kawazidi wasanii wengi wanafeki maisha hongera mwija
@EmilianKomba-sb4kn9 ай бұрын
Meneja digano umeuza sana Leo interview Kali sana hii
@barakabarkey93749 ай бұрын
Hongera saaaana DC 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@Maryc2G9 ай бұрын
Mwijaku mtu ya nguvu sana, umefanya vizuri sana.👍🏽💯.
@RubanzintwariJeanclaude9 ай бұрын
Huyo njo dingano ana ongeo pwenti siyo ware viroporopo bigap dingano
@thedickisonilinusi9 ай бұрын
Napenda sana hukunji broo
@ChenchiKing9 ай бұрын
Ding'ano Uwaga Unaongey Point Kweli Ila Watu Ndo Uwaga Awakuhelew🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mathewyoung21599 ай бұрын
Wow
@hashimchaoga95669 ай бұрын
Ujenzi wa ghorofa huongezeka kwa wingi wa floors au ghorofa ambapo Nondo zege kokoto nyeusi milunda huhitajika mingi zaidi na ndio huongeza gharama lakini ghorofa moja eneo kama lile vyumba vya mbanano bilioni moja ni uongo. Ile anayoita swimming pool iko sehemu ya hatari na ngazi ya kupandia huko ni ya hatari. Katika kuhadithia magorofa kale ni kagorofa kwa wazoefu waujenzi na waliojenga pale ni milioni mia mbili mia tatu au mia NNE lakini si bilioni.kwa floor moja eneo dogo.
@VictorBugobola9 ай бұрын
Endelea kuwa chawa😂 wenye faida😂Kama mwijaku uxiwe maneno tu mwxho wa siku unataka tukuchangie unatumia nguvu kubwa ku brand harmonize nayy akulipe vzr ili ufanye maisha mengn maan uchawa huna mda
@hashimchaoga95669 ай бұрын
Hiyo swimming iko sehemu hatari na ngazi vile vil e ni hatari kupanda na kushuka has a kama umeshaweka kitu kichwani.Wasubiri tu ajali hapo
@rogerslwitiko39159 ай бұрын
Ding'ano Una akili mingi na Busara
@alphablondponera23679 ай бұрын
Huyu jamaa najitahidigi kutafuta kiki ila Hana nyota maana hakuna hata anayemjua
@fanitofaustino41089 ай бұрын
Kkkkk dingano ww
@MichaelJohn-xh4kf9 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😅❤
@zubeaslay65669 ай бұрын
Muandishi bora mwaka 2023 ni wewe PTV🤣🤣😅😅yani unatusha na maswali yako😅😅
@EstherMubarikiwa-z3e9 ай бұрын
Hata mimi nime furahi
@tabyabelemwenebenga23119 ай бұрын
Kwaio Mathias atakua anaishi kwenye nyumba ya gorofa?😅