MADINI DIARY FINALE EPISODE 1
15:18
TANZANIA UNEARTHED
4:27
8 ай бұрын
Waziri wa Madini, Anthony Mavunde
35:27
Пікірлер
@JohnMabustar
@JohnMabustar 14 күн бұрын
Safi sana mwekezaj mzawa umenikonga moyo Mimi mwenyewe nahusika kwenye upande wa tyre retreading business
@ramamabinda5063
@ramamabinda5063 16 күн бұрын
Nakerwa sana na migodi yetu kua mashamba ya wageni. Hivi ni kweli nchi imeshindwa kuweka mashine za kusafisha madini tulionayo? Viwanda vya chuma, havifanyi vizuri, viwanda vya aluminium havifanyi vizuri. Viwanda vya dhahabu, almasi na madini mengine, hakuna. Sasa ninyi wizara kazi yenu ni kitu gani? Kama kweli mna nia ya kumkwamua mtanzania kutoka katika umaskini? Nchi imekua shamba la wababe wa dunia, na ninyi mmetulia tu kwakuwa watoto wenu wanasoma shule nzuri za gharama.
@HajiKlein-so1rk
@HajiKlein-so1rk 16 күн бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💯🫣
@wilsonmalias3122
@wilsonmalias3122 16 күн бұрын
umesikika mama
@FilbertRobert-e4u
@FilbertRobert-e4u Ай бұрын
Sawa
@ibrahimkabeniani4934
@ibrahimkabeniani4934 Ай бұрын
Makinikia yalizuwa namagufuri yasitoke imekuje tena
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 Ай бұрын
Majengo mengine yameisha nyie mna suasua
@CANAANTZ_TV
@CANAANTZ_TV Ай бұрын
Jipatie vitabu vya kiroho bureee Kwa njia ya WhatsApp Bomyeza profile yetu kushoto mwa comment hii
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 2 ай бұрын
Ni hatua nzuri sasa tupambane tuwe na soko.la kimataifa la madini kwa Afrika kutokana na aina nyingi za madini tuliyonayo. Pia tuwe na reserves za madini hayo hapa Tanzania. Tuwe makini na mikataba ya kimataifa ya madini pia.
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 2 ай бұрын
Tuendelee kuwaendeleza mdogomdogo watakua tu. Hata hawa wakubwa once walikuwa wadogo.
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 2 ай бұрын
Sekta kweli inakua lakini pia tuangalie chanzo za makesi ya fidia nyingi na tuyaepuke vipi maana fidia zinaashiria kuvuna na kulipa wageni.kama faini za kushindwa makesi.
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 2 ай бұрын
Tanzania madini bado hayajawa baraka kwetu kisawasawa kama si.kutoroshwa basi kupigwa kupitia mikataba mibovu hii imekaaje wasomi nchi hii? Hivi kweli tunaweza kujivunia usomi wetu ? Upigwe kutorosha na fidia kwa mikataba ya hovyo kuna baraka gani kujaliwa madini? Kila msomi nchi hii ajisaili nafsini mwake tufanye nini uwepo wa madini uwe baraka kwa nchi hii.
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 2 ай бұрын
Mkaisaidie nchi hii tuepukane na hizi fidia za kushindwa makesi ya kimataifa na kulipa mabilioni . Shida iko wapi? Hii mikataba jamani tunaingiaje wapendwa wasomi wana wa nchi? Unganeni na TLS na taaluma zingine nchi hii tuepuke makesi hayo.
@CANAANTZ_TV
@CANAANTZ_TV 5 ай бұрын
Haleluyaaa Jipatie vitabu vya maombi ya kiroho bureee Kwa njia ya WhatsApp 1=Maombi ya kuvunja nguvu za kichawi zinazoharibu maisha Yako 2=Maombi ya vita vya kiroho Bonyeza picha kushoto mwa comment hii tutakutumia bureee kabisa
@CANAANTZ_TV
@CANAANTZ_TV 5 ай бұрын
Haleluyaaa Jipatie vitabu vya maombi ya kiroho bureee Kwa njia ya WhatsApp 1=Maombi ya kuvunja nguvu za kichawi zinazoharibu maisha yako 2=Maombi ya vita vya kiroho Bonyeza picha kushoto mwa comment hii tutakutumia bureee Kwa njia ya WhatsApp
@CANAANTZ_TV
@CANAANTZ_TV 5 ай бұрын
Haleluyaaa Jipatie vitabu vya maombi ya kiroho bureee Kwa njia ya WhatsApp 1=Maombi ya kuvunja nguvu za kichawi zinazokushambulia kwny maisha yako 2=Maombi ya vita vya kiroho Bonyeza picha kushoto mwa comment hii tutakutumia bureee Kwa njia ya WhatsApp 2=
@CANAANTZ_TV
@CANAANTZ_TV 5 ай бұрын
Haleluyaaa Jipatie vitabu vya maombi ya kiroho bureee Kwa njia ya WhatsApp 1=Maombi ya Kuvunja nguvu za kichawi zinazokushambulia kwny maisha yako 2=Maombi ya vita vya kiroho Bonyeza picha kushoto mwa comment hii tutakutumia bureee Kwa njia ya WhatsApp
@CANAANTZ_TV
@CANAANTZ_TV 5 ай бұрын
Haleluyaaa Jipatie vitabu vya maombi ya kiroho bureee Kwa njia ya WhatsApp 1=Maombi ya kuvunja nguvu za kichawi zinazokushambulia kwny maisha yako 2=Maombi ya vita vya kiroho Bonyeza picha kushoto mwa comment hii tutakutumia bureee
@mussamabawa2973
@mussamabawa2973 Жыл бұрын
Upuuz mtup
@ezekieldeus6022
@ezekieldeus6022 Жыл бұрын
Mbona tamuko hilo tangu limetolewa leo nizaidi ya miezi mitano halijafanyiwa utekelezaji?.
@braytonpeter4578
@braytonpeter4578 Жыл бұрын
Upo sawa
@twinsstz
@twinsstz Жыл бұрын
Kazi iendelee
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw Жыл бұрын
Kitu muhimu ni kuwa na migodi inayosimamiwa na serikali hiyo inafungwa na nchi nyingi na pesa inabaki nchini hao mnao wapambia hera inaenda kwao kuendeleza watu wao Sisi tumekalia udalali lazima tufanye uamuzi mgumu na faida ikuwepo.
@gabrielmasanyiwa3889
@gabrielmasanyiwa3889 Жыл бұрын
Weldone
@prof.abusakelsaleh3524
@prof.abusakelsaleh3524 2 жыл бұрын
Ahsanteni sana kwa taarifa kama hizi.✍️🙏
@Burner_Acc
@Burner_Acc 2 жыл бұрын
Whomever wrote the title deserves a demotion, what is OPPOTUNITIES IN MANERAL?
@sportscampaigntz7589
@sportscampaigntz7589 3 жыл бұрын
Kazi Nzuri
@letsexploretanzania8611
@letsexploretanzania8611 3 жыл бұрын
kazi nzuri Wizara ya Madini
@rehemamnango9322
@rehemamnango9322 3 жыл бұрын
Hongera sana mdogo wangu mwenyezi mungu azidi kukuongoza
@agathalyamuya9358
@agathalyamuya9358 3 жыл бұрын
Hongera Tanzania kwa kujaliwa madini mm nipo Arusha ,kuna shehemu nimeona madini aina ya greetomalin na haijachimbwa
@drimazonechoice9822
@drimazonechoice9822 3 жыл бұрын
chake me
@giftmunisy8364
@giftmunisy8364 3 жыл бұрын
Chale me
@giftmunisy8364
@giftmunisy8364 3 жыл бұрын
Chale me
@mabejamabeja3358
@mabejamabeja3358 2 жыл бұрын
Jipange na omba leseni ukawekeze
@smallscaleminingsupplies9670
@smallscaleminingsupplies9670 3 жыл бұрын
Mkuu tunafunga CIP, mma operation kubwa kufunga CIP nafanya vizuri zaidi, na mtakata operation costs zenu sana ukiwa na interest tuwasiliane 0753806559
@highcalling3012
@highcalling3012 3 жыл бұрын
Chapa kazi muheshimiwa.. Hakuna nchi au kazi bila kanuni..usipofuata taratibu kwa hiari,utafuata kwa LAZIMA.NO WAY
@dustinedward5280
@dustinedward5280 3 жыл бұрын
A tip: you can watch movies at Kaldrostream. I've been using them for watching lots of of movies during the lockdown.
@paxtonmoises4634
@paxtonmoises4634 3 жыл бұрын
@Dustin Edward Definitely, been watching on KaldroStream for since november myself =)
@cainroberto1173
@cainroberto1173 3 жыл бұрын
@Dustin Edward definitely, I've been watching on KaldroStream for since november myself :D
@tisamokebulemasubugu6222
@tisamokebulemasubugu6222 3 жыл бұрын
Niliomba kujua being ya Arumasi na huuzwa wapi hapa nchini kama MTU anayo
@lameckmbelwamrbrand6553
@lameckmbelwamrbrand6553 4 жыл бұрын
MUNGU AZIDI KUWATIA NGUVU NA MAFANIKIO MEMA
@deogratiaspsubaila5529
@deogratiaspsubaila5529 5 жыл бұрын
Mwenyekiti wa soko la madini Kahama bwana Emanuel Kidenya akifafanua jinsi ya faidi iliyopatikana na uazishwaji wa soko la madini nchini. Pia afisa deo kama msimamizi mkuu wa soko la madini kahama akitoa elimu juu ya kuandika kumbukubu za uuzaji wa dhahabu na kodi zake.
@reubenbusanji2904
@reubenbusanji2904 5 жыл бұрын
Jifunzeni kutumia wanasheria mnapoingia mikataba
@gloriamwasote1673
@gloriamwasote1673 5 жыл бұрын
Upande wa madini chunya kuna kero sana baina ya wachimbaji na wamiliki wa ardhi hii imefanya wenye ardhi kunyanyasika sana katika kutafuta haki zao mfano kuna mama hapo aligomewa kuruhusiwa kuongea na alinyoosha mkono kwa muda mrefu sana na mkuu wa wilaya na watendaji wake wanaijua kesi yake na awali alishaenda ofisi ya mkuu wa wilaya na alijibiwa ovyo sana na mkuu wa wilaya huyo mama anahangaika sana kesi yake ina zaidi ya mwaka wanamfanyia figisu uongozi wote na wamejipanga kuanzia ngazi ya kijiji na wameingilia hadi kwenye uchaguzi wa serikali za kijiji uongozi uliokuwepo wameambiwa wasitoke ili waendelee kuibeba hii kesi na kuichengesha haki kiufupi mtendaji wa kijiji cha chokaa, mwenyekiti na wajumbe wake pia hata mkuu wa wilaya hatuna imani nao kabisa wamemchafua huyo mama kila ofisi akienda anaonekana ni kero sababu anadai haki zake za ardhi kutoka kwa mwekezaji sasa wameungana wamemny'anga'anya wanasema eneo ni La kijiji mchimbaji aendelee kuchimba
@gloriamwasote1673
@gloriamwasote1673 5 жыл бұрын
Nimemuona mamaangu, japo mkuu wa wilaya ulimbania nafasi ya kuongea kwa makusudi asitoe kero yake ambayo mnamtesa nayo kwa zaidi ya mwaka pia alikuja ofisini kwako ulimjibu ovyo sana ila Mungu ni mwema atatenda kwa wakati wake namshukuru huyu Mungu kwasababu amempa hili jaribu lakini pia amempa nguvu pia za kupambana bila kuchoka. Pia kwangu imenisaidia sana kumjua huyu Mungu sana sababu kesi yake imenifanya hata nimefika hatua ya kufunga kwa maombi kitu ambacho ilikua ngumu mwanzo wao wana pesa sisi tunae Mungu.
@alphoncesamwel3380
@alphoncesamwel3380 5 жыл бұрын
Mungu ibariki nsangano gold mine project
@lameckmbelwamrbrand6553
@lameckmbelwamrbrand6553 4 жыл бұрын
HAKIKA WAKO VIZURI