Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
Пікірлер: 16
@mrsmussa1157 күн бұрын
Innalillah wainnaillah rajiun.shikamaneni na dini ya Allah achaneni na siasa
@EstermsuyaMsuya7 күн бұрын
Poleni sana. Mungu akasimame na haki ya hii familia ipatikane
@AtuganyiraKabigumila-rz7ou8 күн бұрын
Pole sana jamani
@RubenMtuwaMungu-bz8ee7 күн бұрын
Hili tukio ni baya kuwahi kutokea ni mauaji ya kisiasa bila shaka. Kibali cha utawala hutoka kwa Bwana Yesu yeye akikukataa huwezi kuongoza hata uangamize watu
@noot-oe2mw8 күн бұрын
Inalilah wainalilah rajuuni
@mukhsintwaha59098 күн бұрын
Innalillah wainnaileihy rajiuun 😭
@rehemashabhay89467 күн бұрын
Molla aware Moyo wa subra..
@AsiaGidion-g4f7 күн бұрын
Watu wanamajonzi nyie mnaandika ujinga, Mungu anawaona.
@ndogoroedson1998 күн бұрын
Kiongozi wa watekaji yupo hapo hapo mnaye ila yy kila cku anawatuhumu polisi tu sisi tunajua ndani ya chama chenu mnatekana wenyewe kwa wenyewe acheni kusingizia polisi na serikali
@mathiaszakaria70528 күн бұрын
Akili huna ila laana ya Mungu haitatakuacha unaringa kwa sababu unajua huwez kutekwa ila Mungu akipanga kukuumiza ni rahis sana,maana ukipata pigo la ajali aidha kwako au kwa familia yako ndo utaelewa Mungu hataki ushabikie maovu..
@christophersimoni14348 күн бұрын
akili huna mbwa kabisa
@paultavin31148 күн бұрын
Kama una uhakika toa ushahidi. Watu wana majonzi unafanya mzaha.
@AswilaSeif8 күн бұрын
Mtekaji nihuyo hapo nyamayenu mwanyemewani
@joycemfuru47528 күн бұрын
mbwa wewe unaleta ushabiki kwenye kifo kisa mpinzani yaani aue msaada wake halafu aende na gari za police defender lala hukoo
@CajerMomade8 күн бұрын
Mtekaji yupo hapo nyuma yako
@mathiaszakaria70528 күн бұрын
Mungu atasema na ww na hautarudia tena kukejeli maovu wanayofanyiwa wenzako