Wabunge anzeni kulipa kodi, tutapata Trillion 1.2 kwa mwaka
@deogratiusyudatadei56584 ай бұрын
Kumbeee 😂
@user-md7ug5dd9r4 ай бұрын
Hivi halipi kodi ? Kama ni hivyo itakuwa niuonevu mkubwa
@naturelle10974 ай бұрын
Pamoja na mabalozi
@MatronaThomas-wz5si4 ай бұрын
Wallah mbunge una maono Bima ya Afya ni muhimu sana na Afya ni uchumi Tafuteni vyanzo kama tozo simu mafuta vinywaji nk Asante baba
@fatimahants15264 ай бұрын
Bima ya afya imekuwa mateso kwa wananchi, hongera sana mheshimiwa shabiby kujuwa changamoto watu hali ya chini ni mtihani mkubwa
@burkardkayombo46084 ай бұрын
Upo vizuri MH. Shabibi Bima kwa wote, isiwe njia ya kupruni Watanzania.
@Mpakele4 ай бұрын
Shabib umewatetea sana wananchi. Hongera kwa ushauri wa kina juu ya chanzo cha kudumu cha chanzo cha bima ya afya kwa wote
@jurdanforwardersltd14604 ай бұрын
SHABBY upo sahihi sana umetoa wazo zuri sana ambalo serikali walifanyie kazi itapatikana pesa nyingi sana.
@godsonkilua77384 ай бұрын
Kweli Mbunge wangu umekomaa kisiasa , hongera Sana kwa mawazo mazuri bima ya afya Ni pasua kichwa Hali ya maisha Ni mbaya hakuna mtu anaependa kufa kwa kukosa bima. Mungu akubariki kwa kupeleka kilio chetu bungeni tutakuchagua Hadi useme po. Huo ndio utetezi wa wananchi siyo kupigapiga mameza Hadi mikono inakuwa na sugu kwa hoja za wenzio.
@jeremiahngoka49804 ай бұрын
Upumbavu mtupu.Wataiba pesa zetu
@richardrugemalira69344 ай бұрын
Mheshimiwa SHABIBY Mungu akubariki kwa hekima na uzalendo wako wa kweli. Inasikitisha kuwa na wizara isiyo na ufahamu wa hali halisi ya wananchi wetu
@eliasjoseph88303 ай бұрын
Hongera sana mbunge shabibu uko sawa hicho serikari itafute chanzo Cha pesa ilikuwasaidia wananchi wake bima
@SilasMollel-mp9ib4 ай бұрын
Safi sana hawa ndo wabunge wa mfano..anaongea fact tupu..mungu akubariki kaka shabiby
@ce-084 ай бұрын
Sasa hapo c wamebadilisha mfumo kutoka kukutoza kwa cash kuja kukuchukulia kwenye layn sasa c waseme tuchukue kwenye migodi huko au utalii au wabunge waanze kulipza Kodi itumike kwenye bima
@santinosabugo21144 ай бұрын
shabiby akili nyingi sana Wana gailo mna jembe hapo mjengoni wengine kazi zao kusinzia
@ce-084 ай бұрын
Angesema wabunge waanze kulipza Kodi ndyo tutapata pesa za maana
@RosemaryPeter-hc6ts4 ай бұрын
Umezunguza ukweli mtupu Mungu akubariki maana umezungumza kwa niaba ya watu wa hali ya chini Tunakushkuru
@user-rv2gb2gi7q4 ай бұрын
Mbunge shabby Yuko sahihi mawazo yake yafanyiwe kazi hongera sana
@user-ey8bo5iw9y4 ай бұрын
Tatizo uwo mfuko wabima serikali inaukopa mbaya zaidi hailipi na je tukianza kata 2000 kwa kila raia tunauhakika gani zitakuwa salama
@ahz69074 ай бұрын
@@user-ey8bo5iw9yni namna fulani ya kuufisadi mfuko.
@kadokemarco99664 ай бұрын
Hapo nimekuelewa Shabby 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@mathiasmuhochi4354 ай бұрын
Good idea....tulifanyie kazi wazo lake
@Azikiwe-qi6jd4 ай бұрын
Unazingua, kwa mafaoo yote ya spika hilo haliwezekani
@user-pm5hw8mf7s4 ай бұрын
mheshimiwaa uko sahihiii kabsaaa,, inaonesha unayajua maishaaa halis ya waTz
@user-vc8cc2pt7n4 ай бұрын
Shabby shabby shabby mungu akubaliki sana Kwa michango wako mzuli tunaitaji wabunge km wewe hongera sana ilitakiwa uwe wazili kbs
@ibraimnikolaus97024 ай бұрын
Serikali ilifanyie kazi wazo hili ni nzuri
@samwelikangambili48314 ай бұрын
Hongera Sana mbunge kwa maono yako itakuwa mkombozi kwa wa Tanzania
@bulunjamalimikulwa48764 ай бұрын
Safi mwenyewe nimemuelewa, changamoto kwetu sisi ni kupinga Kila kitu tukisikia pesa tu.
@emazacharia44554 ай бұрын
Yaan bima ya afyaa imekuwa n mateso mateso Kwa wananch ..Kwa utajir wa Mali zet watanzania bima ingelkuwa bure Kwa Kila mwananchi😢
@godfredkimaro32924 ай бұрын
Ukiacha kumtoza mwananyi pesa taskinu alafu ukamtoza kwenye simu c umebadilisha njia ya utozaji ila utozagi upon pale pale.minashauri hela itozwe kwa gesi madini utali nakazalika
@TheNichym4 ай бұрын
Kwa nini aseme tutumie mgodi mmoja wa dhahabu kwa ajili ya bima?! Au Tanzanite yote ya Arusha mapato yake yapelekwe kwenye bima na afya?! Ni ufinyu wa fikra kufikiria kuwakamua wananchi zaidi ya sasa, badala yake rasilimali za nchi hasa madini, mafufa na gesi vitumike vizuri, tutafanikiwa kwenda mbali, badala ya kuwaongezea ugumu wananchi na kuichukia serikali
@JonhYusuph4 ай бұрын
Nice
@yateramadavaathumanmmbaga77764 ай бұрын
Mswada walihangaika nao miaka 2 unaeakebishwa hauwekwi hadharani baadae wakaupitisha sasa hayo anayoyaongea ambayo ni mambo mazuri alitakiwa ayaongee kabla muswada hawajaupitisha ili ukipitishwa kila mtu anaufarahia. Anyway, mawazo hayo yafanyiwe kazi tena haraka maana tumechelewa sana
@ahz69074 ай бұрын
Ilitakiwa waanze na wananchi kupata mawazo yao.ila kama kawaida wao wanajiona wana akili sana na wajuaji ndipo mambo mengi hugoma. Hata zile tozo za simu walifeli.
@yateramadavaathumanmmbaga77764 ай бұрын
Ni waheshimiwa wachache wenye moyo kama wako Ahmed Shabiby, Dr. Tulia bila kumsahau mbunge wangu Tony P. Mavunde, mhe. Wa makete, wazir wa fedha, mb. Wa igunga na wengine wachache, ndio maana Mungu anawabariki zaidi mnawajali sana wananchi wenu lakini wengi ni maneno mengiii lakini wanawakimbia wapiga kura wakiingia tu kwenye maeneo yao wanaweka tinted vioo vyote sijui wameshajua hawarudi au wanatumia ndumba kuingia mjengoni ila ndumba zina mwisho. Nawaomba tutafute muarobaini wa matibabu sawa kwa wananchi wote kama tulivyofanya kwenye elimu, likifanyika hili vizuri haki ya nani 95% ya wabunge mtarejea mjengoni
@yateramadavaathumanmmbaga77764 ай бұрын
Jamani hali ni mbaya sana kwa wananchi wa chini hata wenye uwezo kidogo wakifikwa na tatizo kubwa la ugonjwa uwezo unaisha mgonjwa akipona na familia imefilisika. Kuna bint alijifungua kwa upasuaji miezi 2 ilopita kigoma mjini akapata tatizo haja ndogo haitoki vizuri na inatoka na uchafu akawa anaishiwa damu baada ya siku 5 hali ilikuwa mbaya akapewa rufaa aende bugando. Kumsafirisha kwenye bus haiwezekani wakaambiwa watoe 1m gharama za mafuta, nesi na dereva ili ambulance impekeke bugando hali ngumu sana wakapunguziwa watoe laki 7 hawana lakini walijitokeza wasamaria ikapatikana kufika bugango wakapokelewa wakaambiwa watoe 1m ya kuanza matibabu hawana hata cent wakaambiwa wamuone afs ustawi jamii akawaambia watoe laki 7 tiba ianze kaki 3 itafutwe raratibu watu wakakamatana zikapatikana tiba ikaanza kagunduliwa figo inashida kubwa afanyiwe dialysis @ laki3 ilitakiwa afanyiwe mfululizo siku 3 then x2 kwa wiki kutokana na kukosa pesa wanafanta x1 kisha wakasake msaada ikipatikana ndo afanyiwe. Ni bora hospital wangemfanyia inavyotakiwa halafu pesa ije kwa kadri wanavyopambana matokeo yake sasa inakaribia miezi 3 mgonjwa bado hali mbaya na katoto hakajawahi kunyonya mama hata tone la maziwa hana yananunuliwa ya kopo na wasamaria wema. Nimeeleza kwa kirefu na kwa uchungu ili watanzania hasa wakubwa juu wajue hali ilivyo ili tutafute muarobani haraka NHIF tuokoe maisha na kutaabika wananchi. Mgonjwa aitwa Aziza miezi 3 bugando watu wamechanga ndg wameuza hadi mashamba hali bado tete.
@elijuskikoto3924 ай бұрын
Mwarabu wa Gailo huwa nakukubali Sana
@user-dk8uf8ho9s4 ай бұрын
Mbunge mahari sana. SAMIA mpe huyu Ahmed uwaziri wa biashara.jamaa ni smart sana
@rich-lr8tq4 ай бұрын
wenye laini zaidi ya moja mtakoma, watumishi wa serikali pia watakatwa mara mbili au tatu na zaidi
@jumamhando39923 ай бұрын
Mm nilijua atashaur matajir wote wa Mabas wakatwe lak Kwa Kila mwez na wabunge walipe kodi Tena wawe mfano wakatwe asilimia 25 ingesaidia bima vzr
@devissyprian15264 ай бұрын
naomba mawazo ya Shabiby yafanyiwe kazi plz naomba sana
@wilfredaxwesso73944 ай бұрын
Si rahisi kuvaa kanda bili hata kama akitoka kwenye kiti kwani wako na stahiki nyingi baada ya kustaafu.
@user-dh8gj1dt6x4 ай бұрын
Safi sana kamanda,karibu mbarali utete anyone,pia bima ni nzuri ila tatizo ni dawa hazipo!
@mcsukerpapaa88174 ай бұрын
Wazi zuri, nasi tunaomba kila anayemiliki Mabasi na Malori, ktk kila route akatwe tsh elfu 10. Na wenye Madaladala wakatwe tsh elfu Tano kwa siku. Nawasilisha hoja Spika.
@femexpress78574 ай бұрын
Mh. anaongea vizuri sanaa. Mimi ningependa kuchangia kwa kusema kuwa, wananchi hali yao ya maisha ni ngumu sana. lakini pia watu wakuchangia hizi bima za afya wapo sana, maana watu wakitoa hizo hela kama kweli zitasimamiwa vizuri basi hata wale wasiokuwa na uwezo wanaweza kutibiwa kwa kutumia bima za afya hizo
@jacksonsilaa4154 ай бұрын
Mr Shabby mawazo yako hebu andika andiko ili na wengine wausome kwa manufaa zaidi kongole sana kiongozi.
@inocentkaiza79624 ай бұрын
Hawez akavaa kandambili kwasababu uwakika wakuishi kwagharama ya serikali mpaka anazeeka upo namsharahara juu
@user-qr7kj3bf9q4 ай бұрын
Hongera mshimuwa shabiby
@DennisDidas4 ай бұрын
Wazo zuri sana. Ukitaka kujua uzuri wa wazo hili angalia hali za watu kwenye vituo vya afya.
@AwardHakimu4 ай бұрын
Bima hizi hizi ambazo wanazichukia wahudumu wa afya au Kuna zingine
@barakaalfred14913 ай бұрын
Hakuna lisilowezekana, kuna vitu vingi serikali inavigharamia wakati havina impact kwa wananchi mfano ni vikao vingi kujadiri issues halafu matokeo yanabakia kuwa hasi kumbe ulikua mchongo wa posho.😃😄
@philemonmbalwowa56194 ай бұрын
Asante Mh. Ubalikiwe.
@harsoshelezi46584 ай бұрын
ZIBAKI ZA RUFAA TU KWASABUBU NDIKO MNAKO KWENDA.
@rashidhtibangayukatibangayuka3 ай бұрын
Hongera shaving
@prorwega4 ай бұрын
Well said mbunge Shabib I am admiring you.
@user-dh8gj1dt6x4 ай бұрын
Mungu awe nawe,hiyo ndio sera halisi ya ccm, chapa kazi wanyonge wote tz wapo nyuma yako!
@innocentmleli11964 ай бұрын
You are very clever, May God protect you.
@farajiissa87474 ай бұрын
Akika imekaa vizur ifanyiwe tu kazi nafikri fraha itakuwa kwa hawa watu
@Chettymlambalipsi-lb9km4 ай бұрын
Marekani hospital za serikali huduma ni bora kuliko za binfsi lkn huku uswazi za binafsi ni bora
@mataypanga52624 ай бұрын
Una akili timamu, serikali ndio yenye nguvu
@jitabojilala61624 ай бұрын
Ulikuwa marekani ipi?
@Chettymlambalipsi-lb9km4 ай бұрын
@@jitabojilala6162 matakoni kwako
@Chettymlambalipsi-lb9km4 ай бұрын
@@jitabojilala6162 matakoni kwako
@adkajisi45364 ай бұрын
@@jitabojilala6162 hilo nalo Swali
@BotulphusAugustineАй бұрын
Uko sawa
@rashidhtibangayukatibangayuka3 ай бұрын
Nakupongeza SHABIB UKO VIZURI
@jahululamasunga4 ай бұрын
immaculate contribution MP Shabiby
@user-nk4yl7bw2h4 ай бұрын
Tunaitaji wabunge kamahawa wanaishauli selikali vituvya maana wengi bungeni wanarara tu nimzingo kwa selikali
@user-zu5ee3qe6u4 ай бұрын
Hata uingereza ni mfumo huo huo again good thinking
@gladyssembojas53083 ай бұрын
Huyo ni muheshimiwa kama muheshimiwa Shabiby
@emmanuellaizer48084 ай бұрын
Bunge mko vizuri bima lazima ila iwe inayotumika mikoa yote popote unapokutwa na homa
@geophureysamsoni50334 ай бұрын
Safi sana baba mngu akuone
@msevenfokoro944 ай бұрын
Mh..umeongea point sana lakin litatendewa kazi???😢
@user-dm3vh4br5f4 ай бұрын
Na biashara za watu binafsi zifutwe,mabasi imiliki serikali,maduka n.k.Hoja haijakaa vzr,vituo binafsi vinasaidia Sana.Serikali haiwezi pekee yake.
@gideonmwaweza81774 ай бұрын
Baba ongera kwa wazo nzuri
@richardrugemalira69344 ай бұрын
True CHAMPION of the poor whom are the majority in TZ.
@ziadakayoyo73104 ай бұрын
Umeongea suala la mbolea sana. Safi.
@stevengeorgetibenda1647Ай бұрын
Mawazo yetu katika kupata mapato ya kuendesha nchi ni kuendelea kubuni kitu cha kumkata kodi mwananchi yuleyule licha ya kuwa anakatwa kodi nyingi kuliko inavyotakiwa ye anajua wafanyakazi wanalipwa mishahara mikubwa kama wao wabunge mpaka aseme wanakatwe 10,000 au zaidi?
@linogracephord97854 ай бұрын
Unaongea vizuri sana, ila kuna maeneo mndewa ukuchanganya!
@harsoshelezi46584 ай бұрын
BIMA kiasili ni kamari ya afya ambayo haijawahi kuwa suluhisho. Ni tabia ya Ubepari kukosa huruma kwa raia. Pesa ni nyingi ikiwemo zile anazoona CAG zikiibwa, zikirejeshwa zinatosha na ziada kwa matibabu. Pesa za malipo kwa wabunge zishushwe hadi 55% na 45% iingie BIMA.
@raphaelmkosamali10564 ай бұрын
Je,wabunge mkilipa kodi tutapata sailingi ngapi?
@AloicemaikoNgakuro4 ай бұрын
Hongera sana shabby iyo ndio ukweli
@lovemusicnoreen91854 ай бұрын
SHABIBY WILL ALWAYS BE SHABIBY AKILI KUBWA
@siamuchunguzi4 ай бұрын
Wabunge na mawaziri nyie mnakatwa kiasi gani cha kodi ya maendeleo tafadhali, maana Tanzania ni ya ajabu sana. Watu wanapambana kuingia bungeni maana huko ndiko kwenye green pastures. Mngekuwa mnapewa mishahara kama wafanyakazi wengine hii nchi isingekuwa na matrilion ya maden, inauma sana napambana kijijini kulipa kodi kwa kila ninachonunua halafu anaenda kufaidi mbunge.
@willylwiza66654 ай бұрын
NI wazo zuri ila .Huyo maskini nae kaesabika katika hizo line .2000 anapita wapi simu simu yenyewe Hana anamiliki line
Hii bima wanaifanya kama bima ya magari watoto bima yao wanataka ipitie mashuleni na huko shule lazima watoto wafikie idadi ya 100 ndo ndio wasajiliwe. Kitu kigumu wengine hawataki na ni ngumu sana kufikia idadi hiyo mwisho wake watoto hawaangaliwi. Huko nyuma mtoto alikatiwa bima ya sh 54000/ ni kuwadhulumu kwa kweli. Hii wangeirudisha kwa kujali afya ya mtoto.
@JamalMshenga-ex5ui4 ай бұрын
Lipeni nyie mnojiongezea maposho kila mara- bac hata sie pangu pakavu mtukomoe. Mnachukua pesa kwenye vocha kisha mnatak kuongeza. Hy bn
@wenseslausjoseph17494 ай бұрын
Chanzo cha pesa ni jambo moja na matumizi sahihi ya hizo pesa ni jambo nyingine
@kaidiSaid-ot9nl4 ай бұрын
Bima ni mpango wa kuwaibia wanachi ukweli bima haina nafuu kwa wagonjwa waulizeni wananchi waliopatwa na shida na wana bima. Kweli mbunge .
@tabiasaidi29314 ай бұрын
Maoni yangu elimi isiwe bure kila mzazi awajibike kwa mwanae ila kila mtanzania atibiwe bure ili awe na afya njema afanye kazi na alipe kodi.
@VarerianRichardi4 ай бұрын
Baba hongera
@silasngoya94224 ай бұрын
Hayo mawazo ni sahihi kwa asilimia kubwa. Yanaonesha umhimu wa mchango wa bunge kujenga nchi. Watendaji lichukueni mlifanyie kazi haraka sana. Wananchi watafurahi hasa maskini ambao kwa kweli bima hawawezi kumudu kulipa Kila mwaka. Hata nchi zingine zitajifunza kwetu. Wapo watakaopiga kelele kwa unafiki na kwa hila kwa sababu zao za ubinafsi. Viongozi wa kitaifa msiyumbishwe kusimamia mambo ya msingi ya maendelea ya nchi kwa ubinafsi wa kutetea kura zenu.
@bulunjamalimikulwa48764 ай бұрын
Napesa hz wakitukata kwenye simu tutashukuru sana, kwasababu tutapata huduma za afya, sio hizi zilizokuwa zikikatwa kwenye miamala wanatunisha matumbo yao tu. Ikiwa tu, watafuata maono na ushauri wa shabib akili kubwa ktk biashara
@rafikkarimomar82024 ай бұрын
Hi bima ya afya anaye taka naakate asiye na uwezo aendelee kama kawaida akalipe cash anapo kwenda kutibiwa
@AmusedForestBridge-zo6ox4 ай бұрын
huyu mbunge anasema ukweli mtupu isipingwe kitu yoyote !!!
@chiefmajai93454 ай бұрын
Ni yaleyale ya mzigo wa tozo nchi itajengwa na walala hoi italiwa na wenye meno
@rehemakanyere41884 ай бұрын
Tunateseka saana
@user-ri1yr8ks7y4 ай бұрын
Mheshimiwa spika Hawa wabunge wameshindwa kufikiria, sas mm nawapa wazo moja, Kwanza kwa Kila mbunge wakiti raia akichangia elfu mbili na Hawa wabunge wao wachangie milioni tano kwa mwezi ili uweze kufanya uwiano sahihi sio wakae apo na vitumbo vyao waporoje Tu. Kwa sababu juzu mumeongezw kodi kwenye makato ya Simu.
@user-wl8ej9qy5d4 ай бұрын
Bip up bunge
@azizakiswili90633 ай бұрын
Ukweli usemwe akili nyingi mbunge makini
@user-yz1xq8xo8s4 ай бұрын
Ni kweli mwanike wa ukaya Ila wasitubague sisi maskini
@user-rm8gp2kr9i4 ай бұрын
Mwenye shibe ham jui mwenye njaa😂😂😂
@wilfredaxwesso73944 ай бұрын
Mhhh hospitali binafs zikidhoofishwa ujue huduma ya afya itakuwa mbaya sana kwani wafanyakazi wengi wa serikal hawana uzalendo katika kufanya kazi pia kutunza vifaa katka hospitali za seikali.
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
Point ❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@hamismabula99344 ай бұрын
Mtavutana na kukamuana lkn yote haya ni kukosa usimamizi wenye ufanisi kwenye rasilimali zetu! Hatuna maadili ktk hilo! Ni ufisadi mtupu. Ripoti za CAG ukisikiliza jinsi pesa zinavyopigwa utalia!
@theophilmawe97763 ай бұрын
Shabibiy Jembe isee
@Ushauri2354 ай бұрын
Daaaa maoni mazuri sana mbunge
@AmusedForestBridge-zo6ox4 ай бұрын
jamani watu wanatezeka sana kijijini madaktari wanaringa utadhani hospitali ni yao na madaktari hawana ukarimu na watu kabisa!
@erickuiso37034 ай бұрын
Huyu mbunge anaelewa kwamba karibu nusu ya huduma ya afya tz ni vituo binafsi???
@johnmalembo64644 ай бұрын
Mnapunguza Kodi kwa wawekezaji na mnarundukia wananchi Kodi lukuku.... Mshahara wa wabunge ukatwe Kodi 20 asilimia tayari bima ya afya kwa wananchi maskini watakuwa wamelipia wote
@user-kz1rx3rk1b4 ай бұрын
Wabunge mkikatwa milioni moja kwa mwezi je
@saimonwantango95694 ай бұрын
Tozo za majengo tozo za mazao ya biashara yaendayo nje kama ufuta na korosho hela hizi ni nyingi sana ila hatujuiga zinaenda wapi kama mkulima
@DaheerK4 ай бұрын
Hakuna matusi apa hongera mkuu
@ColinMhema-ne3lz4 ай бұрын
Linaweza kuwa wazo nzuri tatzo pesa zikichangwatu tayari zinaingia kwenye makoti yenu
@deniseliuter30024 ай бұрын
Kwann mbunge alipe kodi wkt anapata gross salary ya karibu 12m bado dodoma anapata posho ya laki tatu kwa siku wkt watumishi wa private sector hasa migodi mikubwa tunakatwa kodi kubwa ya asilimia almost 18 kila kitu unalambwa kodi hii sio haki ata kidogo
@yussufhemed77554 ай бұрын
Hii nchi inatumia pesa hovyo huko bungeni afu kila siku wanawaza kukamua wananchi in a different way