Mkaisaidie nchi hii tuepukane na hizi fidia za kushindwa makesi ya kimataifa na kulipa mabilioni . Shida iko wapi? Hii mikataba jamani tunaingiaje wapendwa wasomi wana wa nchi? Unganeni na TLS na taaluma zingine nchi hii tuepuke makesi hayo.
@benedictmrisho18002 ай бұрын
Tanzania madini bado hayajawa baraka kwetu kisawasawa kama si.kutoroshwa basi kupigwa kupitia mikataba mibovu hii imekaaje wasomi nchi hii? Hivi kweli tunaweza kujivunia usomi wetu ? Upigwe kutorosha na fidia kwa mikataba ya hovyo kuna baraka gani kujaliwa madini? Kila msomi nchi hii ajisaili nafsini mwake tufanye nini uwepo wa madini uwe baraka kwa nchi hii.