Wewe baba ni mshenzi sana hujui wanayo pitia wafanyakazi bora unyamaze
@lavenalol59442 жыл бұрын
Ni kweli kabisa kaka angu huku mbona kupo poa sana ni nch kama nch nyingine tu ukija kwa malengo na kukaa na watu vizur
@rayahamisi1182 ай бұрын
Mm nipo miaka na mukaka nipo poa nimeona simuelewi naenda ubaroz
@prettyh75092 жыл бұрын
Mashallah halima umeongea vyema,
@yussufmohamed51203 ай бұрын
Muongo mienimekuja namkataba. Waseli kali na. Akina msada
@rayahamisi1182 ай бұрын
Ebu tafuteni habari nyengine omani kwani amna nchi nyengine 😊😊😊
@rayahamisi1182 ай бұрын
Jaopo sio mtz nimua Africa
@yussufmohamed51203 ай бұрын
Muongo. Huyo kaka.
@amanisoli8742 жыл бұрын
Yes 2peni dili wa2 Kama sis vichwa Ngum
@bernicewangui3382 жыл бұрын
I think waomani ni wazuri kuliko wasaudi towards watu weuzi
@rayahamisi1182 ай бұрын
Sana
@prettyh75092 жыл бұрын
Mi nawashaur mtulie Africa kusikokuwa na manyanyaso
@mzuvendi2 жыл бұрын
Hakika umenena na kero zitaisha..
@user-zl5mt6lk4n8 ай бұрын
yaan waarabu waswahili ndo wana shida kwasababu wanajua pesa yetu wanaona tunafaidi.....kwahyo anakupa pesa yake roho inamuuma......lkn waarabu wenyewe wala hawana umaskini wa nafsi
@hamishemed93962 жыл бұрын
Wakenya wengi wanauwawa huko lakini nikama unavyosema wanaenda kwa mambo mengine sio kwa kazi za ndani kama wanavyodai wanachanganya na ukora haki ndio sababu
@mzuvendi2 жыл бұрын
Oman hakuna Wa-Kenya na kama unadai wanauwawa leta data kywa kuna M-Kenya kauliwa huku..Ubalozi upo na ttafadhali wasiliana nao ili upate picha halisi sio unaleta "Utumbo hapa" khasfu weye..
@alhabsi64302 жыл бұрын
@@mzuvendi hawana kazi yakufanya hawa oman imewakera sana kwa wivu
@fatmaabdi88132 жыл бұрын
Hapo kwenye kujaliwa mashaallah tumejaaliwa ata ukiwa mwembamba unakua na kashep flan ivi ukivaa nguo inakaa sasa Mwarabu hatak kuona unapenda
@mzuvendi2 жыл бұрын
Ukitaka kupenda siku ukirudi kwenu penda umtakae huku ulikuja fanya kazi sio kutafuta mkia!😁😁😁
@fatmaabdi88132 жыл бұрын
@@mzuvendi shida so mkataba shida niutekelezaje mabos wengi hawafuati yaliyo kwenye mkataba
@fatmaabdi88132 жыл бұрын
@@mzuvendi kupendeza sory🤣🤣
@emmanuelchiza77332 жыл бұрын
Mwarabu ni sheteni kabisa, mzungu ndio anajua haki za binadamu na mfanyakazi, mwarabu ana tabia za kishenzi sana tunawaona wanakuja hapa Tz kutafuta wa waganga wa kienyeji na kununua majini special wa oman
@evodiaeverist86752 жыл бұрын
Kama unaweza niunganisha nisaidie nipatekazi huko
@zuwenahamoud66906 ай бұрын
wengi wamepata manufaa, lakini hawashukuru ,ndio kwanza wanawasema mabosi zao vibaya.
@fatmaabdi88132 жыл бұрын
Kwakwel sinaga nidham ya uoga akizingua tunazinguana 😂😂😂
@aminaamiri76842 жыл бұрын
Umeonaeeee
@mzuvendi2 жыл бұрын
Kwanza zingua hilo tumbo lako mengine yatafata!
@daynmengjamloo97192 жыл бұрын
Jmn mm ninaswali kwann ukifiwa na mama2baba au mtoto wanakukatliy kuondoka
@mzuvendi2 жыл бұрын
Wanakujueni waongo wengi wanatumia mbinu ya baba kafa au maama...
@saleemadhiyabalkhatri7800 Жыл бұрын
@@mzuvendi kweli wakishindwa kazi wanajidai mama kafa au baba au sikuingine atajidai kupandishe mashetani yote umalaya unawasumbua
@user-xf9or5cv1d6 ай бұрын
Wengi wao ni waogo wala hawa kulazimishwa kuja omani nawende nhi yengine silazima kuja omani sawa
@asiaboniface2072 жыл бұрын
mengine hayota
@aminaamiri76842 жыл бұрын
😀😀😀piga kelele kwa tz yakeee chezea tz ww hatuna uogaaa
@prettyh75092 жыл бұрын
Ila waafrica hakika tuna matatzo tumekosa mioyo ya shukran, wafilpino,waindonesia,wasirilanka na wahindi hawafungiwi na hawana sauti Kwa maboss zao lakn ni wavumilivu hawajianiki kwenu mitandao na kuanza kulalama why Africa tumerogwa na nani kazi kuiga ujinga tu,
@mzuvendi2 жыл бұрын
Umenena khasa!
@alhabsi64302 жыл бұрын
Maneno ya kweli kabisa
@halimasaidi19212 жыл бұрын
Kweli Kabisa yaan huku unatakiwa uwe serious na kazi na usiwe muoga sana ukiwa muoga ndo utateseka lkn ukiwa na msimamo wako akikwambia kazi ambayo haipo kwenye ratiba usikubali ukikubali tu basi we utaona kama wantanyaswa
@mzuvendi2 жыл бұрын
Kazi za ndani zinajulikana...na ukitaka kuishi na watu kwa wema njia ipo wazi..
@zuwenahamoud66906 ай бұрын
kwa vile heshima zao ni ndogo,mtu anahiari alete muhindi au indonezia.
@aminaamiri76842 жыл бұрын
Kwel dada mshahara ulikua mdogo mnoo hata mie nilianza na rial 50 ...lkn ss alhamdulillah niko na 3 years na 7 months napokea 120
@mzuvendi2 жыл бұрын
Hiyo Rial 120 ni 120× Shs.5800= 696000 Shs. halafu wengine wanafanyia mzaha..
@aminaamiri76842 жыл бұрын
@@mzuvendi kutokujielewa tu lkn kam una tafuta kwl na una nia huwez fany mzaha
@mzuvendi2 жыл бұрын
East Afrika wachombezi sana yaani mnahoji ubaya tuuuu! Hamkuona mazuri mengi mengine? Nimefurahi kuwa Halima kajenga nyumba na ana kiwanja aje tena na akijenge na nyie East Afrika mtabaki mnatokwa na mate!
@aminaamiri76842 жыл бұрын
😀😀😀😀hapo kwenye shepu ndio usisemee yaan ukiwa na wowowo ni kaz kwel kwel
@mzuvendi2 жыл бұрын
Kazi zenu si mnataka kuchanganya kuuza Wowowo na vingine!
@alhabsi64302 жыл бұрын
Sio wote wana shepu ya wowowo wengine wowowo yamekauka hawana
@yussufmohamed51203 ай бұрын
Muongo uyu nimshemzi
@yussufmohamed51203 ай бұрын
Anaogopa. Kusema ukweli. Mpumbavu huyu
@amlimamouris..a94113 жыл бұрын
Ugumu wa maisha nadhan ndio tatizo kwa sisi ambao wanaenda nje kwa lengo la kutafuta maisha ila hua wanakutana na changamoto nyingi saana miongon mwao ni Kama hizi za kuteswa
@hggvhh65352 жыл бұрын
Muongo wewe wao sio jeuli Tena wanatabia za ajabu sana
@mzuvendi2 жыл бұрын
Hakuna anaeteswa sheria hapa hazipindishwi kwa kutoa chochote chini ya meza..
@saleemadhiyabalkhatri7800 Жыл бұрын
Uongo halima kama umesha kaa muda nao akikwambia nivumilie unavumilia usipotoshe wenzio
@asiashaban58092 жыл бұрын
Kwanini hizo kazi za wasichana munamuuliza mwanaume tuulizeni sie huyo kaja juzi ss 2010 mpk 2022 hahahah tunaishi vinzur tushazoea tu hawa watu hawanashida
@Maryam-yt8lw2 жыл бұрын
Kweli wana nyanyasa na lazima uwe muoga ndio wanajua kama kuna haki lakini wanatunyanyasa na kunyanyapaa
@mzuvendi2 жыл бұрын
Funga virago uende kwenu hukufungwa minyororo kuletwa kuhudumu kasumba ndio inawasumbua..mkifika mnadhani mtakuta kuna bar ktk kona mkapate moja baridi moja ya moto na washikaji..umekuja kikazi elekeza malengo yako katika kazi..ardhi kubwa tu Tz haina walimaji bora ukalime muhogo na viazi..
@saleemadhiyabalkhatri7800 Жыл бұрын
@@mzuvendi kweli kabisa abebe virago vyake hakulazimishwa kinachowaleta huku sikazi niumalaya tu walidhani huku kuna benki nawanaambizana kuna mabuzi huko wapi zamani ndio ɓlì
@saleemadhiyabalkhatri7800 Жыл бұрын
Zilikua pesa zipo warabu wamejanjaruka nawanawatakia nini wabongo na wamoroco wapo wazuri
@aminaamiri76842 жыл бұрын
Anachoongea huyu kaka ni kwel ...watz weng tuko na vibri mnoo kutaka kushindana na boss au madam ndio ttzo...ila hawa raia ni kuish nao tu na kustahamil maan tumekuja tafuta ridhk na Allah atunusuru na mitihan
@Salhiya-hr7dy2 жыл бұрын
Ata km ttz let wtzn tunajiangalia ss tu ambao tup nje hatufanyi kaz za majumbani emu kaeni na wat wanaofanya kaz za ndan muone mmb yanayokuwa msijisemee tu muarabu sio mtu wa kuenda nae kipole ni baadhi tu ambao ni waelewa acheni uwong msipate zambi
Na kingn kinachokera arabuni kutokupewa napumzika ktk kaz hilo tu ....hata kam hutoki watupunzishee tukiwa ndan tulale
@mzuvendi2 жыл бұрын
Ni haki yako kupumzika kisheria..dai utapewa..
@fatmaabdi88132 жыл бұрын
Shida kumbwa inayosumbua wafanyakazi tulipo Oman utakuta makubaliono Yanakua tofauti mkataba unasema ata kuhudumia kila kitu lakin ukifika tofauti mahitaji hupewi stahiki
@aminaamiri76842 жыл бұрын
Ni kwel kabsaa hilo usemavyo
@mzuvendi2 жыл бұрын
Sio kweli mkataba unapitiwa ubalozi wa Tz na ikiwa mwajiriwa hakuridhia si anaukataa? Ukisha sign ina maana ni hati fungani kwa pande zote mbili!
@aminaamiri76842 жыл бұрын
@@mzuvendi mangap wanapinga hawa raia ....kwa mfano likizo na imeandikwa kweny mkatab lkn hupewi...mshahara umeandikwa lkn mtu hukupa atakavyo je hilo karatas hata kam limetiwa muhur lkn mtu mshenz n mshenz tu
@emmanuelchiza77332 жыл бұрын
Huyu cool moods ni chakula cha warabu aiwezekani kuwatetea hivyo hili litakuwa juma lokole mchicha mwiba
@aminaamiri76842 жыл бұрын
@@emmanuelchiza7733 😀😀😀😀😀💃💃
@saleemadhiyabalkhatri7800 Жыл бұрын
Hawanyanyaswi huwa hawafahamiani wafanyakazi vizuri ujeuri sasa kama hivyo ujeuri unategemea akutazame ulikuja umechoka mie nastaajabu sijui kwanini mnangangania kuja oman nahuko kazi ziko kwanini hamtulii kwenu naomba viza wazifungie tupate pumua bado unampango wakuja kama mnateswa kinawaleta nini simkae huko huko mnadundwa mpaka wangine wanakufa kazi uchawi ndio wanaoujua kuroga watoto wabosi namshahara elf 40 au 35 mkija huku midomo kama chuchunge loh mnayataka wachewawakomeshe ndiomtatia akili
@rayahamisi1182 ай бұрын
Sio kwabarua iyo nahisi mwarabu mswahili wazuri sio wote
@Salhiya-hr7dy2 жыл бұрын
Yaaan wtnz wachache wanaopat furah kweny nyumba za waarabu wanaona na watu wote wap.ivo ivo ss emu uliza watu ambao wanafanya kaz nyengn lkn wanawajua hawa watu lkn pia kuhus kuchukua passport cjui bataka sio haki kwan mikataba hawasomi wao wanasain nn kil ktu ni mali yk haituhusiwa kuchukua boss huy dada ni mnafiki sn na cjui km maboss zk hawajui kiswahil kun watu ata hawapumzik kun watu wanafanya kaz km punda wananyanyaswa na tunaona kwa macho ytu wat wapo wengn wananyanyasika na wasionenda na mikataba ya halali ni watanganyika ila wazanzibar wanatoka na mikataba halali na pia yanawakuta acha unafik ndg yng sema ukwly kwa mungu utaenda kuchomwa bure kwa uwong stupid nimechukie w.wke hatupendani kwly kusem ukwly ingekuwa nn pumbavu kbs
@waheedahtanzania49122 жыл бұрын
Niulize mie nilokutana nao walopigwa na mwingine akavunjwa mkono 🤣🤣unafanya maskhara wewe bro aisee kumbe bado mgeni wewe huko Oman ndomaana unaelezea nusu
@Salhiya-hr7dy2 жыл бұрын
Ata km c mgeni pengn boss wk ni mswahili anaelewa kil ktu akiongea ni upuuzi tu
@@Salhiya-hr7dy huna haki ya kumuwekea maneno mdomoni..uliosema ni yako mwenyewe..yaani hata yupo vizuri kikazi na mambo yake yapo vizuri mnataka aseme unavyotaka?
@waheedahtanzania49122 жыл бұрын
@@mzuvendi Usiropoke kujiongezea viroba vya dhambi my dear usifikirie wote waja huko kutafuta rizki basi wamekuja kuzini laahashaa hayajui kaa kimyaa,na kama unayakua usiyafiche qul haki wain kaana muraa,sema kweli,
@alhabsi64302 жыл бұрын
@@mzuvendi 🤣🤣🤣
@evodiaeverist86752 жыл бұрын
Jamani mimina itaji hiyo kazi huko Oman naitaji kazizandani
@ruqayaruqaya42832 жыл бұрын
Unayo passport?
@aminaamiri76842 жыл бұрын
@@ruqayaruqaya4283 labda inch ingne oman wameblock watz
@ruqayaruqaya42832 жыл бұрын
@@aminaamiri7684 watafungua
@ruqayaruqaya42832 жыл бұрын
@@aminaamiri7684 na sio tz ni tz uganda Kenya naigeria ila watafungua tuombe mungu
@aminaamiri76842 жыл бұрын
@@ruqayaruqaya4283 sindan maan mie nipo huku na tumeambiwa na emv
@Maryam-yt8lw2 жыл бұрын
Hawasemi kweli wanaogopa wanaona washtakiwa ila wana ficha mengine mateso yapo na afazal zipo
@mzuvendi2 жыл бұрын
Nenda karipoti Ubalozi au wapigie simu..watamtuma mtu wao ulipo..
@fatmaabdi88132 жыл бұрын
Nakingine maajenti wanaboa sana ukikita tz anashindwa kazi ujue kunashida kubwa lkn ajent ukimueleza hakusikilizi kabisaa
@mzuvendi2 жыл бұрын
Achana na ajenti wee njoo na mkataba wako mambo yako swaaafi!
@fatmaabdi88132 жыл бұрын
@@mzuvendi achana na maajenti akishakukabidhi kwa bos hana abar na ww bos mwenyewe ukishampa mkataba anausoma nakuufungia kabatini utekelezaji niwachache sana asilimia kubwa hawapati huduma stahiki