokuwa chini ya uingereza zingejitangazia uhuru. Ndugu yangu king Abdalla wakati huo alikuwa sio mtawala. Umesoma Israel na umepikwa vizuri.
@hasbaallamaa7492 жыл бұрын
Habari . Niwape hongera kwa uchambuzi wa mchambuzi mahihiri sana . ndugu Thabit, umezungumza kuhusu maendeleo ya Hamas wamepata wapi ? Ukiangalia wamezungukwa na wazayoun pande zote na hawana msaada wowote wa kijeshi kutoka kwa nchi za Kiarabu ?
@samsonhaule36473 жыл бұрын
Umelezea Vizuri Sana Broo.
@AbrahamShehoza-kk6bj8 ай бұрын
Maandiko yanasema itakieni amani Yerusalem..na wafanikiwe wote waipendao Israel na Yerusalem..Hivo ukristo wa mtu unathamani na mafanikio makubwa kiroho na kimwili ikiwa atatenga muda wake kuiombea mema Israel..maana ndipo kuna chimbuko la wokovu wake...kumbuka Yesu Alisema wokovu watoka kwa Wayahudi(Yesu Kristo)..Na wote tuliookoka tunamwabudu Mungu wa Israel na si vinginevyo!
@sanamukama9423 жыл бұрын
Safi
@hidayahidaya-vd3ze7 ай бұрын
Ww na hairuhusikii
@rosenalucas19063 жыл бұрын
yoshua 23 - 1 soma yote ukweli huko humuu
@godifalsafa Жыл бұрын
Huyu jamaaa anajua ndio mchambuzi bora wa nchi hii wa maswala ya mikakati na siasa za kimataifa
@hassanjuma26883 жыл бұрын
Wengi wa wanahistoria upande mmoja wana ukweli upande mwengine wanadanganya.Gangana nenda katufate ukweli kuusu ISRAHELL baada ya kuangalia BALFOUR DECLARATION NA MTAFUTE MJEWISH HALISI BWANA RABAH WEIS UPATE UKWELI
@deusisindwa6163 жыл бұрын
Jamaa yuko vzr.huyu jama anatishaa
@mohamedriko1903 жыл бұрын
Umejaribu ila manabii wote ukweli walikuwa waislam,kuanzia Adam mpaka nabii Issa.So historia iki vitabuni na Israel hana chake pale bi idhin Allah
@makisjeremiah2883 жыл бұрын
Una evidence ya kwamba Adam alikuwa muislam?
@rehemamost4443 жыл бұрын
Soma biblia manabii hawakuwa waislamu
@nancewanu68153 жыл бұрын
Walau elimu kidogo hakika sijapoteza mda kabisa kukusikiliza ganganas
@lupaprince12293 жыл бұрын
Ukiichambua Israel kisiasa huwezi ukapata ukweli wote, kwa sababu Taifa la Israel linaonekana dogo, dhaifu kwa macho lakini kwenye ulimwengu wa roho ni Taifa kubwa tena teule la Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo. Mungu ibariki 🇮🇱
@sammarley14133 жыл бұрын
Na ww nitaifa la shetani sio ??? kweli sasa nimeamini uafrica ni uasirika kweli
@hasbaallamaa7492 жыл бұрын
Ni kweli lakini wamelaaniwa na Muumba wao na maisha watateseka na Ulimwengu
@salimmapande46683 жыл бұрын
Tukio la mtume kwenda miiraji si sababu pekee ya utulivu wa jerusalem kwa waisilamu bali ni ardhi ya manabii na ilikuwa ni qibla (direction) ya waisilamu kabla ya mabadiliko
@goldmansun58593 жыл бұрын
Nani alibadilisha
@sapricatermaregeri65719 ай бұрын
Hello Chris Masozi
@eliudijastini6453 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@eastafrica68583 жыл бұрын
Wanakaguliwa nn wayahudi wao ndio wanaupiga maboom msikiti wanasali wanawapiga wanonea al aqsa hata jina la msikti la kiarabu
@eastafrica68583 жыл бұрын
Badein muongo wanafurahia vita africa na warabu gadafi walimua africa kujua ataweza kunga africa wawe wamoja
@user-xt4mi5zs2s8 ай бұрын
Na walitaka kumuuwa yesu pia wameuwa manabii wengi how walishaahidiwa moto Pepo ni Haram kwao
@bigmanfish63463 жыл бұрын
Niwaulize kabla 1940s wayahudi kuhamia Israel ni miaka elfu ngapi ilikua imepita? Walikua wapi hata warudi pale waseme ni kwao?? Swali la kimsingi. Hata kwa mfano ingekua ni kwao. Hawana tena ruhusa kurudi na kudai ni kwao baada ya miaka Maelfu kuondoka. Dhulma tu ya wazi
@haidarinawabu9109 ай бұрын
Mauretania na Israel ndio walipigana ma mataifa sita.
@rogersyshemweta62953 жыл бұрын
Ukovizori ndugu
@SalomeGeorge-il7vf Жыл бұрын
🔥
@dullahbatuf9223 Жыл бұрын
Hahaha ww umejitahid kupotesha ibrahim alipoambiwa na mungu aende kanani (Israel) alikua anaishi iraq alipoenda kanani sio kwmb hakukuta watu amewakuta watu hapo ambao ni wapalestine ibrahim alipofik hapo hakua na hel vile vile mpk alipotoka misri kwa nimroud ndipo alipokuja nunua ardhi kanani ambapo wapalestina ndio amewakuta hap.haw Tunawaita wayahudi hawa ni wazayuni ambao walitok ulaya muingreza ndie aliyewachukua wazayuni akawapeleka hapo ndo na wakafanya taifa wanalindwa na mgongo wa uingreza mpk kesho technically inayotumiwa na waulaya magharb na marekani ni kuitumia nchi moja kupigana na wengine tunayaona pia leo Hao wanaipa ukrain silaha siku urusi akishindwa vita mtasema ukrain kampga urusi kumbe ulay maghrb na marekani ndio wapigaji ndio wanavyoitumia Israel kuwapig palestine
@salminwamu22973 жыл бұрын
Duh
@mwakasagule9 ай бұрын
Gangana, ukitaka watu wakufuatilie sana fanya Interview nyingi na huyu jamaa THABITI.
@salehkhamis30633 жыл бұрын
Muandishi ww sio m,bunif ungemuuliza kuna tofauti gani kati ya hamas na vikosi vya serikali ya Palestina