Mamlaka ni ya wananchi.Tunahitaji Katiba Mpya sasa,sisi ni wananchi.
@user-fr7jj1bo7yАй бұрын
huyu Mze anaishi nchi gani???? wananchi walitoa maoni kwa miaka 2 yakawalishwa na Mzee Warioba serikali ikayakataa inakuwaje hayajui haya?? suala la katiba mpya limekuwa likipingwa na seriakli ya CCM toka mwaka 1992, vikao semina makongamano na mikutano mingi imefanyika wananchi na wataalam wametoa mawazo yao lakini mpk leo hakuna kilichofanyiwa kazi na serikali ina maana huyu Mzee hayajui haya???