No video

MGOGORO GHOROFA LA KARIAKOO/MTOTO AMKANA MAMA/MAMA AOMBA RAIS NA WAZIRI KUINGILIA KATI''ANADHULUMU''

  Рет қаралды 94,394

JAMBO TV

JAMBO TV

Күн бұрын

#JAMBOTV
MGOGORO GHOROFA LA KARIAKOO/MTOTO AMKANA MAMA/MAMA AOMBA RAIS NA WAZIRI KUINGILIA KATI''ANADHULUMU DADA ZAKE''
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZbin: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер: 190
@harounali9057
@harounali9057 Ай бұрын
Inna lilahi wainna ilayhi rajiun Allaah subhanahu wataala amrehemu mzee Abdallah Bahshuwan namjuwa vizuri niliwahi kufanya kazi kwakwe mwaka 1991 kabla sija ondoka 1992. Mashallaah mzee alikuwa habaguwi mfanyakazi na nilikuwa ana nipa kila siku nauli ya kurudi nyumbani ya dala dala na alikuwa aki I tazama kama mtoto wake Mohammad pale Morogoro Road na kuondoka kwangu kuna mchango wake. Mimi nilikuwa mfanya kazi wake tu.
@zainabzain3434
@zainabzain3434 Ай бұрын
Mashaaaaaaallah watu wema utajwa kwa wema wao Allah amrehemu
@ahz6907
@ahz6907 Ай бұрын
​@@zainabzain3434amyn
@gervas304
@gervas304 Ай бұрын
❤😊
@gervas304
@gervas304 Ай бұрын
😊
@husseinkarim7663
@husseinkarim7663 Ай бұрын
Waende kwa Waziri, huyo Arafat ataitwa na kukomeshwa, Slaa hana mchezo.
@abdallahally842
@abdallahally842 Ай бұрын
Dunia ni mapito muomgope aliekuumba na uwaombe radhi mamayako na dadazako muishi vizuri Mali ya dhulma haidumi
@vickyshayo7880
@vickyshayo7880 Ай бұрын
Anamkana hata mama yake huyo sio binadamu wa kawaida
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z Ай бұрын
mi sichangii chochote kwanza...mpaka nimsikie na uyo araphat 😊,,
@shuwanaliloka3816
@shuwanaliloka3816 Ай бұрын
Kosa la kwanza lilikua ni kumruhusu asimamie jengo wakati nae ana Mali zake. Poleni sana.
@shenamtukufu1224
@shenamtukufu1224 Ай бұрын
Wema umewaponza
@user-oo1vz3zi1t
@user-oo1vz3zi1t Ай бұрын
Jamani nini maana ya ndugu Arafat unamjua Mungu aliyekuumba kweli
@MariaCassian-e2i
@MariaCassian-e2i Ай бұрын
Wazazi wangu nawaehukuru kwakuturithisha mali kabla hamjafa kilamtu anatumia urithi wake sisi nikuwatunza tu hongereni sana kwa hekima mliyo jaaliwa na mwenyezi Mungu❤❤❤🎉🎉🎉
@batashqiraa9936
@batashqiraa9936 Ай бұрын
Hizi mali pamoja nyumba, mashamba, viwanja zitawapeleka watu wengi jehannamu, Ewe Mwenyezi Mungu tupe moyo wa kinaa na turidhike na unachoturuzuku. Lakini ktk haya mbaya zaidi huyo kijana amemshitaki mama yake, huyu ana laana
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 Ай бұрын
Hakika 😢amina pia 🤲
@evaristmbuya6220
@evaristmbuya6220 Ай бұрын
Shule muhimu sana ndugu zanguni
@aliborafia5710
@aliborafia5710 Ай бұрын
Poleni sana ndugu zangu mwenyezi mungu awasaidie
@VeronicaRugoyi
@VeronicaRugoyi Ай бұрын
Tamaa mbaya
@AllyBoko
@AllyBoko Ай бұрын
Mueshimiwa siraa wasimamie wapate aki zao mama amekuamini nawewe upo vizuri kakaka
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu Ай бұрын
Huyo sio kijana ni jinni
@bongo39
@bongo39 Ай бұрын
Huyo mtoto ana laana kubwa ila haki wataipata tuu hawa kina dada
@user-iw5hu3mc7l
@user-iw5hu3mc7l Ай бұрын
Ndo faida ya kusoma, huyu dada anaonekana amenda shule,
@PCNaz007
@PCNaz007 Ай бұрын
She was my class mate together with twin Amin
@ashuraomar4935
@ashuraomar4935 Ай бұрын
​@PCNaz007 who is twin
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 Ай бұрын
​@@ashuraomar4935Pacha wake, ndie anaitwa Amin
@farajiissa560
@farajiissa560 Ай бұрын
Nashukuru Baba angu aliniambia ananipa urith wa elimu tu na hakutaka niguse mali zake hawa watu wanaogombania mali hua nawashangaaa hata mm sitak watoto wangu waguse mali zangu wasome watafute vyao sitak mazoea yaaan mtoto nitampa elimu tu asome asisome shaur yake ila changu akiache
@evaristmbuya6220
@evaristmbuya6220 Ай бұрын
Nchi hii ina viongozi matapeli sana unasaini vip document bila kujiridhisha ??????????
@leokamil6284
@leokamil6284 Ай бұрын
Huwezi kuamini kuna familia naifaham mkoani imeuzwa na muolewaji na wanae tena inasemekana aliyenunua hiyo nyumba na Hati feki ni mstaafu wa Serekali kwenye kitengo ambacho huwezi kuamini anaweza kushiriki huo utapeli
@RamadhaniKitala-gx6wc
@RamadhaniKitala-gx6wc 25 күн бұрын
Dkt slaa yupo Insha'Allah kheir
@mpefu_4936
@mpefu_4936 Ай бұрын
Huyo kaka jambazi na mwizi
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 Ай бұрын
Hii mirathii hii mwisho wa ck huyu arafat ataanza kuwaroga dada zake ila kwa uwezo wa mungu arafat huta fanikiwa chchte maana unatumia nguvu ya dhulma 😢
@rosiehayatta2619
@rosiehayatta2619 Ай бұрын
Namashaka na Arafat anaweza kuwadhuru especially huyu msomi anayejielewa na mama yao ambay Arafat alikana sio mama yake anaweza kuwaua, ni jambazi
@leokamil6284
@leokamil6284 Ай бұрын
🤝
@jameschristian5876
@jameschristian5876 Ай бұрын
Mkewangu anasumbuliwa sana,itabidi nifanyejambo
@EDWINMAPUNDA-de4ds
@EDWINMAPUNDA-de4ds Ай бұрын
I wishes a all good jobs
@bongo39
@bongo39 Ай бұрын
Mtihani huyo arafati anaonekana ni mkorofi sana tunaomba waziri hii kesi uwatendee haki hao kina dada ili wapate haki yao na huyo kijana anaeitwa arafat afungwe kabisa jela ni dhulma mkubwa mshenzi
@Farryunique
@Farryunique Ай бұрын
Subhaana Allah
@MbarakSoud
@MbarakSoud Ай бұрын
Bismilaahi rahmani raahim namshukuru mungu tena sana alhaamdulilaah na yeye ni mfalme hakuna mwingine zaidi YAKE AMIN AMIN AMIN yaarab AMIN alhaamdulilaah namshukuru mungu tena sana kua mwislam dini iliyoo nyookaa na isiokua na shaka juu yake alhaamdulilaah uislam ni njiaa iliyoo nyookaa alhaamdulilaah JAMANI mama ni mama bila ya mama usinhekua mpaka Sasa umshukuru mungu sana Léo uko na mamã ako usimnyanyase mamã ako ndiyo mamã ako huo ni msibaa mkubwa inaaa lilaahiii wainaaa ilaahi raaajuhn poleni sana Mali ni pambo lá duniani tu mnagombaniani Mali hhhhhhhh
@suleimansultan3333
@suleimansultan3333 Ай бұрын
Huyu arafati atiwe ndani Kwa wizi
@browskymuba6923
@browskymuba6923 27 күн бұрын
Haipendezi ndugu kugombana
@user-sj3wf5vz7l
@user-sj3wf5vz7l Ай бұрын
Huyu mkurugenzi nae achunguzwe
@user-xy8ev8dp5w
@user-xy8ev8dp5w Ай бұрын
Mtauzaje mali ya familiy bila makubaliano ata mm sikubal
@eddieeddie2755
@eddieeddie2755 Ай бұрын
Jamaa mkorofi, kabla sijamsikia poyoyo zake.
@Ericzdeking24
@Ericzdeking24 Ай бұрын
Mama samia kuna wakurugenzi wako huku wananyanyasa wanawake wenzio huku.Mama ingilia kati.
@abdulmgassa7848
@abdulmgassa7848 Ай бұрын
Asalam Dada pole sana nina wajua sana poleni ndugu wajaabu sana usipokuwa wangalifu huyo jamaa atawaua hatari sana kuweni wangalifu sana Allah awasimamie dada tafuta walimu ndio ninacho kushauri alafu pia ibada mshitakie kwa Allah kila siku huyo isimuonee huruma huyo kashakuwa shetani
@TOUNDISELASSIE-xj8oy
@TOUNDISELASSIE-xj8oy Ай бұрын
Watendaji mliotajwa na mlalamikaji mjitahidi kufuata sheria. Ili kupunguza watu kumuomba rais awasaidie katika matatizo yao.
@saidbhanji4234
@saidbhanji4234 Ай бұрын
DUH !! NOMA HAPO AMEFELI DADA YAKE KALISANUA NA ANAJUWA HAKI ZAKE.
@MA-ht7po
@MA-ht7po Ай бұрын
maheremu Alikuwa mfanyabiashara maharufu dar,Alikuwa rafiki yake mzee Kenya
@shuwanaliloka3816
@shuwanaliloka3816 Ай бұрын
Yani kamshtaki mamake mzazi mahakamani jamani kweli😢
@mimahtv2974
@mimahtv2974 Ай бұрын
Hao ndy wanaotia uchizi ndugu zao kisa mali na kaliakoo mtindo huo upo sanaaa…!😭😭😭
@erickkayumbo5669
@erickkayumbo5669 Ай бұрын
Mama Samia,ona wanyonge wanavyoonewa,tusaidie wanyonge😭😭😭, Mama Samia kuna watu wanaonewa sana.
@user-to4jw7tm1j
@user-to4jw7tm1j Ай бұрын
Hão ndio wanaouwa ndugu zao Kwa sababu za mali
@user-to4jw7tm1j
@user-to4jw7tm1j Ай бұрын
Mali ni zao kushatumia sana wenyewe wanazitaka wape Kwa Armani utaazirika bure
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 27 күн бұрын
Mimi bana mali yangu ni yangu mtoto atafute mali yake ndio mana now nawapa elimu coz hata mimi babayangu hajanipa chochote alisema nibcha mamayangu
@user-lt2qh5dj1b
@user-lt2qh5dj1b Ай бұрын
Dada nakubar sana❤
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 Ай бұрын
Ndugu bongo kwenye Mali hawaaminik hata sekunde
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 27 күн бұрын
Mimi siwezi kugombania malia ambayo siiijui hata mzee aliipataje mtu mzima ushaolewa ushaoa unataka mali za marehem kkkk hebu fanyeni mambo yenu
@mahmoudhaji3526
@mahmoudhaji3526 Ай бұрын
Uislamu kuna kurithi sio kusimamia
@sophiesadick5510
@sophiesadick5510 Ай бұрын
Hujamuelewa. She is straight
@khamis9187
@khamis9187 23 күн бұрын
Mali na watoto ni mtihani na changamoto.,
@suleimansultan3333
@suleimansultan3333 Ай бұрын
Dada yupo sahihi kabisa apewe msaada kutetea hakiyake
@saidmohd7240
@saidmohd7240 24 күн бұрын
Baba wa familia/marehemu ndie aliesababisha mgogoro kwa watoto wake! Kurithisha kabla hajafa na kuandikia watoto! Mirathi imeshagawiwa na Allah Mtukufu!
@pidibegashe768
@pidibegashe768 Ай бұрын
Tamaa ndio shida ... Kama pesa kapigia dance hapambane na haliyake
@user-tm5jl5ym8q
@user-tm5jl5ym8q Ай бұрын
Pole dada zangu mola hatawasaidia
@angonzamujunangoma8775
@angonzamujunangoma8775 Ай бұрын
Tatizo shule,yaani mtoto wa kiume unashindwa kutumia nguvu zako mwenyewe kutafuta mali zako za halali unaanza kudhurumu mali za dada yako😢😢
@Zainab_salat
@Zainab_salat Ай бұрын
Eti ana nguvu si mlemavu atafute mali yake na baya zaidi kuwa na laana ya mama
@stefanomasolwa8979
@stefanomasolwa8979 Ай бұрын
Huyo kaka ajitahindi Ajishushe kweli kuomba Msamaha kwa dada zake kama sio atakuwa na Laana kweli
@taflamohsin2195
@taflamohsin2195 Ай бұрын
Lahaula wala quwata illah billah, mashakil kama haya ni mengi sana,hasa kwa ndugu wenye roho mbaya na ndugu zao,ni kweli kabisa mwisho wake ni kurogana na udugu unavunjika.huwezi kula mali ya dhulma,kila mmoja keshapewa chake,duh tamaa hio.Allah atufanyie wepesi ,
@zulfahaji91
@zulfahaji91 Ай бұрын
Huyu jamaa noma hafai kua kiongozi
@joycemuhoja4729
@joycemuhoja4729 Ай бұрын
Nashangaa sàna mnalithije wakati mama yenu yupo?
@aminaosman3315
@aminaosman3315 Ай бұрын
,serikali hapa hapa tanga kama haipo
@alhabibsudi7997
@alhabibsudi7997 Ай бұрын
Mtoto wa Kiume unaenda kudai Mali za wenzako Pambana utafute zako shuwaini mmoja na Ingekuwa nipo kariakoo ningekupiga vitasa mchana kweupe, shenzi sana, mtoto wa kiume Fanya kazi utafute mali żako sio kudhulumu wenzako tena ni Wanawake unaowaonea
@mkamamapigano1486
@mkamamapigano1486 Ай бұрын
Pray for this family 🙏
@NardhisMhagama-sy3eq
@NardhisMhagama-sy3eq Ай бұрын
Wakurugenzi wa mama
@EDWINMAPUNDA-de4ds
@EDWINMAPUNDA-de4ds Ай бұрын
I LOOK GOOD AND ENJOY WELL
@ThatGuyKRXZY
@ThatGuyKRXZY Ай бұрын
Shame on u Arafat Bahshwan.Hata pepo hutoiona katika maisha yako 😡
@ashuraomar4935
@ashuraomar4935 Ай бұрын
Kabisaa yaani anatusikitisha sanaa huyu Arafat ni mdogo sana kwa ndugu zake. Ana tamaa ya wanawake ndio sababu anakuwa tapeli
@haikaelkiwia9705
@haikaelkiwia9705 Ай бұрын
Sasa kwa nini anaficha uso wake?? Bado ana hofu, kuwa wazi kwani ni haki yako
@SaleheHaji-ne7md
@SaleheHaji-ne7md Ай бұрын
asalamualsykum arfat harakakwamm urazimuhimu,,
@salmanmagwe222
@salmanmagwe222 Ай бұрын
MUHESHIMIWA RAIS WIZARA YA ARDHI KWA SASA INAHITAJI MUIFUMUE KWA KUIONGEZEA NGUVU ZA KIUTENDAJI,NA PIA IWEZE KUSHIRIKISHWA NA MAHAKAMA ILI IKITOA MAAMUZI YAHESHIMIWE KWANI MAHAKAMANI NDIO KIMBILIO LA VIBAKA WANGI,MKILIZIBA HILI PENGO MTATUSAIDIA WANANCHI.
@shekhamazrui9660
@shekhamazrui9660 Ай бұрын
Mwambie Arafat ajikaze angalie mipango mingine
@jumasalum991
@jumasalum991 Ай бұрын
Slaa mama kumwamisha wakati anafanya vzr
@suleimansultan3333
@suleimansultan3333 Ай бұрын
Dada anahitaji ulinzi uhai utaponzwa Kwa kutetea haki yake
@salumjuma3152
@salumjuma3152 Ай бұрын
Bwana arafat kama kashapewa chake alafu anataka kufanya manyanganyi na manyungunya yatamponza atakosa mpaka radhi za wazee wake kwa kugombania mali
@faridhassan6834
@faridhassan6834 Ай бұрын
Ushauri nenda kwa mkurugenzi wa Takukuru
@KhadijaSalum-nf5mf
@KhadijaSalum-nf5mf Ай бұрын
Mzee alionaa mbali kwa watoto wake kiasi cha kuwagaiya mali before hajafa ktk matumbo hutoi watoto wote wakawa sawa lazima utatoa mtoto mmoja mkorofi baba yao Allah amrehemu ampe kauli thabit hiko aliko lkn dhulma maisha haidumu haki ya hao dada zake biidhnillah wataipata huyo arafat hajui kulinai na dhulma kaweks mbele
@JUMAMGWENOMGWENOABDALHAMAN
@JUMAMGWENOMGWENOABDALHAMAN Ай бұрын
Wazili kwanza awo walioweka mabango wawekwe ndani saa sita unawezaje weka kalatasi ktk maduka ya watu
@aminaosman3315
@aminaosman3315 Ай бұрын
,wakuu wa mkoa na wilaya na kamati zote za ulinzi na usalama wanajua lakini mjane mkono wake mfupi wenye watamba hawezi kupata haki zake mbele fulus
@leokamil6284
@leokamil6284 Ай бұрын
Wacha tu hao ulowataja ndio mashahidi balaa wa dhulmati wa mali za watu
@SabryNassir
@SabryNassir Ай бұрын
Hatari na nusu mungu awe upande wenu wenye hakki nyie nindugu zetu kbs
@JUMAMGWENOMGWENOABDALHAMAN
@JUMAMGWENOMGWENOABDALHAMAN Ай бұрын
Wewe mtoto wa kiume pambana acha kungangania mali za dada zako
@user-tg7vq3ty8p
@user-tg7vq3ty8p Ай бұрын
Mkurugenzi iiiiiiii.
@aliborafia5710
@aliborafia5710 Ай бұрын
Arafat arafat arafat mohamed abdallah bahashwan
@MrKhatibu
@MrKhatibu Ай бұрын
Arafat unafikia kumkana mama yako kwa tamaa ya pesa? Tafadhali haraka sana nenda kamuombe radhi kwa. haraka sana.
@NanaMaembe
@NanaMaembe Ай бұрын
UYO ALAFATI NI CHOKO TU..... MKUNDU UNAMUWASHA..... AMEONGA VYAKE..... SASA ANATAKA VYA WENZAKE
@khalifakyabitara4761
@khalifakyabitara4761 Ай бұрын
😂😂😂
@ChartyCharz
@ChartyCharz Ай бұрын
Waziri amchunguze uyu mkurugenzi
@user-yb6wh1bk9d
@user-yb6wh1bk9d Ай бұрын
Muhim hpo kujua sheriya tumesoma lkn sheriya hatujui mambo hyo yanaenda na sheriya
@danielmakelemo2395
@danielmakelemo2395 Ай бұрын
Rushwa na dhuluma ni zao la ibilisi Hata wakuu wa idara wanapewa rushwa
@leokamil6284
@leokamil6284 Ай бұрын
Sana nchi hii
@zuenahassan8882
@zuenahassan8882 Ай бұрын
Ina maana mali alio gawanyiwa haiku mfuraisha..amekuwa na wifu na mali ya dada zake..hizo ni dalili za uchawi yaani huruma mliokuwa nayo wakati baba yuhai tayari umekuwa na roo ya kinyama mpaka umkane mamaako mzazi aah kweli dunia inahadaa😢
@user-mz4gx2ek9y
@user-mz4gx2ek9y Ай бұрын
Kuma Mae hi serikali ya ccm inaajiri wez maana mkurugenzi kalarushwa ndio maana wanakukimbia washitakin wote SI mkurugenzi SI tanesco wote peleka mahakamani
@respiciuskabigumila5246
@respiciuskabigumila5246 Ай бұрын
Hivi mtu anaingiaje kwenye mali zangu bila idhini yangu? Namtoa nduki simbembelezi kivyovyote.
@DamasAmos-ue2gh
@DamasAmos-ue2gh Ай бұрын
Slaa uyompuzi mutiendani malamoja uyo nijambazi anataka kuwazulumu dada zake pigandani uyo usimwonee uluma
@xcaliber8300
@xcaliber8300 Ай бұрын
Jina lenyewe arafat (kusambaratisha)
@husseinbakromar5865
@husseinbakromar5865 Ай бұрын
Mali ni fitna na va duniai tutaviacha tuacheni dhulma
@stevenmwenda3005
@stevenmwenda3005 Ай бұрын
Arafati arafati mwogope Mwenyezi Mungu ivi leo kama baba yako mzazi angefufuka akaja nyumbani utafichia wapi uso wako na baba akasikia umemkana mpaka mama yako mzazi mke wa baba yako ivi utasema nini
@SalimKombo-xo4pq
@SalimKombo-xo4pq Ай бұрын
Mwizi huyo. Inabidi achukuliwe hatua kali na serikali
@user-cr4th9lr6b
@user-cr4th9lr6b Ай бұрын
Huyu kaka ndio tapeli
@mbwanamtops4936
@mbwanamtops4936 Ай бұрын
Sabaha ! allah atawasimamia wewe na dada zako na haki yenu haitapotea . Maelezo yako yamenyooka sana . Inaonyesha Kaka yenu Arafat ana mtihani sana na anawaletea Vurugu kubwa . Hakika wahusika, wataiona hii clip na wataguswa kama tulivyoguswa sisi watazamaji tu na majirani pale Agrey . Anatia aibu ndugu yenu Arafat . Hafai kabisa kuwaongoza na kuwasimamia licha kuwa Wakiume .
@HabibuHoseni-sv8hd
@HabibuHoseni-sv8hd Ай бұрын
Jmn hii dunia hii inatupeleka kasi san arafat acha izo ongea na dada zako kwa wema kama umeishiwa watakusaidia kwa hiar
@adammjomba5814
@adammjomba5814 Ай бұрын
Hilo ndio tatizo vijana wengi sana hupenda kurithi hawataki kutafuta chao wala hawataki kusoma kwa sababu baba au mama ana gorofa au mali matokeo yake ni kugombana na kuuana kwa sababu ya mali ya kurithi ( tafuta mali zako hata wewe ni binadamu kama huyo alieziacha
@husna34562
@husna34562 Ай бұрын
Zama zetu mirath inatenganisha ndugu 😢mwenyezimungu atupe kinaa
@alihussein4303
@alihussein4303 Ай бұрын
Mimi Kaka zangu wamenitumia mapolisi wanne waje wanikamate kwa kudai urithi wangu! Daahhh . Dunia ya kupita tuu .
@Zainab_salat
@Zainab_salat Ай бұрын
Wana njaa tu, siwatafute mali zao
@user-hq9tm8ph9z
@user-hq9tm8ph9z Ай бұрын
Hahahaha Ila haya mambo
@evaristmbuya6220
@evaristmbuya6220 Ай бұрын
Tusomeshe watoto aiseee😢
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Ай бұрын
Kwani hao wanaosomeshwa hawagombei Mali? ,,,,Mali ni mtihani tu
@user-md7ug5dd9r
@user-md7ug5dd9r Ай бұрын
Inaumiza sana ila wazira anaweza kuwachukuli hatua waliotoa kibali cha kuvunja jengo ili wengine wajivunze .. Ina maana watoa vibali wanweza kuto kibali bila kuwa na uhalali wa jengo?
@maryaugustino8716
@maryaugustino8716 Ай бұрын
Hili likaka nijambazi sugu, na wakiliachia linaweza kuleta madhara kwenye familia yake, mtu unamkana mama yako kwa ajili ya mali? Huyu aangaliwe asije let madhara maana lina tamaa ya mali za dada zake. Lifungwe jela wala lisichekewe.
@Ericzdeking24
@Ericzdeking24 Ай бұрын
Yaani mali hizi zinavyosumbua ambao hawajazichuma.Nimeyaona kwa macho.
@aminaosman3315
@aminaosman3315 Ай бұрын
,na pesa zake mchukue kwenye akaunt na mjane mumshitaki kuwa ni mvamizi mumzalilishe kwa haki zake mumsimamishe mahakamani walahi mmeitia doa uislam hijawahi kutokea tasisi ya kiislam kumdhulumu mjanelakiniallah hahongeki wala harogeki kama hawakupa hapa duniani wataikutaakhera huko ndio bora zaidi
Пройди игру и получи 5 чупа-чупсов (2024)
00:49
Екатерина Ковалева
Рет қаралды 4,3 МЛН
What will he say ? 😱 #smarthome #cleaning #homecleaning #gadgets
01:00
Before VS during the CONCERT 🔥 "Aliby" | Andra Gogan
00:13
Andra Gogan
Рет қаралды 10 МЛН
TAJIRI WA MABUS  SUPER FEO ATOA SIRI YA KUWA BILIONEA
10:36
Wasafi Media
Рет қаралды 80 М.
MTANGA NA BAMBO ,MITEGO YA MTEJA WA GENGENI ,UTACHEKA.
9:11
MTANGA COMEDY TZ
Рет қаралды 418 М.