Mbosso you will always be great nlichopenda zaid ni upendo kwa wazaz wako nashukuru saana kwa niyaba ya wazazi umewainua saana hongera saana mbosso khan
@MumtazKhan-tu4hz3 жыл бұрын
Mjumbe mdogo wangu mbosso Khan Big up sana wazazi wamekuja baraka zote
@nelsontanzania10984 жыл бұрын
WCB Label kubwa Hongera Mbosso zidi kutusua 💪
@sumathedony82454 жыл бұрын
Kinacho mfanya mbosso afike mbal na atazidi kufika mbal ni nidhamu,hekima,busara na uweledi ktk kazi yake...Mungu mzidishie inshallah
@masibosvlogmasibos97384 жыл бұрын
Kabisa, inshalah
@nahyialetomia92844 жыл бұрын
Suma thedony, kweli!
@lydiamuli33284 жыл бұрын
True
@khadijakoga75944 жыл бұрын
True
@veronicadaniel11224 жыл бұрын
Suma thedony Amina
@nimconalka87054 жыл бұрын
Mwenye ako na heshima na busura mboso keep going bro
@mohamedalii75434 жыл бұрын
Hongera platnumz kwa kuwakuza vijana am proud of you.
@kingoclock59644 жыл бұрын
Hongera dogo kwa kuwambuka wazazi wako mana ni vijaba wachache wenye akili hiyo
@felixokumu29114 жыл бұрын
I admire his personality he never gets offended. God bless you sana bro.
@tunumohamed26082 жыл бұрын
Nakupenda mnoooo
@benkbenk94614 жыл бұрын
Mashambiki wa Mbosso Kenya twagonga like hapa ! Hongera! Hongera ! Hongera ! Mbosso 🇰🇪
@kanickanderson82274 жыл бұрын
Wale wote wa mbosso Khan mshede tujuane gonga like twende sawa
@tygerkadoh15464 жыл бұрын
Wenye wivu wajiuee
@kanickanderson82274 жыл бұрын
Umeoa eeeh watapa tabu sn sio ngoja tuinjoy na muindi wa kibiti
@tygerkadoh15464 жыл бұрын
Ila kuna jamaa amefanana nae uyoo
@kanickanderson82274 жыл бұрын
Jamaa gn uyo?
@hassanmshana67284 жыл бұрын
Kwel discipline ndo kila kitu
@juliusmurimi55104 жыл бұрын
Mbosso kipenzi cha wengi..mob love from Kenya.. I like your personality.. Usichange
@mcalex13684 жыл бұрын
julius murimi 👌👌
@farouqbanda86564 жыл бұрын
Mbosso mimi hapa Kenya nakupongeza bro it's all your efforts. .continue keeping your flag high .
@stellatobiasi36654 жыл бұрын
Wanao mkubali mboso naomba like zenu jaman😘
@sammysammy20014 жыл бұрын
Hata wakati mgumu unapo msikiza mboso uko saww
@anordalphonce8624 жыл бұрын
Stella Tobiasi akika amepiga hatua kubwa mungu amujalie
@anordalphonce8624 жыл бұрын
Stella Tobiasi akika amepiga hatua kubwa mungu amujalie
@MeRy-qk6bp3 жыл бұрын
Tupoooo
@edmondplatnumzmsafi80654 жыл бұрын
Mbosso Khan💪💪💪 nipo Zambia ila wasafi media naifatilia sana @WCB4LIFE
@vero574 жыл бұрын
Mbosso kuhusu corona umeongea vya muhimu sana kuliko mkuuu wa mkoa wa Dar,welldone brother keep it up
@francisraphael92504 жыл бұрын
Mmh hatar
@abubakaryomary39854 жыл бұрын
Good Kijana umejitahidi big up
@khalphanibrahim81924 жыл бұрын
Veto madimakis
@khalphanibrahim81924 жыл бұрын
Vero aradini
@Sir.K_Ogola4 жыл бұрын
I like the way he explains about singing a Corona song. We need to continue with life though not fully normal but at least we need to feel like we're not so lost into the Corona pandemic menace.
@stevemruma35054 жыл бұрын
Kweli
@aminarai4510 Жыл бұрын
Kaka mbooso naomba kazi
@t-cha83632 жыл бұрын
Gari fire Moto 🔥 Hongera Mbosso kwakutimiza Ndoto.. Love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@dianahgesare50642 жыл бұрын
Mbosso has been my crash ...I silently admire him generally ,his music , he's my number one bongo artist ,all that he has done or achieve is by the grace of Allah,Na Baraka sizidi kumfuata kwa kutosahau nyumbani kwao.baraka ya mzazi Ni Jambo la muhimu...he be my role model..I just like everything about Him simple personality humbled always and forcused may your intelligence yield more🙏🙏💕🌹
@hafidhchoi31864 жыл бұрын
Hio ndio sifa y mond n kuzid kua juu kw kuwasogeza n wengne km hawa smart mboso big up simba kw kuwawezesha vijna
@Jitu_Lisilofikirika.4 жыл бұрын
Alaf kuna fara anaitwa h baba akilewa anasemaga mondi anajipenda yeye tuu na hajali wengine... Inashtua
@abedadam25544 жыл бұрын
.
@daudisamsoni42434 жыл бұрын
Hafidh Choi
@salmareborn9194 жыл бұрын
Ilove mbosso he is so humble...
@marechojohn42894 жыл бұрын
Huyo mtangazaji ayejifunika sio level za wasaf anazngua interview nying..anakuwa hayuko systematic na Hana skills za kumsoma MTU coz watu wana mood swing IPO siku atapigwa
@iammusic34044 жыл бұрын
Level za clouds sio😂😂😂
@francisalphan67894 жыл бұрын
@@iammusic3404 hahahaha
@najmagudeh2034 жыл бұрын
Kweli kbsa
@zenamadhan25174 жыл бұрын
Ni mjing auliza udaku tuu
@kingcopper_tz4 жыл бұрын
Asingefaa wasingemtoa EATV, dulla ni talented
@patiencenimmoh39564 жыл бұрын
Mara nyingi ukimtanguliza Mungu na kuwa mwenye nidhamu mambo yako hunyooka. Nakuombea Mwenyezi Mungu akuzidishie, akuneemeshee na akulinde kwenye hii safari yako ya mziki... Mbosso much love from +254😘😘😘
@ramamanyama29444 жыл бұрын
Wngp wameona WCB ndo lable yakuingia sa kwengine wap tena gonga like twende sawa
@khadijahomankweliyamjahaya74214 жыл бұрын
Hongera sana kaka inapendeza kijana ukipambana ufanyee mambo mazurii
@rashidymwamtumu59654 жыл бұрын
Khadija Omari
@wallennyambegera36994 жыл бұрын
Mbosso one of my favorites in WCB as well as Bongo flavour at large. Mungu aibariki kazi yako. Kongole Diamond kwa kukuza vipaji, huku Kenya twathamini WCB sana.❤🔥🔥🔥
@lupandesimukindje81704 жыл бұрын
Mwambie mbosso atutolee behind the scenes ya tamba
@vero574 жыл бұрын
Nakusikia tuu lakini ,welldone brother,l salute you God bless you mbosso
@johattyomertho94654 жыл бұрын
WCB label ya mafanyikiyo Congratulations sn kwake Diamond platnumz kwakuwafanya vijana watimize ndoto zao
@beatricetenywa43674 жыл бұрын
HIV meneja huwa ni mmoja kwa fundi zima la wcb au kila mtu nawake🙈
@Jitu_Lisilofikirika.4 жыл бұрын
@@beatricetenywa4367 kila mtu na wake,mondi salam sk,lava lava Ricardo momo,mbosso sjui nani
@Mwaikwasi4 жыл бұрын
@@Jitu_Lisilofikirika. babu tale ni wa nani aisee
@Jitu_Lisilofikirika.4 жыл бұрын
@@Mwaikwasi najuaga ni moja ya kiongozi tuuu, though sinaga undani kabiiiisa
@Mwaikwasi4 жыл бұрын
@@Jitu_Lisilofikirika. wa Rayvanny Ni makame juma lakini. Alafu Kaka subscribe kwenye channel yangu
@loicekazungu12972 жыл бұрын
Hongera sana kaka mboso mungu azidi kukuinua kila unacho fanya
@chicharitoronaldo59504 жыл бұрын
MUNGU AKUBARIKI NASIBU Unainua vijana na mafanikio tunayaonaa...Hongera mshedede!!!
@jacoanania63584 жыл бұрын
Chicharito Ronaldo wanapanga hao wanajifanya zao
@salamakombo32574 жыл бұрын
Kweli my nasebu amewabeba nag waliobebwa wamejikaza
@NGULYATI4 жыл бұрын
Mshedede umenyoosha mzee
@Jitu_Lisilofikirika.4 жыл бұрын
@@jacoanania6358 daaah we bwege una wivu kama una mimba changa,panga na wewe basi🥴🥴🥴🏃🏃🏃
@mnerostationeries11134 жыл бұрын
@@jacoanania6358 mashoga mpo wengi kumbe
@alexmurithi13274 жыл бұрын
Congratulations ndugu yangu mbosso. @mwijaku where are you now
@gracedismas11084 жыл бұрын
Hahahhahha mwijaku come here now
@sheilakasina87614 жыл бұрын
You're such a humble human being more blessings my brother from another mother🙏
@minanicharles30814 жыл бұрын
U know brother mbosso I really like ur word means unapenda kushauri watu kwakupiga kazi na video I like that
@jayjay43134 жыл бұрын
Na na Mungu akubariki kaka Mbosso uwe mtu wa hekima hivyo hivyo, maisha yako yote. Blessings
@fredjohntz67324 жыл бұрын
Wakwanza kukoment kutoka 🇺🇬 like zenu 🇹🇿 ziko wap
@fredjohntz67324 жыл бұрын
Nice job 👍
@zaynpdogdhgg87554 жыл бұрын
Mashaallah kkngu nakuombea baraka za mwenyezi mungu ziendelee kuwa nyingi namaisha marefu pia innshaallah
@teychriss32484 жыл бұрын
Aisee! Mungu hujibu kwa wakati! Uvumilivu ktk maisha ndio nguzo kuu! Uwezo wako wa kuimba ulionekana toka ukiwa Yamoto to be honestly mm nilikuona kuwa sauti yako iliwazidi wote! Pamoja na kutengana kwenu hukukata tamaa ! Big up! Yaani am speechless 😶! You nailed it!
@alipqasse99674 жыл бұрын
Pongezi bosso mziki wako naupenda ata naskiza sai♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
@mariamramadan61544 жыл бұрын
Q chila ajifunze SNA kupitia hawa watoto wa wasafi sio kutukanatukana hongeraboso😍
@sabrinabakari59084 жыл бұрын
Mariam Ramadan ni kweli yule hana akili anapitwa hata na uyu mboso.
@bonnysureolkokolaboy43424 жыл бұрын
Ni H baba
@emmnuelamercian96214 жыл бұрын
@@sabrinabakari5908 siunajua alikuwa anatumia dawa za kulevya bado hajakaa sawa
@marcemarco37474 жыл бұрын
Aiseeee don't talk about legend aiseeee
@sabrinabakari59084 жыл бұрын
Marce Marco whose legend you talking about??? Q.chi ow!!! Don't let me down my friend
@didaamohsin65944 жыл бұрын
MASHA ALLAH...HONGERA..WAJALII WAZAZI WAKO..WAKIWA HAI
@ribanimak.48193 жыл бұрын
I really like this humble boy! He will go along way. May God bless him.
@awino99annabel153 жыл бұрын
Mbosso u a the hero of bongo actually you have made it & still u will be blessed mentor
Hongera saana bro. Umefanya jambo lamaana saana kwa wazazi wako. Allah azidi kukubariki kwenye kazi zako.
@dullabritish32774 жыл бұрын
Congrats Mbosso Khan Mshedede 🔥🔥🔥
@muthomikenneth45934 жыл бұрын
Mbosso is such a being. Great guy
@rashidhassan68054 жыл бұрын
kaka unajua
@mkovzrmuscat71104 жыл бұрын
Hongella Mbosso mwenyezi Mungu akuzidishe hapo inshaallaah
@unclejkonlinetv12184 жыл бұрын
Big up Sana mboso mwanzo wa mateso mwisho ni furaha mungu akuzidishie. Umewafanyia wazazi jambo zuri mungu akubarikie
@mwambapatrick44854 жыл бұрын
Alakini mboso sungemusaidia enook Bela mulikua pamoja katika yamoto band+250🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼
@kingcopper_tz4 жыл бұрын
Kabisa wamemsahau mwenzao
@sarahhamisi20704 жыл бұрын
mwamba patrick wakisaidiwa/ baadae mazarau/ kila mtu afekivyake",siunaona hamo mazarau' kwa mond kibao
@kenethmtweve39614 жыл бұрын
Ww umewasaidia wangap ulokuwa nao pa1
@kingcopper_tz4 жыл бұрын
@@kenethmtweve3961 watato
@nibagwireesther45794 жыл бұрын
Utuye ahagana se mwane wacu weee
@karoboykanani86954 жыл бұрын
Waoyeshe kwamba unaweza
@mufasamufas60234 жыл бұрын
Kwanza hazifanani hata shape ya mbele
@hakimFxB94314 жыл бұрын
from kenya....the guy is very humble na mwenye heshima na upolee..zidi kuenda mbali mr mbosso...
@johnmngaro68324 жыл бұрын
Hongera sana mboso bidii yako, upole na tabia nzuri ndo nawezasema imekufikisha hapa. Uzidi kuenuliwa
@faisalmazrooei87204 жыл бұрын
Huyo mtangazaji mwanamke si angevua hiyo Top kabisa 😢
@saeedabunajash62354 жыл бұрын
Baraka za sheitwan, sio za M/Mungu. Allah kaharamisha mziki, kwa hio hawezi kubariki. Samahanini mashabiki wa mbosso. Twakumbushana tu
@shoshdehblessedtv28414 жыл бұрын
Kamati ya roho chafu,islam is just hypocrates,nachukia waislamu ni wanyama🤣🤣🤣🤣🤣
@saeedabunajash62354 жыл бұрын
@@shoshdehblessedtv2841 ni kweli, wewe ni sheitwan ndio maana unapenda mziki. Si unaona faida ya mziki, mbosso ana watoto wa nje ya ndoa na anajisifu, kwa hio kama hakutubia atafute jawabu la kwenda mjibu alietuumba na akatuekea taratiibu za kuishi. Nakuomba tena radhi kama nimekuudhi ila vumilia, ukweli lazima usemwe
@shoshdehblessedtv28414 жыл бұрын
Kazi kujifanya tu eti waislamu,na ishirikina ndio mama yenu,you will all rot in hell walking demonds,show me one upright islam i will change to islam,all these wcb ni waislamu waliopotoka they dont know what they know🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@saeedabunajash62354 жыл бұрын
@@shoshdehblessedtv2841 usome tu utaujua ni dini ambayo Allah (Mwenyezi Mungu) alowapa Mitume na Manabii, tangu Baba yetu Adam mpaka Nabii na Mtume wa mwisho Muhammad Swalla Allahu Alayhi Wasallam. Na kati ya hao pia yumo Issa ambae nyinyi mnamwita Yessu, sisi pia tunamuamini kwa yote aloteremshiwa kutoka kwa muumba ni haki, na tu naamini Mitume na Manabii wote waliharamisha ushirikina. Sasa sijui huo ushirikina uusemao wewe umeukuta kwenye kitabu gani?
@shoshdehblessedtv28414 жыл бұрын
@@saeedabunajash6235 do islam practice nir respect other religions ooh nooo!they think they own the world,pride will take them down!
@ephraimrichard67014 жыл бұрын
Sasa me naswali apo,, apo mboso anaishi na falid too na uyo mmasai au
@omaryommy4044 жыл бұрын
Kama unafamilia au mke sawa kama hana jua anaishi hvyo
@hitralucas38754 жыл бұрын
Hahahahaaaaa sasa wew wengine wa nin jamaniiiii daaaaah nimefurahiiii hiii comment
@sophiamduma73974 жыл бұрын
Hyo kweli Raha ya nyumba kubwa hivyo uwe na mke na family
@neshytz23424 жыл бұрын
Jaman nampenda sana mbosso
@Aggie1114 жыл бұрын
Congrats MBOSSO umefanya kitu kikubwa sana ambacho ni baraka tele ambazo zitafungua milango yako
@rachelpease73024 жыл бұрын
God bless you for this
@muniraahmed6244 жыл бұрын
Hongera zake sana😊
@diamondplatnumz96764 жыл бұрын
Na kupa pongezi kwa kucomment kila video
@kinlee80354 жыл бұрын
Gang!!!! Eeeh bhana mboso respect saaana umeonyesha hatua kubwa sana ya kimaisha
@peterwolftz22204 жыл бұрын
Mafanikio ya kwelii yanatokaa kweny nidhamu na uvumilivu ww n msanii mtulivuu xn be blesed
@sirajizo91184 жыл бұрын
Nice interview
@beatricetenywa43674 жыл бұрын
Kweli kabisa halaf Diamond anapenda sana vijana wenye bidii 👌
@@beatricetenywa4367 0747700433nichk sap tuwe mrfk
@allaniallan9894 жыл бұрын
Congrats mbosso
@charlesmateso65714 жыл бұрын
WASAFI 💪💪💪💪💪
@eppiemodest4 жыл бұрын
Kijana mbosso si mtu wa kustarehe saaaana na mabinti kama vijana wengine. Ni kijana mwenye tabia ya utulivu. Heshima. Hekima na anajitambua anapoelekea. Anaipa heshima sana wasafi media kwa tabia hiyo.Mungu amsaidie aendelee na busara hiyo. Amenifurahisha sana nikuwa mzazi tena mama.
@janatahmad70484 жыл бұрын
mwijaku.yupo wapi eti wcb wananyonya mboss wasije wakakushika masikiyo utoke wcb thafazali mungu akujalieee kaka nitakusapoti paka
@salehmadjidumk75974 жыл бұрын
Wewe Aliya kuwa navaa vizuri, ujuwe una nikeraga sana
@veronicadaniel11224 жыл бұрын
Saleh Madjidu Mk Kabisa yaan
@edwardmkwelele4 жыл бұрын
Mshamba
@peterjohn48184 жыл бұрын
Kaangalie tbc
@salehmadjidumk75974 жыл бұрын
@@edwardmkweleleasante,ila niko mshamba kwa akili zako ambazo zimebebwa sana na dunia
@sabrinabakari59084 жыл бұрын
Napenda mboso akihojiwa
@carolmuchiri99214 жыл бұрын
KINGI Mboso, Liwakere Kweri Wenye Vihelele, Pia Utupige Mabusuu 👍👍😘
@aronelius95154 жыл бұрын
Mbosso my best singer and writer..... Ila mtangazaji wa kiume hapo mzee naona haujakaa kitaaluma zaidi.
@nahyialetomia92844 жыл бұрын
More blessings
@francisjapan15944 жыл бұрын
Mbosso Khan 🔥 🔥 🔥
@mariamothman74044 жыл бұрын
Nakupenda sana mbosso khan mafanikio yako sistaajabu juhudi unayo penda sana mziki mzur👏👏👏
@siyamunadhir36694 жыл бұрын
Hakuna kinacho shindikana chini ya jua ukiweka bidii ukiwa na subra na ukipambana kila kitu kinawezakana just Don't give up shukurn za peke kwa MWENYZI MUNGU kwasababu ninaamini yeye Ndo anayejua kesho yako my best actress in W_-C_-B=_-🔥🔥🔥
@iammusic34044 жыл бұрын
Kwa nidhamu ya mbosso na rayvanny lzm wafk mbali No wonder now wanamburuza kande boy saiv
@petermbijima25524 жыл бұрын
Hapo mbosso umeua aise,mjengo huo na hilo dude hakika wcb iendelee, pia nawe endeleza heshima na nidhamu zako
@AliUleplumberАй бұрын
Moja ya mafanikio makubwa ni kuwapa wazazi maisha tafauti MashaAllah 🥰
@fhhffh63824 жыл бұрын
Mbosso ni mhandyy ata kushinda chibu by far... God bless u sana # kip pushing it's not a destination #254
@edwardsichilengwe23304 жыл бұрын
Kivipi?
@emariusrush32854 жыл бұрын
Acha Ww babalao tena
@chunaamina87194 жыл бұрын
Kbsa n Muhandy kisha simple Na amecool hapendagi kuchezea madem Na kuwaacha tu, he is smart kenya we love u more than chibu
@edwardsichilengwe23304 жыл бұрын
@@chunaamina8719 we uko na mboso muda wote? Unajua madem wa mboso ww? Ofcoz nakubaliana naww kuwa ni mtu poa sana, the same to dimond ni jamaa poa sana hata ukikutana naye mtaani hana ustaa anaongea na watu wote, ndo maana wny akili timamu walisema ndege wafananao huruka pamoja. Angalia maisha anayoishi dimond na mboso utadhani mtu na mdogo wake, dimond ni kioo cha jamii kwa dunia nzima na anatoa msaada kwa vijana wenzake hasa swala la ajira. Sasa mnataka aje malaika ndo muappreciate roho njema ya mond
@watwegopnina64804 жыл бұрын
Mbosso oyeeeeeeeeee
@her_medarearly60224 жыл бұрын
Congrats tamba baba lao 🔥🔥🔥 WCB 4 lyf💯
@yobraminol36923 жыл бұрын
Nakumbuka mbosso alipokwa aki taka kuwenda mjini babake akuipenda...lakini mziki ndio hio unamsadia....Mungu akuwonekanie.kila mara
@agnessanga29404 жыл бұрын
Nidham, Heshima,kukumbuka ulikotoka, Kufanya Muziki muzuri Kushukuru Na Kutomshusha mwingine ndivyo vitakupandsha mboso Is Just A Beginning Keep Humble Guy🙏
@aloycemasele72364 жыл бұрын
Diamond na mm ninunulie gari hata la milion 4 linatosha jamani nioshe nyota hata likuwa na label ya wcb sio mbaya. 😢😢😢
@oscarmick80274 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@jenifersamwel89904 жыл бұрын
😂😂
@sikitumwele42264 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@prettyney38124 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@mwamlimaprisca31154 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@rehemashaban68584 жыл бұрын
Mbosso msaidie Enoky bella hata kama yapo mapungufu rudi nyuma mmetoka nae mbali
Here from kenya...I really like mboso coz hana mringo
@yusuphfute50134 жыл бұрын
Mh?mwanang mbosso hicho noma maaana mwenzetu konde boy anafanya show ya mabodigad na magari meng mama yak anakaaa kweny nyumb hakuna umeme wala maji chooo cha mabati
@maryamjey63404 жыл бұрын
Konde boy yuko mbele acha chocha...Mbosso ndo kwanza katoa zaka kwa wazazi.
@fatumaally34444 жыл бұрын
Tuekee picha za choo tuproof acha wivu wewe
@janjahakimu39474 жыл бұрын
Harmonize muache kabisa yupo real kabisa hawezi kudownload maisha
@rukiaselemani93634 жыл бұрын
Acha umbea na ww👌ataachaje kuwajali wazaz wake kondeboi ww😁acha zako
@aishasalum29634 жыл бұрын
Umenibowa kweli nawew wazazi wako wanachooo namaji tusiseme yawatu tu
@danielmadenyeka42484 жыл бұрын
Nyumba nzuri na gari nzuri. Hngr sn
@tatoorashedi17873 жыл бұрын
Mwachen mungu aitwe mungu mbosso hongera sana mwanangu
@eppiemodest4 жыл бұрын
Mungu akuzidishie.umeanza kuwafikiria wazazi wako kwanza na nyumba na usafiri.Mungu atakufikisha mbali sana kimaendeleo kama kaka yako au bosi wako Diamond.wasafi juu.
@kaulimbiu1814 жыл бұрын
Wewe dada unapenda kujiweka tupu na hata shepu huna 😤😤😤
@teedrack87914 жыл бұрын
Aim higher mbosso big fan from Kenya underground rappers
@mercyvee41484 жыл бұрын
Daaamn mbosso kwani una mama watoto wangapi wewe🤣🤣anyway love from🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@abdulkarimkuchengwa49004 жыл бұрын
Kujituma na dua.. Yote yawezekana
@mbidadaud12564 жыл бұрын
Epuka matapeli wasijewakakununua WCB chama kubwa
@walterepae8823 жыл бұрын
More love from +254🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@jacymutio64044 жыл бұрын
Mbosso mshedede congrats endelea na kufanikiwa. Na uoe hara unapedwa na wengi wasikuaribu kaka. 254 twakukubali
@damam29414 жыл бұрын
I like his personality. Keep working hard.
@bejoshnyabs76014 жыл бұрын
Keep on bro
@everylinesitima27293 жыл бұрын
Yaani mbosso ako very simple sio wa kujionyesha aishe! From kenya
@fauziawaziri96653 жыл бұрын
Mboss kama mboss akiwa jukwaani haboi asante mboss napenda sana nyimbo zako hasa iye ya katoto hodari hodari hodari wa mapenzi
@mohamedishaban80254 жыл бұрын
Kumamake mtoto Kama uyu ana mjengo Kama huu cc tunazeeka ata pikipiki atuna.
@bonytito93804 жыл бұрын
Hahahaaaa
@bakeeradam71634 жыл бұрын
Ahahahahahahahahahahahhahahaaaa
@shoshdehblessedtv28414 жыл бұрын
Juu ya hiyo story utakufa masikini tu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jjboy51574 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@abubakaryomary39854 жыл бұрын
Kaza buti kijana usikate tamaa utatoka nawew kikubwa ni kumuomba mungu