Hongereni Polisi kwa kazi nzuri mliyofanya kumbe inawezekana kabisa
@Zaikadena2 жыл бұрын
Cku zote serikal ingekua iv mbona tungefika mbali sana
@hamisizuberi92162 жыл бұрын
Hongereni wana Kilimanjaro kwa kumpa mapokezi ya nguvu Mhe. Mbowe
@patrickjohn40862 жыл бұрын
God wins
@nikodemmwahangila33342 жыл бұрын
Washukiru maana wamekuongezea kiki kubwa sana kama ya lilsasi kwa lisu hilo limekuinua saaaaaana unapompiga teke chura unamuongezea hatuaaaa
@davidedson65602 жыл бұрын
Kaka wa taifa tanzania twapaswa tumuelewe watanzania kwamaana ameacha kazizake zote kwasababu ya kutupigania sisi watanzania wanyonge ,mining freeman mbowe ,by mungu mwenyewe
@magdalenajohn65642 жыл бұрын
Kweli Samia hataki shari
@kisangarehema83592 жыл бұрын
Asante kamanda
@costantinipaulo57282 жыл бұрын
Ubalikiwe sana kamanda wetu
@stanlychishimba27292 жыл бұрын
Mzee pole
@elispiuselias13392 жыл бұрын
safi Sana hata kama ungenufaika, si dhani kama inalingana na misukosuko unayopitia, hongera Sana kwa kupongeza kazi ya polisi!. hyo ndyo kazi yao kulinda Mali na usalama wa raia. wanastahili kupewa pongezi kwa weredi na hatua nzuri. 👍
@aminabanka82032 жыл бұрын
Naona wanyaturu wanaimba hapo, Ononeye gihenga.
@zuberiismail29722 жыл бұрын
Hahaa nmecheka kikwetu ononeyeeeeee
@zaitunisaidi36952 жыл бұрын
Samia hoyeee
@rajabmartojr33022 жыл бұрын
Mbowe rais
@zaitunisaidi36952 жыл бұрын
Asante mungu
@noahlarapho34112 жыл бұрын
Hongerani ....👏👏🇹🇿🇹🇿
@stanlychishimba27292 жыл бұрын
Nasi tulikuhombeya toka apa Zambia Atuna ubaguzi
@patrickkagito33762 жыл бұрын
Mbowe piga pesa za wajiga
@masanyiwamullagwanyawawa62442 жыл бұрын
Waambie
@nurumbongo75562 жыл бұрын
Endekelea kuwa mwaminifu hadi ukamilifu wa dahari na mungu atakubariki
@silvangabriel35922 жыл бұрын
Hingera mbowe MUNGU yupo nasi
@efelimwambije7082 жыл бұрын
Aminaaaaa
@onesmomlinga27392 жыл бұрын
Mbowe kaomba tens pesa/michango kwa siasa kali
@TheLovejoyz2 жыл бұрын
Hio ni kafamilia..Kaombe mSamaa..Kaburini ya Wazee..Watemi.
@NYIMBOVICHEKESHOMAHUBIRInkbyDa2 жыл бұрын
Ubarikiwe
@mohamedsalim9722 жыл бұрын
Rais wanyoyo za watanzania
@robloxking80252 жыл бұрын
Hamna hata aliyeibiwa be simu police kuna wakati mnaboa sana
@richardmganyasi69632 жыл бұрын
ACHA ukuma boya wewe polisi wameboa wapi
@kakorejrboyz64472 жыл бұрын
Polisi lazima Watu kama nyie mtawachukia Kwani wanafanya Kazi yao vizuri pamoja na changamoto walizo nazo .Lakini siku wakiacha kufanya Kazi yao vizuri lazima uwapende Kwa utatamani wakusaidie Mshukuru mungu Kwa Kila hambo
@sagandamalechampullo6592 жыл бұрын
MWAMBA IMARA, TUVUSHE DAIMA
@hamidusibye52412 жыл бұрын
insha'allah
@AsiaMkusa2 жыл бұрын
Basi na wale waliokimbia nchi warudi nyumbani tuzungumze lugha Moja haki, tuisemee vizuri Tanzania, tukosoe waliokosea,waliotenda mema wapongezwe Kwa maslahi ya Tanzania Pekee sio Mtu,chama Wala dini, Tanzania kwanza wengine njooni nyuma yake
@jonestasoko5362 жыл бұрын
Nimekuelewa, good
@TheLovejoyz2 жыл бұрын
Sasa Mbowe ana vunja Amani..Mungano?
@kisesalusambo94522 жыл бұрын
✌️
@paschalamos30122 жыл бұрын
Haaa
@richlymo2 жыл бұрын
Mboweee
@nathanpangjanda27342 жыл бұрын
Chagall land hawa sio kabisa watanzania hangalieni sana tesa
@salumjumaruhaga25132 жыл бұрын
Siku zote mabomu rsasi mbona leo shwari
@leokamil62842 жыл бұрын
Mabomu huleta taharuki ,uongozi bora auhitaji hivyo unahitaji uchapakazi wa chama tawala ila kuweza kukubalika hiyo ndio dawa ya watu ukifanya hayo utakubalika.Watu wanapiga kelele kama hakuna maendeleo na maisha ya kueleweka,lakini vikiwepo mbona shwari tu.Haki ndio jibu na uongozi bora chuki haitajenga nchi sote tupendane kwani hakuna atakaeishi milele.
@gilbertrutayuga46762 жыл бұрын
Jambo la msingi ni kila mmoja kuzingatia amani. Kama hakuna anayefanya fujo zinazopelekea kuvunja amani hakuna Polisi ambaye atatumia nguvu.
@aminimushi69452 жыл бұрын
Daima amani bila haki haipo,tutangulize haki,amani inakuwepo daima,tuache mawazo mgando.
@gilbertrutayuga46762 жыл бұрын
@@aminimushi6945 pia tukumbuke hakuna haki bila wajibu hivyo Ili haki iweze kuonekana ni vyema kila mmoja kutimiza wajibu wake. Kwa maana kwamba vyombo vya Dola vitimize wajibu wake na wananchi watimize wajibu wao.
@kabulajoseph20572 жыл бұрын
Namaliza mb zangu bure kwa upuuzi mtupu mwananchi gani alioonewa,
@boniphacemaximillian5452 жыл бұрын
Mbowe huongelei tena katiba mpya hahahaa
@abeidbakili58302 жыл бұрын
chama cha ukabila na udini icho
@kinginno34122 жыл бұрын
Chama kipi
@msongamwinyi28772 жыл бұрын
Ukabila
@andonisandrea83542 жыл бұрын
How
@andonisandrea83542 жыл бұрын
How
@mwlpierre2 жыл бұрын
Hauna maajabu!
@sbboymkaliofficial91082 жыл бұрын
Atar Sana nimeona mkono wa mungu 🤣🙈👇👇sio mkono wa Samia 🤣👇👇 kzbin.info/www/bejne/pH-Yn4Juhqqfjqs
@wadeelegbogun30152 жыл бұрын
Huna lolote wewe hamia ccm upewe kazi basi.tanzania hatuna upinzani
@Summercrif0052 жыл бұрын
We mzima kweli au dish aliko sawa watu wote hapo wewe mmoja😂😂😂