EXCLUSIVE NA KISHIMBA:SIRI YA UTAJIRI WANGU/ WATOTO WAFUNDISHWE KUTAFUTA HELA/SIJAWARITHISHA WANANGU

  Рет қаралды 107,579

Dar24 Media

Dar24 Media

Жыл бұрын

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media

Пікірлер: 143
@Ohhvio
@Ohhvio 11 ай бұрын
Best interview 👌 Kuanzia Mwandishi hadi Interviewer! Ni Elimu Kubwa Sana hii Hongereni Dar24media
@josephzenda3827
@josephzenda3827 Жыл бұрын
Hayati Rais John Joseph Pombe Magufuli amewafungua wananchi swala la kufikiri,kujaji na kuunda hoja.Mungu amuweke mahala pema peponi Amina
@nkondokubini7618
@nkondokubini7618 Жыл бұрын
Uko vizuri brother katika kuuliza Maswali umenifurahisha utafika mbali
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 Жыл бұрын
Shule aliyosoma Prof kishimba ameisoma sehemu tofauti na amelipia gharama kubwa sana kuliko elimu ya kawaida.
@ismailchibonda5005
@ismailchibonda5005 Жыл бұрын
Wewe mwandishi uko vizuri Sana utafika mbali Sana big up.
@amaningalla9420
@amaningalla9420 Жыл бұрын
Mh. Kishimba nakusaluti,upo vizuri sana with your critical thinking,unaona maisha katika uhalisia wake.Ahsante
@3107young
@3107young Жыл бұрын
Uyu mbunge ni baraka kwa serikari kama haya mawazo yangefuatiliwa kiundani tungefika mbali sana kama Tanzania 👏👏
@homeofvideos8893
@homeofvideos8893 Жыл бұрын
"Sio waoga kwasababu hajui madhara saa nyingine kutokujua madhara ni faida pia". Quote imenyooka sana
@ujenziwanyumbakisasatanzan6343
@ujenziwanyumbakisasatanzan6343 Жыл бұрын
Jamaa alikuwaga radio station mbeya, nimetoka school likizo nikafungulia radio, sikujua kuwa ni radio ya mkoani mpk kipindi kilipoisha. Its good ni hatua kubwa, anatakiwa aende hatua kubwa zaidi, mosi uelewa, kujua kwenda na mabadiliko, kipawa na consistency Hongera sana
@praymbasha6309
@praymbasha6309 Жыл бұрын
Mzee kishimb💥💥💥anafikilia Sana na anaongea vitu vizuli Sana na vyakweli kiuhalisia
@suleimanjokoro
@suleimanjokoro Жыл бұрын
Hizo ndio channel za kuangalia Sasa!,Hongera Sana🙏
@saadyusuph6554
@saadyusuph6554 Жыл бұрын
Mzee Yuko sawa kabisa
@israelgershom4198
@israelgershom4198 Жыл бұрын
Huhuuu Yani uyu ndobaba anajua vingi wazazi wengine wapo kimya tui
@user-fu7on1nz7i
@user-fu7on1nz7i Жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki Mzee kishimba...unaongea ukweli mchungu ambao Sisi wa Afrika wengi atutaki kukubari
@kelvinkissanga4075
@kelvinkissanga4075 Жыл бұрын
Huyu mzee tuangalie bhana tumpe uraisi itakuwa nchi ya tofauti sana😅
@praygodmbisse-cc1tx
@praygodmbisse-cc1tx Жыл бұрын
Professor tuko pamoja the change should start with us to change our country system
@LucasLagos-dq4mh
@LucasLagos-dq4mh Жыл бұрын
Hongela sana mh kwehekima nauerewa waasili mungu akubaliki sana
@johnminja2025
@johnminja2025 Жыл бұрын
Big up sana Mzee Kishimba. Nakumbuka tulivyokupokea Harare ukafungua kiwanda Ginery na ukarudi nyumbani kugombea ubunge. Wewe ni jembe.
@amosenock9635
@amosenock9635 Жыл бұрын
Kazi nzuri kaka Lambet
@amourmtungo623
@amourmtungo623 Жыл бұрын
🤔Kila swali ni hekima na kila jawabu ni elimu. Asante kwa udadisi ufafanuzi na habari nzuri za kutuamsha tusijisahau
@nyanchokachacha9954
@nyanchokachacha9954 Жыл бұрын
Hongera Sana Prof.
@nyanchokachacha9954
@nyanchokachacha9954 Жыл бұрын
Huyu Mzee nashauri Tasisi za Elimu ya Juu wampe Honorary Doctorate!
@nyanchokachacha9954
@nyanchokachacha9954 Жыл бұрын
Kaka wewe ni Mtangazaji Bora sana,Nakuomba siku Moja nikuone kwenye Chombo kikubwa Cha Utangazaji kama BBC,VOA,DW ,TBC,AZAM and so on.
@user-ry3yb9du8d
@user-ry3yb9du8d Жыл бұрын
Nakukubali sana Mzee wangu kishimba
@noahfilimoni4703
@noahfilimoni4703 Жыл бұрын
Ili uwe tbc uwe CCM
@hamisihassankengejr4375
@hamisihassankengejr4375 Жыл бұрын
Wewe unataka aondoke Nyumbani
@sautikuu212
@sautikuu212 Жыл бұрын
Hapo ondoa TBC na AZAM
@alphadreammedia
@alphadreammedia Жыл бұрын
@@sautikuu212 tbc na AZAM???😂😂😂
@yunusmsanguka2313
@yunusmsanguka2313 8 ай бұрын
Huyu mzee yupo sahihi sana,wengi wetu tumewachia watoto kwa kuamini elimu zao wamewadondosha sana wazee wao
@salehmohammedsaleh7015
@salehmohammedsaleh7015 Жыл бұрын
Tumpee waziri mkuu🎉🎉🎉🎉🎉
@edisonmaliva1719
@edisonmaliva1719 Жыл бұрын
Safi sana mwandishi wa habar unauliza maswali ya msingi mno,pia umenyooka na unajiamini
@directorimmah_vfx3043
@directorimmah_vfx3043 Жыл бұрын
Changamoto saut ipo chin sanaa
@hashimmziray7416
@hashimmziray7416 Жыл бұрын
hongera saaana moja wa matajiri wakubwa wazawa waliobakia ,baada ya Kufariki Dr.Reginald Mengi.
@MtuSafi
@MtuSafi Жыл бұрын
Anamiliki nini huyu mzee?
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 Жыл бұрын
@@MtuSafi isikilze vizuri hii Crip Kuna vingi walivyovitaja
@MujuniKamugisha
@MujuniKamugisha 8 ай бұрын
​@@MtuSafidar free market
@MujuniKamugisha
@MujuniKamugisha 8 ай бұрын
​@@MtuSafireal estate na migodi ya dhahabu
@nyanchokachacha9954
@nyanchokachacha9954 Жыл бұрын
Tunaomba interview NYINGINE Mr.Lambert
@tumainichanya3268
@tumainichanya3268 Ай бұрын
Huyu mbunge nimempenda sana sana
@user-ky3uh2sy1u
@user-ky3uh2sy1u 7 ай бұрын
Mh mm nakuelewa sana hongera endelea kutufungua
@directorimmah_vfx3043
@directorimmah_vfx3043 Жыл бұрын
Apa interview imekamilkaa
@edisonmaliva1719
@edisonmaliva1719 Жыл бұрын
Mheshimiwa.Kishimbaa anafaa apewe PhD ya heshima #huyu mzee n mtu na nusu
@samuelmajule54
@samuelmajule54 Жыл бұрын
Nampongeza sanaaa mzee Kishimba unastahili kupongezwa na mwanahabari pia nakukubali kipindi kimefana weledi umeshiba God bless you all, big up sanaaa
@user-cz7bd9tc5k
@user-cz7bd9tc5k 5 ай бұрын
Kishimba yuko vizuri sana Tusomeshe wajue kutafuta fedha hiyo namba moja
@mbonabuchabucha9657
@mbonabuchabucha9657 Жыл бұрын
Daaah!!! Drs 7 kichwa sanaaa! Tunajifinza sana kupitia wewe
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw Жыл бұрын
Hiyo mifumo iliwekwa kunyonya waafrica hapo ni mahesabu wacoloni wanafanya Leo ufaramsa eti bado kuna pesa unapata kutoka Africa Hilo ni wizi WA mifumo.
@user-jv6ty5sw6l
@user-jv6ty5sw6l 3 ай бұрын
mheshiwa kishimba big up
@Ramaah28
@Ramaah28 Жыл бұрын
Natamani kuonana siju moja na uyu mzee ana madinii sana
@hamisitajiri8666
@hamisitajiri8666 Жыл бұрын
Yuko vizuri kuliko wasomi wengi
@obadiamtawa1279
@obadiamtawa1279 5 ай бұрын
hongera sana mzee kishimba
@homeofvideos8893
@homeofvideos8893 Жыл бұрын
"Ambao hawajasoma sio waoga kuchukua hatua kwasababu hawajui madhara saa nyingine kutokujua madhara ni faida pia". Quote imenyooka sana
@user-uy2dk2yv2c
@user-uy2dk2yv2c Жыл бұрын
Aise bro umeongea bonge la point ya sirini ama rohoni
@amosmahona433
@amosmahona433 Жыл бұрын
Mtangazaji uko vizuri ila sauti mliibana sana
@machoguhameri7757
@machoguhameri7757 Жыл бұрын
MH. Kishimba kasema ukweli Wahindi Hawasomeshi watoto waajiliwe watoto wao wakiwa shule akija likizo nyumbani hufunzwa biashara na elimu ya kujitegemea sisi tunawasomesha waajiliwe.
@edisonmaliva1719
@edisonmaliva1719 Жыл бұрын
Sema nini umesahau kumuuliza profesa mtazamo wake juu ya mambo ya huko bandarini. Bt the rest is good.
@eliezerwamungu4614
@eliezerwamungu4614 Жыл бұрын
Huy mzee namkubali saan kwa haya majibu
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw Жыл бұрын
Nashukulu sasa MH kishimba kama serikali ingeweza kuwa na watu wenye akili hiyo ingeweza kubadili miji na kuwa kama dunia zingine hiyo idea wanazo wazungu kuna Aina tatu za mijego
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 4 ай бұрын
Upo sawa
@hammy7664
@hammy7664 Жыл бұрын
Nakuona unazidi kukuwa , Lambet
@jumakauli
@jumakauli Жыл бұрын
Sijambo. Hamjambo? TUWAFUNDISHE WATOTO WETU KULA SAMAKI NA KUVUA SAMAKI. (Tuwafundishe watoto wetu kutumia vitu na kuunda vitu). Tuwafundishe watoto wetu kwa maneno na vitendo kuanzia wanapokuwa shuleni hadi vyuoni.
@nyanchokachacha9954
@nyanchokachacha9954 Жыл бұрын
Unajua kuhoji na Umetulia sana.
@jameskileo955
@jameskileo955 Жыл бұрын
Brother mtangazaji Hongera unefanya Interview ya Nguvu mno hawa ndiyo watu unaonatakiwa kuwa nao na siii Hao Wasomii wa Vyeti kama Yule mzee uliyemuita Msomi kuliko Yeyote Tz Maisha halis na Ya Mafanikio Hayaelezeki ndiyo maana mzee amesema Hakuna kitabu cha Biashara...
@masoudymichael
@masoudymichael Жыл бұрын
Huyu ndiyo mpeni uprofesa siyo taletale
@user-ff4fr1my5m
@user-ff4fr1my5m Жыл бұрын
My favorite
@mubarakmohammed7311
@mubarakmohammed7311 Жыл бұрын
Kwa upeo mzuri wa mzee huyu, natamani atupie macho sana Mahakama zetu pia ili aweze kutusaidia, maana kuna madudu mengi yanayopelekea haki kutopatikana. Mola akupe kila la kheir mzee Kishimba.
@richardibrahim5609
@richardibrahim5609 Жыл бұрын
Jamaa yuko vzur sana
@erickartist4557
@erickartist4557 Жыл бұрын
Nchi iendelee kumsikiliza huyu Jamaa kwa ukaribu sana ANA MADINI YA THAMANI KTK UBONGO WAKE!!
@mozesisembe1882
@mozesisembe1882 13 күн бұрын
Mwandishi unajua kuhoji safisana
@user-uy2dk2yv2c
@user-uy2dk2yv2c Жыл бұрын
Genius
@davsylivester7701
@davsylivester7701 Жыл бұрын
🙏👏👏
@40kstore
@40kstore 5 ай бұрын
Mzee yuko humble sana 😅
@christinesulle5051
@christinesulle5051 Жыл бұрын
Mzee yupo vizuri tunahitaji kufikiria sana mfano mdogo tuu ni kwa nn watoto wa darasa la kwanza wasisome kiingereza la kwanza ?maana hii itasaidia waalimu na watoto kuelewa mapema kwa nn watoto wanaanza darasa la tatu?
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 Жыл бұрын
Kiingereza kiliondolewa si miaka Mungu baada ya kuona mtoto wa Drs la kwanza anapewa masomo mengi hivyo anashindwa kuyamudu na Sasa kinarejeshwa tena
@richardibrahim5609
@richardibrahim5609 Жыл бұрын
Jamaaa ana akili sana💪💪💪💪🔥🔥🔥
@kassimibrahim4776
@kassimibrahim4776 Жыл бұрын
Mtu na nusu......mzee kishimba huwa sikosi kusikiliza interview zako
@nasrahassan7346
@nasrahassan7346 Жыл бұрын
namkubali sana huyu mzee kishimba
@user-eh2bg3pd4b
@user-eh2bg3pd4b 3 ай бұрын
Hilo ni somo mh kishimba
@simonmalegesi414
@simonmalegesi414 Жыл бұрын
Sauti iko chini Sana
@benardmwinuka6948
@benardmwinuka6948 Жыл бұрын
Confusion
@farajamwakifuna303
@farajamwakifuna303 4 ай бұрын
I wish siku hata tukapata kuona anachoona kwa ukubwa zaidi huyu baba anachozungumza….
@masungajp1
@masungajp1 Жыл бұрын
Nakubaliana na Kishimba. Japan ilikuwa kiboko kwa mafia. Polisi ilibidi ijiingize Kwenye umafia na kufanikiwa kupunguza. So Kishimba is Genius. Tumtumie ndugu yetu HUYU.
@AbduAmstafa-od6vf
@AbduAmstafa-od6vf Жыл бұрын
Uyo mzee amnakit anamaendeleo yoyot kwenye jimbo lak barabar zimeoza kilakona
@marwaisack374
@marwaisack374 4 ай бұрын
Kazi ya mbunge ikiwa ni kutengeneza Barabara na kazi ya serikali inakuwa ni ipi?.
@ummahmed3354
@ummahmed3354 Жыл бұрын
Shule ni upotofu tu kama hujui lengo hasa la elimu na hupati ...na kama hupati elimu yenye ubora wa ukweli...watu wanaofundishwa biashara utotoni na wazazi wao au fani nyingine za ujuzi...hutokea kuwa na mafanikio katika kutumia ujuzi huo Kim kimaisha kuliko watu waliokwenda Shule au wenye vyeti fulani...majority of our legacy education system of colonialism is nothing but brainwashing. ..you only get to learn a little. Here in the USA...majority of famous successful entrepreneurs who made big impact not only in business but also in life in general, were dropouts from college such as Bill Gates, Steve Jobs , Mark Zuckerberg etc... Mzee Kishimba yupo sahihi nami namkubali kabisa....elimu aliyokuwa nayo ni zaidi ya Phd...na wengi wenye vertical vya Phd ni viiyo tu. wengine wananunua na kukariri theories only we need to change the whole education system to revive every sector of our country's economy...
@EnockaHaruni-et5cn
@EnockaHaruni-et5cn 7 ай бұрын
❤❤
@perfectmassawe4758
@perfectmassawe4758 Жыл бұрын
Baba una mawazo ya ajabu....pale bungeni pangefaa angalau robo ya Wabunge wawe wa aina hii
@janmsekela
@janmsekela Жыл бұрын
Ndg. Lamert, wewe ni miongoni mwa ‘journalists’ wazuri, lakini unahitaji kuongeza ufahamu wa eneo husika ili uulize maswali bora zaidi. Pili, usijisahau sana hata ukadhani unayemhoji ni wa rika lako. Muhimu utunze urasmi. Mh. Kishimba ni Mbunge, na pia ana umri wa baba yako. Kuna wakati unamtamka bila itifaki anayostahili - siyo sawa kwa wewe kudharau itifaki, na kudhani sasa ‘unalingana’ na Mh. Kishimba! Katika interviews zako zote, kutokujali itifaki muda wote ni udhaifu wako mkubwa.
@AlexKAudax
@AlexKAudax Жыл бұрын
The man
@mussachambazi3463
@mussachambazi3463 4 ай бұрын
Broken people act rich And rich act broken😢..
@African511
@African511 Жыл бұрын
Watu wenye maadili kama hawa wanachukuliwa poa poa tu,wapumbufu ndiyo wanasikilizwa.
@salehmohammedsaleh7015
@salehmohammedsaleh7015 Жыл бұрын
Mimi nashauri kama mtamzania huyu Mzee kishimba awe waziri mkuu wa Tanzania anachokiongea ni mdaa wa sasa Nina maada Anaenda na mdaaa
@ameedamilja7992
@ameedamilja7992 Жыл бұрын
Kumbe Darasa la Saba wako wengi na sio Msukuma tuu
@robertmalindi8427
@robertmalindi8427 Жыл бұрын
kishimba hiyo ni machine
@petrojames1145
@petrojames1145 Жыл бұрын
Hongera sana
@petrojames1145
@petrojames1145 Жыл бұрын
MTOTO AFUNDISHWE KUTAFUTA PESA AKIWA MDOGO. SERIKALI NA WAZAZI WANAPATA SHIDA NA WATOTO WASOMI 😂
@MARTINMLINGWA
@MARTINMLINGWA 11 ай бұрын
Baba huyu ni mwalimu mzuri wa kuelimisha jamii kuhusu uchumi
@jamalijamali347
@jamalijamali347 Жыл бұрын
My role model mzee anajua mfumo wa maisha huyu akiongea huwa naacha mambo yote namsikiliza
@geeva99
@geeva99 Жыл бұрын
Hapo kwenye watoto mzee kapotea, watoto wa matajiri wanapata shida sana za kuwa na pressure kuwa wawe watu flani alafu kiongozi wa familia akiwa na mindset ngumu hapo inakuwa hell tu, awasikilize hao watoto wanampango gani awasupport ni simple sana hakuna mtu mtupu kichwani, nawalio fanikiwa ni wengi sana, mzee inabidi a study zaidi jamii za walio fanikiwa asiishi sana kwenye kichwa chake ufalme wa kiti kimoja sio ufalme is a matter of time tu
@samuelmajule54
@samuelmajule54 Жыл бұрын
Swala la watoto si mchezo ndugu unaweza ku train mtoto lkn kila ukimtizama vision yake haiendani na business zako kabisa ni kum-support tu aendelee na mambo yake
@geeva99
@geeva99 Жыл бұрын
@@samuelmajule54 kabisa, wazee wengi wana penda kulisisha talent zao, ilo ni kosa kubwa sana alafu linahatarisha economy ya generations kama utalisisha watu aina ya mambo yako na talent zako wakati wao sio mambo yao maanake iyo wealth lazima ije kufa then inarudi square one, na ndo mataifa yaliyofanikiwa from family level na jamii kwa ujuma wanatuzidi hapo
@YusuphJilala-it9bo
@YusuphJilala-it9bo Жыл бұрын
Sureeeeeee
@fidelismyovela2834
@fidelismyovela2834 Жыл бұрын
Anawaza sana
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 Жыл бұрын
Uyu mzee akilikubwa nasapoti sana mawazoyake big up
@michaeldoroleo4864
@michaeldoroleo4864 2 ай бұрын
Nimeanza kuamini wasukuma wana kitu,kama taifa tuache kuwachukulia poa na kuwatania ushamba,kumbe sisi ndio hatujui😂
@KiongoziMwandamizi
@KiongoziMwandamizi Жыл бұрын
Mzee Kishimba anamiliki Imalaseko, Dar Free Market lkn anasema sio tajiri , Imagine hzo ni baadhi tu ya biashara zake, huyu mzee ni genius ndio maana anajitambua kuliko wasomi.
@luganosimon4111
@luganosimon4111 Жыл бұрын
Mzee wangu nakuelewa sana na best mbunge kwa ssa
@MtuSafi
@MtuSafi Жыл бұрын
wee darFree Market ni yake lile jengo?
@MtuSafi
@MtuSafi Жыл бұрын
imalaseko ni nini sifaham
@seifkulwa3346
@seifkulwa3346 Жыл бұрын
@@MtuSafi Imalaseko ilikuwa supermarket mwanza, Arusha na Dar
@AbduAmstafa-od6vf
@AbduAmstafa-od6vf Жыл бұрын
Tatizo mnaokomemt weng sio wakazi wakahama uyo mzee utajir niwakwak nafamilia yake atuletei maendeleo khm barabar Kila Kona mbovu
@fatmarashid3137
@fatmarashid3137 Жыл бұрын
Sie tunapenda mawazo yake acha hizo
@michaelshija3601
@michaelshija3601 Жыл бұрын
Kahama tuko vizuri Meh. Kishimba simama hivyohivyo dunia imeona umuhimu wako. Hoja zako ni ukombozi WA mwafrika.
@farajamwakifuna303
@farajamwakifuna303 4 ай бұрын
Umekaa unafikiri utaletewa mkononi Hilo sahau piga kazi hakuna atakayekupa maendeleo yako binafsi mpaka unaingia vumbini
@edibilalfakisadi1491
@edibilalfakisadi1491 Жыл бұрын
Kwakweli huyu mzeee namkubali Sana na uwezo wake wakufikili na kuleta hoja zinazo gusa jamii moja kwa moja
@mohamedykisuda6401
@mohamedykisuda6401 Жыл бұрын
Huyu Mzee anatosha kabisa kuitwa Professor zaidi ya ma professor wa darasani
@josephokumu9666
@josephokumu9666 Жыл бұрын
​@@mohamedykisuda6401hy
@user-li7zm3zg3t
@user-li7zm3zg3t 5 ай бұрын
Huyu mtangazaji huwa namkubali sana
@ummahmed3354
@ummahmed3354 Жыл бұрын
Shule ya wizi concept is simply a Cybersecurity education in Ethical Hacking training...wizi wa digital unahitaji mafunzo mkabala wa kujua ili uweze kuuzuia... Professor Kishimba is 💯 correct
@sabinahobe3478
@sabinahobe3478 Жыл бұрын
Hivi huyu mtangazaji hii online tv ni ya kwake? Mbona kama nilishamsikia times fm?
@emmanuelpius5479
@emmanuelpius5479 Жыл бұрын
Nimejifunza
@directorimmah_vfx3043
@directorimmah_vfx3043 Жыл бұрын
yaaan interviewer n interviwee wte mko vzuriii
@erickartist4557
@erickartist4557 Жыл бұрын
Hii ni mbwa yenye akili nyingi sana.. akili alizonazo maprofesa wa university hawana
@jameskileo955
@jameskileo955 Жыл бұрын
Mzee Kishimba ni Hazina adhim mno ktk Taifa Letu haswa kwa vijana MUNGU akupe Maisha marefu baba
@maduuikangira9864
@maduuikangira9864 Жыл бұрын
Mitaani tunatumia kombi yetu ya pmk unaijua hiyo siyo elimu ya wazungu
@kevinmary7129
@kevinmary7129 6 ай бұрын
Amesoma amejiendeleza huko Zimbambwe ana degree ya biashara na uchumi
@japharymwangu1905
@japharymwangu1905 Жыл бұрын
nikikumbuka walivyokuwa wanamdhihaki huyu mzee ule upande wa pili eti kishimba la saba hana lolote kumbe kichwani yuko vizur kuliko hao wa digrii
@yusufmohamed8874
@yusufmohamed8874 Жыл бұрын
Yaani mabadiliko ya elimu ya sasa ni kwa ajili ya huyu mwamba
@bensonsalum6297
@bensonsalum6297 Жыл бұрын
Hongera sana tumepata Elimu ya uhalisia
@user-kl4lx9tr5m
@user-kl4lx9tr5m Жыл бұрын
Nataka kuwa kama wewe mh.Jumanne Kishimba
@japhetbarton8268
@japhetbarton8268 Жыл бұрын
Kama namuona waziri wa fedha hivi bila vyeti😁😁😁
Despicable Me Fart Blaster
00:51
_vector_
Рет қаралды 27 МЛН
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 14 МЛН
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
00:20
진영민yeongmin
Рет қаралды 35 МЛН
Cool Items! New Gadgets, Smart Appliances 🌟 By 123 GO! House
00:18
123 GO! HOUSE
Рет қаралды 17 МЛН
JINSI YA KUJENGA MIKONDO MINGI YA KIPATO na Edmund Munyagi
21:18
Edmund Munyagi
Рет қаралды 35 М.
Inside Mark Zuckerberg's AI Era | The Circuit
24:02
Bloomberg Originals
Рет қаралды 1,1 МЛН
Despicable Me Fart Blaster
00:51
_vector_
Рет қаралды 27 МЛН