#EXCLUSIVE

  Рет қаралды 181,523

Wasafi Media

Wasafi Media

Жыл бұрын

#EXCLUSIVE: KONDAKTA MREMBO ANAYETREND KWENYE MITANDAO AFUNGUKA - "NILISIMAMISHWA KAZI KWA MIEZI 6"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 274
@ashuramhandoashuramhando6798
@ashuramhandoashuramhando6798 11 ай бұрын
Karembo hadi Sauti inavutia unakitu Mrembo utafika mbali ❤️❤️🌷🌷🌷🌷🙏🙏🙏🙏
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 11 ай бұрын
Mashallah, anaonekana Ana confidence, Mashallah Allah amuongoze bint uyu pamoja na mabint zetu inshallah 🙏
@user-uf5ry6tx2r
@user-uf5ry6tx2r 18 күн бұрын
Hongera sana dada Mungu akubariki sana na kukutia nguvu sana katika kazi yako
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 11 ай бұрын
Huyu Dada yuko vizuri sana kichwani, Safi sana.
@annemakaka210
@annemakaka210 11 ай бұрын
Masha Allah! Binti mrembo na mstaarabu kweli. Tia bidii dada
@user-sw6cc8yv7s
@user-sw6cc8yv7s 11 ай бұрын
Nakupenda sana wewe dada, Nakutakia kazi njema .Mungu azidi kukupigania.kweli wqnawqke tunaweza
@donvanpierre4369
@donvanpierre4369 10 ай бұрын
shida inaanzia hapa kwenye twaweza... iko kibinafsi sana
@mejumaabaraza3989
@mejumaabaraza3989 11 ай бұрын
Masha Allah mungu akulinde na Shari dadangu❤
@ibumajaamillah3195
@ibumajaamillah3195 11 ай бұрын
Huyu bint nilisafiri naye kutoka moshi kuja Dar she very humble wallah
@venancshirima9103
@venancshirima9103 7 ай бұрын
@user-up2ef7dc6k
@user-up2ef7dc6k 10 ай бұрын
Mashaallah bint uko vzur mng akifanyiwa wpx❤❤
@mbaichris8772
@mbaichris8772 11 ай бұрын
Bravo mentor other women to do any work around the globe
@bjzee1981
@bjzee1981 11 ай бұрын
Kazuriiii kanafaa kua hostes. Ka baby face hudhani kasha maliza hata chuo. Wachaga big up kwa ku pambana.
@kotadapotar5094
@kotadapotar5094 10 ай бұрын
Kazi hizo Uku Ulaya za warembo kama wewe pambana dada yangu nimependa sana Uchangamfu wako 👏🙏🇹🇿🇬🇷
@hafsasaid9666
@hafsasaid9666 11 ай бұрын
Maashaallah amepata umaaruf mdogo wangu angepata fulsa akafanya vitu vya maana
@cleophacephelician6739
@cleophacephelician6739 11 ай бұрын
Vitu vya maana kama vipi hafsa !? Usikariri ajira za serikalini. Hii sasa ndo amepata kazi nzuri
@graceknight7498
@graceknight7498 11 ай бұрын
Mahallah ♥️♥️♥️♥️🇰🇪
@user-kh3hr8si2j
@user-kh3hr8si2j 11 ай бұрын
MashaAllah gd job❤ sweet
@Shadrack-oz1bh
@Shadrack-oz1bh 10 ай бұрын
mungu hawabarik
@gracesitta8586
@gracesitta8586 10 ай бұрын
Mungu akujalie sana mdadaa. Keep it up.
@geminamulima3180
@geminamulima3180 11 ай бұрын
Binti yuko vizuri sana mwaka juzi mwezi 12 alitupambania siku ya safari ilipiga mvua ya atari alitfatilia mpaka akahakikisha tumepanda hila yeye alibaki apo Rombo saruti kwake
@HadijaZabroni-pu1lt
@HadijaZabroni-pu1lt 11 ай бұрын
Mashallah 🥰 gari zenu nzuri sana
@user-xe9fk7jm4l
@user-xe9fk7jm4l 10 ай бұрын
Mashaallah❤
@raummoshi4372
@raummoshi4372 11 ай бұрын
MUNGU akutunze nice, utafika mbali
@vero57
@vero57 10 ай бұрын
Wanafunzi wako wengi sana kama huyu hakuna kazi walizo somea,safii sana piga kazi dada mfano mzuri wa kuigwa 👍👍🥳🥳👏👏👏👏
@baybeshayo18
@baybeshayo18 11 ай бұрын
Hongera Sana mwanangu
@mako331
@mako331 11 ай бұрын
Ninafuraha sana kuona kina dada zetu siku hizi hawachagui kazi, wengi wameingia kwenye mabasi na wanafanya kazi nzuri sana
@user-tv9vt4qx2n
@user-tv9vt4qx2n 10 ай бұрын
Hogera sana Mwanangu Jitahidi epuka vishawishi ili ufikie malengo yako my dear uko just kama pesa ya kigeni
@user-gb8nv6jy7z
@user-gb8nv6jy7z 11 ай бұрын
Hongera dada angu❤❤
@rockeygarcia5865
@rockeygarcia5865 11 ай бұрын
Urembo na pia upambani wake utamfikisha mahala ❤
@chomasongidion6047
@chomasongidion6047 10 ай бұрын
Hongera sana mtoto wangu, Mungu akusaidie Sana
@jacksonyesu6480
@jacksonyesu6480 10 ай бұрын
😮😮 Hujui kumbe wewe umezaa na kuzaaa sasaivi
@elisifaaron5662
@elisifaaron5662 11 ай бұрын
Safi sana unaakili mwanangu bora ukafanye biashara zingine nimekupenda ssna unamaakili kazi ya magari ningum sana makonda mmoja alitelezaga kwenye gari alikuwa aagongwe. Akajikuta kakanywagwa mguu wote mpaka ukawa chapati
@ibraimoselemane17ibraimo29
@ibraimoselemane17ibraimo29 11 ай бұрын
Ni mtoto mdogo ila anajuwa kujielezeya ile mbaya
@mayarashidi2765
@mayarashidi2765 11 ай бұрын
mashaailah mungu akulinde dada
@agnesgeorge6818
@agnesgeorge6818 8 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤ mdogo wangu go and God bless you bbysisy
@user-lm7nc2ff2x
@user-lm7nc2ff2x 10 ай бұрын
Huyu Sasa, nadhani atanilazimu nisafiri Tanzania ,,,, ❤
@user-gg2jq8mp9d
@user-gg2jq8mp9d 10 ай бұрын
Karibu utamkuta amejaaa tele😂😂😂😂
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 10 ай бұрын
Tilisho service. Welcome usafiri na sisi
@CatherineKimoso
@CatherineKimoso 8 ай бұрын
Mwanangu ❤❤❤ Sanaa. Pambana wewe jembe utafika mbsali Sanaa.
@michaelemanuel2528
@michaelemanuel2528 7 ай бұрын
She is too beautiful aiseee God bless her
@LeticiaRichard-zm7co
@LeticiaRichard-zm7co 10 ай бұрын
Yeah your a good girl I love the way you fight girl good may God bless your hard working
@user-rd6zz5rq9s
@user-rd6zz5rq9s 5 ай бұрын
Nilikua na shwalii ni zipii sifa za kua condacta jamnn kazii nzurii naipenda binafs
@AshaMakame-zg9xi
@AshaMakame-zg9xi 11 ай бұрын
Kwanza kitoto kizur alafu muelewa pia mjanjamjanja Hong era kwa hilo bless Allah azidi kukuongoza
@salamaali4726
@salamaali4726 10 ай бұрын
Nakupenda sana mdogo wangu una muelekeo wa kufika mbali, pls naomba kazi hiyo isiwe ndio ya kudumu cha muhimu changa pesa zako kaendelee na chuo utafika mbali inshaalah
@MussaMohammad-ku5bt
@MussaMohammad-ku5bt 10 ай бұрын
kweli kabisa.
@samiraaindi
@samiraaindi 7 ай бұрын
Usikate tamaa usivunjike moyo endelea kupambana mungu yupo ipo siku utatoboa insha allah ❤u big kiss to you.
@noelyprinceprince8951
@noelyprinceprince8951 10 ай бұрын
Nakubali sana mrwmbo wetu wa Moshi🤙🥳 sema nini umetisha afu wa nyumbani🤗🤗
@user-vk8ok3ow1m
@user-vk8ok3ow1m 7 ай бұрын
Wanawake tunaweza
@omariddi8073
@omariddi8073 11 ай бұрын
Good heart
@user-ug6df5kg7n
@user-ug6df5kg7n 8 ай бұрын
Wow she is so cute....i love her😘
@AmisseShezume-wk5ee
@AmisseShezume-wk5ee 10 ай бұрын
Masha allah
@LempurukSamwel
@LempurukSamwel 10 ай бұрын
Ooh Dada uko sawa.From Samburu.
@mlawatvonline3720
@mlawatvonline3720 6 ай бұрын
Mashaallah
@user-rd6mo1zb6g
@user-rd6mo1zb6g 10 ай бұрын
Nawapenda tilisho
@paschalewamtaa726
@paschalewamtaa726 11 ай бұрын
Ushauri aendelee na nizamu yake asivimbe kichwa
@rosemmary6802
@rosemmary6802 11 ай бұрын
Wachag salute
@kassimourio6879
@kassimourio6879 4 ай бұрын
Very systematic....🎉🎉🎉🎉🎉
@easternyerembe7271
@easternyerembe7271 11 ай бұрын
Hakika Ni mrembo natural. Nmempenda
@yusufmohamed8874
@yusufmohamed8874 11 ай бұрын
Nime tumia hizi basi mwaka huu kutoka Arusha Dar kwakweli wana huduma nzuri sana na ni gari nzuri sana.
@elisifaaron5662
@elisifaaron5662 11 ай бұрын
Ipo moja wapo dar Arusha wakaka ao wananyodo mdada tu kidogo anakauri walinikera nawauliza vizuri mzigo nimeacha chini wenyewe wanaondo gar
@abelmumamwamba8990
@abelmumamwamba8990 11 ай бұрын
Kwenye tilisho huyu nayce pekee ndo konda kwanza anakaulii nzuri
@LailaLaila-kg2qd
@LailaLaila-kg2qd 11 ай бұрын
❤❤❤❤
@ZenaMakongolo-tk9si
@ZenaMakongolo-tk9si 10 ай бұрын
Mungu akulinde dd ❤
@baybeshayo18
@baybeshayo18 11 ай бұрын
MUNGU wa mbinguni akutangulie na kukulinda mwanangu
@stellakasimba9375
@stellakasimba9375 11 ай бұрын
Amen 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 11 ай бұрын
Amiina
@SHADRICKSHABANI
@SHADRICKSHABANI 3 ай бұрын
This is my name to location 🤝
@user-pl1wn1xd4n
@user-pl1wn1xd4n 10 ай бұрын
Hongera sasa sister nimejifunza kitu kizur kutoka kwako
@user-ps8og2dg8o
@user-ps8og2dg8o 11 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@AnetDaniel-vx2sd
@AnetDaniel-vx2sd 11 ай бұрын
Huyu bint nimesafiri nae sana tuu sipandag gar lingine hata no yke ninayo yupo vzr
@yannicknicah133
@yannicknicah133 10 ай бұрын
Sema kweli
@EliasheaZadock
@EliasheaZadock Ай бұрын
Mambo naomba Namba yako dada
@glorychambi6559
@glorychambi6559 11 ай бұрын
Mzuri had raha
@bakarimakame4694
@bakarimakame4694 11 ай бұрын
Jmn kaongezeeni mshahara
@msakanotiofficial5523
@msakanotiofficial5523 10 ай бұрын
Nice ibebe Rombo mama
@mercypeter162
@mercypeter162 9 ай бұрын
MUNGU akuinue mpaka viwango vya juu umiliki mabasi pia
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 11 ай бұрын
Na mabint wengi wa kichaga hawachagui wanafanya sana kazi hizo za ukonda
@user-gs3hx3kd3r
@user-gs3hx3kd3r 6 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@user-dk7dy4ds8g
@user-dk7dy4ds8g 7 ай бұрын
Karembo kanaxaut nzur xan
@user-ep9rv7yk8e
@user-ep9rv7yk8e 10 ай бұрын
👍
@pendokissatu937
@pendokissatu937 11 ай бұрын
Mdogo angu una Potential kubwa Sanaaa Ya Kufanikiwa usiuchezee huu Muda Tafuta Hata Maduka Ya Nguo omba Ubalozi maduka Ya Vipodozii Katangaze maduka yao Una Lugha Nzuri ya Kibiashara Sana sana Kwa kampuni ya Tilisho Raise Her salary Plz Anafanyia Promotion kubwa san kampuni Yenu❤
@Allykoroshotv
@Allykoroshotv 11 ай бұрын
Fact
@juniorjohn2233
@juniorjohn2233 11 ай бұрын
Mungu akutangulie zaid
@kurumwagodfrey7052
@kurumwagodfrey7052 11 ай бұрын
So beautiful
@RichardNoel-by1cc
@RichardNoel-by1cc 11 ай бұрын
Muowerh
@Elizakilisipinilikolika1996
@Elizakilisipinilikolika1996 10 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤ NAKUPENDA BURE KIPENZI
@FaudhiaUshaky-if8fs
@FaudhiaUshaky-if8fs 11 ай бұрын
Jaman jamani niungenamimi mdada uko
@user-cm8dg4zy7p
@user-cm8dg4zy7p 10 ай бұрын
hongera sana
@SuzyMongi-ov8wk
@SuzyMongi-ov8wk 10 ай бұрын
Good Mungu azidi kukupigania
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 11 ай бұрын
Ndio anajiamin sana
@walinaziontime7300
@walinaziontime7300 11 ай бұрын
Chiku ni mkongweeee huyo Dada....kitamboo
@hezronjoseph405
@hezronjoseph405 11 ай бұрын
Mitandao inadanganganya sana,mi navo muonaga najua Ni malaya wa mjini,kumbe kitoto
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 10 ай бұрын
Umejisikiaje kuongea ujinga km huo
@hezronjoseph405
@hezronjoseph405 10 ай бұрын
@@samwelimoshi5614 Kama ujaelewa kilichoandikwa ,Ni bola uludie kusoma,usikurupuke
@elizabethnguma3379
@elizabethnguma3379 8 ай бұрын
Hadi nmelia😢,kweli mdogo ila mpambanaji sana,,,jikaze mungu yuko🙏
@sharifahamis6924
@sharifahamis6924 11 ай бұрын
Mbona kasema ana miaka 21
@NgelejaLukanda
@NgelejaLukanda 2 ай бұрын
Naomba sister unisaidie kupata kaz kwamajina naitwa neema namia 20
@nancyg8664
@nancyg8664 11 ай бұрын
Kazur asee
@SylviaAthuman
@SylviaAthuman 11 ай бұрын
Pambana my dear kaz ni kaz
@BarakaMahamud
@BarakaMahamud 10 ай бұрын
Jamani sisi wabongo ni nyoko sana sasa huyu dada anaurembo gani jamani doh
@hamisikibwana6642
@hamisikibwana6642 11 ай бұрын
dada nenda kaombe kazi kwenye ndege utapata
@abdallahukwaju4473
@abdallahukwaju4473 11 ай бұрын
Ndege weeeee unaona simple kama maguta aya
@HanifaHashilu-mv6lv
@HanifaHashilu-mv6lv 2 ай бұрын
Naomba no ya sm
@kituhilel.j9747
@kituhilel.j9747 11 ай бұрын
Kazuri
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 11 ай бұрын
Mashallah❤
@isangasamatini217
@isangasamatini217 10 ай бұрын
Yes wanawake wanaweza japo wengi Wao wanachagua Kazi japo Nayce hilo hana Hyo ndo tofauti na wanawake wengine, kikubwa tumtakie kila la heri kwenye majukum yake ya kila siku
@hussensaidi1451
@hussensaidi1451 11 ай бұрын
Kwel kabisa
@Neema-fh1wp
@Neema-fh1wp 10 ай бұрын
Mmmh,ulivomtaja chiku kwakweli huyu chiku sikupenda ushauri wake,yaan yeye niwakuniambia eti usimfate mume wako maana unaeza kuta yupo na mwanamke, Adui wa mwanamke nimwanamke jaman uwiiiiii😂
@EliaMbise-el7hl
@EliaMbise-el7hl 10 ай бұрын
Hii Kali sasa
@sumayaishengoma4543
@sumayaishengoma4543 11 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🌺🌻🌷🥀
@user-ep9rv7yk8e
@user-ep9rv7yk8e 10 ай бұрын
Good 👍 sana dada ang, napenda sana 🙏 unavyomake hela. Naomba bas namba ya WhatsApp au group la mabas kampun yeyote
@nuraansuhail2578
@nuraansuhail2578 10 ай бұрын
Safi sanaa mabinti wengine Wasomi wanajidai Wana nata nata hawajitumi kazi kubandika kucha wamesubilia waolewe na Wasomi wenzao mtazeeka majumbani mwisho mtakuwa mzigo na sisi tukishaona lile Bango la tunauza barafu tunajua hapa Kuna mzigo unatafutiwa soko,,,Wake up girls fight
@musashalangwa3780
@musashalangwa3780 11 ай бұрын
Ndiyo
@ashahaji6265
@ashahaji6265 11 ай бұрын
Kazuri kanafaa kuwa Air hostess
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 10 ай бұрын
Air tena,🙄
@user-yt7nn1fs1p
@user-yt7nn1fs1p 10 ай бұрын
Kweli kabisa
@makrinamgombela1138
@makrinamgombela1138 11 ай бұрын
Binti ana uwezo Mkubwa na anapendwa sana.Sasa kila jambo lina wakati na Muda ,wanaompenda Zaidi basi Wamchangie akasomee Masomo ya Juu ili aje atimize Ndoto zake.Tambua Yeye ni Binti baadae atakuwa mama,Je kazi hiyo ataimuudu???Asome kabla muda wa Masomo haujamwacha.Asante
@jonijomk3107
@jonijomk3107 10 ай бұрын
ivi umeiangalia video au umesikiliza maelezo ya nice? ulichokiandika na malengo aliyonayo sasa ni vitu viwili tofaut, ashakwambia akiacha kazi tirisho anaenda kufungua na kusmamia biashara zake, hilo la kusoma umelitolea wapi??
@QueenMishy
@QueenMishy 10 ай бұрын
C umchangie kma hela unazo😂😂
@jonijomk3107
@jonijomk3107 10 ай бұрын
@@QueenMishy 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@cleophacephelician6739
@cleophacephelician6739 11 ай бұрын
Binti huyu anajiweza sana, elimu imemkomboa
@maimunaabdallah3211
@maimunaabdallah3211 11 ай бұрын
Anahudumia vizur sana Nancy yupo vzur
@gervas58
@gervas58 11 ай бұрын
Huyu angekuwa makabila fulani na uzuri huo sehemu njeti ndio zingeumia
@monicambuya-sq9ms
@monicambuya-sq9ms 11 ай бұрын
🤣🤣🤣
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 11 ай бұрын
😂😂😂😂tutajie ilo kabila
@emariusrush3285
@emariusrush3285 11 ай бұрын
wahaya,wanyiramba,wanyamwezi,wazaramo ,wajita na wakerewe ni malaya kama mbwa!!!!!
@joycenicodemus.2232
@joycenicodemus.2232 11 ай бұрын
​@@emariusrush3285wahaya mutuache tu🤣🤣🤣
@nancyg8664
@nancyg8664 11 ай бұрын
@@emariusrush3285 shenzi😆😆
@barakamshiu7146
@barakamshiu7146 10 ай бұрын
precious air aeroplane host huyu apa kazi kwenu
@catherinethobias1688
@catherinethobias1688 11 ай бұрын
Dada nataman uwe ata kwenye ndege
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 47 МЛН
Каха и суп
00:39
К-Media
Рет қаралды 5 МЛН
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
00:20
진영민yeongmin
Рет қаралды 21 МЛН
NAYCE  alivyoachana na MR MWANYA Utacheka 😂😂😂😂
2:49
MrMwanya TV
Рет қаралды 83 М.
Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel
40:37
BBC News Swahili
Рет қаралды 71 М.
В НЕЕ ЧТО, МОЛНИЯ ПОПАЛА? 😂😂😂😂
0:56
СЕМЬЯ СТАРОВОЙТОВЫХ 💖 Starovoitov.family
Рет қаралды 5 МЛН
Поймал редкий кадр🤨
0:22
FERMACHI
Рет қаралды 4,9 МЛН
У Котика Отняли Игрушку 🥺
0:15
ДоброShorts
Рет қаралды 4,5 МЛН
PUT CARDBOARD TOOTHPASTE ALL OVER ONE’S BODY!#asmr
0:40
HAYATAKU はやたく
Рет қаралды 21 МЛН