MAMA YAKE MWIJAKU AFUNGUKA, AKIWA KWENYE MJENGO MPYA "NILISHAMKANYA, ASIINGILIE, MAISHA YA WATU"

  Рет қаралды 37,345

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 79
@mchumiajuani1993
@mchumiajuani1993 9 ай бұрын
Mama shkamooo, anajua kuongea kwa staha, asante sana mamangu
@mutalemwa-woerle
@mutalemwa-woerle 9 ай бұрын
Mwijaku ana mama mwenye busara sana mpaka amenifanya nimuangalie Mwijaku kwa jicho la pili…(I now think he is not who most think he is) Hongera Mama!
@rajimuashirafa8265
@rajimuashirafa8265 9 ай бұрын
Mama kabarikiwa sanaa kuongea vizuri
@OnlyRuky
@OnlyRuky 9 ай бұрын
Mashaalah mama ana ongea vizuri kwa hekima
@rerisamba
@rerisamba 9 ай бұрын
Wow mama mzuri sana anaongea vizuri sana anakaa roho safi
@mawazoaliselemani
@mawazoaliselemani 9 ай бұрын
Mama yake mzuri Masha Allah,
@beatricepallangyo2821
@beatricepallangyo2821 9 ай бұрын
Hongera sana Mama!!!!
@FahadMohd-w1x
@FahadMohd-w1x 9 ай бұрын
Mama unabusara sana kweli ❤
@Fatima-v9k6f
@Fatima-v9k6f 21 күн бұрын
Mashaallah
@aminathaabubakarmasoud565
@aminathaabubakarmasoud565 9 ай бұрын
MashaAllah mama mzuri hongera sana Mungu akutunze ❤❤❤❤
@Am-vo5cu
@Am-vo5cu 9 ай бұрын
Napenda watanzania. Hawaachi kumtaja Mwenyezi mungu. Mama shikamoo. Inshalla.
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 9 ай бұрын
Mama mwenye busala zake mashallah❤️Hongera sana Mwijaku na męko 🙏🙏
@marianyange3013
@marianyange3013 9 ай бұрын
Mama wa kizigua yuko vizuri,Hongera mama
@alibinali_
@alibinali_ 9 ай бұрын
Masha'Allah Mama
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 9 ай бұрын
Wewe ni mama bora sana nimekupenda bure
@vincentmokenye4465
@vincentmokenye4465 9 ай бұрын
Hongera jamani mama yupo vizuri
@nzeyimanamwavita1904
@nzeyimanamwavita1904 9 ай бұрын
ManshaaAllah Mama
@starjay3052
@starjay3052 9 ай бұрын
tanzania bado maisha magumu kwaiyo unaweza ukawa na elimu lakini ikawa ujinga tu bado akuna mifumo mizuli yakuwafanya wasomi wawe na ela ma profesa wenyewe wanaishia kwenye kujenga bah awo wenye alimu watatumiaje elim zao kua pesa we kama umepata bahati shukulu mungu
@simbajumanne9718
@simbajumanne9718 9 ай бұрын
Hongeraa.lakin yumba aifik bilion 1.usiwakatoshe vijana😊
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 9 ай бұрын
Mama mashallah ❤❤
@saidnhoathuman1014
@saidnhoathuman1014 9 ай бұрын
Hongera yake
@EdwardLukumay
@EdwardLukumay 9 ай бұрын
Yupo vizuri Kama my mom alivo
@renatusjeremiah
@renatusjeremiah 9 ай бұрын
Jamani hivi sasa hivi wazazi ni mama tu na baba tumewakosea nn watoto maana kila mtu mama mama kwa kweli wazaz wa kike mnatukera sana mnapotuchonganisha na watoto wetu ili nyie tu ndo muonekane wema na wazuri kwa watoto hili linaniumiza sana mimi kama mzaz wakiume
@jestinaluvanda-jm4tc
@jestinaluvanda-jm4tc 9 ай бұрын
Pole! mwanamke ni mrithi wa Neema. Hahitaji nguvu kuipata
@saniaidrisa3920
@saniaidrisa3920 9 ай бұрын
Kuchukiwa mnakutengeneza wenyewe baadhi ya wanaume mnajiweka mbali sana na watoto wenu mnahisi ukali ndo heshima Sasa Kama baba unamnyanyasa mke mbele ya watoto, wakikuomba kitu unasema muombe mama yenu unampa mke pesa halafu yeye ndo awape watoto watoto hawajui kama wewe ndo umetoa wanajua ni mama,na mengine mengi yani wewe ukija ndani kila mtu anakimbilia chumbani Sasa hao watoto wakikua kupendwa sahau
@maryamudunga1094
@maryamudunga1094 9 ай бұрын
😂😂😂😂😂ss ndo tupo
@omanmct135
@omanmct135 9 ай бұрын
Mashallllah
@NeemaMei
@NeemaMei 9 ай бұрын
Mmmmmh cna hakika
@mawalasparepart6868
@mawalasparepart6868 9 ай бұрын
Mama mwijaku mlembo sana
@omanoman2044
@omanoman2044 9 ай бұрын
Kwan mwinjaku asijenge kwa nn ridhiki anatoa mungu kujenga mbon nikawaida tuy mange aongee tuy lakin ndo kashajenga
@ibrahimomari2458
@ibrahimomari2458 9 ай бұрын
Nyuma ya unaemjua kuna vitu usivyovijua
@MichaelJames-tp6co
@MichaelJames-tp6co 9 ай бұрын
Huyu mama mashallaaa mama amejawa na hekma
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 9 ай бұрын
Mwinjaku umewafunga wengi midomo. Tunamsubiri baba Levo
@bakariomari8758
@bakariomari8758 9 ай бұрын
Ktk yote nimependa neno mama kalitamka wala sio kwa ujanja wao nimungu tu.
@mwanahamisinyenzi-vo6mj
@mwanahamisinyenzi-vo6mj 9 ай бұрын
Nimekupenda bureee
@RehemaMasunga-ml7kt
@RehemaMasunga-ml7kt 9 ай бұрын
Hata mimi nitajenga kama hiyo Mungu anisaidie
@omanmobile5746
@omanmobile5746 9 ай бұрын
AMIIN🤲🤲
@kibulajumakibulajuma3448
@kibulajumakibulajuma3448 9 ай бұрын
ALLAAHUMMA AAMIYN
@aminathaabubakarmasoud565
@aminathaabubakarmasoud565 9 ай бұрын
Aameen inshaAllah hubibty ❤❤❤😊
@kilimanjaro77international26
@kilimanjaro77international26 8 ай бұрын
Banda la njiwa
@ShekiyaoHussein-ki4ty
@ShekiyaoHussein-ki4ty 9 ай бұрын
Mama nimempenda kwa mazungumzo yake Mashalla
@kilimanjaro77international26
@kilimanjaro77international26 8 ай бұрын
Bado mbichi huyu Dada, tulete mang'ombe?
@happyminja-kb1ow
@happyminja-kb1ow 9 ай бұрын
Kama ni pesa ya jasho sio ya short Kati MUNGU ambariki aisee
@TatuSalehe-g4x
@TatuSalehe-g4x 9 ай бұрын
Kwahiyo mange na mwenye nyumba Nani atakuwa mkweli na mange akisema sio yake ndio ataaminika hatuombeane kheri jamani
@mathewungani9724
@mathewungani9724 9 ай бұрын
Huu ni Ushamba
@angelsblackboard8008
@angelsblackboard8008 9 ай бұрын
Subiri Mange atatupa za ndani.
@aisharamdan8358
@aisharamdan8358 9 ай бұрын
Zandani kwamba nyumba sio yake au
@bakariomari8758
@bakariomari8758 9 ай бұрын
Yaani maskini unawatoa ufahamu ndio maana mnarogana sana watz
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 9 ай бұрын
Hahahahaaa yaan mtu mzima usubiri mange aje kukuambia nyimba ni yake au la. Ama kweli kiazi
@rosemuhandoofficial5676
@rosemuhandoofficial5676 9 ай бұрын
Kwa kweli​@@bakariomari8758
@venusmakbel4679
@venusmakbel4679 9 ай бұрын
Mi najiuliza kitu kitu kimoja ile nyumba ina vyumba vitatu tu kimoja cha mwanae kingine cha kwake na kingine kafanya ofisi hakuna chumba cha wageni😊 au dada wa kazi atalala kwa matiasi😂😂
@aminathaabubakarmasoud565
@aminathaabubakarmasoud565 9 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@NeemaJuma-os6uo
@NeemaJuma-os6uo Ай бұрын
Nyumba zipo mbili apo ndogo yawafanya kazi kubwa ya kwake yani alivyo jenga akutaka kuchanganyika na mtu sababu mtoto wake niwakike angalia vizuri video zote utaona kwa umakini
@omanmct135
@omanmct135 9 ай бұрын
Maskin wamwche kilamtu nariski yake mungu kampa
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 9 ай бұрын
Mange njooo.huku utuhakikishie hili jambo
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 9 ай бұрын
Weunamtumikia shetani ndio maana wamuamini mange kimavi
@PhinaGeorge-o5m
@PhinaGeorge-o5m 9 ай бұрын
😂😂😂😂😂kabsa kimambi wap
@mawalasparepart6868
@mawalasparepart6868 9 ай бұрын
Kumbe mama mwijuku pisi kali
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 9 ай бұрын
Dada wa Taifa karibu Kuna huyu Jamaa analidanganya Taifa
@TheBastarrrd
@TheBastarrrd 9 ай бұрын
😂😂😂😂
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 9 ай бұрын
😂😂😂😂😂jaman mnamakusudi
@KALULUALLI
@KALULUALLI 9 ай бұрын
DOTTO MAGAR ATATWAMBIA NYUMBA YA NANI TUNAMSUBIRI
@victoremanuel29
@victoremanuel29 9 ай бұрын
Ameshajibu huko kuwa amechafua kiwanja hiyo siyo nyumba😂😂😂
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 9 ай бұрын
Dada mange njoo bwana huku kuna jambo hatuna uhakika nalo njoo utie neno😂
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 9 ай бұрын
Dada mange njoo bwana huku kuna jambo hatuna uhakika nalo njoo utie neno😂
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 9 ай бұрын
Wivu
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 9 ай бұрын
@@fatmafatu1128 wivu au tuhakikishiwe wivu wanini sasa wakati mie mwenyewe japo kibanda ila sidaiwikodi upo
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 9 ай бұрын
@@fatmafatu1128 ukae.kwakutulia
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 9 ай бұрын
@@sofitanzanian955 acha uswahili uhakikishiwe kama nani? Endelea kukaa kwenu eti hudaiwi Kodi umeulizwa nanani kama wadaiwa au lah fata maisha yako yakubangaiza acha roho ya kisokoro kwino,
@aaa64sa13
@aaa64sa13 9 ай бұрын
Fikra na Akili zako ni ndogo sana.
Стойкость Фёдора поразила всех!
00:58
МИНУС БАЛЛ
Рет қаралды 6 МЛН
小路飞嫁祸姐姐搞破坏 #路飞#海贼王
00:45
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 27 МЛН
Крутой фокус + секрет! #shorts
00:10
Роман Magic
Рет қаралды 30 МЛН
Стойкость Фёдора поразила всех!
00:58
МИНУС БАЛЛ
Рет қаралды 6 МЛН