Asante mtumishi umeweka sawa kabisa.Dada Christina usishupaze shingo kubali maonyo mrudie Mungu upone.Pole mzee Shusho Mungu akutetee.
@ayubumbembati86585 ай бұрын
Nilikuwa namkubali sana Christina kwa kazi zake nzuri na zaidi nilipenda sana kwa kutokuwa na skendo yoyote kwa kipindi chote. Kwa hiki kimetokea kimefanya nijiulize maswali mengi sana juu ya Dada Christina. Anyway Shetani nae yupo kazini muda wote, hivyo yeyote ajidhaniye kuwa amesimama na ajiangalie asianguke! Christina umetoa kali ya mwaka 2024! Mungu akusaidie.
@TedyanodiTedy-fp9mh5 ай бұрын
Kuna kitu kipo nyuma yapazia nyie hamuwezi kujuwa ndowa zina mambo mengi
@maystellakajuna54616 ай бұрын
Mtazamo wangu, amemkosea sana Mungu, pili this is a spiritual matter, spiritual matters hazihitaji ushawishi, hilo ni swala la Imani ambalo kila mtu anamaamuzi yake. Hahitaji ushauri, huyo si mchanga kiroho bali amemezwa na kuingia ktk imani nyingine. It's not about us but about God! Hajatudhalilisha sisi bali Mungu. Hizi ni siku za mwisho, tuwe waangalifu sana na kuomba na kuombeana pia. Mtu yoyote anaweza kuanguka ndugu zangu, we are in the dangerous days.
@erickmillanzi43916 ай бұрын
Hakuna imani kinyume na biblia hakuna usiri juu ya utumishi usiri ni kumtumikia shetani tu kama hivyo.
@DEBORAHMASANJA-yz3go6 ай бұрын
Oooh yes tumuombee rehema kwa Mungu ndugu yetu
@myself41286 ай бұрын
yeye ni kioo cha Jamii
@maystellakajuna54616 ай бұрын
@@myself4128 kioo cha jamii kidunia sawa, lkn yeye si kioo cha Kiroho au cha Ukristo, kioo cha Ukristo ni Neno la Mungu, tukifata watu ndo wawe kioo cha Kiroho Sasa hivi hapa dunia ilipo, tutapotea sana! Sasa hivi hata Pastor wako inabidi umsimilize na kupima anachokisema kwa Neno Mungu, lkn km utamuona Pastor km kioo chako ndugu utapotea. Hayo yalikua huko nyuma.
@clarencemeena16285 ай бұрын
MUNGU amsaidie kutambua na kuona sawa sawa
@obedimunguachiza84346 ай бұрын
Kabla Yesu Kristo arudi tutakuwa tumeisha ona mengi! Wakristo tukaze mwendo safarin bado🙏
@GloriaRespice6 ай бұрын
Asante baba Kwa haya uliyoyaona na kuwa na ujasiri wa kuitetea Imani yetu nikuhakikishie baba, Mungu hadhihakiwi na ni mwingi wa rehema atajibu Sasa hivi.
@TawakalStorecoltd5 ай бұрын
Thanks my brother for your good godly advice. May god bless you
@MAGDALENAURIO-jq3ip6 ай бұрын
Asante sana jaman huyu dada amejidhalilisha.barikiwa mtumishi
@mossendoghwe3176 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu umeongea kwa uchungu na maneno yaliyonyooka sana!
@gracyusoy94356 ай бұрын
Asante sana Mtumishi wa Mungu Ndugu Richard. umekuwa mkweli na dada tetu christina Mungu amsaidie kwa kweli arudi kwa mumewe maana ukweli anapoteza uelekeo
@Tulia-bw6kp5 ай бұрын
Asante mtumishi .kuna wanawake wa jinga sana n'a wengine ni wenye akili tena wana mutumikiya Mungu n'a ku kuheshimu waume zao .ila Christina alisha kuwa mu ulimwengu mwingine.Mungu ata muweka hazarani siku moja
@leonardmakwela55516 ай бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu! Wewe kwa hili hudaiwi ! Umetimiza wajibu wako ! Nasikitika kutamka kwamba KANISA LILILALA ! Wakati dunia inadai usawa wa kijinsia , kanisa lilikurupuka ! Usawa wa kijinsia ni UPINGA KRISTO! Upinga Kristo maana yake nini ? Upinga Kristo ni "Kinyume na Kristo" (Yaani kinyume na Mungu). Maandiko yako wazi kwamba mume ni kichwa cha mke ! Mwanaume atamtawala mwanamke ! Haya ndiyo maandiko ! Kanisa lilikubalije huu usawa? Unajua dini nyingi zilianzia kwa wenzetu huko Ulaya ! Wenzetu hawa walishakengeuka ! Hawa jamaa ndio waanzilishi wa FREEMANSORY ! Kwa kifupi usawa wa kijinsia ni u freemason ! Never trust a woman !!! Nasikitika kusema hivyo ! Ndivyo walivyo tangu mwanzo
@jentamwadime59106 ай бұрын
I love his speech
@tabyngugi94246 ай бұрын
Oo
@jacksonmwasibila93106 ай бұрын
Ni tupu mtumishi
@dolvinshao69566 ай бұрын
Very good speach
@shemkaiglory69825 ай бұрын
Ukwel nimeumia sana sikutegemea kua hata Tina utavunja ndoa Yako jamani😭😭 ww ni barua , ni kioo unasomwa na Kila mtu ...hapa umeharibu ushuhuda wako
@AngelaObedi22 ай бұрын
Ahsante mtumishi kwakutetea imani uyu dada ameiacha njia ya Mungu
@joycemwakilembe-lc9fx6 ай бұрын
Asante Daktari kwa kusafisha ukristo wetu. Huyu dada kwa kweli ni limbukeni na anahitaji msaada wa haraka.
@maystellakajuna54616 ай бұрын
Huo wito wake si wa Mungu wa Abraham na Isaka na Yakobo Bali ni wa mungu mwingine.
@MerryPhilimon-es9gz6 ай бұрын
Alienda hata Kwa yule nabii mweupe wa Arusha akapewa na mil kumi@@maystellakajuna5461
@EstherCharo-lc3md6 ай бұрын
😂😂😂😂😂anahitaji msada gani yeye kama hata badilika angojee jehanamu ya milele
@billmkushi8496 ай бұрын
Hosea 4:6 IPO kazini
@YOSHUAMWAMPETA5 ай бұрын
LIMBUKENI ! Je unauhakika/
@TinaTina-nu7rt4 ай бұрын
Ukweli umesem maneno mazuri sana mchungaji ubarikiwe, 🙏 kashakengeuka n hap inahitajik tu maomb bila hvyo hakun kitu
@bonifacematuku6 ай бұрын
So much truth. Tumuombee uyu dada. Music is spiritual, and i think this is the reason personally bado nasikiza nyimbo za Shusho za kale kidogo, lakini nyimbo anatoa siku izi nalemewa kusikiza kisa hazina mguzo spiritually The same thing na dada yetu Rose Jameni ni siku za mwisho na Shetani ameingia kwa wanaomtafuta Mungu Tuombeni sana Mungu atupee nehema ya kumkana shetani. Napenda sana dada mmoja Sarah Magesa nyimbo zake zote hadi sai ziko na upako kwa kiwango cha juu sana
@AsyonLayson4 ай бұрын
Loo mch mungu akubariki umeongea sana mungu atambadilisha tu tumwombee kweli wewe ni mwalimu
@boscoafikile47376 ай бұрын
Mungu amtie nguvu mzee shusho pamoja pamoja na watoto yake. kanisa lipo nyakati za mwisho.
@rerisamba6 ай бұрын
😭😭😭😭 anayo pitia Mungu amuwezeshe
@AngelAfric6 ай бұрын
Yupo kwenye maumivu sana yule mzee 😢 Mungu amtie nguvu
@catherinegichiri12466 ай бұрын
Pastor ni jina tu.Wengine ni wambaya kuliko watu wakawida
@poolkingservices69285 ай бұрын
Kanisa lilianza kufanya makosa makubwa pale lilipo futa au kukataa mafundisho ya Yesu aliyeujia ulimwengu ili aukomboe Mt 6:24. Kanisa liko wapi juu ya somo hilo? Manadhani Yesu alikuwa anatania? Amin amin ninawaambia. Fedha ndiyo chanzo cha mmomonyoko wa maadili unaolitafuna kanisa leo. Pole kanisa
@poolkingservices69285 ай бұрын
Misingi ikiharibika, mwenye haki atafanya nini. Zag 12: 1-8
@maglanloy76445 ай бұрын
Amen amen mtumishi wa mbinguni,Mungu akupe muda kutosha kuwafundisha wasiojua Mungu
@ellentukiko56996 ай бұрын
Thank you Prophet of God, umeongea kwa HEKIMA sana, God bless you and your Ministry🙏
@prophetdr.richardgodwinmin22216 ай бұрын
Bless you
@saturinimushi47465 ай бұрын
Pastor KYABASHASA kupitia Moja ya Mafundisho yake hapa Yutube akimjibu Mw.l Isaya Benson aliyepotosha kuhusu Ndoa za Wake wengi na Kuachan a katika Ukristo Amefafanua vizuri sana kupitia Msingi wa Maandiko Matakatifu Yaani Biblia. Mfuatilie Kuna jambo Zuri utaendelea Kujifunza.
@salamalupenza50826 ай бұрын
Nilikuwa mpenzi sana na nyimbo zako. Kwa hili sibarikiwi nazo tena. Nakuomba urudi kwa mmeo shetani yup kazini ameshaona udhaifu yako .
@cmoshi70146 ай бұрын
Mimi binafsi kaniumiza sana. Nilikuwa nikisikiliza nyimbo zake my spirit was so lifted up just find myself crying and I could fill the power of God was so heavy on me 😢😢😢 Yani nilipomuona kenda kwa madhabahu ya mtu fulani nikajua tayari amekengeuka.
@rosemarinawiliam32896 ай бұрын
Alipoenda kwa Geo Dav nilisema basi Tena Yuko upande mwingine
@RizikiWanjiku6 ай бұрын
Amefanya Vinayak sana
@mwendwacephas52916 ай бұрын
Christina shusho amedaganywa na mwanaume mwingine, shetani ako na uwezo pia. Christina shusho usizushe nyavu tafadhali.
@GoodluckGodfreyNgomuo5 ай бұрын
Baba umeeleweka Sana Mungu akutie nguvu Mimi mwenyewe nilishituka mtoko wa pasaka
Nakushukuru sana Prophet kwa kuamua kuongea juu hili, Mimi ni miongoni mwa wanawake waliofedheheshwa sana na Christina, na bora angetoka kwenye ndoa yake akanyamaza kimnya, asimdhalilishe Mungu na Kanisa la Kristo.Anataka kutuambia kuwa Mungu ameamua kupingana na Neno lake. Nimesikitishwa na Tina. Kweli Mungu aturehemu!!!! 😢😢😢
@wahidakisingo35885 ай бұрын
Mungu aturehemu 🙏
@RhodaMwampagama5 ай бұрын
Njia yake si ndefu sana Mungu atasema nae
@rehemafyumagwa80056 ай бұрын
Mtawajua kwa matunda yao, pole sana mzee shusho, Mungu akutie nguvu
@gloriashoo37075 ай бұрын
Mungu wa Mbinguni akubariki mno akuinuwe zaidi mtumishi wa Mungu Kwa kuwa mkweli Kwa ajili ya kristo
@geraldmanyogoto13586 ай бұрын
Asante Mtumishi wa Mungu kwa kumpa ukweli. Huyu ameitwa na shetani na kuitika kwa sauti kubwa!!!! Amrudie Mungu haraka vinginevyo siku zake zinahesabika! Kwa sasa ni mtumishi wa mungu wa Diamondi! Ndiyo maana anamwita mchungaji!
@RhodaMwampagama5 ай бұрын
Ahahahaha
@DerickNoel-b1p4 ай бұрын
Amurudie mungu,kwa kutubu maana mungu hawezi kukupa wito kwa kuvunja ndoa,ndio maana hata nyimbo zake saivi zmekua hazina upako.
@VumiliaWilson6 ай бұрын
Asante Sana Prophet umetusaidia sana sana🙏🙏
@andrewmagwila16026 ай бұрын
Very true Man of God aonywae mara nyingi akishupaza shingo atavunjika gafla .
@shedracklaiza68274 ай бұрын
Mtumishi mungu akubariki sana Kwa ujumbe huo kama anayo masikio ya kusikia basi angejirudi na kunyenyekea na kutubu Kwa mambo anayo yatenda
@weremamwita89816 ай бұрын
Asante mtumishi kwa kuwa mdomo wetu, inatusikitisha ki ukweli; mapataga ukakasi kila nikisikiliza clip zake za mahojiano. Mungu amrehem pst. Eveng' Christina Shushu.
@MarySanga-st5ex6 ай бұрын
Mtumishi ubarikiwe sana,I'm very sad for Christina shush na mimi nimekuwa nikipenda sana nyimbo zake...kiukweli dada kindly deliverance muhimu kwako
@gfydfdf88696 ай бұрын
Kunamuimbaji, nilionyeshwa na Mungu,watu wanasema tunenda kumzika mwimbaji frani wakamtaja jina,kukaa kidogo ndoa ikafa,,waimbaji wengi baadhi yao wamejiunga na shetani kizimu dunia imewaza..mchane christana Mungu atampaka matope,hyu kashalanika amejunga na dunia,huyu anataka usera arishakufa kiroho zamani ,,usikute yule baba arishi kwa mateso na huyu dada.subilieni mtaona mwisho huyu dada ametudhalisha wanake hakuna wito hapo, Mungu wetu hadhiakiwi..
@LupokeloLuvanda5 ай бұрын
Mungu akubariki sana Mtumishi, Neema ya Mungu imzukie huyu dada arejee na atambue mazingira yanayomzunguka. Mimi ni mmoja wa watu walikuwa wanapenda sana kazi zake. Tusiache kumuombea, the enemy is at work 24/7.
@dorcaskarago28766 ай бұрын
Christina shosho alipopata umaarufu alimchukia mume wake kana kwamba sio type yake
@rerisamba6 ай бұрын
Umegonga ndio anajiona mrembo nanihixo cream na nywele za mchina naakizikosa ako tu kama huyo mzee wamkumbuka Zamaridi alivyo kua rumande
@MalobeLujaga-rv1lx6 ай бұрын
Kweli kabisa anamuona mumewe sio type yake
@christinamwangoc47796 ай бұрын
😂😂@@rerisamba
@faithmusyoka64396 ай бұрын
Na mume wake anakaa humble man
@asinatimpendwa37026 ай бұрын
Umesema hakuna mwanaumke mwenye mamulaka juu ya mume wake; ndio unawafundisha wanaume wenzako wawanyanyeshe wanake for cheating with other women na pia unawapa umbambe wanaume wanaopiga wanawake waendelee kupiga wanawake na kuwanyima pesa za kununulia chakula cha watoto na kutumia pesa kwa Malaya. Vimada nje ya ndoa. Wanaume Malaya and cheaters.
@Ceciliapampii5 ай бұрын
Thanks for being brave. God bless you
@godlistenmangowi93286 ай бұрын
Kuwa katika ndoa ni Kulitimiza kusudi la Mungu.Dada Christina anaitajika sanaa kuwa sehemu ya kusudi la Mungu na ni wakati wake sahihi kumshuhudia Mungu ,yaan Bwana wa Mabwana,mfalme wa wafalme!Nimesoma kitabu cha ufunuo wa Yohana milango mitatu nikashtuka sanaaaaaa. Ufunuo wa Yohana 12: Ufunuo wa yohana13: Ufunuo wa Yoha 14: Soma sura nzima ,Mungu Atupenda sanaa.
@benjamenshepa10006 ай бұрын
Kwahyo ni halali kuvunja ndoa ili umtumikie Mungu ndugu
@JoyceLucas-zk7nv5 ай бұрын
Ubarikiwe Sana kwakutusomea timotheo. Mimi Ni mwanamke ninamwmini Sana paulo
@hurumasilasmwamwezi43516 ай бұрын
Sema kweli nayo kweli itatuw3ka huru. Suddenly kaimba mlima HARARATI BADALA YA ARARATI. Ni shida. God bless you man of God.
@estherluvanda11926 ай бұрын
😂😂😂😂
@ekiliangoliga6446 ай бұрын
Kwani nini maana ya Harati na Arati sijui maanake
@ramak.95875 ай бұрын
Wakristo mmechanganyikiwa sana yaani hadi mnaingiza Mungu kwa upuzi na tamaa zenu za duniani. Ni Mungu gani anakuamrisha kuacha ndoa yako na familia yako ili umtumikie yeye? SO FANTASTIC
@ambrosealbogast7922 ай бұрын
Umekosea ku-generalize Wakristo na ndio maana una Like 1. Otherwise ulikuwa umeandika vizuri
@ramak.95872 ай бұрын
@@ambrosealbogast792 Siandiki kutafta like coz hazitonisaidia leo wala kesho siku ya hukumu. Lakini ukweli utaisabika siku zote daima.
@michaelbenjaminsambua53496 ай бұрын
Baba MUNGU akubariki sana BABA MTUMISHI
@merinachillonwa66465 ай бұрын
11:59 🙏 kwa ufafanuzi wa jambo hili mtumishi. Elimu tosha. Barikiwa sana
@NeemaMeshaki-qm4ew6 ай бұрын
Mungu Alie Ziumba mbingu na nchi na atusaidie sana pamoja na dada etu Christina binafsi nimeumia sana na MAOMBI YANGU arudi kwa Mungu Tena Yeye Mungu Bado ni WAREHEMA SAAANA
@barakaroman43256 ай бұрын
Kazingua Sana kweli mungu haangali mwanzo wa kazi Bali mwisho (mungu anaangalia mwisho wa kazi)
@onesimokivuyo47066 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.Hakika wakristo tumekusoma!
@ConsolataMedard6 ай бұрын
Kwakweli huyu Dada ameshapotea mm sikuhiz hata kumsikiliza naona kinyaa😢😢
@amanijmusic.88144 ай бұрын
Mm nlikua nampenda zaidi shusho ktoka kenya ila nlipo muona na nasibu poooooh simsiki moyoni kivyovyote
@charleskuyeko44006 ай бұрын
Umefanya vyema kuyasema hayo Mtumishi wa Mungu. Mungu akubaruki sana. Amemwaibisha Mungu wetu pia. Hata baadhi ya Mashekhe wamemshambulia sana Diamond kwa kushirikiana na Christina Shusho kwenye Mtoko wa Pasaka. Hii ni huduma mpya kabisa haijawahi kutokea popote. Na bila kumung'unya maneno Christina anamtumikia mungu wa herufi ndogo, siyo Mungu YEHOVA tunayemwabudu.
@brucemandara27085 ай бұрын
Hongera sana Mchungaji kwa ukweli ni wachache ambao wako tayari ktengeneza uadui na marafiki zao kwa ujinga wanaoufanya nje ya neno la Mungu, Maadiko yanasema "wawili hawatembei bali wamepatana' Alishapatana kakake siku nyingi Mzee Shusho alikuwa hajui,halafu anajisifia kuwa mrembo mi sioni kama ni mrembo wenye ndio warembo kuliko hao wanaotaka kubanga,Nakemea hiyo katika jina la Yesu christina ukiasoma comment hii urudi UTUBU.
@MediatriceBukara6 ай бұрын
Tusaidie Baba.Sisi tunaompenda hajatubariki hata........."WATUMISHI MUOMBEENI SANA SI YEYE"
@elishayohana62595 ай бұрын
Pastor umeongea kwa Uchungu sana hakika Mungu atajibu katika hili vinginevyo Mungu amrehemu huyu Dada, Amekufa Kiroho lkn kimwili yu Hai, hakika Mungu wetu amrehemu amrudie Mungu wake 🙏
@PrinceHendry-hp8vv6 ай бұрын
Mtu kaanza kujibana na kina diamond atakua na Yesu kweli alishapotea mdada
@rendozrendo78046 ай бұрын
Maokoto
@johnjohnkipokola50776 ай бұрын
Sasa Diamond si anajulikana amejiunga na illuminants siku nyingi? Bado Christina aliwahi kuonekana kwenye kanisa fulani kule Kisongo akipewa msaada wa fedha chafu.
@eliashibundabalinze27546 ай бұрын
Kwani kama umeokoka ndo usiwe karibu na watu wasio wa kristo? Yesu akasema... "Wagonjwa wana mwitaji tabibu bali walima hawana uhitaji wa tabibu"
@hadzatribeadventures6 ай бұрын
@@eliashibundabalinze2754 haikumaanisha unachokisema,fungua macho ya rohoni
@PrinceHendry-hp8vv6 ай бұрын
@@eliashibundabalinze2754 giza na nuru havichangamani
@tagcdcchurch60315 ай бұрын
Mungu akubariki sana kwa kuweka wazi kweli hii ya Mungu pia Mungu amsaidie Christina aweze kurejea maana ukweli amemkosea Mungu amelikosea kanisa ameikosea kazi ya msalaba wa Yesu.
@mackilinakainamla89336 ай бұрын
Mungu amusamehe
@shadymoses58136 ай бұрын
Ila Mimi Nasemaga Tanzania kwa ujumla inahitaji Baraza la kusimamia misingi na Matendo ya kikristo...Yaan Ukristo inabidi kiwepo chombo cha pamoja (achana na TEC, CCT nk) kinachoumizwa na Malpractices za watu na watumishi...na chenye uwezo wa kukataa na kuzuia endapo kanisa ama mtumishi anakengeuka, ili tubaki katika misingi ya kikristo.❤
@joycenganyule32316 ай бұрын
Kuna watu wanaonekana ni wakristo wazur tu makanisan but ni wachawi balaa so mi siamin kama Baraza linaweza kudhibiti mtu kuwa na uhusiano mzuri na Mungu, huko kote ni shida tupu
@ramadhansemvua99946 ай бұрын
@@joycenganyule3231duh
@naomichallo97666 ай бұрын
Huwezi kumzuia MTU aliengeuka na Imani, ni MUNGU pekee ndie awezae kumzuia katika mwanae wa pekee YESU KRISTO
@anithakisima6655 ай бұрын
Kabisa ikiwezekana hata sasa
@SelestinaJohn-r5p6 ай бұрын
Lah Mungu ampe nguvu pastor shusho aendelee kumtumikia tu ,mzee shusho Mungu atakuvika taji ya uzima , hili ni jaribu utavuka kwa ushindi
@samwelmbissa-zj1ev6 ай бұрын
Waooooow very good massage Man of God thank
@leebronkasianh52966 ай бұрын
Shetani,huwa anaitumia pesa,kuvuruga mambo ,na sio yy tu waimbaji wengi wa injili wameshakamatwa na shetani.
@Dr.zaidi46 ай бұрын
Before u come out in the public,it's always good to approach the individuals privately to get the backstory and full story.
@majaliwamsigwa62066 ай бұрын
Ameshalifanya jina la Yesu ni kichaka cha kufichia uchafu,achague moja kusuka au kunyoa,aache kumsulubisha Yesu kwa mara ya pili,barikiwa Mtumisha
@IshipalemyPasko6 ай бұрын
Hakika ndugu
@brianngunjiri47386 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 weeee
@peacelive34206 ай бұрын
Kwani Nini maana ya kumsulibisha Yesu mara ya pili?
@majaliwamsigwa62066 ай бұрын
@@peacelive3420 Waebrania 6:4-6
@StanfordPaul-kw3cg5 ай бұрын
Hatimae leo mtumishi wa Mungu amekichoma kichaka ambacho malaya huyu amejificha.
@florasingano58596 ай бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu...Mungu ndiye mwanzilishi wa ndoa...na anachukia kuachana... kweli ht mm napata ukakasi,ni bora aseme ametoka kwa mumewe kwa issue zingine na si kwa sababu ya kuitwa na Mungu...tumuombee rehema kwa Mungu...
@jeanmusamba84486 ай бұрын
shida sio Christina,shida ni tamaa,watu wengi sana kwa siri wamejiunga na taasisi za siri za shetani,kwa kupenda pesa.sasa maisha yao yana kuwa chini ya ratiba atakayopewa na taasisi hiyo.Vituko vyote si vyake anatumwa na anakuwa programmed.
@rendozrendo78046 ай бұрын
Ndo hivyo dunia hii tunapita usipo fanya maisha yako utabaki .
@OmmyJames-xn7ji6 ай бұрын
Christina anakuja na AGANO JIPYA 😢😢😢😢😢
@banguha6 ай бұрын
Na ndiyo maana unaambiwa kama ni mtumish wa kiume hatakiw kuwa na mke kama ni mwanamke hutakiw kuolewa wamejiunga na kutaka utajir wa haraka Christiana alikuwa anafanya vzr wakat yupo na mume na alikuwa na heshima kwa sasa amekuwa kama mdananda tuu hajielew
@pastorbarnabamichael49465 ай бұрын
Hizi ni siku za ukengeefu
@milicentotieno5 ай бұрын
Wote wameitwa kwa utumishi
@ashwaqhasni6 ай бұрын
Nashukuru sana sana mtumishi wa Mungu Wakristo tupo kwenye maumivu makali mnoo kwa ajili ya Christian shusho anapaswa kuomba radhi kwa kanisani la Kikristo ametudhalilisha mno huyu kwa sasa tumwite tu agent kuzimu Wachungaji watumishi wa Mungu wamekaa kimnya kama vile awaoni mwingine anasimama na kusema anamtetea mtu amabaye siyo wa imani ya Kikristo Namshukuru sana Mungu kwa kukupa ujasiri wa kulisema hili Mungu akubariki sana
@tirigimusiba38155 ай бұрын
Inauma sana! Aache kudharirisha ukiristo.
@troshan78445 ай бұрын
Jinga sana hilo mama..limuache mungu wetu tunaemwani..asitufarakanishe na mungu wetu..mwenyezu mungu huwa hawaiti watu wajinga kama hao
@SharonAron-t1j6 ай бұрын
Hawezi kuwa mwiba bali anazibitisha andiko la Paulo, christina anaupenda ulimwengu na hana huduma ya Mungu aliye hai na Mungu kamfunua
@elinisafibabarita6 ай бұрын
Correct!
@EsterHumphrey6 ай бұрын
Sipendi tabia yako Kristina napenda tu nyimbo zako IGA tabia ya nzuri kama ya Nkone Jenipha Mgendi nk
@ruthjemson43866 ай бұрын
Kweli kabisa
@ruthmwenje83806 ай бұрын
Rudia haya maneno ya kweli kabisa
@JoyceNowara6 ай бұрын
Kweli kabisa mimi ni mama Mtumishi niko German nilikwaza sana hata ile nguo aliyokuwa amevaa kwa mtoko wa pasaka haikuwa ya heshima kabisa kwa wito wake ilibana matako yametoka njenje jamani kama siafu
@AnnaMutua-nr7yx5 ай бұрын
Let us pray for our sister Tina. The enemy wants to swallow her but I pray that God will not allow it in Jesus mighty name. However let us live by the spirit and we shall not gratify the fruit of the flesh. Tumuombee sana
@bokimmwamba23226 ай бұрын
Na hiyo ndio tofauti ya mwanamke na mwanaume ktk kufanikiwa..... Mwanamke akifanikiwa kuzd mwanaume matokeo ndio hayaaaaa
@dorisal73615 ай бұрын
Thanks for being brave
@AfwilileNisaidie6 ай бұрын
Asant mchungaji ila mimi kwa mtazamo wangu mimi pia mtenda Zambi ila hawa nao waimbaji wengi wa nyimbo za injili hawajasimama
@stephenotieno124 ай бұрын
Let's pray for our sister Christina. Bible inawaita wanawake viumbe dhaifu. Tusali kwa Mungu kwa ajili yake. Mungu amrejeshe kwake kwa Jina la Yesu Christo
@Mwasame_Official16 ай бұрын
Dada Christina rudi ulivyo kuwa mwanzo , si wewe ni shetani aliyeingia ndani yako ,, mungu akufungue macho mwanzo hukua mshamba bali ulikua unatumiwa na mungu kiu kweli
@elinisafibabarita6 ай бұрын
Dada Tangu alienda Kenya ni kama kuna kitu ilimpata huko since then naona hajawa sawa
@banguha6 ай бұрын
Amekuwa mshamba wa dunia utadhan bint wa miaka 18 kumbe ni mtu mzima
@EzekielMadaha5 ай бұрын
Good good, Dr nimekuelewa fanya taratibu umtafute umweleze ana kwa ana
@LuckyMountainRange-lk4iq6 ай бұрын
Kweli kabisa Christiana amepotoka kabisa kiungu
@FAITHEDWARD-eg6du4 ай бұрын
Unajua ukiwa ndani ya yesu unazungukwa na uwepo wa mungu. Lakini Christina amelivua vazi la utukufu, asijidanganye kwamba atakuwa kama alivyokuwa mungu amsaidie.
@elisantennko82225 ай бұрын
Hello Prophet Magenge mised you. Those years 2013 we used to chat. Shalom. Problem is conscience God gave the ability to make ridiculous, but God reserves the judgment at the end.
@YohanaRichard-e6p6 ай бұрын
Asante mtumishi kwa kujitoa muhanga katika kuisema kweli maana ni watumishi wachache wanao weza kusema kweli
@benjaminshayo326 ай бұрын
Kwendeni hukoo..amelisemea Sasa Sisi limetusaidia NN? Kumbe alichokisema wewe ulikua unanifaham tangu mwanzon...Sasa kulikua na haja ya kuja kusema huku....? Hii si kusengenya? Alipaswa akamwambie mwenyew na si kusema huku maana lengo si kumuaibisha dada Christina Bali kumsaidiaa...hii ni kumuaibisha..
@rerisamba6 ай бұрын
@@benjaminshayo32kwani dada christina sialitangaza mtandaoni na ajibiwe mtandaoni hujui maana ya kusengenya wewe
@SmilingCityMap-xb9md6 ай бұрын
@@benjaminshayo32yaani ukisema na kumwaibisha yesu mitandaoni NI lazima ujibiwe mitandaoni
@kashindisimon52656 ай бұрын
@@benjaminshayo32 wewe nae ni malaya kama Christina
@JulienAjili5 ай бұрын
You are good servent of God
@johnsonbarasa98696 ай бұрын
Mafundisho haya ni ukweli ila unyenyekevu na utiifu umewatoka wanawake pindi tu umarufu kihuduma,Mungu atusaidie sana
@capt.kwilapeternkwama39405 ай бұрын
Tuwaombee sana Watumishi wa Mungu wanaotumika na kisha kupata umaarufu;;;; Mwisho Wanajaribiwa na Mafanikio hayo ya umaarufu na kisha kujiona ni Bora kumzidi mwenza wake, kisha kuanza kiburi na dharau kwa mwenziwe, na kisha kugeuka kuwa anguko lake kiroho na Kuharibika kwa ndoa.
@josiasntakisigaye-sv4ot6 ай бұрын
Huyu mama Yuko kuzimu,watumishi wa Mungu tuombe Mungu ayafute matendo haya yakuzimu kupitia kwa christina
@testimony2546 ай бұрын
Wakati alianza ku muhushisha diamond nilijua hapa ni basi
@peacelive34206 ай бұрын
Kwani Wokovu ni juu ya matendo ama Imani?
@pamelaayieta60716 ай бұрын
@@peacelive3420Faith with actions not vice versa.
@peacelive34206 ай бұрын
@@pamelaayieta6071 is it GRACE period? Or GRACE and?
@olivernyange23496 ай бұрын
@@peacelive3420grace end😅
@christaloneministry11636 ай бұрын
Asante mtumishi kwa kunena kwa niaba ya MUNGU! Asante zaidi kwa kunena ukweli na ukweli kwa UPENDO MWINGI.....its high time for Christina to go back to her senses just as a prodigal son did. As early as NOW
@Magdalene-er2ur6 ай бұрын
Hakika hata huyo Mme atakua amevumilia huyo mama mambo mengi sana....!Kwa kweli Kwa Mimi huyo dada alishanitokaga rohoni kitambo sana Nashukuru Mungu anaendelea kuonyesha mambo yake ya kuipenda Dunia....😢
@miriammollel17555 ай бұрын
Asante kwa kujitoa na kusema ukweli mtupu, Mungu akubariki sana .
@StansMushi6 ай бұрын
Diamond kafurahi kweli, kapata mshirika
@gosbertmuta54216 ай бұрын
😂
@paulmwaipopo99466 ай бұрын
Mafunuo yanayolipinga neno la Mungu hayafai. Mungu hawezi kuruhusu talaka ili mtu amtumikie Mungu. You are correct man of God. Asante kwa kuongea.
@jeniphamathayo87104 ай бұрын
Hooo,Inauma sana wanawake Tumuombe Mungu atuponye wanawake .
@alexandernyambo77396 ай бұрын
MIMI HATA SIKU HIZI SITAKI KUSIKILIZA HATA NYIMBO ZAKE NI USHETANI LIVE
@Velma-s1s6 ай бұрын
True
@YOSHUAMWAMPETA6 ай бұрын
kWANI NYIMBO ZINAKOSA GANI?
@alexandernyambo77396 ай бұрын
@@YOSHUAMWAMPETA MAMBO YA ROHONI HUJURIKANA KWA MAMBO YA ROHONI
@YOSHUAMWAMPETA6 ай бұрын
@@alexandernyambo7739 NIPE MACHO NIONE MACHO EEEE ,NIPE MACHO NIONE MACHO EEEEEE! YOOOTE ALIMALIZA YOOTE MSALABANI !YOOTE ALLIMALIZA YOOTE MSALABANI! Je hizo nyimbo mbili hutaki kuzisikia kwanini?
@alexandernyambo77396 ай бұрын
@@YOSHUAMWAMPETA 🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄
@KashindiManeno5 ай бұрын
Mimi ni Carlos kutoka Congo uyo shusho namuchukia sana anakuwa malaya sana anamutaka daimond
@johnmwaimise22916 ай бұрын
Sio tu mzee Shusho,hata wewe leo ukimpa mkeo nafasi akaanza kufanya huduma na kujiita mtumishi basi ujuwe huo ndio utakuwa mwisho wa ndoa Yako...
@kelvinLusana6 ай бұрын
Huo ndio ukweli sema watumishi wa siku hizi wanapotosha Neno la Mungu wanaleta hekima za kibinadamu kwenye kweli ya Mungu
@DaviVicent-eh6ev5 ай бұрын
@@kelvinLusana❤
@sheilamark5 ай бұрын
Am shocked 😳😳😳 about Diamond and her Easter initiative
@fredseluina6 ай бұрын
Ni vema akataja ni mungu gani anayemtumikia. Naamini sio Mungu Yehova, Mungu wa Israel.
@YOSHUAMWAMPETA4 ай бұрын
Je waweza Kuthibitisha?
@MageniProsper6 ай бұрын
Mungu akubariki sana, nyakati hizi huduma nyingi Sana ninajutokeza hazitokani na Mungu huyu wa kweli. Na ndiyo maana wakishaingia na kuona wamefanikiwa wanatoka kabisa nje ya mpango wa Mungu na kujifanyia mambo Yao na mara zote wanaenda kimwili. Shusho anatakiwa kutubu Kwa machozi vinginevyo pigo linakuja kwake.
@AgredaMoyo6 ай бұрын
Powerful ....kufikiri kwa kina waooh!!!
@Saint-PaulFavour9904 ай бұрын
This act is really paining Prophet Richard actually we as Kenyans we feel very annoyed bt let God take control😭😭🙏🙏
@kelvinnaftali43316 ай бұрын
Mimi haya niliyatarajia maana giza na nuru haziwezi kuchangamana nilivyoona ukaribu wake na wasanii wa nyimbo za kidunia nikasema ili ni anguko lake tayari.
@peacelive34206 ай бұрын
Mwenye haki aweza anguka (mara...) na atainuka Tena.....
@Williamjsichalwe5 ай бұрын
Ubarikiwe kwa ufafanuz juu hili lakn kwa wasio na elimu vichwani mwao wala hawataelewa kt
@JosephNgasa-j7l6 ай бұрын
Nilkuwa nazpenda sana nyimbo zake kumbe nishetani mtu sizitaki tena!
@peacelive34206 ай бұрын
tusisome Zaburi kisa Daudi alizingua, ?
@user-ee8dr9iw4k6 ай бұрын
Ata lusifa anikua mwimbaji sasa matuda yake yanaonekana
@naomichallo97666 ай бұрын
Zamani naona alikua akimtumikia MUNGU ndio maana nyimbo zake ulikua ukizisikia zinakugusa lakini sasa naona ametoka nje ya Imani ni huzuni tumuombe Sana
@dinahrwezaula846 ай бұрын
Yes it makes sense Pastor tunakuelewa
@nikodemmwahangila33346 ай бұрын
Ubalikiwe kwa ushauli
@Rizikimgaya-jk7mm6 ай бұрын
Hongera kaka, Mungu akubariki sana. Tito 2:3-5 [3]Vivyo hivyo na wazee wa kike wawe na mwenendo wa utakatifu; wasiwe wasingiziaji, wasiwe wenye kutumia mvinyo nyingi, bali wafundishao mema; [4]ili wawatie wanawake vijana akili, wawapende waume zao, na kuwapenda watoto wao; [5]na kuwa wenye kiasi, kuwa safi, kufanya kazi nyumbani mwao, kuwa wema, kuwatii waume zao wenyewe; ili neno la Mungu lisitukanwe.
@leonardyona14626 ай бұрын
Asante Prophet kwa kupiga panapouma, huyo mwanamke ni malaya tu..
@gosbertmuta54216 ай бұрын
😂
@fredfandey2225 ай бұрын
tokankitambo tu, watu walikuwa hawajui tu
@stephenkalidush54465 ай бұрын
Ndugu kusema mtu usimjua ni tatizo kubwa sana coz ata wewe zipu ipo wazii funga zipuuu kwanzaa
@stellahzacharia87435 ай бұрын
Ni siku za mwisho ndugu zangu Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu wengi wataacha njia ilio sahihi watageuka watamuacha Mungu
@emmymatigula48706 ай бұрын
Women,GOD help us Amen 🙏
@fidethkimath39995 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi umetoa ya moyoni lengo ni kumponya huyu tina kama atakuelewa,na ujumbe huu ukapige kelele ndani yake