Mungu ataendelea kukubariki na hutapungukiwa safi sana mzee wetu.
@humphreymosha16082 жыл бұрын
Brother Lasway hongera sana kwa kazi nzuri unayo fanya kwa jamii ..hapa umetukumbusha sisi wafanya biashara tuna cha kurudisha kwenye jamii kama shukrani.. Mungu aendelee kukubariki
@baybeshayo182 жыл бұрын
MUNGU wa mbinguni akubariki Sana mzee wetu.
@tobiasarudo73152 жыл бұрын
This is a true Patriot. Be blessed. Wish we had more people like this man
@eaglecrown11012 жыл бұрын
Amina 🙏🤔🇹🇿 ubalikiwe Sana laswai...ulipotoa MUNGU akuongezee.
@anna198059742 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Bwana Laswai, wewe ni mzalendo katika nchi hii. Wafanyabiashara angalieni mfano kwa huyu Bwana Vicent kama una chochote jitoe kwa jamii na kwa ajili ya wengine usipobarikiwa na wanadamu basi Mungu atakubariki. Mungu akubariki sana Bwana Laswai.
@jayzeem142 жыл бұрын
Watu wenye kujua Mungu wana Mtolea Mungu shukurani kwa kujitoa kusaidia Jamii!
@isaiahelias301011 ай бұрын
This is the spirit..hakika unapanda mbegu nzuri sana kwetu Mr.Lasway, God bless you beyond!
@cheiknamouna20582 жыл бұрын
Kwa anaemjua vizuri mzee Laswai m 500 ni pesa ndogo sana ila hongera jirani yangu Mungu azidi kukulinda🙏🏽🙏🏽
@frankkimaro13542 жыл бұрын
mzee wangu ongera sana. Mungu. akupe umri mrefu
@glorychengula19272 жыл бұрын
Hongera Mzee wetu mungu akuzidishie pale umetoa ubarikiwe mara dufu
@leolaswai27622 жыл бұрын
May the almighty bless him abundantly.
@jamesshao5382 жыл бұрын
Safi sanaaa Laswai,hongera sana ndugu
@shijafugo76122 жыл бұрын
Mungu akubariki mzee Laswai
@samsonmzava13162 жыл бұрын
Hakika ni jambo jema mnooo,Mzee laswai.
@alicemama90992 жыл бұрын
Hongera sana mwanangu V. Laswai. Niliziona mbio zako toka 1984 pale kwenye v8wanja vya "NGUVU KAZI" Umoja wa Vijana Tanzania nikiwa Katibu wako wa Wilaya. Keep it up.!!!
@mwanabucheyeki2262 жыл бұрын
Hakika Mzee huyu ni miongoni mwa Wafalme wenye ukwasi wa hela nyingi katika Mikoa ya Kilimanjaro na Arusha.
@verdianabanabi22052 жыл бұрын
Tanzania itajengwa na wenye moyo ila wabaya ndiyo wanayoitakia mabaya kwa kutaka kuuza nchi na mali zake zilizoko.
@baybeshayo182 жыл бұрын
MUNGU azidi kuinua watu kama hawa ktk tanzania yetu.
@stanleyjohnson30012 жыл бұрын
Mtendaji wa makiidi George nmekuona unaupiga mwingi sanaaa hongera wewe ni kiongozi boraa I love u so much jinsi unavyojituma na kazi yako ya kuisaidia jamii mama samia nakuomba umwuone George. Umpe uteuzi mkuu. Wa wilaya mama uyu kaka yuko vzuri mnooo
@JELSONMAUKI8 ай бұрын
Mzee wa ku change fedha za kigeni 🔥🔥🔥
@verdianabanabi22052 жыл бұрын
mzee wetu mungu akubariki na akuzidishie umri mrefu.
@fareskibera42242 жыл бұрын
Nzuri sana
@emmanuelkiwango66382 жыл бұрын
God bless Laswai
@zabibubashiri30342 жыл бұрын
Mungu akuzidishie Amina
@amenaameeena33172 жыл бұрын
Yaani Bora wangezima uo mwenge ili kufidia Kodi wanazotaka watoto WA miaka 18 walipe mwenge Auna maana tangu Niko mdogo Naona mwenge lakini sijui faida yake
@emmanuelmasanja60402 жыл бұрын
Hongera sana,mungu akuongezee
@restitutanjau25852 жыл бұрын
Mungu akubariki,mzee Lasway
@jacobomrosso8405 Жыл бұрын
Asante mmeku
@kasimramadhani15022 жыл бұрын
Hakika wewe ni mzalendo na una moyo wa upendo Kwa taifa letu ..mungu akuzidishie rizki,afya na moyo wenye hofu ya mungu
@geraldtarimo32102 жыл бұрын
Laswai ni Bilioner tunakufahamu
@rehemajuma97332 жыл бұрын
Zimbaaaa anaroho ya kizungu sana Mungu na azid kumueka
@saadomari71502 жыл бұрын
Keep it up mzee.
@geraldtarimo32102 жыл бұрын
Chagga IPO pesa
@mremaletoni78062 жыл бұрын
Wachaga wanamiliki vitu vya gharama sana Njoo huku kwetu utasaidie kisima cha maji
@katemachanda70352 жыл бұрын
Hakutoa kwa sababu ni mchaga...
@aminaomary55672 жыл бұрын
Ongera sana mzee Laswai
@nasriprogrammingsite70262 жыл бұрын
Wachaga iko mawe bana
@katemachanda70352 жыл бұрын
Hakutoa kwa sababu ni mchaga...
@mdta81612 жыл бұрын
Safi sana baba
@ilynpayne74912 жыл бұрын
Daah mie sina ela na sina lolote huko watu wana jenga shule Kw serikal 🙏🙏
@michaelmotika44772 жыл бұрын
Patriot 🙏🙏🙏
@neemamvungi59492 жыл бұрын
Mungu azidi kukubarik
@allstars75262 жыл бұрын
Ngukuuuu To the Top
@judyngowi391Ай бұрын
Kijijini kwangu
@jacksonkileo22422 жыл бұрын
🙏🏿🙏🏿
@jescarkinabo62812 жыл бұрын
Wachaga hoyeeeeeee
@robertphilip3852 жыл бұрын
Mwenge unasaidiaganini
@musasalum2873 Жыл бұрын
Million 500 unajenga shule mpya? Darasa moja million 20
@@ndennkya5253 Fisadi yule yule kipindi Cha Mzee Magufuli Leo ni mgeni rasmi mbio za mwenge
@highthemetv7857 Жыл бұрын
@@fredymkanza mawaxo ya maskini 😅
@JELSONMAUKI8 ай бұрын
@@fredymkanzamind poverty
@verdianabanabi22052 жыл бұрын
mzee Laswai naomba namba yako.
@vincentmokenye44652 жыл бұрын
Hahaha
@ladysasty2 жыл бұрын
Tafsiri za ndoto kzbin.info/www/bejne/n3LJZ3qLjqeeipY
@issasimbira20012 жыл бұрын
Ukitumia nguvu sana katika ujana wako uzee wako utaambulia vichomi ila ukitumia akili sana ujanani mwako kutafuta pesa uzeeni mwako utapoteza kumbukumbu sasa amua kupoteza kumbukumbu ama kuwa na vichomi? Alie nielewa atajua nini namaanisha mzee kapoteza kumbukumbu kasema 1997 kumbe ni 2007 h😆😆
@ilynpayne74912 жыл бұрын
Mbona kawaida sana kuchapia hata sie vijana mda mwingine una weza ongea uka kosea siku ama tarehe sio jambo La ajAb
@geez50762 жыл бұрын
Mpuuzi ww hiko tu ndio ulicho kiona? Angalia na ww ujana wako ulivyo wa hovyo