HII NI CHANEL AMBAYO ITAKUPA MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU PAMOJA NA MASWALI NA MAJIBU KUTOKA KWA MCHUNGAJI AMIEL Y KATEKELA KWA HUDUMA YA MAOMBI NA MAOMBEZI PAMOJA NA KUWEZESHA KWA SADAKA YAKO WASILIANA KWA NAMBA 0756 275 511.
Пікірлер: 70
@user-ef7pn5wt7g15 күн бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu aliye hai ..hiii ndio injili tunayotaka kusikia ... Mungu awatie nguvu katika kuileta hii injili inayogusa nafsi na roho
@user-ef7pn5wt7g15 күн бұрын
Roho Mtakatifu akiwa ndani yako kweli anaganya yote... Unajibu Kwa Hekima na mamlaka ya kiungu kabisa Mungu akubariki mtumishi wa Mungu...haya maswali ingekuwa si huyu Roho Mtakatifu ndani yako ni magumu kuyajibu papi Kwa papi.
@DoroseraPaul19 күн бұрын
Bwana Yesu asifiwe mchungaji naomba unisaidie Mimi naota ndoto nyingi lakini nasahau je nikiamka tu nasahau kabisa
@mwambakibucheche1119Ай бұрын
Amina ubarikiwe sana
@violetnasimiyu87183 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe mtumishi wa Mungu, hongera kwa hiyo hatua. utukufu kwa Mungu.
@faithe40633 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu kitekela, naomba unisaidie hapa,bibi yangu alikufa kwa njia ya kutatanisha, alafu uwa inanitokea kila mara ikisema sijekufa naomba unisaidie kutoka
@katekelatv3 ай бұрын
Okay tuwasiliane kwa simu siku ya jumatano
@rahabnkya82763 ай бұрын
AMINA AMINA AMINA MTUMISHI Amiel Yaledi KATEKELA, HONGERA BABA KUFUNGUA TV YAKO. NAOMBA KUJIUNGAMANISHA NAYO NIKUE KIROHO.
@misnasma78753 ай бұрын
Amen....hongera mtumishi wa Mungu Kwa KATEKELA TV
@AidaRaphaelАй бұрын
Ubarikiwe mtumishi kwaafundishoazuri
@user-ey8ug1hg2j3 ай бұрын
Kweli mungu SI mwanadam ubarikiwe katekela na hongera pia kwa tv
@lydiamichael55093 ай бұрын
Amen Asante kwa kujibu maswali nimejifunza jambo zidi kubarikiwa mtumishi wa Mungu..
@user-ru5pk9bh8p3 ай бұрын
Yesu asifiwe mtumishi,naomba unisaidie mimi nilikuwa mshirika mzuri wa madhabahu zinazotumia maji na mafuta ya upako baada ya mafundisho yako nikaachana nazo ni miez sita sasa ila ndugu zangu wamegoma kuziacha nifanyeje nisaidie baba
@caxtonojiambopreaching3 ай бұрын
Amen Mchungaji katekela, Asante Kwa kufungua tv, Umekua baraka maishani mwangu, na Tena utaendelea kuwa baraka kwangu, katika jina la Yesu kristo., Mungu akujalie maisha marefu sanasanasana. Nakupata kutoka "Mombasa" Kenya.
@trophywilson72113 ай бұрын
hongera umefungua Tv aise
@MariaMdemu-xt5cv3 ай бұрын
Amina mchungaji kateleka.... nabarikiwa sana Kwakweli Mungu akukumbuke katika ufalme wake.....unaokoa wengi🙏🙏🙏
@agnethapaul60573 ай бұрын
Amina,mtumishi wa Mungu.
@MarthaHerman-sm9wr3 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe Mchungaji naomba niwe mshirika wako
@katekelatv3 ай бұрын
Karibu sana
@gracemutono50233 ай бұрын
Asante sana mtumishi
@JaneKuyokwa-ng2qf3 ай бұрын
Amen mtumishi
@user-ew3fq7re2t3 ай бұрын
Hongera kufunguka tv maana umetusaidia tutakua kiloho. Barikiwa na Mungu.
@sophiamakani61333 ай бұрын
Ongera sana Mutumishi wa Mungu furaha ilioje sifa kwa Bwana YESU
@rahabnkya82763 ай бұрын
Ndoa zipo, kuokoka ni jambo jingine. ASANTE
@Rashid-vm1fk3 ай бұрын
Majibu mazuri
@HeryDaudi3 ай бұрын
Mchg Niko mara naomba msaada wakiroho
@katekelatv3 ай бұрын
Karibu sana
@alexanderobaye75763 ай бұрын
Safi kabisa mtumish, Nina swali katika bibilia kuna neno kiroho kama lipo maana yake njni? Ila mimi najua tu Roho au Rohoni. Alexander juma nikowa Kenya
@raelnangila30063 ай бұрын
❤
@noelashaoona3 ай бұрын
Amen 🙏
@josephmutemi74943 ай бұрын
Amen
@catemacharia84993 ай бұрын
Mtumishi asante kwa majibu yako lakini nina swali,mimi nafanya kazi uwarabuni na nimeokoka lakini lazima niagizwe na boss yangu kuchoma ubani wanapo hitaji,nitafanya aje na boss yangu ni ajuza hawezi enda jikoni kuwasha makaa moto aichome!
@witmartha10593 ай бұрын
Asante
@user-gn5bw4dr1e2 ай бұрын
Mimi nona ku fata toka Goma DRC, Una sema Kitabu ya LUKA ina sema tuabudu juma pili iyo ni uwongo Ya pili SABATO maandiko inasema ni Amri ya milele na YESU alisema aku kuja ku badili Amri n'a Kitabu ya Ifunuo ina sema tusi punguze wala ku ongeza Tena YESU akasema yeyote anaye fundisha mwengine ku shika Amri ataitwa mkubwa katika Ufalme wa MUNGU Kitabu cha Marko inasema munaacha Amri ya MUNGU na muna shika maagizo ya wanadamu n'a iyo maagizo ni yale imeandikwa mu Kitabu ya Danieli 7:25 n'a ambayo wa KATOLIKI Waka badilisha siku ya ibada ya kweli ya MUNGU
@user-zq8xg9oq4p3 ай бұрын
Mungu akubariki sana shuhuda zako zinajingeza kila siku, mungu akutunze
@d.lutherjr53823 ай бұрын
amen
@neemamarko1763 ай бұрын
Amina, Barikiwa sana
@JENIPHAIBRAHIM3 ай бұрын
Mch naomba no yako
@faithe40633 ай бұрын
Umejipu vyema mtumishi wa Mungu barikiwa zaidi kwanza hapo kwa sabato, ndio maana Yesu akasema ng'ombe ya mtu akianguka katika shimo mutawaja kuokoa kwa sababu ya sabato?tena akasema yeye Yesu ndiye Bwana wa sabato,mimi nitazidi kumwabudu Mungu katika jina kuu la Yesu kristo katika siku ya Sunday
Sawa mchungaji nimekuelewa ila nko na swali moja je kijana mukristo naeza Olewa nkijana Muslim
@vailetlemenya65763 ай бұрын
🙏🙏👏👏💪
@rahabnkya82763 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@user-wt9kj7gl1i3 ай бұрын
Asanti sana kuwa kufungua TV yako ni swali mtu akiwa Kenya unapatikana kwa Channel ngani
@katekelatv3 ай бұрын
Katekela tv pia promover tv
@clarisotieno38583 ай бұрын
Unapatikana kwa NB Gani ya kenya
@katekelatv3 ай бұрын
+254795 417 141 Amiel Katekela
@user-jl9gq3ws8x3 ай бұрын
Kuolewa bila kutolewa mahali ni dhambi?
@labankalumiye411727 күн бұрын
Bwana Yesu asifiwe? Mimi nawapenda sana. Nauliza je, hii ni tv yenu halali?
@katekelatv27 күн бұрын
@@labankalumiye4117 ndioo ni halali
@katekelatv27 күн бұрын
@@labankalumiye4117 ndioo ni halali
@labankalumiye411725 күн бұрын
@@katekelatv nashukulu sana MUNGU awabaliki,
@labankalumiye411725 күн бұрын
Naomba namba yenu niwe natuma sadaka yangu kwenu
@labankalumiye41177 күн бұрын
Bwana Yesu asifiwe sana mtumishi wa MUNGU? Naomba unisaidie Jana nimeota ndoto ambayo inanichanganya kuifaham naomba unisaidie. Nimeota nyumbani kwangu kuna maji mengi yanakuja kutoka mlimani yakaizingila nyumba yangu mala nikaona inaanza kubomoka nika mwambia mke wangu twende tuka chukue baadhi ya vitu tuviokowe wakati naanza kusukuma niingie ndani kupitia dirishani mala nika shituka nikaomba sana. Naomba nisaidiwe nini maana yake mchungaji
@jameskajenge31093 ай бұрын
Hongera sana mchungaji kakufungua TV yako. Pia huduma yako ni njema sana
@margaretnekesa20193 ай бұрын
Asante..sana..mchungaji
@rakaieva54723 ай бұрын
Bwana Yesu kristo asifiwe Mchungaji Amiel niko na swali shahada inamaanisha nini?
@fwambamarkd57353 ай бұрын
Certificate
@katekelatv3 ай бұрын
Shahada ni cheti cha ndoa kinachothibitisha kuwa umeoa au umeolewa. Mtu hupewa baada ya kuoa au kuolewa
@patrickanselim3 ай бұрын
Mchungaji je ni sahihi kuoa au kuolewa na mtu wa dhehebu lingine?