Bm your such a blessing ,napenda Sana unachokifanya
@michaelkomwiswa70482 жыл бұрын
Asante sana Bwana EBM naomba mtu unayehoji mwingine awe Ugandan tafadhali
@ApostleprophetMoses2-kx4gc Жыл бұрын
Naomba mnisaidie kufika marekani Bure nakupata nafasi za kazi
@blocksExpert Жыл бұрын
Sawa sawa❤❤❤❤
@charleskuyeko44002 жыл бұрын
Sasa unaposhinda na ukaja huko unaanzaje maisha. Unapokelewa na nani ktk ugeni wako mpaka uanze maisha.
@jacksonchiwalanga48172 жыл бұрын
Usijichanganye kurudi home broo,,,Don’t try umaskini unanuka hukuu bro
@ilovejesus93032 жыл бұрын
😃😃😃😃😃😃
@edwardmkwelele2 жыл бұрын
Hahaaaaaa
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Hamna natamani kurudi sasa nimeishi miaka 7
@barakamakasi50002 жыл бұрын
Nimekua wa kwanza kuitazama hii interview sasa kaka Mimi naomba nipe njia nyengine ya ziada pesa ninayo passport ninayo na n8a kuja huko ninayo
@dadyjo_2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/qIbToIiIZrlgedU
@raffeiystar28702 жыл бұрын
Omba m\ez wa 10 kila mwaka
@GodfreyMdemu-uw2lv Жыл бұрын
Usijichanganye kuludi Africa njaa hatarriiiii maisha popote pale kikubwa mafanikio tu Mimi sioni eti lazima uwe mtanzania wakati Tanzania huna maisha.
@rogermsenwa23172 жыл бұрын
Hapo sawa kabisa kaka
@annahmukai7775 Жыл бұрын
Mkuu Asnte yaani watu Africa tunakupata100 kwajili unatufaza na Kiswahili
@jocyjocy30502 жыл бұрын
Lol EBM is so silly @ Nendeni Kasulu mkaijaze Dunia 😂😂💃💃
@allyfatma7359 Жыл бұрын
Thanks bro
@vom84 Жыл бұрын
Mr. KILANGALI
@Therealrashyy2 жыл бұрын
Nilikuwa exposed kuhusu greencard mwaka 2017 nikimaliza chuo lakini sikutilia maanani. Mwaka 2021 niliomba fursa nyingine nikafanikiwa kufika marekani. Geeencard ni fursa kubwa mno...
@issahtz26112 жыл бұрын
Nisaidie iyo fursa kaka na mimi nijaribu kaka
@trophywilson7211 Жыл бұрын
@@issahtz2611 omba shule au visitors ,mie nilikwenda kwa visitors
@Abduli23 Жыл бұрын
Habari greencard unaipataje
@Educationtips_s2978 Жыл бұрын
Naomba No Mzee tuzungumze
@wemamanikana9791 Жыл бұрын
Hello kaka, mimi naomba unielekeze, kuhusu ku hii Green Card Lottery apply
@jacksonjohn7792 жыл бұрын
Much love mr EBM
@dadyjo_2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/qIbToIiIZrlgedU
@elimelindarobert58712 жыл бұрын
tusaidiane na sisi wengine tunahitaji
@isayandege18372 жыл бұрын
Habari ya leo kaka,,,,Samahani naomba nisaidie namna ya kuomba hiyo Green card
@pejutsatelsarakova7422 жыл бұрын
Asante BM kwa jinsi unavyotupa information. Hivi ukiipata wanakupa muda gani utumie hadi kwenda? Assume mtu kapata, anaweza kukaa mwaka kabla ya kuja huko?
@dadyjo_2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/qIbToIiIZrlgedU
@raffeiystar28702 жыл бұрын
Ukipewa Visa inatakiwa ndan ya miez 6 uwe umesafir.
@shamsamohamed35022 жыл бұрын
Tafadali tuambie ni kazi gani wanawake /female wana weza fanya huko marekani ihayo lipa hela mzuri. Ama like affordable sallary. Thank you
@TradingPHD2 жыл бұрын
Stripper
@edwardmkwelele2 жыл бұрын
Kulea wazee
@edwardmkwelele2 жыл бұрын
Kutunza wazee
@shamsamohamed35022 жыл бұрын
@@TradingPHD which other job
@shamsamohamed35022 жыл бұрын
@@edwardmkwelele which other jobs plz inform us
@saburimvano35142 жыл бұрын
Kuna umri wa mwisho kwa muombaji wa Greencard lottery?
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Hapana
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Ni kweli
@rashidkinguwili87312 жыл бұрын
EBM, sifa gani ya inaitajika kwa muombaji wa Green card Lottery?
@barakamakasi50002 жыл бұрын
Naomba unipatie Namba yako ya what's up mjomba tafadhali
@edwardmkwelele2 жыл бұрын
Nimecheza toka miaka ya 1990 hadi leo sijapata
@Kobe_2542 жыл бұрын
Jamaa bado mgeni... huyu bado ndani ya green card bado hajajua Marekani, changamoto ni mingi sana America.... kama amerudi nyumbani mapema hivyo amerudi home!! Marekani sio mchezo baba! baba!
@iqfxtrader86282 жыл бұрын
What happens when I have unpaid bank loan
@trophywilson7211 Жыл бұрын
They will give you just have the eligibility
@brownmwaibole8414 Жыл бұрын
Mkuu ninashida na namba ya walio mlimani city
@oxwad38362 жыл бұрын
Greencard🔥🔥🔥🔥 . 🇹🇿
@lukelopatrick31872 жыл бұрын
Nimefarijika na maelezo
@petermarwa38712 жыл бұрын
Si ulisema shalitu passport halitakiwi Tena mbaka ukishinda?
@b.emmanuel40882 жыл бұрын
Asante
@beatricecobbinah75412 жыл бұрын
Pls EBM am Beatrice from Ghana I have a JHS Certificate and Vocational school Certificate can I apply for the dvlottery And also my husband don't have any high school Certificate but he is a good Construction Carpenter in a Company can he also apply for the dvlottery.
@sanyolee13962 жыл бұрын
He can apply also,
@wilsonthuo76362 жыл бұрын
Did he answer you. Listening from Kenya
@happinessjoseph2431 Жыл бұрын
He talked about it he can apply through working experience You go through his videos and you will find this about him talking about it.
@rahelpaul3079 Жыл бұрын
Kwani kushinda gree card lazima uwe umeoa na kuolewa
@barakamakasi50002 жыл бұрын
Pia Mimi ninauzoefu was gadeni na kutengeneza viungu vya maua niokoe kaka nipo znz kwajil ya maisha lkn Mimi in mzawa wa dodoma
@dadyjo_2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/qIbToIiIZrlgedU
@sabinaonline65752 жыл бұрын
Siku umfanyie inteviu Roma mkatoliki Tupi huko
@olivierabwe9482 жыл бұрын
Kama auna pesa cash je utanyimwa green card lottery ??
@ApostleprophetMoses2-kx4gc Жыл бұрын
Nisaidie namana ya kuamba hiyo nafasi
@fatmabonge37042 жыл бұрын
Nipo na mwanagu anataka kuelekea uhaibuni anasoma f6 ila hatak kusoma anataka kusafiri ila tatizo lipo hapa ana umri miaka 22 ila t ana mwili mdogo yaan s mkuza sana nilimtafutia mtu yy alinijib kwa huy kuja uhaibuni labda afike miaka 25 naomba jamani nisaidiwe nafanyaje kutimiza malengo ya kijana wang
@olivierabwe9482 жыл бұрын
Je utanyimwa green card lottery pindi auna pesa cash
@fahadothman95542 жыл бұрын
Vipi nitauplay
@nahimanawanjani9865 Жыл бұрын
Kwanini mtu umeshinda wanakunyima visa kwa nn Mzee
@patomoe39502 жыл бұрын
🇹🇿👍
@everlynkilimba39632 жыл бұрын
✍️Tunasibiri siku ya kuanza ku apply
@mwakasagule2 жыл бұрын
Kwahiyo inakuwaje kuhusu kuomba
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Ila ukichelewa kurenew kipindi cha Trump walifukuzwa wengi wamehamia Canada
@chidybizz86842 жыл бұрын
Kwani huko marekani mnaona kama mbinguni au?😂😂😂
@elymollel2 жыл бұрын
Wewe endelea na mtazamo wako
@sleeprelaxation84312 жыл бұрын
maneno ya mkosaji, punguza makasiriko
@chidybizz86842 жыл бұрын
Tatizo lenu vijana mnahisi kwenda marekani ni kufanikiwa maisha acheni fikra mgando akili za kitumwa kabisa
@lucksonomari49992 жыл бұрын
Na wewe unatafuta Nini kwenye channel yake.
@isaacjaphet13142 жыл бұрын
Wewe kama unahisi marekani so chochote hakuna aliyekulazimisha usiendelee kukaa Tanzania... Waache wale wanaotaka kutafuta watafute... Watz mnaroho ya kwa nn Mpaka kwa maamuzi ya mtu binafsi... Mtakuja kua wachawi
Mnawashauri watu waombe green card kuna nini cha maana na ni upuuzi mtupu , wenyewe wamarekani wanahangaika
@rusakanyohenry69322 жыл бұрын
Hiyo greencard sio kwa kila mtu ni hasa kwa ambao wamesoma au wanaenda kusoma, kama huna cha kwenda kufanya wanashauri usiende🤣
@barakamakasi50002 жыл бұрын
Naomba nirafutie japo mpenzi atakae nipa urahisi wa kuja huko au kibarua kitachonipa urahisi na sio lazima marwkani hata nchi yeyote tuu kaka Mimi nipo tayar
@msalikemedia2 жыл бұрын
Hahaha 😃😂😂😂
@rashidhamad67822 жыл бұрын
pambana na maisha kaka baraka mda unapotea na wala usieke akilini mafanikio ya kufikirika, utapata uchizi. Ukiwa na mawazo ya kusema sisi ni masikini na tunaishi nchi masikini basi utakufa masikini, na ukumbuke hayo ni mawazo ya watu wavivu wa kutokufikiria kupambana na maisha. zingatia nilichokuandikia na la mwisho umasikini huanzia na mindset ya mtu.
@barakamakasi50002 жыл бұрын
Sawa lkn uwez amini tangu nianze tafuta pesa kwajil ya kushuhulikia haya mambo in muda sasa na pesa nakaribia kuikamilisha kwajil ya kusafil in ndoto zangu muda tu ila nilichotaka kama unafursa ujarbu kunipa njia na sio marekani nchi yeyote europe
@daprince75452 жыл бұрын
@@rashidhamad6782 😀😀😀Kaka unaumwaga mwingi sana 😄😄😄
@daprince75452 жыл бұрын
@@barakamakasi5000 tafuta passport ingia warabuni na kazi yoyote, Kabla hujasafiri fungua account bank save pesa. Coz hio account itakuja kukusaidia, mara nyingi utaftaji wa visa za Europe wanahitaji bank statement . Hio ndio Siri watu wengi wanafanya. Uombaji visa hua unakubali Kwa haraka coz tayar wewe ni msafiri.