Mfumo wa Elimu ya Tanzania na Afrika na Maoni ya Wadau Kuboresha Elimu ya kikoloni ni moja ya chanzo kikubwa cha watu kushindwa kuendelea. Ukoloni mamboleo ni direct product of colonial education ambayo hadi sasa
Пікірлер: 71
@robertamos36462 жыл бұрын
Mijadala kama hii ndiyo ninayoipenda kwa maendeleo ya taifa letu.Hongera sana ndg.We need a paradigm shift.
@millieokoth3526 Жыл бұрын
Truth Well said EBM MORE LUV FROM KENYA 🇰🇪
@hamadmaruzuku85942 жыл бұрын
Heshima kwenu Brothers 🙏
@Bagenzi4life2 жыл бұрын
Haya mahojiano nimeyapenda sana ndani yake kuna facts nyingi sana uendelee kutuelimisha zaidi Msada wako ni wamuhimu sana kwa jamii Ubarikiwe Mr EBM✊🏿
@davjoh16672 жыл бұрын
That one shocked me,the budget for state house food and entertainment was higher than that for the agriculture ministry? This is Africa our leaders want us to remain fools for their own benefits.
@ndelezi2 жыл бұрын
Bro Makulilo,respect sana.
@MutuaCK2 жыл бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪 I second your point
@omaryngitu24432 жыл бұрын
Mimi ni mwalimu wa serikali,nimekuelewa vizuri sana kaka,elimu yetu inawaandaa vijana kuwa tegemezi na sio kujitegemea,SASA hivi kila chuo kinafikiri kutoa digrii na kusahau vyuo vya kati hasa vinavyotoa elimu ya kitegnolojia,ufundi na biashara,kila msomi anafikiri kuajiriwa serikalini ili kukaa ofisini tu,na kutotilia mkazo ubunifu,natambua umasikini wetu pia ni kikwazo ambapo umeharibu mpaka uwezo wetu wa kufikiri na kukata tamaa,na pia baadhi tuna tatizo la kuchagua Kazi na kudharau Kazi zingine,wakati tunatakiwa kuangalia fursa na sio mawazo mgando ya kuchagua Kazi,Mkuu unafanana kifikra na Mimi kwa asilimia kubwa,nimejisikia fahari kuniongezea maarifa.
@salehezahiri327 Жыл бұрын
Umeongea vizur sana mwalim aiseee, Asante sana Kwa ujumbe huu!.
@majirabonphace Жыл бұрын
Brother Mungu akubariki sana unatupa msaada sana
@Pgm1702 жыл бұрын
EBM Swahili, hongera sana bro, unafanya huduma nzuri na unatufungua akili.
@isaacsinkalas83662 жыл бұрын
Shukuran sana kiongoz wangu
@elialawi4382 Жыл бұрын
Nakufatilia sana nipo Geita uko sawa
@peterswai3912 жыл бұрын
Nice fact kaka God bless more brother, endelea kutielimisha Peter mathias swai Dodoma Tanzania
@jhecfoundationtanzania28912 жыл бұрын
Brother nakuelewaga sana, ubarikiwe sanaaaa
@ilovejesus9303 Жыл бұрын
Safi sana good debate
@djacobsamwel65782 жыл бұрын
mr ebm unaupiga mwingi sana ubarikiwe .jacobsamwel ndahani
@mrfestomsyangi13052 жыл бұрын
Nakufatilia sana kutoka Mbagala
@itispossible60582 жыл бұрын
Asante sana kwa ujumbe mzuri. Naomba mawasiliano yako
@lyimoej71982 жыл бұрын
Excited to learn
@nazalenolupola19322 жыл бұрын
Hii mijadara wabongo hawaitaki we wambie kuhusu harmonize
@ilovejesus9303 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣hayo nayo maneno kuntu. Si unaona hata views alizo Pata hapa kidogo
@augossmoshi29982 жыл бұрын
Thanks a lot
@maulidisaid73762 жыл бұрын
The nice thing is to learn through digital platform, thanks to EBM SWAHILI.
Kaka nimependa sana huu mjadala, mzuri sana. Next time naomba na me nishiriki endapo utakuwa na mwingine
@jennytugara94702 жыл бұрын
Yaani nilisoma English course mwaka mzima Form One mwaka wa pili ndio tunaanza masomo ya form one na bado waalimu wanatusaidia adjustment So Sad!!!!
@Best_wolframmusichub2 жыл бұрын
watching from belgium nawish kufika USA
@ansibertmiruko1865 Жыл бұрын
Belgium unafanya kazi gani? Are you in school?
@mussajuma90442 жыл бұрын
Safi Sana kaka
@mtwamgimwa40312 жыл бұрын
case closed, umemaliza kila kitu
@luckysichone67052 жыл бұрын
Elimu yako hakika inanifunguwa nilikuwa gizani kwelikweli balikiwa sana
@elialawi4382 Жыл бұрын
Unamambo ya msingi sana.
@ilovejesus9303 Жыл бұрын
Very true, Nje ukitaka kusoma serikali inasimama kidete usome usiwe tegemezi kwa serikali , wanajua ukipata elimu hela Yao itarudi kwa njia ya tax tu
@nashonkazabukeye24412 жыл бұрын
Broo keep it up unatuelimishaa Sana
@musaluben17582 жыл бұрын
We ni kioo Cha jamiii🇹🇿
@mosesjackson_tz2 жыл бұрын
akili kubwa sana hii
@benjaminchekenya42222 жыл бұрын
Kwa mambo haya mazuri yaliyo ongelewa hapa yakiwekwa kwenye mataendo kwa ushirikiano tunaenda kuwa wapya kwenye hii Dunia
@kibeginiblue71882 жыл бұрын
Uyu jamaa Ni muhimu sana
@mchunguliechibwa1982 жыл бұрын
Nimechelewa sana kukujua,,but all in all nimekuelewa sana..am working on it..lazima nikaishi mbele..now nipo kwenye preparation za mitihani ya IELTS nina work experience zaidi ya miaka ya 6 in insurance sector..kama mwajiriwa..sikubari lazima nitoboe kaka..god bless you always...
@ansibertmiruko1865 Жыл бұрын
Kila kitu chawezekana. Endelea
@davinno232 жыл бұрын
umeniongezea namna ya kufikiri na kuyaendea mambo kwa ufasaha
@douglasmamboya255 Жыл бұрын
Mimi mwenyewe nacukia sana shule natamani nimalize haraka sana
@dorothysista74632 жыл бұрын
Mfumo tulio nao haumwandai mwanafunzi kuweza kuwa innovative, creative na kuwa na moyo wa kujitolea kujiendeleza na kuwaendeleza wengine katika sehemu tunazoishi. Elimu yetu kwa sehemu kubwa inatoa theory tu. Pia na mazingira ya kumwezesha aliyemaliza shule kujiajiri na kujitegemea siyo rafiki au saidizi.
@herbertmbege16202 жыл бұрын
Mimi napenda kuomba greencard naomba email yako tuwe tunawasiliana naishi arusha lakini nyumbani ni matyazo kigoma naitwa herbert
@Salumchiwili20232 жыл бұрын
Yani bajeti ya ikulu ni kubwa kuliko bajet ya kilimo ooh my god 😪😪
@valentinernestkavishe72975 ай бұрын
Mimi natamani tubadilishe mfumo wa elim tujenge nchi yetu hadi wazungu watamani kuja Tanzania, sio kwenda ulaya Kujenga nchi za watu
@stivejayngoga14032 жыл бұрын
Mbona kila kitu Diaspora???? Maelezo tafadhali🙏🙏🙏
@thebisadorychannel75742 жыл бұрын
2022 bado mfumo wa elimu Tanzania haujabadilika. Lugha imekuwa ikichangia kupotosha Ufahamu wa mwanafunzi. Haimuandai mtu katika mausha ya kujitegemea. Sasa ndiyo hayo matatizo vijana wanakuwa wengi mtaani na kufanya vitu hatari. Ni tatizo kubwa kabisa waweke kiswahili moja kwa moja ama kiingereza moja kwa moja kuanzia darasa la nne. Naona Elimu Ulaya iko katika mfumo mzuri. Kijana au binti wa miaka 18 anaweza kujitegemea asilimia mia bila kutegemea wazazi na akiwa na kazi ya ufundi,mapishi,sales person hadi vituo vya afya .
@happinesscharles3457 Жыл бұрын
Ninafurahi mpaka napiga makofi unavyoelezea.
@jhecfoundationtanzania28912 жыл бұрын
Namba Ako siioni tena
@marymaimu2162 жыл бұрын
Mambo kama haya waTanzania hatuna muda nayo wakati ndio ya muhimu
@israelthomas86213 ай бұрын
Ni hatari sana
@josephmwakisu51762 жыл бұрын
Makulilonipe nambayako ya simu
@boniphacendengo472 жыл бұрын
Nice platform. Makurilo pata muda Tembelea platform yetu ya Bsmart brands Academy hope you can advise something
@nicodemusokama36492 жыл бұрын
Tupe mawsiliano yake
@alphoncehanura32552 жыл бұрын
Makontena ya makonda muliweka magari yenu ndani kwa nini? Yale magari yalikuwa yanaenda shule gani? Tuwe wakweli..... sisi Diaspora badala ya kukemea malpractice ilionekana nyie kutumia Makonda kwa faida yenu...... pamoja na nia yenu...... VP Dr Mpango alikuwa sahihi.kulipisha kodi.
@Laizer317 күн бұрын
ELIMU YA BONGOO HAMNA KITUU MAANA KAMA INGEKUWA NA FAIDA WACHINA WASINGEPEWA KAZI YA KUUNDA MADARAJAAA.WANGEFANYA WAHANDISI WETUU.
@marwamarwa68362 жыл бұрын
Blood pls nikutanishe na @shaban ramadhan Kaka
@peterlugomoka3605 Жыл бұрын
EBM mtaalaam
@jhecfoundationtanzania28912 жыл бұрын
Brother jawad khaki nimekusikia msaaada wako Bado tunakukumbuka
@mwangiikabz2062 жыл бұрын
Following from Kenya 🇰🇪
@nicodemusokama36492 жыл бұрын
Tupe nyingine
@jhecfoundationtanzania28912 жыл бұрын
Kaka please mawasliano yako tafadhali Kuna mambo ya kuzungumza
@gracekagoma32312 жыл бұрын
Tunakasumba ya kusoma na kupata ajira,usipopata unakuwa jobless .badala ya kujiajiri
@apostlesiza2 жыл бұрын
Bro unajuwa Sana na una akili nyingi sana
@jhecfoundationtanzania28912 жыл бұрын
Mawasliano tafadhali
@sumatanjunior2312 жыл бұрын
Please name the speakers in the video description. Ty.
@mwalimugoogletv37382 жыл бұрын
Kaka ebm kama mama watoto wako ni mzungu na anajua kiswahili fasaha nina BONGE LA KZbin NICHE kwa ajili yake.tuwasiliane
@Salumchiwili20232 жыл бұрын
Nipo nafuatilia mahojiano yako hapa kuhusu aina ya elimu yetu afrika unatema madini sana kaka