Safiiiiii chama cha wenye fikra endelevu na maono ya watanzania
@williamgideme26892 жыл бұрын
Hongera Mungu awatangulie watetea haki
@yohanaphilipo41322 жыл бұрын
Pow
@hezronsanga51972 жыл бұрын
Chadema chama makin one love
@mchawaamanmchawa5932 жыл бұрын
Safi sana mkuu
@kennyrogers47342 жыл бұрын
Kweli kbs awamu ya 5 watu walichukua kadi za CCM ili kulinda biashara zao na uhai wao yaan hofu ilitanda miyoyoni mwa wananchi wengi
@evaemil8562 жыл бұрын
Hapo umenena kweli, wengine tulichukuwa card na kusimamia uchaguzi tukijua tutapata kazi ya kuajiriwa na serikali kwani ndiyo tu tulikuwa tumegraduate tubatafuta kazi ndo pa ikatokea uchaguzi basi tukafwatwa college kwetu kumbe hamna lolote mpaka Leo watu tunapiga teke kutafuta kazi.
@kennyrogers47342 жыл бұрын
@@evaemil856 Ndo ivyo awamu ya 5 ilikuwa ya hofu tupu tusidanganyane kbs unafiki hautakiwi tuwe wawazi kbs kweli miunfdo mbinu imetekelezwa lkn maisha ya watu yalikuwa ya hofu tupu usijadili kuhusu serikal utadhani mkimbizi vile
@lusungukitago90002 жыл бұрын
Hapo umenema aiseee
@kennyrogers47342 жыл бұрын
@@lusungukitago9000 Mdau mtaani kwetu waliongozana na kushauliana ili wachukue Card za CCM ili kukwepa kusumbuliwa wakijua wewe CHADEMA umeisha hata kama biashara yako ya halali umetimia kila watakutafutia visababu vya kipumbavu sana
@kikariantandi48332 жыл бұрын
HUU NDIO UTANZANIA TUNAOUTAKA YAANI KATIBA MPYA NI SASA
@johnsonpatrick81482 жыл бұрын
Chadema yetu
@ramadhanmahongole56632 жыл бұрын
chama cha ukombozi wa watanzania CHADEMA
@cosmaswilliam38052 жыл бұрын
Chadema vemaaaaa
@faustinebahenobi34122 жыл бұрын
Saf mwamba
@christophertz2 жыл бұрын
✌🏿
@czmediaconsultant56402 жыл бұрын
Chadema kwa sasa hamna mpya mwenyekiti wenu kapigwa m100 na makamu wake m100 na John Heche milioni 50,wanakazi ya kumtukana Magufuli wakati wananchi wanataabika kwa hali ngumu ya maisha,Chadema hawana sera zaidi ya Magufuli, yaani utafikiri awamu ya tano p3kee ndio watu wamewekwa ndani DkT ulimboka aliteswa Absolom Kibanda na Said Kubenea ,lakini wao wako na Magufuli tu,Utadhani Mwangosi naye alikufa wakati wa Magufuli shame on them Chadema
@williamgideme26892 жыл бұрын
Kwani vhadema ndi waliowaua si walilalamikia hayo wakati wote?