MHE FREEMAN MBOWE AAHIDI KUMPA USHIRIKIANO RAIS SAMIA ENDAPO AKIENDELEA KURUDISHWA DEMOKRASIA NCHINI

  Рет қаралды 10,533

Chadema Media TV

Chadema Media TV

Күн бұрын

Пікірлер: 18
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 2 жыл бұрын
Safiiiiii chama cha wenye fikra endelevu na maono ya watanzania
@williamgideme2689
@williamgideme2689 2 жыл бұрын
Hongera Mungu awatangulie watetea haki
@yohanaphilipo4132
@yohanaphilipo4132 2 жыл бұрын
Pow
@hezronsanga5197
@hezronsanga5197 2 жыл бұрын
Chadema chama makin one love
@mchawaamanmchawa593
@mchawaamanmchawa593 2 жыл бұрын
Safi sana mkuu
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 2 жыл бұрын
Kweli kbs awamu ya 5 watu walichukua kadi za CCM ili kulinda biashara zao na uhai wao yaan hofu ilitanda miyoyoni mwa wananchi wengi
@evaemil856
@evaemil856 2 жыл бұрын
Hapo umenena kweli, wengine tulichukuwa card na kusimamia uchaguzi tukijua tutapata kazi ya kuajiriwa na serikali kwani ndiyo tu tulikuwa tumegraduate tubatafuta kazi ndo pa ikatokea uchaguzi basi tukafwatwa college kwetu kumbe hamna lolote mpaka Leo watu tunapiga teke kutafuta kazi.
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 2 жыл бұрын
@@evaemil856 Ndo ivyo awamu ya 5 ilikuwa ya hofu tupu tusidanganyane kbs unafiki hautakiwi tuwe wawazi kbs kweli miunfdo mbinu imetekelezwa lkn maisha ya watu yalikuwa ya hofu tupu usijadili kuhusu serikal utadhani mkimbizi vile
@lusungukitago9000
@lusungukitago9000 2 жыл бұрын
Hapo umenema aiseee
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 2 жыл бұрын
@@lusungukitago9000 Mdau mtaani kwetu waliongozana na kushauliana ili wachukue Card za CCM ili kukwepa kusumbuliwa wakijua wewe CHADEMA umeisha hata kama biashara yako ya halali umetimia kila watakutafutia visababu vya kipumbavu sana
@kikariantandi4833
@kikariantandi4833 2 жыл бұрын
HUU NDIO UTANZANIA TUNAOUTAKA YAANI KATIBA MPYA NI SASA
@johnsonpatrick8148
@johnsonpatrick8148 2 жыл бұрын
Chadema yetu
@ramadhanmahongole5663
@ramadhanmahongole5663 2 жыл бұрын
chama cha ukombozi wa watanzania CHADEMA
@cosmaswilliam3805
@cosmaswilliam3805 2 жыл бұрын
Chadema vemaaaaa
@faustinebahenobi3412
@faustinebahenobi3412 2 жыл бұрын
Saf mwamba
@christophertz
@christophertz 2 жыл бұрын
✌🏿
@czmediaconsultant5640
@czmediaconsultant5640 2 жыл бұрын
Chadema kwa sasa hamna mpya mwenyekiti wenu kapigwa m100 na makamu wake m100 na John Heche milioni 50,wanakazi ya kumtukana Magufuli wakati wananchi wanataabika kwa hali ngumu ya maisha,Chadema hawana sera zaidi ya Magufuli, yaani utafikiri awamu ya tano p3kee ndio watu wamewekwa ndani DkT ulimboka aliteswa Absolom Kibanda na Said Kubenea ,lakini wao wako na Magufuli tu,Utadhani Mwangosi naye alikufa wakati wa Magufuli shame on them Chadema
@williamgideme2689
@williamgideme2689 2 жыл бұрын
Kwani vhadema ndi waliowaua si walilalamikia hayo wakati wote?
When Royal Guards Fight Back!
8:08
Fighting Spirit
Рет қаралды 7 МЛН
Mom had to stand up for the whole family!❤️😍😁
00:39
Сюрприз для Златы на день рождения
00:10
Victoria Portfolio
Рет қаралды 2,2 МЛН
KWA MISUMARI HII TULIA AKSON ANAHALI MBAYA SANA MBEYA MJINI
12:47
Chadema Media TV
Рет қаралды 19 М.
"Surrender or Starve": Israel Weighs Plan to Liquidate Northern Gaza
13:45