Рет қаралды 91,540
Wafanyakazi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania mkoani Mwanza (TRA) wamejikuta wakivunja mbavu kwa kucheka baada ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Albert Chalamila kutumia mifano ya kuchekesha wakati akizungumza nao juu ya kujenga mahusiano bora na wafanyabiashara ili kukusanya mapato yatakayowezesha kukamilisha miradi mbalimbali ya kimkakati.