FURSA YA VIFUNGASHIO "MIFUKO" MBADALA WA PLASTIKI

  Рет қаралды 36,734

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Күн бұрын

Пікірлер: 72
@JacobAlute
@JacobAlute Жыл бұрын
Hizo mashine tunazipataje na ni bro gan
@ElizabethGeorge-k5w
@ElizabethGeorge-k5w 10 ай бұрын
Mashine Bei gani na material yanapatikanaje
@richardntullo6105
@richardntullo6105 5 жыл бұрын
Kazi nzuri ubarikiwe
@FatumaMuchacho
@FatumaMuchacho 5 ай бұрын
Nahitaji kazi vip nitaipata
@angelissack3983
@angelissack3983 2 жыл бұрын
Naipatje namba yak mkuu nahtaje kupata gharam za mashine nifanye huduma hyo
@athumanhassani
@athumanhassani Жыл бұрын
Boss muko wap kiwanda cheng niko arusha
@YonasKatabaz
@YonasKatabaz 5 ай бұрын
Niko arusha natamani biashara ya mifuko na vifungashio ila mtaji sinaa
@WisdomSichula-s6y
@WisdomSichula-s6y Жыл бұрын
Nauliza mifuko y salfet sio plastic
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 5 жыл бұрын
daaah mpKa raha,, this is Tanzania,, tumeweza
@PauloNdundulu-xt1li
@PauloNdundulu-xt1li 9 ай бұрын
Samahan hamtengenez mifuko ile ya kuwekea mahing ambayo ukihifadhi mahind huwek dawa kweny mahind unayapepet t na kuwek ktk mifuko na kuufunga vizur
@samdelilatz2322
@samdelilatz2322 3 жыл бұрын
Mwananchi digital unaeza Nipa connection ya kupata mzigo kwenye hicho kiwanda /mawasiliano nao
@Bakarimwemduani
@Bakarimwemduani 2 ай бұрын
Namna yakupata mifuko inakuaje
@LaurentKimaro
@LaurentKimaro 8 ай бұрын
Je nikihitaji kwa bei ya kununua kiwandani kwa bei ya jumla ni shingapi
@PauloMwilapwa-hb6wv
@PauloMwilapwa-hb6wv Жыл бұрын
Ahsante Kwa elimu Mimi ni walala WA kuuza vifungashio naomb mawasiliano nije kujumua mzigo??
@cathelinevenance6651
@cathelinevenance6651 3 ай бұрын
Naomba unisaidie mawasaliano yako name natamani kuuza ila sijui naanzia wap
@georgemsemwa1710
@georgemsemwa1710 2 жыл бұрын
Nahitaji namba yasimu
@kacherosimba5762
@kacherosimba5762 5 жыл бұрын
Hata Kenya mifuko yao iko kama hiyo
@mohamedkwiga6870
@mohamedkwiga6870 5 жыл бұрын
inachanika haraka hivo 😄
@ElizabethKubila
@ElizabethKubila 7 ай бұрын
Mifuko hiyo naipataje nipo Kigoma ,kasulu
@justinewilfred5951
@justinewilfred5951 2 жыл бұрын
nataman nijue upatikanaji wa material pamoja na bei
@SsamweliKipingi
@SsamweliKipingi Жыл бұрын
Namb zenu
@machimushukran3742
@machimushukran3742 3 жыл бұрын
Naipataje nipo geia
@JANEKAMBENGA-to1sn
@JANEKAMBENGA-to1sn Жыл бұрын
Napataje mzigo,na Bei zipoje
@fimbohamisi9203
@fimbohamisi9203 7 ай бұрын
Mnapatikana wap
@charlesmarwa9108
@charlesmarwa9108 4 жыл бұрын
Naitaji
@abdalahsalimu6891
@abdalahsalimu6891 4 жыл бұрын
Naweza pata vipi hizo jora za kutengenezea Mifuko na nishingapi kwa jora
@machimushukran3742
@machimushukran3742 3 жыл бұрын
Namba kuuza mifuko jumla
@azizkassim9317
@azizkassim9317 5 жыл бұрын
nilikuw naitaji mawasiliano ili niweze kupat furusa ya kuwa naagiza mzigo moja kwa moja kutoka kiwandani kwenu
@fatinaabdul2392
@fatinaabdul2392 3 жыл бұрын
Mambo. Ulipata mawasiliano nao?
@homeboybeyondtheborders4935
@homeboybeyondtheborders4935 5 жыл бұрын
Tumia fursa kaka
@athumanhassani
@athumanhassani Жыл бұрын
Hichi kiwanda muko wap nahitaji kufanya biashara nanyiye naomba malekeazo mim niko arush maeneo ya tengeru
@sarahkendrick8356
@sarahkendrick8356 5 жыл бұрын
Kwasiku unaweza kutengeneza tan ngap au ni zakuuza tuu uko mkoan kwako?
@witnessissac9106
@witnessissac9106 5 жыл бұрын
Naombeni Namba mm agent nipo Shinyanga pleaz
@cookcave7648
@cookcave7648 5 жыл бұрын
Agents wa nini @witness issac
@sheikhmvanokiloba3228
@sheikhmvanokiloba3228 3 жыл бұрын
Nami naomba mawasiliano nanyi tufanye biashara!
@KastonHSanga
@KastonHSanga Жыл бұрын
Nawezaje kukupata, nina nia ya kuwa na kuwa na kiwanda cha vifungashio hivo
@kennybenny7651
@kennybenny7651 5 жыл бұрын
nikitaka kuiuza apa dukani kwangu naipataje
@julianamichael1848
@julianamichael1848 4 жыл бұрын
Mawasiliano tunakupataje
@limolimo4701
@limolimo4701 5 жыл бұрын
ok mkuu
@monicajuly1519
@monicajuly1519 5 жыл бұрын
0764187712 arusha mpo sehem gani nataka kuja
@jacquelinepallanjo2988
@jacquelinepallanjo2988 5 жыл бұрын
Jamani mm nahitaji machine
@hbnemesihbnemesitesha7735
@hbnemesihbnemesitesha7735 5 жыл бұрын
Nitaipataj mifuko nip mpwapwa
@kamilusmgaya4806
@kamilusmgaya4806 5 жыл бұрын
Inauzweje
@rehemabonza4529
@rehemabonza4529 5 жыл бұрын
Mimi nahitaji kitambaa nishone mwenyewe nitapataje Niko moshi, Mimi mjasiriamali mdogo
@shawejimaarufu3102
@shawejimaarufu3102 5 жыл бұрын
Nice
@officialshabashytrader8085
@officialshabashytrader8085 4 жыл бұрын
Mifuko hiyo inapatokanaje ...nipo Zanzibar 0773520677
@ninjaboy3708
@ninjaboy3708 5 жыл бұрын
Kiwanda kipo wap ??? Nina hitaji hio
@enelinampango5995
@enelinampango5995 5 жыл бұрын
kipo moshi
@enelinampango5995
@enelinampango5995 5 жыл бұрын
Ninja Boy
@MagretMtitu
@MagretMtitu 7 ай бұрын
Naombeni namba yake jamani niweze kuwasiliana nae kuhusu upatikanaji wa mashine
@saidkatembwe2996
@saidkatembwe2996 3 жыл бұрын
nahitaji kujumua Belo la viroba vya kubebea Mahindra nataka kufanya biashara je niwe na shngp nipo mbeya naitwa said daimoni katembwe 0767997162 au 0784997161 naomba nijibiwe tafadhar
@noahmsalege5077
@noahmsalege5077 Жыл бұрын
Broo vp
@damaskimati4280
@damaskimati4280 5 жыл бұрын
Naomba kufanamu je inaoza?
@ramadhanimussa882
@ramadhanimussa882 5 жыл бұрын
Hilo nalo Neno Jee inaoza ? Kaka umeuliza swali la Msingi Mno
@janesuma2193
@janesuma2193 5 жыл бұрын
Damas Kimati hii sizan kama inaoza mana ina uplastik flan hivi
@ramadhanimussa882
@ramadhanimussa882 5 жыл бұрын
@@janesuma2193 Inatumia Malighafi ya Chupa za Palastiki zinasagwa kisha hutengenezwa uzi mdogo mdogo unaoitwa polistar . Kisha Wanatengeneza Mifuko hiyo. Ukweli ni kwamba Mifuko hiyo haiozi wala Mabaki Yake hayarejelezwi na wala si Rafiki wa mazingira.
@janesuma2193
@janesuma2193 5 жыл бұрын
Ramadhani Mussa nakubaliana na wewe ninayo nimenunua kariakoo uwez amin haiyoz ndio mana nikashangaa mbona serekali bado itaipiga marufuku
@uswizinyanginywa2498
@uswizinyanginywa2498 5 жыл бұрын
@@janesuma2193 hii ndio TZ wamepga marufuku Rambo wanatengeneza mifuko ya purastiki tena ambayo nayo haiozi cku chache tena watapga marufuku lengo nikututia hasara wafanyabiashara wote kwa ujumura. Au wanazo wenyewe hizo mari ghafi wanataka wauze??
@witnessissac9106
@witnessissac9106 5 жыл бұрын
06730 09188 agent Shinyanga naipataje
@cookcave7648
@cookcave7648 5 жыл бұрын
Karibu nikuuzie witnesses issac
@zainabumichael6962
@zainabumichael6962 4 жыл бұрын
Samahn uliotaj kupat kutok kiwndan
@cathelinevenance6651
@cathelinevenance6651 3 ай бұрын
@@cookcave7648 naomba kufahamishwa napataje mzigo ndo nataka kuanza kuuza
小丑女COCO的审判。#天使 #小丑 #超人不会飞
00:53
超人不会飞
Рет қаралды 16 МЛН
We Attempted The Impossible 😱
00:54
Topper Guild
Рет қаралды 56 МЛН
BEI YA MASHINE AU MTAMBO WA KUZALISHIA SABUNI
10:38
RABAONE TV
Рет қаралды 4,2 М.
How to Make a Real Diamond - (Not Clickbait)
8:51
JerryRigEverything
Рет қаралды 5 МЛН
ZIFAHAMU MASHINE ZITAKAZOKUWEZESHA KUTENGENEZA FAIDA KWA MWAKA 2023
15:19
Rais Magufuli Atembelea Kiwanda cha Global Packaging, Kibaha
3:03
Global TV Online
Рет қаралды 12 М.
Jinsi ya kutengeneza bahasha za kaki (vifungashio  Mbadala)
8:39
Salimu mbelenje
Рет қаралды 15 М.