hujui kitu ww mfumo utakao waaccomodate ni 4 2 3 1
@bernardoleonard73313 ай бұрын
Ambangile kila Siku anawafundisha mfumo wa 433 n mfumo ambao upo well balanced na lazima uwe na wachezaji wenye sifa sahhi mfano kwenye viungo wako wa3 lazima wawe nasifa tofauti at least lazima uwe na natural DM, then unaweza kuwa na two 8s au one 8 ana no.10 mmoja.then uwe na front 3 yenye ma wings 2 na namba9 mmoja then na back 4 sifa ambazo yanga hakuna hivyo siyo suitable Ku accommodate 4-3-3
@kalulutv36383 ай бұрын
Hujawahi kuwa kocha wala kuucheza Leo unajadili wachezaji wanavyocheza 😂
@kolosii43513 ай бұрын
Gamondi anajua jinsi gani atawatumia hata kabla chama hajaja.