😂😂😂😂wanaume hapana niliacha ujinga wa kumfatilia baada ya kujuwa anatembea na bwana yangu
@eggysulle79882 ай бұрын
😂😂
@abdulmohd68808 ай бұрын
Yan mm nnavyopenda minyamanyama huyo bonge nd cwezi kumpoteza na sio iko kimbaumbau cheupe
@felisteredward89228 ай бұрын
😂😂😂 dah
@diannamongi50998 ай бұрын
😂😂😂😂nmecheka
@nghomanohosea92517 ай бұрын
Kiukweli kabisa mwanamke mweusi anashawishi Sana hata ukimtazama tena watamu Sana Hana pooza joto Kama lote,
@MariumEzekiel2 ай бұрын
Namjua nimesoma nae hata jina lake sio hilo jaman,,watu tunafik mjini tunabadilisha majina duhh😂😂😂😂
@VannyPascal2 ай бұрын
Unamjua mchepuko au mke
@MariumEzekiel2 күн бұрын
@@VannyPascal mke😂😂
@liyloveonimakeuptv24007 ай бұрын
😂😂😂 this is men for you😂😂 men the will leave you in desert without water 😂😂 that it’s what happens to Tanisha.😂😂
@JamalManzi2 ай бұрын
Daah natamani Zamda aone comment yngu anichek, she's a wife material
@user-mf1gm8cx9c8 ай бұрын
Duuh majina ya kevoo🙌🙌
@user-vy9pz7sk4z2 ай бұрын
Kelvin
@Puxladen5 ай бұрын
Aaah nimechoka kaulizwa mara ya kwanza unawqjua kasema ndio😅 mara ya pili kakataa hatua kumi😅
@naomipieter46278 ай бұрын
Mhhhh ya Kenya sasa tupo nayo BoNgo
@user-xf1si9vd1j4 ай бұрын
Hila we Mr uk utafika mbinguni umechoka
@BeatriceDismas3 ай бұрын
Na kiredio wake
@FadhilaSalim-uy6jqАй бұрын
Mbona kama huyo mchepuko kwenye picha mzur live mbaya 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@khadidjaabdi-hd8py8 ай бұрын
Miak 2 yotee hiyo mim ningemovie one
@nishaabdula50152 ай бұрын
Uchomvamishi tu ss unuhoji mtu alafu unaemuuliza yupo hp nia yk nn ndiodangaji
@user-jg3ek6ot3u8 ай бұрын
Zamda mama apo apakufai ..
@daliahmachendenice85438 ай бұрын
Pole tanisha
@tedytitus72058 ай бұрын
😂😂😂 siku ya kuambiwa simfahamu unakula ndimu nzima nzima😺..
@khamismtaly38257 ай бұрын
Hahahaha
@PendoUrasa8 ай бұрын
Wanaume pepo mtaisikia tu😅😅
@FayeezAlbahassaney3 ай бұрын
Nakpnd
@praxedantale78178 ай бұрын
Jaman zamda pole mwaya duuh we n mrembo achana nae uyo bwana
@AngelTitus-sq7et8 ай бұрын
Kevooo anaweza kula hta kilema😂
@subiramussa14288 ай бұрын
🤣🤣🤣
@shancyskitchen30447 ай бұрын
Dah🤣🤣
@officialludahtz81522 ай бұрын
Leo ndo nimeamini haya ni maigizo coz namuelewa vizuri huyo dada
@angolina17688 ай бұрын
Bonge mwezangu unapendwa mwaya asa huyo mwezangu na mie anaonekana ana mabwana wengi kihelehele pooo afu uje uombwe msamaha umpe tena aendelee kukuchezea 😅😅😅
@prezgal88698 ай бұрын
Na uyo tanisha anaonekana ana maringo na dharau ndo mana kevoo ameona hapo ni bora asave kwa chaupole zamda
@user-hb7oh7fg4z8 ай бұрын
Mbona uishi uishi Hadi mwisho jmn 😂😂😂😂
@user-cr6fc7nt8k2 ай бұрын
Akuna mwanaume wa mwanamke mmoja jaman tulieni tu kama uwez kaa na mwanaume basi kaa single
@sophiemtitu99212 ай бұрын
Hakuna mwanamke wa mwanamme mmoja in case you do know
@BarkixSeiph3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 etii ana matatoo mengiii
@angelshonza8236Ай бұрын
Yaaani hivi unajua jamaaa anamtu na bado ukaamua kuendelea nae your not ok in mind yaaan unampendaje mtu Kiasi hicho
@husnagel2 ай бұрын
Ivi watu wanawezaje kupokea cm ngeni😅😅😅Yan me unaweza pga mpk ukakoma
@pilishazycounterog82007 ай бұрын
😂😂😂😂😂 mm sinaga mda wakufatilia ata km mume wng atajijua mwenyw
@jescachandarua58984 ай бұрын
Jamn shda nn kujizalilisha khee😅😅😅😅kwani hakun alternative
@zahirimaulidi4702Ай бұрын
Kudadek ujue anajua mzagamuano
@user-wk5km6di9c8 ай бұрын
Asa Mbona kaondoka na yeye jmn
@user-ih6iv9hd8p8 ай бұрын
Bhana usipend post vitu nusu nusu unatutoa kwenye uwepo..ila wanaume 🙌🙌🙌🙌
@JoyceSteven-tu2fi7 ай бұрын
Mwenyew sijapenda hii
@user-js4bu1jp7n2 ай бұрын
Tatuu zimempoza nilitaka kusikia huwezi kuchaguliwa ukiwa mwanamke was ajabu hata uwe mweupe Kama mzungu
@user-vt4fr9ng8x4 ай бұрын
Huyu mdada black beauty mie namfahamu namuonag mwanza
@innocentcareen8187 ай бұрын
Wanaume bwana
@jescamkemwa94622 ай бұрын
Hao wakina kevoooo
@angonzamujunangoma87752 ай бұрын
Wanawake tutafete hela huu sio wakati wa kugombania wanaume
@neemamabena-xx5er3 ай бұрын
Yani Mimi niwe ndiobtanasha Sina mda wakukaa hapo akati Sina uhakika wa kuchaguliwa Yani nazingua afu naondoka zangu sipo tayari kuachwaaa seh
@Lilian-le7dc5 ай бұрын
Huu ni utoto mwanaume anachagua mtu wa kuwanae jaman ukiona readflag sepa jaman acha kujizalilisha mwanawake mwenzangu yeuwiiiiiiiiiiiiiii
@rosemaryrenatus80648 ай бұрын
Pat 2 please
@Juliethbryson14 күн бұрын
Akina kevo mnamoto mbinguni
@devothabishagazi93608 ай бұрын
Kwanza alisema imekuwaje wote wapo hapo,then anasema Tanisha mbona simjui😳😳😳fear men🏃🏃😤
@user-re8cp2if4j8 ай бұрын
Tanisha hatumjui bana mtu tattoo zote hizo tunamfahamia wapi😅
@sophsoph47408 ай бұрын
@@user-re8cp2if4jhatumjui kbs😂😂
@elizabethaniseth45608 ай бұрын
Pole zamda wetu ila wanaume watz kwakwer haya walishakosa nataman mfike njombe japo najua ningum
@anithamsaki20404 ай бұрын
Kiukweli sometimes sis wanawake tunazingua sanaa coz ya hapoo mtu wa kudilii naye ni mwanaumee wako siyo mwanamke mwenzioo ila kiukweli inabidi tuwe tunatuliza kwanza kichwà kama nyie wanawake wawili mkae chini mpige tukio boy au vip siyo wanawake kugombanaa huu siyo muda wa kugombana wanawake kwa wanawake ila kikubwa ni mwanamke kudili na mwanaume wakoo
@user-vh1xo2we9y3 ай бұрын
Ni kweli unachosema but me naona kosa linatokana na pale ubapokuwa unamjua mke wake na ww unaenda tuu😢😅😅😅
@deborahthobias212612 күн бұрын
Na michepuko nd huwa inanguvu ya kujib hvyo
@tatuaamuuinyi96332 ай бұрын
Kwani kafunga nae ndoa
@NairathIddyАй бұрын
Mimi namtafuta huyu kaka mr uky nampataje?
@user-kn8bm3kt1j6 ай бұрын
😅😅😅😅😅tanisha mbn cimfahm😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@user-bb7lc9td6o5 ай бұрын
Next
@NasmaMfinanga4 ай бұрын
Mh jamn 🤐🤐🤐
@msakadoobongeladada-uh3sk8 ай бұрын
Sawa
@user-eu9op8ie7p8 ай бұрын
Tanisha 😢 pol
@user-ky7ne4uo4f2 ай бұрын
😢we kevoo wewe unahatarii
@user-yz3eg6ge8z4 ай бұрын
Alafu atakae achwa na kevoo aje kwangu
@rehemamgata2248 ай бұрын
Ulisikia wapi kunamwanaume anaishi na mpenzi 1 et
@DavidDavid-wf5ug2 ай бұрын
Nyie wanawake acheni kuwalaumu wanawake ambao wanatembea na waume.zenu kuwa amekuchukulia yeye ametongozwa kama wewe ka mlaumu mumeo
@khamismtaly38257 ай бұрын
Ikopoa lkn unatuacha vby nini kiliendelea baada ya hapo
@user-qc3lj4qx8k5 ай бұрын
Na wew alokujaza uo ujinga kwamba kuna mwanamke wa mwanaume mmoja nani?
@user-rb3ct9gk6m6 ай бұрын
Salut
@NeemaPatrick-jw9vv7 ай бұрын
Huyo si zamda jmn nae anabwana mmoja kumbe😅😅😅
@dolphintv87728 ай бұрын
Apo uyo black ana pesa au uyo white mtamu kwahy sasa kila mmoja na nafasi yake
@abdulaziz7038 ай бұрын
Hivi nyie wanawake mnaodhani mwanamme ni wa mwanamke mmoja, nani aliwajaza huo ujinga.? Mwanaume ameumbwa mtafutaji asie na mwisho mpaka kufa kwake. Wewe mwanamke ndo unapaswa kubaki na mume mmoja maana we ni mpokeaji.
@fauzenkassim84248 ай бұрын
Hakika unayosema tuvumiliane tu na subra ❤
@hamisahodari92295 ай бұрын
Ebu Acha kua na mawazo finyu.....
@madammbago97875 ай бұрын
Huo wako ni ujinga na nyie ndo wanaum wa hovyo kwan mwanamk han roho huo ni ufuska tu ulowajaa na laana
@abdulaziz7035 ай бұрын
@@madammbago9787 sina muda wa kubishana na kiumbe mpinga amri za Mungu. No wonder mlikuwa sababu ya Adam kutolewa bustania ya Eden. Mmeanza kupingana na amri za Mungu, Mimi nani msinipinge.
@user-wd2bc7bf5x5 ай бұрын
@@abdulaziz703amri upi😂😂?
@user-tc1tl1sg5i4 ай бұрын
Mr uk , i wish nimuone gf wako😄
@hildakipalile77498 ай бұрын
Na wanawake weusi walivo watamu jmn hv mnahangaika nn nahayo mapapai yenu? Zamda maskin hana mambo mengi hata hahahahahaha nacheka km mazuri,nani kamwona Tanisha anavotetema miguu mpk kutembea kushindwa nusu aanguke maskin
@officialtenendejr3604 ай бұрын
Hiiiii kumbe
@mackysuphian8 ай бұрын
party two ya wale wengine bdo hauja post na kila siku wahusika wapo mliman jmn hiv ni kwel au maigizo??
@EvelinJuma4 ай бұрын
Duuh 😢
@RACHELFESTO-pt6fv5 ай бұрын
Hzo tattoo lazima uchezewe tu, koma
@FAUSTAMBAGA2 ай бұрын
kesi za kevoo sasa ni too much
@Evelinweek8 ай бұрын
Duuh
@user-ls2nq2eq3lАй бұрын
Ha ha ha ila zamda nimpole
@user-rb3ct9gk6m6 ай бұрын
5:01
@tatuaamuuinyi96332 ай бұрын
Mi nisinge mtafuta
@annandajilo28318 ай бұрын
😅😅
@user-pv6kr1bm1e2 ай бұрын
😢
@AyishaOman-cw4xs2 ай бұрын
😂😂😂😂
@MarySimoni-tz3fm4 ай бұрын
😂😂😂
@devothabishagazi93608 ай бұрын
Kevoooo 😅😅😅😅
@NancyBrayan-wi2lr8 ай бұрын
Watu mna moyo jamn Yani mwanaume tu ndo nimuangaikie hivy ten sio mme akwendreee
@najmasalim-rg6ow8 ай бұрын
We pamoj na mm
@LydiaStephano8 ай бұрын
Mpenzi tuu ndo una mhangaikia hivyo😂😂😂😂 angekuwa mume
@Rogathe-Rogathe8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@jonsiamarcus58638 ай бұрын
Shida sio mpenzi kunamagonjwa ndiomana unaona watu wanaangaika