Hyu ni mtoto wa kakaake zuchu sio km ni ndugu Baba mmoja mama mmoja hyu jina lake salma ramadhani zuchu ni zuhura othman nadhani mutakua mumefaham
@chollejirmo10373 жыл бұрын
Young and brilliant 😍 keep it up
@marvelmoviestrailer93244 жыл бұрын
Nauza mawig warembo....nywele nzuri sana kwa bei nafuu
@salmare26284 жыл бұрын
Uyu dada mzuri mashallah cjui na tabia zake nzuri
@salimalabdali19824 жыл бұрын
Ongela
@saumusaid67973 жыл бұрын
Safi
@fabianmakonda57613 жыл бұрын
Kazur jaman haka katoto
@shamilasadiki56114 жыл бұрын
Waooooooooooh honger dada
@aminasangi15854 жыл бұрын
Kazur sana
@cheiknamouna20584 жыл бұрын
Asante mdogo angu kulijua Hilo ujana Ni mwingi
@sarahsimon80604 жыл бұрын
Zuchu hana urembo wowote sura ynyw mbaya bora mdogo wake zuchu amshukuru diamond make hata umbo lake halieleweki
@jacklucas77884 жыл бұрын
Yako inaeleweka? Au unakosoa uumbaji wa Mungu
@victoriastephano40754 жыл бұрын
Hahahahahaha
@diomedesmtayoba39554 жыл бұрын
Yako nzur tunakuona hongeraa
@watwegopnina64804 жыл бұрын
😀
@fatmaahmad7084 жыл бұрын
Nyoo
@ndikumwamielie5023 жыл бұрын
Nimekbali mrembo
@rehemaabdullah76064 жыл бұрын
MashaAlla hapo hajajipula chochotee yupo tu wakawaida lkn anavutiaa😘😘😘
@irenekissima43483 жыл бұрын
Good my dear
@rashidhamiss18204 жыл бұрын
Zuchu sura hana nawala Sauti pia hana...sema tu ashukuru WCB imemstiri
@winniesarani1554 жыл бұрын
Maoni yangu pia
@fatmaahmad7084 жыл бұрын
Sura Hana ? Kwahiyo macho mdomo pua vipo mgongoni 😏😏😏
@florarose16264 жыл бұрын
🙄🙄🙄 eti sura Hana 😂😂 wewe ndounayo
@kaliauboo26134 жыл бұрын
Mdogo ake zuchu nakupenda sana
@radhiaally31463 жыл бұрын
sio mdogo wake zuchu uyu mtoto kaka yangu
@mnyiraboy60884 жыл бұрын
Uko vzur mdg wangu
@godrickhosea4634 жыл бұрын
Nimdogo lakini ana akili sana
@yourmusiccollection81584 жыл бұрын
Beautiful African girl
@missindependent47264 жыл бұрын
This girl is far beautiful than zuchu
@fifiphiowner18024 жыл бұрын
I agree with you 💯
@rahmaali38274 жыл бұрын
I don't agree, coz I can't explain who is beautiful than the other so I'll never agree with u
@husseinmboje14494 жыл бұрын
keep on moving
@saumusulaiman47423 жыл бұрын
Mama Ake zuchu ,mama khadija kopa ,alitangaza kuwa zuchu ni mtoto wa mwisho,, vp hy awe mdg ake zuchu,,?????????😂
@mariamakanu16904 жыл бұрын
kazuri mashaallah
@sharinv88644 жыл бұрын
Haki dada uko mdogo haki bt keepit up
@recholistalmastian63034 жыл бұрын
Duh
@fatumachris22753 жыл бұрын
Mambo mengine bna ni yakishamba tu Sasa hapo kaongelea Siri gani yaan h r zenu haziendani na mahojiano ynu ovyoo
@aminasangi15854 жыл бұрын
Na mimi naipenda rah wana
@hassanambarakmbarak87594 жыл бұрын
Sisi mashabiki kimuangalio wetu.zuchu sai ndio anambeba diamond Kwa nguvu kubwa.diamond ameisha anatumia kipaji cha zuchu ndio kinainuwa WCB SANA
@fazilmalumalu7614 жыл бұрын
Na Zuchu pia anatajirika kupitia diamond
@fazilmalumalu7614 жыл бұрын
Wewe apo wakikuomba iyo sauti yako waitumiye kama ya Zuchu utakataa?
@hassanambarakmbarak87594 жыл бұрын
@@fazilmalumalu761 huo niulumbukeni ukiwa huelewi nnacho kisema zuchu haeza kutajirika mpaka atajirike diamond kwanza ndio nayeye apate lakini sio utajiri huwo
@nellyflo97364 жыл бұрын
Mara zuchu wa mwisho kwao.😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@agnessemmanuel84343 жыл бұрын
Yan mxiuuuuu
@bestmedia_tz4 жыл бұрын
Mshamba tu simuangalii
@TeamKRX4 жыл бұрын
Mashalah karembo zuchu baya sura kaa mendee shep plombo ya kuzibua choo da dada anasura bovu
@sheilajuma1374 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@mankaemmanuel57853 жыл бұрын
Mh
@adamfaraji67963 жыл бұрын
siokweli zuchu sie sister yakehawaja fanana
@saidshaban58964 жыл бұрын
side boy
@arafaally28954 жыл бұрын
Mdogo wake wa wapi ikiwa zuchu ni wamwisho kuzaliwa
@hamisaadamu80993 жыл бұрын
😀😀😀
@gloriawilliam79623 жыл бұрын
Duuuh
@hassanambarakmbarak87594 жыл бұрын
Unajuwa wasani hawa wadogo nikukosa kujiamini na hali zao zakiuchumi ndio zawaogopesha na kuwavunja moyo.ndio wanakubali kujiunga na WCB.
@nimbonaiddy40924 жыл бұрын
Uyo simudogo wake wadam labda wabamudogo
@rechoyohana68564 жыл бұрын
Hana urembo mashavu Kama.....
@nimbonaiddy40924 жыл бұрын
Nakwetu burundi bwana anachafuwa kbs
@angelawambui5013 жыл бұрын
Nkt
@jrmakwega99174 жыл бұрын
Wakawida tu anauzur wowote
@bukaone75074 жыл бұрын
Una jielezea vizur bidada
@hassanambarakmbarak87594 жыл бұрын
Siri nikuwa mfalme wakweli bongo ni Alikiba.sababu alikiba anajiamini sana.diamond sasa Hana power kazi yake nikutumia vipaji vyawengine kujenga jina lake.wajanja walimkimbia km kina hermonise mavoko bado nahao wengine wajiamini.
@fazilmalumalu7614 жыл бұрын
Uko wrong sana wewe, Diamond ana share mafanikiyo yake kuwa support wengine wenye vipanji wanao hitaji msaada, hiyo nikazi kubwa sana, uyo alikiba wako ame muinua nani? Anajinjali tu mwenyewe,
@hassanambarakmbarak87594 жыл бұрын
@@fazilmalumalu761 sikiza wewe malumalu uelewe huyo diamond kipaji chake kwisha sauti yazuchu nipesa nyingi kuliko wasafi ndio inayo muinua diamond Kwa time hii.kusaidia mtu unaweza bila kujenga jinalako unajuwa wasanii wakiimba vizuri ni WCB msani anakuwa jina tuu.hanathamani yake
@fazilmalumalu7614 жыл бұрын
Kutumiya sauti yamutu siyo ndo shida yangu apa mimi shida yangu niku mumsaidiya uyo mutu kufanikiwa kama vile wewe because ata kama anatumiya voice ya Zuchu, uyo Zuchu naye bile iyo wasafi siyo kitu imemutowa mbali mpaka anajulikana leo nikwasababu ya Diamond
@RajKumar-ub1ns4 жыл бұрын
Fanyen mkijistir hata kofia pia zipo
@hassanambarakmbarak87594 жыл бұрын
Washamba wkabwa nyinyi uwezo nakipaji cha zuchu nikikubwa kuliko hiyo WCB.
@Richesfam3 жыл бұрын
Anaongea kama mtu mkubwa je anamiaka ngapi
@jescajulius80233 жыл бұрын
Huwezi jua huenda ni mkubwa,kwa mfano mm ukiniona utasema nna miaka 22 ikiwa nna miaka zaid ya iyo bas t huenda ni mwonekano wake,na mwili Wang c mdogo ila nna sura ndogo
@neemakarisa26843 жыл бұрын
Huba
@fionakerubo62314 жыл бұрын
Hawa wanao hawakuwi warefu
@saidsleiman44804 жыл бұрын
We salma wee
@mirifati96063 жыл бұрын
Muvimpya
@nimbonaiddy40924 жыл бұрын
Alafunyiye kuwa munaandika abari zauwongo iliwatu waone tu muingize pesa tu sofresh siri gani kaongea sasa uwongo tu
@magrethwilliam20674 жыл бұрын
Duuuh mbn watu wanipenda kushombeza
@jumsady21124 жыл бұрын
Anatumia jina gani Instagram huyu mdada
@magrethwilliam20674 жыл бұрын
Mbn amedashi to
@rhodahenry55444 жыл бұрын
Punguzeni uongo 😈😈😈😈👿👿👿
@natashakibale55574 жыл бұрын
Jamni kilichosangaza nini labda hapo mbn mnakua wahuni