MCHUNGAJI MSIGWA AFUNGUKA BAADA YA KUJIUNGA NA CCM, ATAJA SABABU ZILIZOMFANYA AONDOKE CHADEMA.

  Рет қаралды 19,198

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Күн бұрын

Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
Mbunge wa zamani wa Iringa Mjini kupitia Chadema, Mchungaji Peter Msigwa ametoa sababu mbalimbali zilizomfanya akachukua uamuzi wa kujiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM), kubwa ni utendaji wa Rais Samia Suluhu Hassan wa kuwaunganisha Watanzania.
Mchungaji Msigwa amesema hay leo Jumapili, Juni 30, 2024, katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyikia Ofisi Ndogo za CCM, Lumumba akiwa na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla.
Ni saa chache kupita tangu alipojiunga na CCM mbele ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Ikulu jijini Dar es Salaam.

Пікірлер: 167
@georgekimasaofficial1629
@georgekimasaofficial1629 3 ай бұрын
Tunamtuumu msigwa tu lakini Madai yake yanaweza kuwa na mashiko na nguvu hivyo Chadema ni vyema kujitafakari
@BashiruShabani-w5j
@BashiruShabani-w5j 3 ай бұрын
Kahogwa ache unafiki
@ce-08
@ce-08 3 ай бұрын
​@@BashiruShabani-w5j huenda kweli kahongwa ila chadema pia kunashida mbowe inatakiwa kunawakati aachie wenzie uwenyekiti wa chama Kila cku yy tu
@swahilitherapytv3846
@swahilitherapytv3846 3 ай бұрын
Chadema imekuwa saccos ya mtu mmoja 😂😂😂
@donaldmaziku7915
@donaldmaziku7915 3 ай бұрын
Msigwa anatueleza ukiona haki haitendeki sehemu fulani, ungana na wasio haki kutenda uovu.
@AlbinMsechu
@AlbinMsechu 3 ай бұрын
Mpuuzi tu
@bahatielias6443
@bahatielias6443 3 ай бұрын
Mimi nikiona mpinzani anaungana na CCM ,siyo sawa pamoja na hoja zake nooo
@rosemaryhamilton5700
@rosemaryhamilton5700 3 ай бұрын
Karibu Kamanda nyumbani kumenogaa
@amosafrica2350
@amosafrica2350 3 ай бұрын
Bora ungepiga kimya ukaachana na siasa za vyama.
@amosafrica2350
@amosafrica2350 3 ай бұрын
Msigwa umetukosea sana. Bora ungeenda CUF au ACT basi tujue bado upo upinzani. CCM mh😔
@mkadammkadam
@mkadammkadam 2 ай бұрын
Mchezaji wa daraja la juu akitoka kwenye timu yake kwa sababu yoyote ile atakwenda kwenye timu ya daraja la juu zaidi na sio kurudi daraja la chini. CCM ndio kimbilio kwa mtu kama Msigwa.
@h77-f8m
@h77-f8m 2 ай бұрын
Mchaga na siasa wapi na wapi mboye ni mwizi tuu
@odoieriasmonga6591
@odoieriasmonga6591 3 ай бұрын
kukosa uwenyekiti wa kanda ya nyasa ndiyo imekua nongwa kumbe wewe ni decteta
@mbokhamumwaliswaha8138
@mbokhamumwaliswaha8138 2 ай бұрын
Nafikiri CDM ndio maana walimfanyia mzengwe kwenye ule uchaguzi wa kanda. Walimjua haaminiki kwa sababu ni miaka mingi amekuwa akituhumiwa kwenda CCM. Hayo yote hakuyaona miaka ishirini aliyokuwa chadema kama kiongozi na mbunge.
@fillomuhenga4240
@fillomuhenga4240 3 ай бұрын
Njoo msigwa tukijenge chama chetu Cha mapinduzi
@lucasolobiis4504
@lucasolobiis4504 3 ай бұрын
Huyu nae tenaa 🤣🤣🤣🤣🤣,, mbwa ninyi wanasiasa
@jumarajab5316
@jumarajab5316 3 ай бұрын
hapo uliposema chama chetu kimekosa agenda kuwa makini hii clip itakatwa itatumika vibaya
@nanguniMtaita-hz4zt
@nanguniMtaita-hz4zt 3 ай бұрын
Acha utani wako kusema wamshukuru Mwenyezi Mungu. Huna Mungu ww. Ungevumilia yaliyokusibu hadi ufie CHADEMA. Hakuna cha sacos wewe ni mfia mlo. Huna aibu. Mimi nilitaka kujiunga na CHADEMA lakini umeharibu sasa najipima tena kuna nini kinachowqsibu zaidi.ya matumbo? Msigwa shame on you. Sasa nikushauri, kaa kimya bila kunyea kambi, hiyo.SACOS niwewe unayedhania.
@sungisungi6589
@sungisungi6589 3 ай бұрын
Msigwa hanywi pombe ,havuti sigara ,bangi Wala sio mtu wa bebes. Asingeweza kuendelea kukaa na Lile genge la wahuni😅😅. Hata lisu anajikaza tu chadema sio mahala pake
@georgefredy8569
@georgefredy8569 3 ай бұрын
Jamaa linaongea ujinga mpaka ni fedhea Kwa profile yake! Bora angekaa kimya tu kuliko kujaribu kuisafisha CCM Kwa kiki ya uenyekiti WA Mbowe! Chadema ni Chama imara licha ya mapungufu yake
@konderaeriasi6251
@konderaeriasi6251 3 ай бұрын
Mjinga ww msigwa unajidanganya 2025 utapita ubunge hupiti umeingia chakike
@chamlilemhando7478
@chamlilemhando7478 3 ай бұрын
Katika interview hii msigwa hayupo sawa amelishwa maneno.Yeye ni mpinzani aendelee kuwa mpinzani .
@sophiaamnaay9726
@sophiaamnaay9726 3 ай бұрын
Heee amekuwaje leo huyu! Nenda salama CHADEMA haina njaa ya watu. Kuondoka kwako kutaleta mamia ya watu .
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 2 ай бұрын
Kwanini hukuyasema hayo kabla hujaondoka unakosea leo wakati pia uliisema vibaya CCM angalia clip zako za nyuma na weka akiba ya maneno brother. Daah ama kweli yangoswe mwachie ngoswe.
@nelsonkikotimandela9819
@nelsonkikotimandela9819 2 ай бұрын
Swali ni moja tu!Je ungeshinda kwenye uchaguzi wa Chadema ungeendelea na Chadema?au umehama kisa umeshindwa uchaguzi?
@dennisungonella205
@dennisungonella205 3 ай бұрын
Ccm mpeni udc huyu vinginevyo atawakimbia huyu😂
@malaryhillary3075
@malaryhillary3075 3 ай бұрын
Je huko ccm Kuna HAKI , sema wewe unataka madaraka basi kagomnee uenyekiti wa ccm kama utapata, mchungaji hewa
@JofreyMasangula-x1c
@JofreyMasangula-x1c 25 күн бұрын
Dahh 😂😂😂 ccm walimpeleka lowasa chadema leo chadema msigwa aenda ccm
@GodfreySiegfried
@GodfreySiegfried 3 ай бұрын
Wewe msigwa wewe uko Kwa akili ya pesa Tu Kwa nini ushidwe ndio uwame Kwa nini usingeama mapema Kwa iyo ungeshinda usingeham et Kwa nini Kwa iyo icho cheonni cha Baba yako ukubaswa kushidwa Acha kutushawish watanzania na tunajua kilichokuamisha
@eliphasmlengu6331
@eliphasmlengu6331 3 ай бұрын
Anauhalali gani kumsema mbowe? Kweli achapakuche tuone mwanga
@ibrahimkonga2975
@ibrahimkonga2975 3 ай бұрын
Msaliti wewe huna haja ya kumshukuru mungu laana inakutafuna huna ata sifa ata ya kuitwa mchungaji ""njaa imekukaba umenunuliwa😂😂😂😂""
@jacobmwera9636
@jacobmwera9636 3 ай бұрын
kwahyo we mzee unatwambia umekaa zaidi ya miaka 20, hiyo ya demokrasia kukosekana chadema hukuwahi kuiona ndo umetambua baada ya kupgwa chini kwenye uchaguzi?
@efraimjohn4956
@efraimjohn4956 3 ай бұрын
Uchaguzi wa mwaka 2020 alizulumiwa kw amadai yake ya mwanzo na ni haohao aliojiunga nao ndo walimkosesha haki. je hko kuna jipi jipya ambalo unaona ni zuri au ni uroho tu \
@joeljulius7147
@joeljulius7147 3 ай бұрын
Kama kweli unaamini hivyo na kwa maneno yako maana yake CCM pia haipo vzr na ili kutuaminisha kuwa sio njaa iliyokuhamisha ungeanzisha chama chako. Watanzania pia tuna akili. Tunajua vzr
@fadhilidanieli1478
@fadhilidanieli1478 2 ай бұрын
Yaaaan kitu ambacho katika maisha yangu sikiamin nimwanasiasa yaaan Msigwa leo hii ndo wewe unaongia hivi??????
@rdmjeshi
@rdmjeshi 3 ай бұрын
Njaa zinamsumbua huyu Mzee msigwa kishapewa asali kishaambiwa atapewa kitengo kaona masilahi hapa hamna mchungaji ni unafiki juzi juzi alikua anapondea hakuna maendeleo saivi anasema Serikali inafanya vzr huo sini unafiki Sasa aisee 😢😢😢😢😢
@bbclondonulimwenguwasoka6126
@bbclondonulimwenguwasoka6126 3 ай бұрын
CCM Kila kitu
@joycemagonze948
@joycemagonze948 3 ай бұрын
Wewe ni mtumishi wa Mungu lakini mbona muongo? Hakika unachekesha pamoja na undumila kuwili,hueleweki kabisa acha uroho ndo maana hata maneno yanakupotea
@bbclondonulimwenguwasoka6126
@bbclondonulimwenguwasoka6126 3 ай бұрын
Acha ale maisha nani asiyependa kuitumikia CCM hata we ukiitwa ni chapu
@ce-08
@ce-08 3 ай бұрын
Chadema jimbo la iringa kulipata tena labda 2035
@MagakaManyanya
@MagakaManyanya 3 ай бұрын
Katiba sio ya chadema ni ya wananchi msigwa. Nenda salama
@beinafuu6219
@beinafuu6219 3 ай бұрын
Uwongee basi kidogo mzee ubakishe jaman.wewe umeisha hama sibas
@hhangali2006
@hhangali2006 3 ай бұрын
Msigwa as a Pastor... CCM hakuna Haki, wewe unapigania Haki. Kurudi CCM you are lost, lost for ever. Your Character is questionable. A man of Principles couldn't do what you did Buddy. This is for your own down fall no led no more.
@AlbinMsechu
@AlbinMsechu 3 ай бұрын
Ameisha huyo
@khatibramadhan8740
@khatibramadhan8740 3 ай бұрын
kwer usaliti upo huku clatous chama huku msigwa😂😂😂
@salmanmagwe222
@salmanmagwe222 3 ай бұрын
MFUMO WA CHADEMA NAMNA ULIVYOKAA NI WA KUFUMUA WOTE,KWANI UMEKAA KAMA TAASISI BINAFSI ISIYOJALI DEMOCRACY,NA MTU MMOJA ANA MAAMUZI NA KURA YA VETO
@yugemasanza1008
@yugemasanza1008 3 ай бұрын
Sahihi
@MwalimuPastorSam
@MwalimuPastorSam 3 ай бұрын
Hakika
@vincentmwaya6910
@vincentmwaya6910 3 ай бұрын
Wwe Ni tapeli wa siasa tyu, unajiita mchungaji kwahiyo ulipokuwa chadema ulikuwa unaongepea watu na Sasa upo ccm utaongea ukweli??? Acha kujidhalilisha msigwa
@ZABRONKANDI
@ZABRONKANDI 3 ай бұрын
Binasfi nimejiskia vibaya kwa maamuzi yakooo 😢😢😢
@MagakaManyanya
@MagakaManyanya 3 ай бұрын
Mama hakuna anaemkubali nenda kaongeze nguvu walau apate hata asilimia tano.
@josephborn4460
@josephborn4460 3 ай бұрын
Oya ogopeni njaa mazee Haijawahi kumwacha mtu salama
@jmastertz161
@jmastertz161 3 ай бұрын
mpak kuongea anaona aibu vile anavopondaga ccm sasa ccm wataelew jinsi ya kuishi na huyu mtu
@GeraldNyasembe-q2d
@GeraldNyasembe-q2d 3 ай бұрын
Wewe aukuwa na mvuto kama zito kabwe nenda acha chadema ni tahasisi wewe kama umekosa uvumilivu na aukutaka kushindwa utaweza kuwa mwenyekiti wa taifa auna hoja nenda mwana kwenda
@NATACIARAPHAEL-iz8kr
@NATACIARAPHAEL-iz8kr 2 ай бұрын
Mwanasiasa Malayamalaya huyu umeyarudia matapishi
@DivineWisdom-o8y
@DivineWisdom-o8y 3 ай бұрын
I use to admire you Mr.Msigwa i remember you're quote when you said you cant solve a problem using the same level of thinking that created a problem but now you've really disappointed me.....i have come to understand to didn't mean whatever you said while in opposition so simply you can't be trusted because you cant stand on your principles.. chadema is not but joining ccm doesn't give a legitimacy to say ccm is betterof
@mwambietv7614
@mwambietv7614 3 ай бұрын
ila Mzee Mungu anakuona hivi kweli ni Mchungaji huyu? 🤣🤣
@immabaraka
@immabaraka 3 ай бұрын
Huna sera subiria cake ya taifa ule ushimbe tu democrasia ni kuwa huru
@frenktarimo4703
@frenktarimo4703 3 ай бұрын
Mchungaji tapeli sijui kanisank lako ni i lile la mashoga nini kwenda huko tapeli mkubwa wewe utatuambia nini wewe mchungaji unakula jaxa mwenyewe
@RenardMakori
@RenardMakori 3 ай бұрын
Ivi huyu ni msigwa aliye sema kua walioko ccm hawana upeo na yeye leo amekua mmoja wa wale ambaye awana upeo, NIME MKUBALI MH. LISU ANAONA MBAMBALI ARUFU YA PESA CHAFU LEO TUMEKUBALI MSIGWA NDIO WALIOPEWA KUJA KUARIBU UCHAGUZI WA KANDA.
@MkungwaNgwarumbwa
@MkungwaNgwarumbwa 3 ай бұрын
trending ya mpina kwishney 😂😂
@andrewkissava9184
@andrewkissava9184 3 ай бұрын
Chadema msiumie namjua msigwa kule amekwenda kwa kazi maalum akisha timiza kazi aliyo tumwa atarudi soon hivyo ccm kama mlidhani mmelamba dume basi na wahikikisu subirini time will talk ccm kwa ujuma imekula kweni
@masoudmussa4786
@masoudmussa4786 3 ай бұрын
Hongera ur wellcome comrades👌
@johnchrisbrown-b5g
@johnchrisbrown-b5g 2 ай бұрын
Tumbo la watu lina shida kweli jamani
@bbclondonulimwenguwasoka6126
@bbclondonulimwenguwasoka6126 3 ай бұрын
Welcome Msigwa , CCM is every thing Sasa utaona maana ya uongozi
@beinafuu6219
@beinafuu6219 3 ай бұрын
Sasa hapo unaongea nini kuaribu chama
@JofreyMasangula-x1c
@JofreyMasangula-x1c 25 күн бұрын
Alitabili magu mda saana
@godsson5954
@godsson5954 3 ай бұрын
Mpwa kama mpwaa karb SANA
@jescageorge-fv8yt
@jescageorge-fv8yt 3 ай бұрын
Huna lolote msality wew
@jescageorge-fv8yt
@jescageorge-fv8yt 3 ай бұрын
Msaty wewe huna lolote
@sponsor7882
@sponsor7882 3 ай бұрын
uezi ona ushoga kama huu kenya
@salimobeid1470
@salimobeid1470 3 ай бұрын
Unachokiongea ni kweli chadema bado sana sanaa wanakula tu pesa za wananchi na ubaguzi mie nimewatoa thamani kusema mzanzibar ubaguzi wa waz chama kesho utasikia wale wapare wale wazaramu achanni na hicho chadema
@priscuskimario495
@priscuskimario495 3 ай бұрын
Wananchi wa wapi? Kwani kinakusamya kodi? Ama kweli hili taifa Lina mambulula
@KibeloMpembelo
@KibeloMpembelo 3 ай бұрын
Msigwa is hungry man
@donaldmaziku7915
@donaldmaziku7915 3 ай бұрын
Je mbowe ndiye alipiga kura huko uliposhindwa? hauwezi kutudanganya
@mswakalaization_
@mswakalaization_ 3 ай бұрын
Kikubwa maokoto😂
@emmanuelmaghina1709
@emmanuelmaghina1709 3 ай бұрын
Amepagawa na Pepo
@andrewkilave3532
@andrewkilave3532 3 ай бұрын
Kesho anakuwa mbunge kwa tiketi ya ccm Iringa
@dennisungonella205
@dennisungonella205 3 ай бұрын
Huyu amefuata mlo😂
@GeorgeJoseph-l3x
@GeorgeJoseph-l3x 3 ай бұрын
Duh Tanzania yetu
@melkisedekkaijage2777
@melkisedekkaijage2777 3 ай бұрын
Never trust a politician. Never ever.
@saidmohd2665
@saidmohd2665 2 ай бұрын
hiii dunia bhana
@EliyaPaulo-uf6hh
@EliyaPaulo-uf6hh 3 ай бұрын
Yaani ylitaka uendelee na kanda uliposhindwa na Sugu ndio unakuja hoja dhaifu namna hiyo?sasa namuomba Mungu 2025 hao ccm wakuteue ugombee hapo iringa halafu uone utakavyo pata Aibu...fyoooooo
@JesusJesus-ny1sm
@JesusJesus-ny1sm 3 ай бұрын
Wewe Msigwa mnatufanya wananchi tujuwe mpo kwa maslahi yenu binafsi tu mambo mnayofanya hata aibu hamuoni, kuliko kwenda CCM ungekwenda upinzani ungeeleweka !!!!! Au ungeacha siasa utulie kimya kwanza, mmesema sana CCM haifai unakwendaje hapo hapo tena !??? Mnadhani WaTanzania hawafikiriii !!!!?
@jmastertz161
@jmastertz161 3 ай бұрын
hamna mtu hapa
@davidmpiluka5224
@davidmpiluka5224 3 ай бұрын
Mimi nafikiri Mh. Msigwa ulipaswa tu kusema"nimeamua kuhama chama na kujiunga na CCM". Lakini all in all, hayo ni maamuzi yako wala hakuna anayeweza kukupinga.
@LeticiaCharles-hi2wf
@LeticiaCharles-hi2wf 3 ай бұрын
Ndo ukwel kamanda
@gm003
@gm003 3 ай бұрын
CDM ni salama zaidi sasa bila huyu mtu, ALIJIONA UN SUBSTUTABLE....Habari yako wewe ni kwisha!!
@eliphasmlengu6331
@eliphasmlengu6331 3 ай бұрын
Tujiulize angelishinda haya yangelikuwepo? Answer is big No.
@clarencelazaro9600
@clarencelazaro9600 3 ай бұрын
Msigwa kaa kinywa we are not stupid
@enockmakombe3144
@enockmakombe3144 3 ай бұрын
😅😅😅😅😅 duhhh
@CharlesElias-zh5hz
@CharlesElias-zh5hz 3 ай бұрын
Wasaliti wapo tu. Safar ya ukomboz yaitaki kamanda mkakamavu. Mzee Sabu so mbaya.umepata usajir mpya. Ukuu wa mkoa huoo😆😆😆😆😆
@victorvenantkaigarula6255
@victorvenantkaigarula6255 3 ай бұрын
Ni njaa tu, maslahi na kuhangaikia tumbo.
@ramadhanimandoa716
@ramadhanimandoa716 3 ай бұрын
Kwahiy ww unadhan chadem wale hawapat kitu au
@mtakamatv
@mtakamatv 3 ай бұрын
Msigwa umefuata chakula,sio haki,kwanini baada ya kukosa uwenyekiti umehama,miaka yote ulipokuwa kiongozi hukusema hayo,ila ulipokosa uongozi, CCM wamekununua ili wakutumie kwenye kampeni,wakutumie kufifisha udhalimu wa chama Chao,tuna akili zetu,na tumeshakuwa wazoefu na mbinu za CCM.
@Peterchipemba
@Peterchipemba 3 ай бұрын
Alisema akili ndogo ccm,,,yeye akili kubwa atawasumbua mwangaliena popo bawa
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur 3 ай бұрын
chadomo chama cha wachaga, umefanya vizuri Peter Msigwa mbowe ni mwenyekiti wa kudumu wa chadomo
@SweetBertMlinda-bq7mp
@SweetBertMlinda-bq7mp 3 ай бұрын
Hata ongea yako tuu imebadilika ulivokuja huku, karibu sana. Huku hatubwati kama ulivokua unabwata kule 😂😂😂😂
@mlangotv8465
@mlangotv8465 3 ай бұрын
Msigwa umejinyonga mwenyewe, ningekuelewa kama unheenda chama kingine cha upinzani, jihesabie siku chache utakuwa umezima kama wengine
@dennisungonella205
@dennisungonella205 3 ай бұрын
Binafsi namuelewa Sana zitto
@masamakijames7837
@masamakijames7837 3 ай бұрын
Hata makamu mwenyekniti Zito Kabwe aliondoka chama hakijafa,miaka 20 leo baada ya kukuosa uenyekiti kanda ndo unagundua huo ubaya?hata chekechea wa karne hii itamshangaza
@EliyaPaulo-uf6hh
@EliyaPaulo-uf6hh 3 ай бұрын
Kwenda zako ulitaka tu ubaki kuwa m/kiti wa kanda mpuuzi kabisa ww leo wakusema hayo?😢utaongea nn juzi tu ulikuwa manyoni jukwaani unapayuka leo hii eti Chadema unaiponda?ama kweli njaa mbaya
@mtakamatv
@mtakamatv 3 ай бұрын
Kama mbowe ni dikteta kwa masirahi ya chama na wananchi Yuko sahihi,kuliko kuwaamini watu wasaliti,mamruki wa CCM,watu wanaonunulika kama msigwa,mbowe alianza kukijenga chama Toka mbali na amesulubiwa nacho,Leo angehama tundulisu ndo ningeshangaa.lakini wewe hicho chama Chao Cha tatu kama sio Cha nne unahamia kutafuta masirahi yako.
@CharlesElias-zh5hz
@CharlesElias-zh5hz 3 ай бұрын
Kwahio mtumish hata ww ulikuwa unadanganya
@tibbsminja2575
@tibbsminja2575 3 ай бұрын
CCM mlivyona ujinga uchawa mteueni halmashauri!!
@eliphasmlengu6331
@eliphasmlengu6331 3 ай бұрын
I knew this is going to happen Nafikiri ukombozi wa Tanzania bado sana yaani sungu kuwa m/kiti jamaa nogwa huyo CCM
@ThomasMselle-rw5ej
@ThomasMselle-rw5ej 3 ай бұрын
Inawezekana unayosema! Ulikuwaje ukashuhudia hayo kwa miaka yote bila kuongea ila baada ya kuukosa uwenyekiti wa kanda (maslai) ndo unasema. Usije kuleta unafiki wako huku CCM hautavumiliwa ulimsigina sana JPM
@castorymhoja6050
@castorymhoja6050 3 ай бұрын
Kaindanye familia yako siyo watanzania wanaojitabua fata ulicho ahindiwa mzee .
@maikojohn-xr5cg
@maikojohn-xr5cg 3 ай бұрын
Wewe msigwa nenda waliondoka akina dk Slaa iwe wewe mpuuzi waliondoka watu mashuhuri kuliko ww akina zito Kabwe lakini chama hakikuteteleka iwe wewe
@stevemahenge847
@stevemahenge847 3 ай бұрын
Mhhhh hizi njaa zinatutesa kweli amekua mbunge misimu miwili lakin leo anasema chama kimekosa agenda dhuuuu Mungu tusaidie
@jesusislord5045
@jesusislord5045 3 ай бұрын
Dùu
@MohamedMohamed-ry6lt
@MohamedMohamed-ry6lt 3 ай бұрын
Inawezekana maneno yako yataonwa kama ya mtu mkosaji. ila wewe ni ya kutafakarika kwa upande wa Chadema Kuna haja ya kujitathmini kama Chama
@mkizafelix8426
@mkizafelix8426 3 ай бұрын
Una hoja Msigwa wee umeamua kuolewa kaolewe salama,maana una maelezo mengi alafu hatuoni content.
@octaaalyiii9539
@octaaalyiii9539 3 ай бұрын
Eti mtu anakuambia amefanya kazi miaka 20 alafu yote anasema leo, jamani saiv watu wameenda shule mkiongea vitu mjipime sana, ww ungekuwa mchapa kazi iyo miaka 20 ungeshaweka mambo sawa na ungejulikana n mpenda haki sio sasa unaongea uongo
@innocentfortunatus725
@innocentfortunatus725 3 ай бұрын
Nimekumbuka JPM, HAPA KAZI TU .😅😅
@salimobeid1470
@salimobeid1470 3 ай бұрын
Mie namvulia kofia mama samia sluu hassan sifikirii kama kuna mwanasiasa nguli kwa Katanzania ukamkosa mama samia ye wala hapigani na kelele ye anajua vya kupiga na baada ya mika 5 ijayo upinzani hamna Tanzania
@ramadhanishabani807
@ramadhanishabani807 3 ай бұрын
Broo bora ungeenda vyama vingne vya upinzani kama umeishndwa chadema, lakini ccm umefeli sana kwani ndio hakuna haki kabisa huko
@dennisungonella205
@dennisungonella205 3 ай бұрын
Yaani kwenda ccm sijamuelewa kwa kweli😂
Officer Rabbit is so bad. He made Luffy deaf. #funny #supersiblings #comedy
00:18
Funny superhero siblings
Рет қаралды 13 МЛН
PROPHET IPM AMWAGA  UCHAFU WOTE WA DIDDY/ VIJANA ACHENI TAMAA
24:57
DAKIKA 40 ZA KABUDI MBELE YA SAMIA AKICHAMBUA KITABU CHA SOKOINE
40:20
Mwananchi Digital
Рет қаралды 1,8 М.
Officer Rabbit is so bad. He made Luffy deaf. #funny #supersiblings #comedy
00:18
Funny superhero siblings
Рет қаралды 13 МЛН