MEDICOUNTER: HATARI YA KUZIDI KWA KIWANGO CHA ASIDI TUMBONI

  Рет қаралды 76,243

Azam TV

Azam TV

Күн бұрын

Пікірлер: 251
@johndingi2504
@johndingi2504 Жыл бұрын
Wapo vizuri sana kwenye maelezo ila tiba sasa😢!!? Nyie semeni tu ukweli huu ugonjwa hauna dawa ya moja kwa moja
@erickkimaro5282
@erickkimaro5282 2 жыл бұрын
Asante Sana doctor nimekusikiliza kwa makini mi niko moshi.Nilikua na tatizo lakikohozi Cha mudamrefu nimetibiwa Ent nimepewa dawa Sana dawa zikiisha tatizolinajirudia nimemezeshwa kipimo kwenye Koo shida haikuonekana na maranyingi nakohowa usiku nilala mwiliukisha rest.Baadaenilikuja kupatwa na vidonda vya tumbo hadisasa nimefuata mashart ,nimetumiwa dawa nimemapata nafuu Kuna muda nacheua kitukichungu Sana.Shida kubwa ninayo ipata ninasikia vibaya mwlini Hadi kichwani hatakama siumwikokote mwili haurudi kawaida Naomba ushauri wako doctor hii Hali imeniadhirj Sana.
@abalkassim5404
@abalkassim5404 11 ай бұрын
Up mziki unazidi sauti ya Doctor
@elizabethcharles6527
@elizabethcharles6527 5 ай бұрын
Yani mi nakuelewa vizuri sana dokta
@thompsonmkwanda3809
@thompsonmkwanda3809 Жыл бұрын
Daktari bingwa ni bingwa tu , nimemuelewa vzr sana
@carolyneNechesa-d9c
@carolyneNechesa-d9c 5 ай бұрын
Hili tatizo kweli Lina tesa kweli mungu atupenguvu
@priscammassy464
@priscammassy464 Жыл бұрын
Nimejifunza vizuri
@BenterMwende
@BenterMwende 3 ай бұрын
Asd inaweza fanya mtu akose uzigizi doktar
@tunsumejohnjohnmwalaba4719
@tunsumejohnjohnmwalaba4719 2 жыл бұрын
Asante Mimi tonses zimevimba Kwa ndan jaman dawa naweza kupata
@sylviasebastian2016
@sylviasebastian2016 7 ай бұрын
Nakupataje doc
@amadeusgerald6253
@amadeusgerald6253 3 жыл бұрын
This Doctor🙌🙌🙌🙌
@HosanaCharles-lx1ks
@HosanaCharles-lx1ks Жыл бұрын
Mm ninashida iyooo nakupatajee
@OmariKachulu
@OmariKachulu 2 ай бұрын
Asnte doctor
@rosemarysulle9288
@rosemarysulle9288 Жыл бұрын
Umeelezea vzr mnooo,lkn mbona cm hampokei jmn madaktari wanajua kuringa na fani zao.
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Жыл бұрын
Maheka heka haya Mungu atusaidie tu sababu yy ndio mwenye spare za miili yetu. Mm hili tatizo limenitesaaa mno mara madaktari wengine waseme ni asidi mara wengine ni vidonda hata siwaelewagi Mungu tu asaidie
@HalimajumaKhamis
@HalimajumaKhamis Жыл бұрын
Vp ulipona
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Жыл бұрын
@@HalimajumaKhamis hivyo hivyo tu wakati mwingine vinasumbua wakati mwingine nipo sawa. Yaani hivyo ndg yangu
@MasoudKilaka
@MasoudKilaka 2 ай бұрын
Mimi jamani koo langu linanikauka Na kuhisi kakasi mdomoni Naomba ushauri au mawazo jamani
@RaphaelDaffa
@RaphaelDaffa 9 ай бұрын
Mxiki wa nini tena jaman..tunataka kumsikilizs dokta sio kelele za mziki....
@AliHamisi-o4g
@AliHamisi-o4g 29 күн бұрын
Doctor mi nikona iyo shida bt Niko gulf nimejaribu kuenda hospital bt ni dawa tu napewa shida ahishi
@softjeanskhakis9993
@softjeanskhakis9993 3 жыл бұрын
Naomba. Number za simu. Tafathali
@MissaYahaya-zj9ut
@MissaYahaya-zj9ut Жыл бұрын
Sas tuskiliza vinanda aw doctor vinanda vyann wakat sis tnaskikiza doctor vile anatuambia
@hamidabwanda9294
@hamidabwanda9294 Жыл бұрын
Dokta namshukuru na mimi kija a wangu anatatizo hilo upo dar sehemu gani
@rehmahamishamismkande4348
@rehmahamishamismkande4348 2 жыл бұрын
In shaa Allah Huyu doctor nikirudi Tanzanian nitamtafuta maelezo yake mazuri Sana
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 3 жыл бұрын
Safi omeongea vzr sana doctor (Baba Chelsea
@sophiamsumi1682
@sophiamsumi1682 2 жыл бұрын
unamjua mbona simu haipatikan ana hospital yake tumfate
@FadhilaAbrahman
@FadhilaAbrahman Жыл бұрын
Tuambie basi tumfate wap
@joyceshandu2400
@joyceshandu2400 4 жыл бұрын
Dr unaeleza vizuri sana hata namba tunaiona lakini nikipiga haipokelewi kila nikipiga inatumika Na tatizo hilo linanitesa naomba Msaada wako
@BeatriceFarasi
@BeatriceFarasi 3 ай бұрын
Mfatate mloganzila bila hivyo hutoboi
@rizikisimai5140
@rizikisimai5140 3 жыл бұрын
Tunaomba no ya doct
@kalengemochi1306
@kalengemochi1306 3 жыл бұрын
Miito obrigado Azama tv
@eshabaruti
@eshabaruti Жыл бұрын
DOCTOR mbona hamutuwekei no ya ya wastApp sasa sisi ambao tuko mbali cm haingii paka wastApp ukinagalia number nyingj ni call zakawaida tufanyeje ss
@copacabannaswax5061
@copacabannaswax5061 4 жыл бұрын
Nilikuwa naizo dalili zote nashukulu nimepona kabis asante doctar kwaelimu.
@sospetermsimbe6203
@sospetermsimbe6203 4 жыл бұрын
uliweza kutumia kitu gani tafadhali
@neemaeppah2992
@neemaeppah2992 4 жыл бұрын
Ulitumia nn jamani
@albertomary7345
@albertomary7345 4 жыл бұрын
Ulifanya nn mpka ukapona
@tumpemwaijande807
@tumpemwaijande807 4 жыл бұрын
Ulitumia dawa gani tusaidie plz tuna shida sana
@copacabannaswax5061
@copacabannaswax5061 4 жыл бұрын
@@tumpemwaijande807 ok inatakiwa kwanza uende hosp kwasababu shid zimetofautian,ili kuangalia ukubwa watatizo lako lipo kiasi gani ndi unapewa dawa kulingan natatizo lako.waone madoct kinywa na masiki na pua tatizo lako litakwisha.
@RestitutaNjau-k8x
@RestitutaNjau-k8x 5 ай бұрын
Dr mimi koo langu linakauka sana mara kwamara ninishidà
@kelvinmichael6203
@kelvinmichael6203 3 жыл бұрын
Natatizo hilo
@abossto
@abossto 2 жыл бұрын
Tumsikilize daktari au instrument
@CatherineCatjoh
@CatherineCatjoh 9 ай бұрын
Je vinaweza sababisha vidondo mdomoni
@MelisiannaCharles
@MelisiannaCharles 6 ай бұрын
naomba namba ako doct nna magonjwa Kam yote
@SashaOscar
@SashaOscar 2 ай бұрын
Huu ugonjwa wa asid kuzid ni mbaya, yaan mwili unakuwa dhaifu muda wote, kubeua kila wakati, maumivu kam kuchomek kifuani muda mwingin kichwa pia kinauma,😢😢 inatesa jmn mpk nakosa amani mm
@dorisNyanda
@dorisNyanda 22 күн бұрын
Jamani huu ugonjwa unaumiza,nashindwa nifanyeje.najisikia vibaya hadi masikio yanaziba.
@mammymammito5524
@mammymammito5524 2 жыл бұрын
Niko na hili tatizo miaka mingi sana naomba msaada.
@sadamsilu6615
@sadamsilu6615 Жыл бұрын
Ulipona ww
@joharimadua8342
@joharimadua8342 4 жыл бұрын
Sasa tiba ya acid ni ipi
@wilsonemanuel9915
@wilsonemanuel9915 2 жыл бұрын
Asante sana nimekuelewa sana mm nilikua ninayo iyo ila nilikula matunda sana ikapungua? Jeukila matunda kwasana Vp hapo
@MelisiannaCharles
@MelisiannaCharles 6 ай бұрын
naomba namba yako doct
@fatmatwalib8408
@fatmatwalib8408 Жыл бұрын
Hongera sana Dr kwa kutuelimisha. Mimi nina shida hiyo naombA niandikie da
@malkiawanguvu3150
@malkiawanguvu3150 2 жыл бұрын
Yaani leo nimekutana na somo linalonisumbua🤔 xray nimepigwa za kutosha! Hivi karibuni nimeambiwa ninavidonda vya tumbo dawa natumia za vidonda vya tumbo lakini wapiii. Mwaka wa 2 sasa ni kukohoa tu😭😭😭 dr help me
@Noahlembris-zi6co
@Noahlembris-zi6co 10 ай бұрын
Dokta naomba namba nikwelekeze kwa umakini
@salimakuyela7813
@salimakuyela7813 Жыл бұрын
Naomba namba ya doktari tafadhali🙏
@MonicaSepeku-oy4mu
@MonicaSepeku-oy4mu Жыл бұрын
Dr naww basi upoke simu watu wanamatatizo umeweka namba lakini upokei kaah😢
@annakimario-rw6rd
@annakimario-rw6rd Жыл бұрын
Mm naitwa anna nipo dar es salaam naumwa tumbo atari usiku silali nimepiga utrasaund mbili nimeambiwa ni vidonda vya tumbo pia aside nyingi dawa nimemaliza ila bado tumbo lina niuma sana naomba msaada
@HalimajumaKhamis
@HalimajumaKhamis Жыл бұрын
Umepata dawa
@joyceshandu2400
@joyceshandu2400 4 жыл бұрын
Naomba namba yako Dr
@salvanandsonsfinanciallimi2831
@salvanandsonsfinanciallimi2831 2 жыл бұрын
Msiwe mnaweka miziki anapokuwa anaelezea dokta maana usikivu unaatofautiana Kati yetu
@joyceshandu2400
@joyceshandu2400 4 жыл бұрын
Namba ulioitoa kila nikipiga majibu inatumika sasa Mimi niliomba kuhusu tatizo la acid Mimi ninalo Na kikohozi cha muda kipo natamani nikuone wewe mwenyewe
@marysilver7550
@marysilver7550 4 жыл бұрын
Dr mi koo linanikauka sana na matonsi pia
@saidhatibu9565
@saidhatibu9565 3 жыл бұрын
Kama mm
@tinahwilliam1918
@tinahwilliam1918 Жыл бұрын
Mimi piah
@rosehaule6765
@rosehaule6765 11 ай бұрын
Huyu Dr yupo.mluganzila hosp nenda hapo muulizie😂😂 pole
@rehemadickson8730
@rehemadickson8730 3 жыл бұрын
Doctor naomba nisaidie kwa hapa Arusha nitawapataje Hilo tatixo ni la muda mrefu nimeenda kila hospital wameshindwa
@alimachutv6297
@alimachutv6297 Жыл бұрын
Tuna pataje namba za simu
@consolatasimon316
@consolatasimon316 3 жыл бұрын
Dr namba haipatikan, namm ninahili tatizo, naomba Nijue upo hospital gn
@halimamvungi1
@halimamvungi1 2 жыл бұрын
Hio namba sio ya Dakari ,ni namba MEDICAUNTA, ila ukiwacheki what's up anajibu
@OttoMsovela-sk7bl
@OttoMsovela-sk7bl Ай бұрын
Yupo hospital ya MLOGANZILA anaitwa Dr Godlove
@kelvinchaula5075
@kelvinchaula5075 3 жыл бұрын
Tibayake ninini?
@BenterMwende
@BenterMwende 3 ай бұрын
Mmi nimeishi kusema nimerokwa kabisa yuu nikitumia dawa akuna kusaidika
@cialyzool8949
@cialyzool8949 2 жыл бұрын
Jmn mm acid inantesa,,, mwil unaishiw nguv moyo unaend mbio nahs kma nakosa pumz , Kuna muda nashindwa kubeua ..tusaidiane kitu gn kinasaidia kupunguz acid
@emmaculetemussa4619
@emmaculetemussa4619 2 жыл бұрын
Yn wewe ni mm mpaka nakuwa nahis kufa
@immakulethamussa1601
@immakulethamussa1601 2 жыл бұрын
Jmn wewe kama mm mpaka moyo umeanza moyo umeanza kulipuka mwili unaishiwa nguvu kichwa kinauma kiufupi CNA Aman kabisa
@MariamMariam-of9mr
@MariamMariam-of9mr 2 жыл бұрын
Kama Mimi jamani
@marthapeter8246
@marthapeter8246 Жыл бұрын
@@MariamMariam-of9mr kama mimi jamani nateseka sana
@ummuhamadi9217
@ummuhamadi9217 Жыл бұрын
Mm pia jmn nasteseka
@susanmuriuki147
@susanmuriuki147 2 жыл бұрын
Asante sana kwa kazi inzuri. Number yako dactari. Mimi niko Kenya.
@pendojohn9994
@pendojohn9994 2 жыл бұрын
Namba dockt
@karimkassam571
@karimkassam571 Жыл бұрын
Tumia homa prozo
@sakinahamza5325
@sakinahamza5325 2 жыл бұрын
Mm kidg nafuu mana ilikuwa hatali wamenitowa mpk matonses vidonda vya tumbo shikamoo
@apainyange8512
@apainyange8512 Жыл бұрын
Ukitumia dawa gani jamani
@apainyange8512
@apainyange8512 Жыл бұрын
Tusaidiane
@DaynaTemba
@DaynaTemba Жыл бұрын
Tusaidie jamani na sisi
@Noahlembris-zi6co
@Noahlembris-zi6co 10 ай бұрын
Dokta naomba namba yako nikwelekeze kwa umakini Sana kuusu vidonda vyangu Mimi ya vimekisili
@clementselestine5308
@clementselestine5308 2 жыл бұрын
Namba.....
@sophiatengeza8010
@sophiatengeza8010 2 жыл бұрын
Noted
@gladyskitonyi6636
@gladyskitonyi6636 3 жыл бұрын
Mnapatika wapi?
@tumpemwaijande807
@tumpemwaijande807 4 жыл бұрын
Mimi nilifanyiwa kipimo cha endoscopy niliambiwa ninamichubuko kwenye koo la chakula na njia ya chakula imesababishwa na asidi nyingi tumboni nikapewa dawa lakini hakuna mafanikio naomba msaada nateseka kwani mpk sasa meno yote yanauma na masikio yanaziba
@b2kmohammed202
@b2kmohammed202 4 жыл бұрын
Na mm pia nna hilo ttzo hata cjui nifanyeje
@neemaeppah2992
@neemaeppah2992 4 жыл бұрын
Ulifanyiwa wapi mm muhanga
@tumpemwaijande807
@tumpemwaijande807 4 жыл бұрын
@@neemaeppah2992 nilifanyiwa hospital ya ikonda
@neemaeppah2992
@neemaeppah2992 4 жыл бұрын
Pole sana
@tumpemwaijande807
@tumpemwaijande807 3 жыл бұрын
@@neemaeppah2992 vp wangu ulipata shuruhisho la tatizo lako my dear?
@wilsonemanuel9915
@wilsonemanuel9915 2 жыл бұрын
Jena nikila mbonga mbonga kwa wingi Vp hapo
@ruqayahaloraimi4007
@ruqayahaloraimi4007 5 жыл бұрын
Habari doctor. Mimi ninalo Hilo tatizo na pia Niko Oman unaweza kunisaidiaje angalau nipate advice. Kwa kweli madoctor wengi hawayajuwi hayo.
@neemaeppah2992
@neemaeppah2992 4 жыл бұрын
Kabisa wengi hawaelewi ,wanaishia kutupa midawa tuuu mpaka nimechoka
@aishakhadija4002
@aishakhadija4002 4 жыл бұрын
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh VP ruqaya ulipata ushauri kuhusu acid unisaidie na mm please
@rosedickson8202
@rosedickson8202 3 жыл бұрын
Nishada
@jokhaabdallah7724
@jokhaabdallah7724 4 жыл бұрын
Jaman tunaomba namba ya huyu Dr au tuelekezeni hospital aliyopo na jina lake pia
@kelvinchaula5075
@kelvinchaula5075 3 жыл бұрын
Hata ukipewa no.yake kuipokea Simi yako kaziipo
@halimamvungi1
@halimamvungi1 2 жыл бұрын
Nenda hospital ya MLOGANZILA ,sema nata kuona daktari speshalist wa Koo ,au kama unamtakq huyo anaitwa Doctor mfuko
@lrene4442
@lrene4442 Жыл бұрын
Dokta naomba namba yako jamani me nadalilizote nisaidie mimi jamani
@sharifumanili8627
@sharifumanili8627 4 жыл бұрын
Badilishen namba za simu Mnazo zitoa kwani ni zangu
@NuruSaid-w9s
@NuruSaid-w9s Жыл бұрын
Doctor iko kipimo huwa ni shingapi ukipiga cm hupokei
@azizaalnaamani753
@azizaalnaamani753 2 жыл бұрын
Jamani mnaporusha vipindi muhimu km hv mnatoa namba km huyu dkt wengi tunashida tunataka tumueleze matatizo yetu hatujui tutampataje namba mlio weka hapo haipatikani
@raymondbudodi4766
@raymondbudodi4766 3 жыл бұрын
Mimi pia nateseka Sana na hii shida,Aisee Dr.nakupataje?
@mahmoudsaleh230
@mahmoudsaleh230 3 жыл бұрын
Raymond budodi . Vip umeenda hospital kuchek
@halimamvungi1
@halimamvungi1 2 жыл бұрын
@@mahmoudsaleh230 MLOGANZILA mi nimeenda leo
@mgangaevarist9760
@mgangaevarist9760 2 жыл бұрын
@@halimamvungi1 vp umepata huduma?
@iddyhamisi6056
@iddyhamisi6056 2 жыл бұрын
Huyu dr anapatikana kwa no ipi
@dorinaamiri6448
@dorinaamiri6448 3 жыл бұрын
Nisaidieni
@MonicaSepeku-oy4mu
@MonicaSepeku-oy4mu Жыл бұрын
Jamani naomba namba yako Dr please
@SaumuJasho-bs9fk
@SaumuJasho-bs9fk Жыл бұрын
Doct mim Nina aliyakuwkama ninamabak kweny koo nitakuptje
@mwh8547
@mwh8547 3 жыл бұрын
Dr. Tuandikie izo dawa tukanunue wengine tuko mbali
@PaulineNerima-kq5tf
@PaulineNerima-kq5tf 4 ай бұрын
Huyu Daktari ni wa kenya
@BeatriceFarasi
@BeatriceFarasi 3 ай бұрын
Tanzania
@aishtan2745
@aishtan2745 4 жыл бұрын
Shukrani
@missmoona4497
@missmoona4497 2 жыл бұрын
Dr mim nina shida na ww napataje namba zako?
@ndeshilema339
@ndeshilema339 2 жыл бұрын
Dr Nina tatizo Hilo na ni muda mrefu naomba namba yako tafadhal
@kambalegulbert210
@kambalegulbert210 2 жыл бұрын
Godd
@joyceshandu2400
@joyceshandu2400 4 жыл бұрын
Hiyo namba haipokelewi
@dinacharokiwa4849
@dinacharokiwa4849 2 жыл бұрын
Huo mziki uatupotezea kumsikiliza vizur doctor
@marymaleko5377
@marymaleko5377 Жыл бұрын
Hogereni tunaomba huduma yenu kuwapata kukoje.
@khaulaalliy8876
@khaulaalliy8876 2 жыл бұрын
Sorry tunaomba namba za uy doc
@jijiomar2430
@jijiomar2430 3 жыл бұрын
Niko na hiyo shida kwa miyaka 16 nashindwa kupumua kila ifikapo usiku haswa naweza kuwapata wapi plz
@mahmoudsaleh230
@mahmoudsaleh230 3 жыл бұрын
Pole xana
@mwanasaidi5092
@mwanasaidi5092 2 жыл бұрын
Vp ulipona
@mozeebinorgenes5527
@mozeebinorgenes5527 4 жыл бұрын
Naomba no yako doctor ninashida ya acidi nyingi tumboni
@neemaeppah2992
@neemaeppah2992 4 жыл бұрын
Jamani ni tatizo la wengi mm mpaka nikila tumbo linaniuma Sanaa,hata kutembea naumia mpaka kichwa kinauma Sana
@tumpemwaijande807
@tumpemwaijande807 3 жыл бұрын
Vp kaka ulifanikiwa kutibu tatizo la asidi nyingi tumboni
@tumpemwaijande807
@tumpemwaijande807 3 жыл бұрын
Vp ulitibiwa tatizo lako kaka? Unisaidie na mimi ulitibiwaje?
@agnesmwita2474
@agnesmwita2474 3 жыл бұрын
@@tumpemwaijande807 vp dada umepata tiba maana na mm ni hilo tatizo linanisumbua sana.
@tumpemwaijande807
@tumpemwaijande807 3 жыл бұрын
@@agnesmwita2474 nope namba yako may dear
@anitakidola3820
@anitakidola3820 4 жыл бұрын
Je acid ikiwa nyingi mwilini, inaweza kusababisha vichomi kwenye moyo na presha kupanda ?
@lovederyare6756
@lovederyare6756 2 жыл бұрын
Ndy mwaya nilipata hali kama hyo ila nikakaa sawa
@annamartine9854
@annamartine9854 2 жыл бұрын
@@lovederyare6756 ulitumia nn
@lovederyare6756
@lovederyare6756 2 жыл бұрын
@@annamartine9854 amoxxiline 4 na omeprazole 1 asubuh na jioni kwa cku 10..
@lovederyare6756
@lovederyare6756 2 жыл бұрын
@@annamartine9854 kama una vidonda vya tumbo lakin ndo unatumia dozy hiyo
@macstar3608
@macstar3608 4 жыл бұрын
docta mimi nina tatizo hilo pia naomba no yako
@edgeredson9691
@edgeredson9691 5 жыл бұрын
Tunaomba muwe mnatuondolea huo mziki madaktari wakiwa wanaongea
@easherfaith6466
@easherfaith6466 4 жыл бұрын
Dr.tunaomba no jamani tunaumwa
@agnesmwita2474
@agnesmwita2474 3 жыл бұрын
@@easherfaith6466 ulipata namba ya huyo doctor dia?
@pudensianachristopher6239
@pudensianachristopher6239 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@Mwanaisha-h4h
@Mwanaisha-h4h 3 ай бұрын
😂😂
@kamuuaristarick5954
@kamuuaristarick5954 2 жыл бұрын
Nataka namba zako
@zuwenanamoo4776
@zuwenanamoo4776 4 жыл бұрын
Doctor naomba namba ya sim manake mie sipati amani kakiba kwa tatizo ili ninalo na pia niko huku zanzibar
@emmanuelshadrack4614
@emmanuelshadrack4614 3 жыл бұрын
Hello
@mahmoudsaleh230
@mahmoudsaleh230 3 жыл бұрын
Zuwena namoo . Habar ulishakwenda hospital kupimwa tatizo lko.
@samsonkomba1439
@samsonkomba1439 5 жыл бұрын
Mimi koo langu linashida iv sicheuwi vzuli km vile limeziba ivi navyokula chakula maji y kunywa yawe jilani sijajua titzo nini nisaididie dr
@sakinahamza5325
@sakinahamza5325 2 жыл бұрын
Umepona mwenzang
@stailekiko1512
@stailekiko1512 5 жыл бұрын
Tunaomba namba yako dr, tunashukuru, ila hili ttz naona madr wengi hawalijui tiba yake.
@dafrosaprosper7165
@dafrosaprosper7165 5 жыл бұрын
POLE SANA NO YA DACTARI HII 0713 159133
@isentrudikomba5825
@isentrudikomba5825 4 жыл бұрын
Naomba namba tafadhali
@roselynerwezaula8519
@roselynerwezaula8519 2 жыл бұрын
Jamani jamani docta kwenye watu wakusaidia zaidi nimimi .yaani ukiniangalia ulimi utakimbia.sauti ilishabadilika meno yanaoza nimeshangoa meno matano .nikupate je jamani .Doctor watoto wangu ni wadogo sana
@nurukiukila7862
@nurukiukila7862 2 жыл бұрын
Mimi nina hiyo shida ya acd inaninyima raha
@muhammedwakif6216
@muhammedwakif6216 Жыл бұрын
Pole
@rehemadickson8730
@rehemadickson8730 3 жыл бұрын
Doctor samahan Bibi yangu anasumbuliwa Sana na tatizo la tumbo kujaa gesi imesababisha Hadi koo imekuwa na vidonda na sasa hv anashindwa Kula kitu chochote je nifanye nini niweze kumsaidia aweze kupona
@sakinahamza5325
@sakinahamza5325 2 жыл бұрын
Bb amepona
@futureboss6315
@futureboss6315 2 жыл бұрын
rehema dickson kwel
@MarianaMwansanga-tz5ho
@MarianaMwansanga-tz5ho Жыл бұрын
Loo! Nina miezi 8 kooni kama kuna kitu limekwama makohozi alafu hayatoki koo Kukauka mwili unaisha nguvu joint zinaregea
@MunaMohammed-j3m
@MunaMohammed-j3m 11 ай бұрын
Matibabu yake ya ges sijayaelewa
@amadeusgerald6253
@amadeusgerald6253 3 жыл бұрын
Ekenywa Hospital wanatibu hii shida..wamebobea kwenye E.N.T
@mazikuboniface1206
@mazikuboniface1206 3 жыл бұрын
ipo sehem gan iyo hospital
@velejilyomhongole1641
@velejilyomhongole1641 2 жыл бұрын
Hii hospital ipo magomeni
@upendokereti2822
@upendokereti2822 2 жыл бұрын
Kweli kabisaaa
@tunsumemwakinyuke661
@tunsumemwakinyuke661 2 жыл бұрын
Huna namba zao utusaidie tujue tunafikaje na dharama zao mm nipo mbali kidogo ili nijiandae kuja
@dariaevance4258
@dariaevance4258 2 жыл бұрын
Ni miezi sita Sasa nahangaika bila mafanikio,nahisi kama kohozi kooni ,ukitoa halitoki,ukila nikama chakula kinakwama,na kupaliwa ovyo ovyo
@shafiisalim1686
@shafiisalim1686 6 ай бұрын
Njoo nikupe dawa utanishukuru
@fildausally5855
@fildausally5855 5 жыл бұрын
Tunna shids nying tusaidie
@johnmwangove9928
@johnmwangove9928 4 жыл бұрын
tunashukuru saana wengine tumehangaika mpaka basi
@danielnjowoka9412
@danielnjowoka9412 4 жыл бұрын
Mwenyewe hapa nimesumbuka daah itabidi nimfuate😭
@danielnjowoka9412
@danielnjowoka9412 4 жыл бұрын
Vp ulishatibiwa
@tumpemwaijande807
@tumpemwaijande807 3 жыл бұрын
Kaka ulitibiwa
@agnesmwita2474
@agnesmwita2474 3 жыл бұрын
Umepata tiba?
99.9% IMPOSSIBLE
00:24
STORROR
Рет қаралды 31 МЛН
She made herself an ear of corn from his marmalade candies🌽🌽🌽
00:38
Valja & Maxim Family
Рет қаралды 18 МЛН
1% vs 100% #beatbox #tiktok
01:10
BeatboxJCOP
Рет қаралды 67 МЛН
Maradhi ya kiungulia
3:13
DW Kiswahili
Рет қаралды 15 М.
Azam TV - MEDICOUNTER (Mada: Ulaji na mtindo bora wa maisha)
27:57
سورة البقرة كاملة, رقية للبيت, وعلاج للسحر | القارئ علاء عقل - Surah Al Baqarah
3:52:36
AMIQT - Dr Heidi Grant:  Neurological Manifestations of Celiac Disease
23:41
FAHAMU MADHARA YA TUMBO KUJAA GESI.
8:17
SUNET TV
Рет қаралды 20 М.
HATARI..! HOMA YA INI TISHIO/DALILI ZAKE HIZI HAPA
5:45
Wasafi Media
Рет қаралды 7 М.
99.9% IMPOSSIBLE
00:24
STORROR
Рет қаралды 31 МЛН