Mama shkamooo, anajua kuongea kwa staha, asante sana mamangu
@mutalemwa-woerle9 ай бұрын
Mwijaku ana mama mwenye busara sana mpaka amenifanya nimuangalie Mwijaku kwa jicho la pili…(I now think he is not who most think he is) Hongera Mama!
@rajimuashirafa82659 ай бұрын
Mama kabarikiwa sanaa kuongea vizuri
@OnlyRuky9 ай бұрын
Mashaalah mama ana ongea vizuri kwa hekima
@rerisamba9 ай бұрын
Wow mama mzuri sana anaongea vizuri sana anakaa roho safi
@mawazoaliselemani9 ай бұрын
Mama yake mzuri Masha Allah,
@beatricepallangyo28219 ай бұрын
Hongera sana Mama!!!!
@FahadMohd-w1x9 ай бұрын
Mama unabusara sana kweli ❤
@Fatima-v9k6f21 күн бұрын
Mashaallah
@aminathaabubakarmasoud5659 ай бұрын
MashaAllah mama mzuri hongera sana Mungu akutunze ❤❤❤❤
@Am-vo5cu9 ай бұрын
Napenda watanzania. Hawaachi kumtaja Mwenyezi mungu. Mama shikamoo. Inshalla.
@ritapiusnicolaus70689 ай бұрын
Mama mwenye busala zake mashallah❤️Hongera sana Mwijaku na męko 🙏🙏
@marianyange30139 ай бұрын
Mama wa kizigua yuko vizuri,Hongera mama
@alibinali_9 ай бұрын
Masha'Allah Mama
@agnesjohn93829 ай бұрын
Wewe ni mama bora sana nimekupenda bure
@vincentmokenye44659 ай бұрын
Hongera jamani mama yupo vizuri
@nzeyimanamwavita19049 ай бұрын
ManshaaAllah Mama
@starjay30529 ай бұрын
tanzania bado maisha magumu kwaiyo unaweza ukawa na elimu lakini ikawa ujinga tu bado akuna mifumo mizuli yakuwafanya wasomi wawe na ela ma profesa wenyewe wanaishia kwenye kujenga bah awo wenye alimu watatumiaje elim zao kua pesa we kama umepata bahati shukulu mungu
Jamani hivi sasa hivi wazazi ni mama tu na baba tumewakosea nn watoto maana kila mtu mama mama kwa kweli wazaz wa kike mnatukera sana mnapotuchonganisha na watoto wetu ili nyie tu ndo muonekane wema na wazuri kwa watoto hili linaniumiza sana mimi kama mzaz wakiume
@jestinaluvanda-jm4tc9 ай бұрын
Pole! mwanamke ni mrithi wa Neema. Hahitaji nguvu kuipata
@saniaidrisa39209 ай бұрын
Kuchukiwa mnakutengeneza wenyewe baadhi ya wanaume mnajiweka mbali sana na watoto wenu mnahisi ukali ndo heshima Sasa Kama baba unamnyanyasa mke mbele ya watoto, wakikuomba kitu unasema muombe mama yenu unampa mke pesa halafu yeye ndo awape watoto watoto hawajui kama wewe ndo umetoa wanajua ni mama,na mengine mengi yani wewe ukija ndani kila mtu anakimbilia chumbani Sasa hao watoto wakikua kupendwa sahau
@maryamudunga10949 ай бұрын
😂😂😂😂😂ss ndo tupo
@omanmct1359 ай бұрын
Mashallllah
@NeemaMei9 ай бұрын
Mmmmmh cna hakika
@mawalasparepart68689 ай бұрын
Mama mwijaku mlembo sana
@omanoman20449 ай бұрын
Kwan mwinjaku asijenge kwa nn ridhiki anatoa mungu kujenga mbon nikawaida tuy mange aongee tuy lakin ndo kashajenga
@ibrahimomari24589 ай бұрын
Nyuma ya unaemjua kuna vitu usivyovijua
@MichaelJames-tp6co9 ай бұрын
Huyu mama mashallaaa mama amejawa na hekma
@nsiamasawe45789 ай бұрын
Mwinjaku umewafunga wengi midomo. Tunamsubiri baba Levo
@bakariomari87589 ай бұрын
Ktk yote nimependa neno mama kalitamka wala sio kwa ujanja wao nimungu tu.
@mwanahamisinyenzi-vo6mj9 ай бұрын
Nimekupenda bureee
@RehemaMasunga-ml7kt9 ай бұрын
Hata mimi nitajenga kama hiyo Mungu anisaidie
@omanmobile57469 ай бұрын
AMIIN🤲🤲
@kibulajumakibulajuma34489 ай бұрын
ALLAAHUMMA AAMIYN
@aminathaabubakarmasoud5659 ай бұрын
Aameen inshaAllah hubibty ❤❤❤😊
@kilimanjaro77international268 ай бұрын
Banda la njiwa
@ShekiyaoHussein-ki4ty9 ай бұрын
Mama nimempenda kwa mazungumzo yake Mashalla
@kilimanjaro77international268 ай бұрын
Bado mbichi huyu Dada, tulete mang'ombe?
@happyminja-kb1ow9 ай бұрын
Kama ni pesa ya jasho sio ya short Kati MUNGU ambariki aisee
@TatuSalehe-g4x9 ай бұрын
Kwahiyo mange na mwenye nyumba Nani atakuwa mkweli na mange akisema sio yake ndio ataaminika hatuombeane kheri jamani
@mathewungani97249 ай бұрын
Huu ni Ushamba
@angelsblackboard80089 ай бұрын
Subiri Mange atatupa za ndani.
@aisharamdan83589 ай бұрын
Zandani kwamba nyumba sio yake au
@bakariomari87589 ай бұрын
Yaani maskini unawatoa ufahamu ndio maana mnarogana sana watz
@hellendaniel38099 ай бұрын
Hahahahaaa yaan mtu mzima usubiri mange aje kukuambia nyimba ni yake au la. Ama kweli kiazi
@rosemuhandoofficial56769 ай бұрын
Kwa kweli@@bakariomari8758
@venusmakbel46799 ай бұрын
Mi najiuliza kitu kitu kimoja ile nyumba ina vyumba vitatu tu kimoja cha mwanae kingine cha kwake na kingine kafanya ofisi hakuna chumba cha wageni😊 au dada wa kazi atalala kwa matiasi😂😂
@aminathaabubakarmasoud5659 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@NeemaJuma-os6uoАй бұрын
Nyumba zipo mbili apo ndogo yawafanya kazi kubwa ya kwake yani alivyo jenga akutaka kuchanganyika na mtu sababu mtoto wake niwakike angalia vizuri video zote utaona kwa umakini
@omanmct1359 ай бұрын
Maskin wamwche kilamtu nariski yake mungu kampa
@sofitanzanian9559 ай бұрын
Mange njooo.huku utuhakikishie hili jambo
@fatmafatu11289 ай бұрын
Weunamtumikia shetani ndio maana wamuamini mange kimavi
@PhinaGeorge-o5m9 ай бұрын
😂😂😂😂😂kabsa kimambi wap
@mawalasparepart68689 ай бұрын
Kumbe mama mwijuku pisi kali
@ramadhanimtetu36569 ай бұрын
Dada wa Taifa karibu Kuna huyu Jamaa analidanganya Taifa
@TheBastarrrd9 ай бұрын
😂😂😂😂
@rizikiabdalla25019 ай бұрын
😂😂😂😂😂jaman mnamakusudi
@KALULUALLI9 ай бұрын
DOTTO MAGAR ATATWAMBIA NYUMBA YA NANI TUNAMSUBIRI
@victoremanuel299 ай бұрын
Ameshajibu huko kuwa amechafua kiwanja hiyo siyo nyumba😂😂😂
@sofitanzanian9559 ай бұрын
Dada mange njoo bwana huku kuna jambo hatuna uhakika nalo njoo utie neno😂
@sofitanzanian9559 ай бұрын
Dada mange njoo bwana huku kuna jambo hatuna uhakika nalo njoo utie neno😂
@fatmafatu11289 ай бұрын
Wivu
@sofitanzanian9559 ай бұрын
@@fatmafatu1128 wivu au tuhakikishiwe wivu wanini sasa wakati mie mwenyewe japo kibanda ila sidaiwikodi upo
@sofitanzanian9559 ай бұрын
@@fatmafatu1128 ukae.kwakutulia
@fatmafatu11289 ай бұрын
@@sofitanzanian955 acha uswahili uhakikishiwe kama nani? Endelea kukaa kwenu eti hudaiwi Kodi umeulizwa nanani kama wadaiwa au lah fata maisha yako yakubangaiza acha roho ya kisokoro kwino,