CHEKECHE: Kukutana kwa Rais Kim Jong Un na Putin ni tishio kwa mataifa ya Magharibi?

  Рет қаралды 59,997

Azam TV

Azam TV

9 ай бұрын

Macho na masikio ya mataifa ya Magharibi yalikuwa mjini Vladivostok nchini Urusi ambako mwenyeji Rais Vladimir Putin alimkaribisha mgeni wake kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un.
Sehemu kubwa ya mazungumzo yao hayajawekwa wazi, hali ambayo imeibua mitazamo mbalimbali na ubashiri wa masuala ambayo pengine ni ya msingi yamezungumzwa na wawili hao.
Wasiwasi mkubwa ni hisia za mazungumzo ya siri kwenye suala la silaha ambazo pengine zikatumika kwenye vita vya Ukraine, hilo linawezekana? Na je, kukutana kwa wawili hao ni tishio kwa mataifa ya Magharibi?

Пікірлер: 122
@OmarOmar-vf9dv
@OmarOmar-vf9dv 9 ай бұрын
Asanten sanaa kikubwa mchambuzi kwa asikimia kubwa amejitahid sanaa kutumia lugha ya taifa pasi na kuweka misamiati mingi yakigeni. Natumai wengi waliofatilia wamepata kuelewa zaid
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 9 ай бұрын
Wachambuzi mpo vizuri mkiwa hivo mtawasaidia Watanzania
@othumanomari1589
@othumanomari1589 9 ай бұрын
Nitafurai sana marecan akipigwa kwani simpendi sana anaizurumu Africa bado anatuuria watuwetu kama Gaddafi sadamu husein😢😢
@user-xg2wb9ye2g
@user-xg2wb9ye2g 9 ай бұрын
Yesu ndio yupo nyuma ya Marekani atashinda ndio baba wa dunia❤
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 9 ай бұрын
marecan ndiyo nini???
@yassinmashautymashaury2734
@yassinmashautymashaury2734 9 ай бұрын
Upo vzury mchambuzi BW. Thabiti🎉🎉🎉🤝
@deusisindwa616
@deusisindwa616 9 ай бұрын
Uko vzr dhabit huwa napenda kukufatilia
@GeorgeUsele-kr6qk
@GeorgeUsele-kr6qk 9 ай бұрын
Urusi piga mbwa hao😂😂😂😂
@chidiomari.65
@chidiomari.65 9 ай бұрын
Thabith mrangi anachambua vzr sana Maua yake hayo🎉🤝🙌🇫🇮
@allahisone6386
@allahisone6386 8 ай бұрын
🎉🤝🙌
@evaristbamfu7149
@evaristbamfu7149 9 ай бұрын
Huyu jamaa ni mchambuzi kweli kweli. Lugha simple, no mbwembwe. Big up brother
@allahisone6386
@allahisone6386 8 ай бұрын
🙌🎉🙌
@Mosessssss
@Mosessssss 9 ай бұрын
Mchambuzi Upo vizuri sn
@emmanuelenock6310
@emmanuelenock6310 9 ай бұрын
Thabit mrangi ni zaidi ya mchambuziiiiiiiii.....brilliant 🎉
@farusaimon3490
@farusaimon3490 9 ай бұрын
Hongera sana AZAM TV kwa kimtambua huyu Mwamba. Good job!
@GeorgeUsele-kr6qk
@GeorgeUsele-kr6qk 9 ай бұрын
Hii sio TBC hii ni Azam Tv mwanzon walikuwa wanaleta unafiki saiv wameanza kuongea ukweli
@farusaimon3490
@farusaimon3490 9 ай бұрын
@@GeorgeUsele-kr6qk Asante sana kwa masahihisho ndugu! Sikuchunguza vizuri.
@KassimSalumu-fk6yk
@KassimSalumu-fk6yk 9 ай бұрын
@@GeorgeUsele-kr6qk kivipi
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 4 ай бұрын
​@@GeorgeUsele-kr6qk hujui kitu dogo tulia
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 9 ай бұрын
Hakuna tishio maana wao wameongea na kuungana na mataifa zaidi hamsini kupeleke siraha Ukraine na majeshi kwanini mataifa mengine wasimuunge mkono mrusi Marekani ni waoga kuingia vitani direct bali wanatumia njia za mkato kuibua migogoro ili wauze siraha, madawa, n.k kwahiyo wanaona endapo Urusi itakuwa imara sera zao zitakuwa si kitu, maberi hili swala kwao pasua kichwa ila muda utazungumza
@kenochieng3098
@kenochieng3098 8 күн бұрын
Uko vizuri sana
@user-co7jf2zo2m
@user-co7jf2zo2m 9 ай бұрын
Jama yuko vizuri sana
@finiasfidelis1475
@finiasfidelis1475 9 ай бұрын
Kongore sana kwa Thabiti Mrangi mchambuzi wa mambo ya kimataifa na mikakati
@masungadutta3823
@masungadutta3823 9 ай бұрын
Huyu jamaa yuko vizuri sana kwenye uchambuzi
@anthonykiula6321
@anthonykiula6321 9 ай бұрын
Sanaa
@user-hz4by6ff5i
@user-hz4by6ff5i 17 күн бұрын
Sana sana
@ibba8082
@ibba8082 9 ай бұрын
Pamoja kutoka FIZI D R Congo🎉
@nyembomajid1262
@nyembomajid1262 3 ай бұрын
dugu umemsikia huyo jamaa anavo poromosha madini ....congo mnawatu kama Hawa ao ni wale wasomi wakujisifia bila kusaidia raia kifikra, kielimu ,kistoria na mambo kazalika
@shabantelack5716
@shabantelack5716 9 ай бұрын
Thabit unajua sana , nmerudia mara 10 umetoa kama summury flani inayoeleweka
@saidymwajeka8612
@saidymwajeka8612 9 ай бұрын
Exarent very geneus boy🤝🇿🇦
@kanobayirelambert8400
@kanobayirelambert8400 9 ай бұрын
Pamoja sana
@josephkostans9128
@josephkostans9128 9 ай бұрын
Bigup mchambuzi uko vizuli sana
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 9 ай бұрын
Ni hatari mlangi salute kwako
@akhanntahena2544
@akhanntahena2544 9 ай бұрын
Safi Sana Thabit huo ndiyo uchambuzi makini
@donizzo9570
@donizzo9570 10 күн бұрын
Usiseme Urussi na Ukraine bali sema Urussi na marekani.. Alafu mwenzio mwambie marekani amejivisha ukilanja ila hawezi kuwa kiranja wa Dunia
@venancembwaga-uw6kb
@venancembwaga-uw6kb 9 ай бұрын
😂😂😂😂😂 marekani anaumwa ugonjwa wa geopolitics nimekuelewa
@salehkhamis-ob8ln
@salehkhamis-ob8ln 9 ай бұрын
Nilikua nikiusubiri kwa hamu huu mjadala.
@fredrickkagwa8853
@fredrickkagwa8853 9 ай бұрын
Najua America inaprint tu pesa na kuzitumia vibaya
@jkifutu7936
@jkifutu7936 9 ай бұрын
Nawakubali sana
@JeremiahMwalukosya-eh5nf
@JeremiahMwalukosya-eh5nf 9 ай бұрын
Huyu jamaa nimchambuzi mzuri sana alifelri tu kwenye swala bandari alijishushia eshima sana CCM hawabebeki hata Kwa mna yoyote ile
@jafariHabibu-jc9zf
@jafariHabibu-jc9zf 9 ай бұрын
Tumewapata asanteni
@eliasndomba7937
@eliasndomba7937 9 ай бұрын
Watu 14 awapendani ...wakielewana ni hatali mno Nimejifunza kitu kikubwa sana
@BONGOINMOTION
@BONGOINMOTION 9 ай бұрын
Bro mlangi juzi tu nilikuwa namuuliza Bro Gangana juu ya hizi chambuzi,,,
@maniamba.tz_
@maniamba.tz_ 9 ай бұрын
Mchambuzi uko vizuri
@mkongwekarim3036
@mkongwekarim3036 9 ай бұрын
Mlangi 🎉🎉nimaua yako hayo
@hassangaddafi2347
@hassangaddafi2347 9 ай бұрын
Viva Putin viva African ❤❤ 🔥🔥🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺💪💪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 9 ай бұрын
Nimekukubali Sana mchambuzi
@hamzahuseni2555
@hamzahuseni2555 9 ай бұрын
Mchambuzi huyu anaviwango vya hali yajuu honger
@noelnjementi8511
@noelnjementi8511 13 күн бұрын
Nampenda sn
@user-ni9gx1ho6c
@user-ni9gx1ho6c 9 ай бұрын
Hongera sana broo sabit upo poa sanaaa
@ramadhanimtozeni8030
@ramadhanimtozeni8030 9 ай бұрын
Thabit, hakika wewe ni gwiji wa siasa za kikanda, hongera sana.
@angelamwewe1948
@angelamwewe1948 9 ай бұрын
Mchambuzi thabiti..... Namkubali Sana jamaa.. mzee wa mikakati
@jkifutu7936
@jkifutu7936 9 ай бұрын
Nakukubali sana mdogo wangu
@shabantelack5716
@shabantelack5716 9 ай бұрын
Apo japan Taifa linazeeka sijaelewa kabisaa😂😂😂
@sumatraveler1957
@sumatraveler1957 9 ай бұрын
😂😂😂Japan miaka ya nyuma ilikua taifa lenye nguvu kubwa Duniani but kwasasa amna kitu Ndio maana kasema hivo ni taifa lililozeeka ( Yaani limezeeka kijeshi )
@josephmwita6012
@josephmwita6012 9 ай бұрын
ni taifa ambalo lina wazee wengi kuliko vijana
@rajabuathumani1586
@rajabuathumani1586 9 ай бұрын
Mrangi iko vzr mno
@abuubakarhaji2078
@abuubakarhaji2078 9 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@yonathanbanyikwa1813
@yonathanbanyikwa1813 8 ай бұрын
Mrusi anamfaham vizuri mmarekani, anamheshim Sana ndio maana ataishia Ukraine hawezi kugusa mwingine.
@nsabimanasuleyman2008
@nsabimanasuleyman2008 9 ай бұрын
Tunashkuru
@daudimabumba2887
@daudimabumba2887 9 ай бұрын
Wewe nimchambuzi acha hao wengine kusifia2 magharibi
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 9 ай бұрын
Africa tunatakiwa kuwa makini sana hawa maghalibi wana nia mbaya na Africa tusilale maanake viongozi wetu wamalizika sanaa wakati wao roho zipo juu wanajua uchumi wao upo hoi mali asiri wanazotegemea zimetiwa mchanga.
@victorsanga2229
@victorsanga2229 9 ай бұрын
Akili ndogo ya kufikiri, leo mnashindwa kuigiza mafuta kwa kuwa hamna dola ya Marekani., haya hao warusi, korea kusini, china wapo wapi kuwasaidia? Maisha ya warusi, china, north korea wengi ni ya kawaida tu. Mapato yetu kwenye utalii tunawategea ulaya na Marekani
@KassimSalumu-fk6yk
@KassimSalumu-fk6yk 9 ай бұрын
@@victorsanga2229 kivipi
@JanenyirambonaJanenyiram-sc7lv
@JanenyirambonaJanenyiram-sc7lv 8 ай бұрын
Huyu kama ana uelewa mkubwa kuhusu siasa, inasikika wazi.
@DevyMtanza-fc2nn
@DevyMtanza-fc2nn 9 ай бұрын
Tupo pamoja
@gstone830
@gstone830 9 ай бұрын
Putin👍🏻
@theteacherchance6750
@theteacherchance6750 9 ай бұрын
Hivi vijombo vya vihabari vya 'tenzeniye' vinatoa wapi uthubutu wa kujadili ishi ya Urusi na Korea. Marekani hakuna kijiji hayupo duniani. Mfatilieni Edward Snowden mtaelewa.
@Linsha1993-hw9kl
@Linsha1993-hw9kl 9 ай бұрын
Wamemfanya nn mpaka leo na yupo urusi na amepewa mpaka uraia na haja fanya lolote
@eliasndomba7937
@eliasndomba7937 9 ай бұрын
Jamaa anajua sana
@fikirininasoro5272
@fikirininasoro5272 Ай бұрын
Muwe mnachambua na mgogoro wa Irani na marekani pamoja na Israel
@hamisramadhan-eb3ie
@hamisramadhan-eb3ie 9 ай бұрын
Uraaa 😂
@rajabuhamisi2769
@rajabuhamisi2769 9 ай бұрын
Uraaaaaaaass
@jumambarale699
@jumambarale699 9 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@shijamohamed369
@shijamohamed369 9 ай бұрын
Je N. KOREA HAFIKIRII KUIVSMIA KOREA
@godfreydavid6267
@godfreydavid6267 9 ай бұрын
Drone kutoka Iran ilikuaje? Urusi hahitaji silaha kutoka Korea Kaskazini!!! Sijaelewa
@othumanomari1589
@othumanomari1589 15 күн бұрын
Hao wanaurafiki waundugu
@husseinmanyanga1587
@husseinmanyanga1587 9 ай бұрын
Mchambuzi yuko zvizur sana tuko pa1
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 9 ай бұрын
Thabiti Mrangi kwa kweli ni kichwa sana
@BernadPeter-zy8tv
@BernadPeter-zy8tv 9 ай бұрын
Mdanganya uma
@KassimSalumu-fk6yk
@KassimSalumu-fk6yk 9 ай бұрын
Mpuuzi wewe, jamaa masters kachukia Israel
@MouriceNdomba-zr5hx
@MouriceNdomba-zr5hx 9 ай бұрын
Hata warusi wengi wanaasili ya kiyahudi ndomaana mwizraeli amekaa kimya kwenye huu mzozo
@albertbissaga1425
@albertbissaga1425 9 ай бұрын
Madhumuni ya kuiangusha marekani ni nini? Na hatima ya dunia hapo baadae?
@emanuelpiniel5277
@emanuelpiniel5277 9 ай бұрын
Chambueni jambo Kwa ufsaha sio mchambue kama ushabiki wa mpira
@noelnjementi8511
@noelnjementi8511 13 күн бұрын
Zabit namkubali sn
@user-sd5hj2im4q
@user-sd5hj2im4q 9 ай бұрын
Hahahahaha makofi kwko jembe
@user-jq7dy4iy7y
@user-jq7dy4iy7y 9 ай бұрын
So nice ❤️
@jestonelazaro6543
@jestonelazaro6543 9 ай бұрын
Acha uboya ujui kbsa historia ya Korea yaani baada ya bomu la Hiroshima Japan Korea ilikuwa chini ya Japan ukasainiwa mkataba wa kutokuwa nakoloni lolote so ili usssr Soviet na USA wasipigane wakagwana Korea north ikapewa Russia na south ikapewa Marekani na Russia ikaipa marekani Alaska desert marekani kukwepa vita chini y
@lucasalbertomseti1578
@lucasalbertomseti1578 9 ай бұрын
Hebu kosoa kiungwana basi
@josephkostans9128
@josephkostans9128 9 ай бұрын
Ukikisoa kiungwana utaeleweka vizuli zaidi wakati mwingine. Huyu mchambuzi yupo vizuli sana ila kumbuka mwanadamu hakosi kasoro ama kupitiwa hiyo ni makosa ya kibinadamu so lazima tujali ktk hilo
@annurmohamedi9824
@annurmohamedi9824 9 ай бұрын
Russia "aliipa" marekani Alaska?? Historia umejifunzia wap?? Na lini hilo jambo lilitokea ?? Google bas ili ikusaidie ilikuwaje Alaska iwe Marekan jambo gan lilifanyika
@KassimSalumu-fk6yk
@KassimSalumu-fk6yk 9 ай бұрын
Wewe mjinga sana huyu, mwamba Masters kachukia Israel na kafundishwa maprofesa bobezi wa mikakati dunia na mfuatilie kuanzia sasa, ndio maana wengi wamekupinga mpuuzu wewe
@lughanojohn4211
@lughanojohn4211 9 ай бұрын
Sasa wewe unajitamba kujua historia za watu? 🙄Vipi kuhusu historia yako sasa turudi apo
@MiriamMwalukisa-oy4xl
@MiriamMwalukisa-oy4xl 9 ай бұрын
Leo saa mbovu inaongea ukweli
@BONGOINMOTION
@BONGOINMOTION 9 ай бұрын
Saa mbovu unamaana Gani?
@Pedeshee01
@Pedeshee01 9 ай бұрын
Habib miriam hujambo
@KassimSalumu-fk6yk
@KassimSalumu-fk6yk 9 ай бұрын
Kivipi
@mussaminogapegeitapigaasow9165
@mussaminogapegeitapigaasow9165 9 ай бұрын
Huyo ndoomchambuz wakwel kuliko yule mwingine
@IbrahimlyenjeNtupwa-ju4ej
@IbrahimlyenjeNtupwa-ju4ej 9 ай бұрын
Hamuelimarekani haishindanishwi nataifaloloteduniani
@juliusdonard933
@juliusdonard933 9 ай бұрын
Putin n mwamba
@charlesmagahi-rr6wl
@charlesmagahi-rr6wl 9 ай бұрын
Hiko hiko ni kiswahili gani? Sahihi ni hicho hicho.
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 9 ай бұрын
Acha kudeal na vitu vidogo angalia mambo ya msingi
@graysonpastory1918
@graysonpastory1918 9 ай бұрын
​@@fahadfaraj6474hiyo ndio sifa ya watu wenye wenye ubongo mdogo kutafuta Vitu vidogo
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 4 ай бұрын
​@@fahadfaraj6474Hivyo vitu visigo ndivyo vibavyotakiwa Ili mtu aongee kiswahili sahihi. Au na wew ndio wale ambao wanaongea kama wanatafuna makande. Sehemu ya kuweka R wanaweka L na sehemu y L mnaweka R
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 4 ай бұрын
@@miltonjohn9779 soma ulichoandika basi maana naona hata kuandika kwako mtihani "visigo" ndio nini mbona unaandika kama umekula nyanja chungu
@albertbissaga1425
@albertbissaga1425 9 ай бұрын
We mshabiki wa upande wa urusi, maana yake unajipa matumaini ya ushindi, kumbuka hata warusi wameuwawa wengi vitani, harafu usidanganye nyukilia za mchina hafuati za USA, pia mrusi hana submarine Kama za USA .
@salimali-rf9er
@salimali-rf9er 17 күн бұрын
Wewe unaweweseka tu utafikiri una maradhi ya kifafa,kwani hata hujui unachokisema
@mamlomamlo9064
@mamlomamlo9064 9 ай бұрын
Marekani ndio israeli hawezekani
@BabaBalingasi-hp6gd
@BabaBalingasi-hp6gd 9 ай бұрын
Atapigwa tu. Israel anapewa kichwa tu. Anapigika. Mbona Hitler aliwatandika
@tekashisixtynin9threewithd727
@tekashisixtynin9threewithd727 9 ай бұрын
Yes american kwanza is the land of honey and milk
@eliasndomba7937
@eliasndomba7937 9 ай бұрын
Ujielewi Bado....Duniani imebadirika mno
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 9 ай бұрын
​@@tekashisixtynin9threewithd727American is a land of Murderers and sodomised
@graysonpastory1918
@graysonpastory1918 9 ай бұрын
​@@tekashisixtynin9threewithd727nani kasema hayo nchi ya mashoga na usagaji
Ahmed Ally afunguka mashine tatu watakazotangaza leo
9:55
Azam TV
Рет қаралды 3,1 М.
World’s Deadliest Obstacle Course!
28:25
MrBeast
Рет қаралды 155 МЛН
MCHAMBUZI THABIT AFAFANUA DHANA YAKUSHINDA NA KUSHINDWA KWENYE VITA
21:31
Gangana Info Channel
Рет қаралды 9 М.
Putin receives lavish welcome in North Korea
2:25
The Times and The Sunday Times
Рет қаралды 559 М.
MCHAMBUZI THABIT AFAFANUA KUHUSU UZALENDO,MKATABA WA BANDARI
39:02
Gangana Info Channel
Рет қаралды 3,4 М.
❌🔴🟡 WHO DID WIN!? | SPEED CHALLENGE💨
0:13
ag_soccer team
Рет қаралды 1,7 МЛН
Georgina & Ronaldo Rare Moments ❤️ #3
0:31
Score 90 Shorts
Рет қаралды 83 МЛН
ЖЕНЩИНУ ПОСТАВИЛИ НА ВОРОТА☠️❗️
0:20
Профессор ПельменАрти💀
Рет қаралды 1,2 МЛН
ВЛАДЕЕТ МЯЧОМ KICKERBALL!
0:16
Слава Черненко
Рет қаралды 158 М.
ЖЕНЩИНУ ПОСТАВИЛИ НА ВОРОТА☠️❗️
0:20
Профессор ПельменАрти💀
Рет қаралды 1,2 МЛН
ПРОДУМАЛ ТАКТИКУ
0:16
В ТРЕНДЕ
Рет қаралды 14 МЛН
Ronaldo’s Father 🤍
0:20
midaillyfootball
Рет қаралды 6 МЛН